Mi nishamwambia mume wangu tuachane hatak, lakin tunagombana sana na najiskia simtaki kabisa pamoja kuwa ananiskilza japo suala lake la uvivu na wivu ulopitiliza vinanikera
Je kama Mimi jina la kwanza linaanza na A na jina la pili linaanza na H Halafu mke wangu jina linaanza na hiyo H Je Kuna madhara bado? Naomba kujua mapema
Ushauri wangu Mimi Nafikiri hii mada itasababisha wakina H,T wasiolewe nadhani msingeileta humu jamani daaah!
Nikweli mi T kila nilalo panga alitimii
Uongo mtupu kufa ni mipango ya mungu acheni kujipa pressure kwaiy wake wa marahic wameanzia na t h mbona waume zao wamekufa
Mh ni T na niko na chamgamoto sana😢
Subhanaallah mwenyezi mungu ndie anaejuwa kila linalotupata viumbe vyake jamani
Nakukubali sana aly kky
Kwahiyo ss maizlahill kutoa roho wanaume. Daa hi mtihani Allah atulinde.na.atupe.wanaumewema na ss
Khee hapo kwenye Mume kufa mbona pabaya jamaniii Eeh Mungu niepushie mbali katika Jina la Yesu Mume utakae nioa Hutakufa mtoto wamama mkwe.
Kwahio wanaume watakaooa majina herufi nyengne hawatokufa😂
Unasema kweli babu kwenye t hapo niukweli mtupu
Tufanyej bas 😂😂😂
Mi nishamwambia mume wangu tuachane hatak, lakin tunagombana sana na najiskia simtaki kabisa pamoja kuwa ananiskilza japo suala lake la uvivu na wivu ulopitiliza vinanikera
Mbona kuitwa mchawi tobaaaa 😢
Kwahiyo tusiolewe tuishitu pekeyetu. Allah atunusuru
Jamani nikweli mm ni hope au tumaini mume wangu nimekaa nae miak5 amekufa kaniacha na mtoto
Ni kwel Mimi Nina Mwanamke wa Herufi T dah! Maugomvi kila kukicha
Heee
Je kama Mimi jina la kwanza linaanza na A na jina la pili linaanza na H
Halafu mke wangu jina linaanza na hiyo H
Je Kuna madhara bado?
Naomba kujua mapema
😮😮ndo maana ugomvi na mume wangu hauishi pamoja hata tukiwa mbali mbali
Dah hizo dalili ni mim
Jamn mh!
unasema kweri irashaga tolea erufi t mume akafa
Hatar lkn mie nitaolewa
Yan mengi inkwell ninayo
Basi tusioe
Jamani,mbonaunatutisha,unafanya,tusiolewe,nakama tuna wapenzi,siwatakimbia,manawatu,wanaogopa,kufa,munguwangu.
Hahaaaa make kwanz nicheke
Jamani sasa tufanyaje? mbona utatukimbizia wachumba 😭😭😭😭😭
Hahaaaaa
Mm ninadoa kifuan kwel jmn sasa duuuh😂 nimejifunza meng aisee
😂
Mmmm
Nikweli-unachosema-hata-kaka-angu-alikuwanae-ila-waliachana
mmmh ila kama kweli hivi
Hahaaaaaaa
Sasa Ina mana Wana wake wenye heruf. Ya H waliumbiwa. Na mikosi ao acha uongo. Bwanaa
Kwahy inamaan sisi tumeonewa kam kufa kila MTU atakufa
Kifo kipo tu n mipango ya mungu mtu uandika kifo cheke mwenyew siku akizaliw tu lakin sidhan kam n jina la mtu husababish
Nina mchumba jina linaanza na herufi S nifanyaje?
Atakufa haahaaaa
😂😂😂@@HildaAidam-rb8dj
Jibu sms Watsap
Unatutisha sasa
Kwani wewe Ni h au a