MSICHANA "NILIDANGANYA AMENIPA MIMBA, KIJANA AKAHUKUMIWA MIAKA 60, RAIS ANISAIDIE"
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- Maria Amos Sanga mkazi wa Wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro amemuomba Rais Magufuli kumsamehe mfungwa Tumain Frank Mfinanga aliyehukumiwa kifungo cha gerezani cha miaka 60 kwa kosa la kumbaka na kumpa ujauzito kwa kudai yeye alitoa ushahidi wa uongo mahakamani uliopelekea yeye kuhukumiwa.
Msichana huyo amedai kwamba kijana huyo aliyehukumiwa alimsingizia alipokuwa anasoma nae shule moja na hawakupima vinasaba (DNA)
Wakili wa Mahakama kuu Charles Abrahamu amezungumza nakusema kijana huyo anaweza kukata rufaa.
Mimi mpaka kesho nitamlaumu hakimu, kwa nini jambo kubwa namna hiyo unakataa vipimo vya DNA unato ukumu ya miaka 60!!!!
Hakimu anamakosa makubwa sana kwann asifahitaji ushahidi wa kipimo
@@bibiemohamed6044 sijui alikuwa na haraka ya nini wakati anamuumiza mtoto wa watu
Hapo ndio uamini wote waendao magereza hawana makosa.
Huyu kala rushwa
Daaaaaaa kweli sio wote walioko gerezani wanamakosa yaan imeniuma Sana na inabidi wakate rufaa na alipwe muda wote aliokaa gerezani
TUMAINI... jina lake limethibitika katika hili, MUNGU ni Mwema!
Amini kwamba Kuna NGUVU katika Bwana, Mungu hamtupi mja wake Kama ipo ipo tu...
Atatoka TUmain Frank Mfinanga🙏
Mbona imenisisimua jamaan... Allah amfanyie wepes huyo kijana Tumaini...
OGOPA XAANA akimu mwanamke kweny swala kumpa mwanafunzi mimba ,kumpiga mkewe ,kutotoa matumiz muogope akimu mwanamke
Hivi kumbe ni wakike mama anguuuuuuu weeeeeeeh!
Sana tu jaman mmmh utakoma mbona hugeuk hata kwa upinde
BABA yake huyo dada na serikali, SUKUMA NDANI!!!!!
😂🙄
I 😂
Acha mungu aitwe MUNGU, haki ya mtu haipotei hata siku moja, serikali inakosa pia SANA KWANINI wasifanye DNA??????
Kuna vitu vinanipa hasira hadi nahisi machozi!
Yani zaidi ya hasira
Binti na wazazi wafunguliwe kesi kwa kosa la kudanganya jamuhuri
Binti hana kosa wazazi ndo wanamakosa kulazimisha mtt wao aongee uongo na kwa sasa binti anajutia na ndo maana katambua makosa yake na kupambana kupata kumtoa huyo kaka
Mda mwengine serikali iwe naangalia mambo sio mtot wakike unamuweka mtu ndani kwa uhongo afu ukweli unakuja kubainika serikali inakaa kimya . Nilazma mtu uyo haki ifuate mkondo wake na mfungwa aweze kulipwa
Binti hana kosa, kosa ni la hakimu tena wamchunguze
Wafungwe na jamuhuri wazazi wa bnti
Daah iyo kali, poleni vijana wote mnaofanyiwa vitendo hivi
Kawaida haki tabu kupatikana ktk dunia hii
Ndio Ujue Mahakaman hua zinasaidia au zinaonea!!Kama n kweli mimba hakupewa jiulize mtu kafungwaje hapo!!!
Anayozungumza hapo unahuakika ndicho alichozungumza mahakamani huyu bint ni muongo ninachokiona hapo amekaa akajiuliza mtoto atakuwa akiwa hana baba hilo ndiyo tatizo
Movie Ya kihindiii hiii......Mhukumiwa kaukumiwa miaka 60 jera kwa kuua ..siku anamaliza kifungo ashakuwa mzee na kurudi uraiani anakutana na mtu yule aliyesadikika ameuliwa na yeye...duuuh...!!! mnajua kilichofuata sasa......ndo kama hiki tunachokisubiri hapa juu ya TUMAINI FRANK MTINANGA........Like za kutosha jaman..!!
Amza kanuni1🧚♀️🧚♀️
@@emmysfitnessandforex9403 😀😀😀😀
huyu binti na mama dangote hata hawapishani shenzi
😂😂
Haaaaaàaaaaaaaaaa jamani
😅😅😅😅
Ha haaaaa umenifanya nicheke kwa sauti!!
TUMAINI FRANK MFINANGA inamaana hawezi kumuita tu tumaini?
Ndio sababu inayo nifanya nisiwapende wanafunzi wana pakazia
Kama umesikia ikitamkwa d.n.i gonga like
Mungu akurani
Kama huyo mtoto si wake, basi serikali imlipe mda wote aliokaa jela maana mahakimu hawakuwa makini.
Lazima alipwe
ee na huyo msichana aseme aliempamimba Kama ni babake ijulikane
Serikali imlipe kivipi? Wakudilinae ni huyo bint na familia yake wao ndiyo walitoa ushahid wa uongo
@@bravosenior475 aliye toa maamuzi ni mtumishi wa serekali
Ili ujue kosa liko wapi lazima upate mwenendo wa kesi na nakala ya hukumu ndiyo tuweze kulisemea hili kumbuka huyu bint ndiyo aliyemtaja mtuhumiwa kuanzia kituoni mpaka mahakamani na hatujui mtuhumiwa alijitetea vipi mpaka kuhukumiwa
Tumaini jaah blessed your life my blood
Ama kweli magerezani kuna wengi wamefungwa bila hatia,inahuzunisha mnooo,watu wengi mnoo wanasingiziwa kesi daah
Wanao kwenda jera sio wote wana hatia
Daah wakili atowa wamuzi wa ukweli bali watu wa serikali wanakwepa kuendelea upya kwa sbb ya hongo walio kula
Msubiri aliyekuumba hukmu yake utakiona,umemdhulumu mwenzio mpaka kufungwa muda wote huo
Kama umesikia baba yake na Tumaini akisema mwanao ameletwa hapa kwasabb amekula tamui ya mtoto wa baba mwingine
Nimeskia
Tamui hahaha
😂😂😂😂😂😂
Kweli!! Na ajaonja!!
Nachukia sanaaaa izi sheria
yan tumain frank mfinanga anatajwaaaa kama mfungwa kwa majina yake matatu😆😆😆....ila nyie wanawake nyiee
😂😂😂😂
Sisi ni sawa na shetani jamani
@@separatebetres5315 🤣🤣🤣
@@separatebetres5315 😂😂😂😂
@@separatebetres5315 HAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Subhannallah, dhulma inamalipo na malipo yake ni hapa hapa Duniani 😢
Kwanini kijana ahukumiwe miaka 60 kweli haileti maana. Huyo hakimu afungwe miaka 60 kwa kukataa DNA test
Hukumu ya miaka 60 aliitoa wapi huyu hakimu jamani
hapo kuna makosa mawili ya umpa ujauzito mwanafunz na kubaka
@@separatebetres5315 kwani wewe hujawahi kuskia kumpa mwanafunzi mimba unafungwa miaka 60? Mbona mda tu
Wewe hakimu, wewe hakimu dah.DNA,ulitupa wapi?
Inauma sana
Mmh miaka 60???? Kisa mimba, hata siamini. Hata waliouwa akina Lulu hawakupata hicho kifungo🤔🤔🤔🤔
Kwanini hukumu bila DNA? Huyo hakimu ni jipu!
Hakimu jipu
Tena jipu kubwa,,
Tutafute hela
Alikula tamu ya mtt wawatu kumbe ata tam ynyw hakuonja jmn dah hii tam hiii cio nzur kabsaa
😂😂😂😂😂tamu uwiiiiiii
A.k.a mbunye
Wamemsingizia
Tamu tamu ila ikiingia vibaya ni chungu
Daah jmniiii
Kwakuwa mtoto kakua bac zamu yahuyo binti na wazazi wake kwenda jela.
Wanawake wabaya Sana
Wew dada unatuchora wew kwani ulieshiriki nae ngonozembe humjuiii
Usikute baba mtoto ni babake mzazi ila akampa shipa mtoto wa watu
Umaraya wako unamtesa mtoto wawatu. Sikufichi Hautokua salama maana umezurum nafsi ya mtu.
Umalaya ni mbaya sana
Yani miaka 60 kisa mimba 😂😅😅
😀 😀 😀 😀 Imagine ata mm nashangaa
Hahahahaha Ni shidaà
Hahahaha miaka 60 hiyo ni mimba ya mapacha wanaofanana
so mimba tu ni kubaka umri wa binti ni wakubakwa
Daa:: ii msala ufungwe kisa mimba..
Nyokooo,daa dhambi hii itakutesa daima
aisee umuzingizie mtoto wangu hautaishe hiyo musichana ni mjinga sana
Wanawake ni watu wabaya sana hili ni fundisho
Dada tuliza nyege uliyakologa utayanywa
Ndo hapo sasa
Jmn tumain poles ulipo
Ayo TV tutaomba mrejesho wa hii kesi
Subuhanallah
Yaaan bas tuu
Iv unaweza kumlipa fidia uyo jamaa ulomsingizia we mdada...
Miaka kumi na sita hakua mdogo,wakushindwa kupambanua 🤔🤔
Uyu bnt yaan n utopolooo anjiingiza tena kwny majanga makubwa mno hii HV nkes kubwa sana kuoongopea mahakama lakn nktu chakujfunza kwa utopolo wengne na vilaza kama hawa
Mzee tambua damu ya mtu huwa haiendii kihivyoo aiseeee ujue
Kwendaaaa Mfyuuuuu
Wanaofugwa jela sio wote wanahatia mungu akupe wepes kijana mwenzangu utoke
au babayako ndo aliekupa mimba nini mkaamua kumsingizia kijana
Umeona eh
bint mbaya mnamfunga kijana wawatu jaman sura mbovu Kama yangu unafunga mtu mungu amsaidie atoke na yy aojiwe hapa jaman nimeuzunika sanaaaa🙏
Waende magereza wamu hoji mbona Kenya wana wahoji wafungwa kwani Tanzania tunashindwa nini!!!
@@sweetbertrwiza5982 itakuwa vizur Sana tuelewe ilikuwaje
🙆🙆🙆🙆nakuonea huruma kijana maana mziki unakugeukia huo 😁😁😁😁😁
Hauwezi kumgeukia maana alipopewa ujauzito bado alikuwa na akili za kitoto
@@mbwanahasan2971 hapo sawa
Bint anafungwa
Hakimu nae anatakiwa aeleze sababu iliyo mfanya atoe hukumu kizembe hivyo
Eti amekula tamu ya mtoto wa w2🤣🤣🤣🤣
We kwanini ulidanganya mahakama
Na wanasharia na mahakimu muwe makini sana na Hawa mabint na wazazi pande zote hasa kwenye upelelezi
Sasa kess ni ya mwaka.mzima si ulikuwa ushajifunguwa kwa nn kama sio yake msipime DNA.
baba anaonekana anahasira sana yani mpaka anachapiapia ilakiukweli inauma sana
Uyo.nae.anatakiwa.naeande.lokapo.kwasababu.ame2potezea.kijanawe2
Huyo msichana afungwe pamoja na wazazi wake
Bora wafungwe
Hawezi fungwa, alikuwa ni minority age...
Alishinikizwa
Dah Ndio Bongo hii kuwa mpole
Wanang tuczoeana na vbnt vya scul unaweza pewa mzgo Co wako
Watu wengi wapo jela kwa chuki za watu kisa watu ao wanajuana na watu wakubwa hee mungu tusaidie
Kwanza afuatwe hakimu Kwa nini alikataa kipimo Cha DNN? Kama sio rushwa hiyo?
DNA haikupimwa hakimu amefanya kinyume na TARATIBU kazi take kwanza atumbuliwe kabisaaa
Daaaah
wengi mnafungwa bila kosa niaibu sana kumuhukumu mtu bila kosa na kwamsingizia
Tamuuuu😂😂😂😂😂😂😂
Duu hakim mlahongo hii ya hitajika afunguliwe kesi yy na baba ya binti ametowa hongo na hakimu kapokee huyu hana haki kuendelea kuwa hakimu
Hafai kabisaaaaaa!!!!!!!
Jaman kijana huyo mwee Mungu muone kumba jela watu wanaonewa unakuta kijana wa watu anatoka anamaradhi kashayapata huko daah
Kuna watu wanasota jela bila hatia na kuna wahalifu watamba uraiani bila kujulikana,yote ni kwa sababu hukumu na haki ya kweli awezae kutoa ni Mungu pekee,mwanadamu hutumia hisia na dhana ila Mungu anayo majibu na ninaamini kama kweli huyu kijana hajahusika na swala hili kwa njia yoyote ile basi mwenye haki Mungu humtetea.
Nyie washirika au watowa comment humu leo tutanua samani ya msani best nasso aliimba nyimbo wanawake wabaya ndo nimeamini anathitahili tuzo best nasso
so sad😡
Inauma dah anakula mwingine afu jela anaingie asie na hatia
Kwaiyo ww ulianza ngono zembe mapema , inabidi na ww upewe azabu sababu umeidanganya serekali
Waandishi wote niliowafuatilia hakuna anayemuhoji baba mzazi wa binti au kuuliza yuko WAP au anasema nini baada ya binti kueleza ukweli ...Naungana na Serikali WAANDISHI WA HABARI WAKASOME
Kesi ifuatiliwe kuanzia mwanzo na hao mahakimu waliohusika kutoa hukumu bila kudhibitisha ushahidi sukuma ndani wao ndo chanzo maana huyo binti angefinywa vizuri amtaja muhuaika bila kushinikizwa na wazazi kutaja mtu asiyehusika
Huyo dada dhambi yakusingizia imemwandama sana! Dhambi ni kitu mbaya sana! Hadi ameamua kujitokeza mwenyewe! Lakini mbona kisheria ukimpa ujauzito mwanafunzi kifungo chake ni miaka30? Ilikuaje hio 60 kwa Tumaini? Kama mimi ndo mzazi wa huyo binti! Nisingemsamehe huyu mtoto milele na milele! Hata kama nimemzaa ningempiga potelea mbali!
Kwa hayo maelezo inaonesha wazi wazazi wa Maria walimlazimisha binti yao atoe ushahidi wa uongo. Wazazi wa Maria, Maria mwenyewe na hakimu aliyehukumu pasipo ushahidi wa DNA wahukumiwe kwa kumfunga mtu kwa uonevu.
Da sio poa kabisa uuwaji uo
Hakika dhulma haidumu walioshirk woote kwa uongo huu hakika mungu atawaadhibu
Basi wengi wamefungwa kwa makosa sio yao
Rais mtetezi wa mwanyonge Bora aingilie Kati
Natamani nimuone uyo hakimu nimkoe makwenzi
mawakili wasomi muda wenu wa kukuza majina na kutengeneza njia na kutenda haki ndio huu
MINAzan kwa anaejaza mimba akabiziwe .. kulea apewe na adhabu za kuhudumia .. sio kufungwa ayo kufungwa siosawa😢😢😓
SASA KIFUNGO MIAKA60 si bora kufa😬😬 mbona MNAZIFUNGIA NDANI NDOTO Zavijana
huyu dada skumjua tu haki kanifungia mdogo wangu wallah
Poleeni saana
Pole sana jaman atatoka lakini
Poleni sana kaka
Polee sana Buhari ndo mfatilie hiyo rufaa umsaidie baba wa kijana
Jaman buhari kumbe mama wa frank alishafariki duuu mpaka nimelia sana yaan sana natambua Rais wetu wa wanyonge aisikie hii ili kijana amtoe awe huru
Mbn uyu binti kigeugeu
Uyu bint kinyonga
Unafungwa bila hatia hakimu anakata miaka bila vipimo vya uhakika una muharibia mtu maisha hivi hivi
Sawa huyo binti naye ahukumiwe tu kwa kusema uongo
Hakimu nae aende jela kma n kutamu kwa nn alikataaa kuwapima DNA he angekuwa mwanae angejisikiaje?
Naona sasa serikali imefika mahali pakuipitia hii sheria Kama inakizi vigezo kwa sababu sheria hipo je matukio ymepungua au yameongezeka na Kama yameongezeka je sheria hii inafaa kuendelea? Je suruhisho ni nn maana mtoto kukosa mzazi mojawapo je hatuoni hii inazalisha labda watoto wa mitaani sikatai kuwa sheria isiwepo ila nashauli wataaramu wa sheria kuipitia ili kuangalia mapungufu narudi hii sheria bado imeshindwa kua muarobaini wa ili tatizo
Awa wanazambi sana aise tunabebeshwa kesi sio zetu duh
Huyu dada mpumbvu kwel Yaan alofny nae mapenz anamjua kisha anasema kipnd icho alikuw hajawa na akili wkt alitmbea na mwanamme heee Mungu anamsbri huyu dada
Wakate rufaa
Hiyo mimba naimani ya huyohuyo dogo aliyofungwa naimani wanamuonea hulumatyu,,,kwanini binti akubali kwenda D,n,a, na kusema hata mtoto alipo zaliwa hajafanananae,,,moja kwa moja Ni binti anaonyesha alidet nae,,,,tuache sheria ifanyekazi,,,hila hakimu alikosea kuwanyima vinasaba
Miaka 60 kweli kwani ni kesi ya ugaidi watu wanaiba mali za serikali na hawafungwi Miaka mingi namna hiyo