Bony Mwaitege - TAFUTA AMANI (Official Audio)
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Nimependa sana MUNGU wetu wa BWANA yesu kristo akutuze🙏
ubarikiwe mpendwa nipe namba yako nikupe sadaka upeleke injili mbele
Neema ikubebe na ivunje Sheria mtumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏 umbali huu YESU ni Ebenezer 🙏🙏 Mombasa Kenya tunabarikiwa Sana na nyimbo zako🙏🙏🙏barikiwa sana papa🙏
Ata Mimi nipo Mombasa,,nabarikiwa na nyimbo zake sana🙏🙏
Ata mimi Niko mombasa Ngoma imeweza kabisa@@bonikyalii5747
Asante sana ndugu yangu
Neema ikubebe na ivunje Sheria mtumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏 utafika mbali kwa uwezo wake mwenyezi MUNGU 🙏@@BonyMwaitegeOfficial
Ubarikiwe sana mtumishi wimbo nzuri sana keep up 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akubaliki mtumishi Wa mungu bonny mwaitege 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿
asante
Siku zote tunajivunia hekima ambayo Mungu amewekeza ndani yako,na unachokiimba ndicho unachokiishi,Mungu akutunze kwa kutuonyesha njia ya utumishi mwema kwenye kizazi hiki kinachohitaji mafundisho mengi,na hekima nyingi,but wewe umeweza kukileta kizazi hiki kwa Yesu,kwa nyimbo na shuhuda zipo,hakika wewe ni fahali kuu katika ufalme wa Mungu❤❤❤❤
Asante sana
WIMBO MZURI SANA MUNGU AKUBARIKI NDUNGU YANGU
Barikiwa kaka yangu pokea 🎉🎉🎉 yako kazi nzuri sana kaka yangu
Hit after hit Mtumishi Bony Mwaitege
Asante sana kwa wimbo nzuri,,,mungu azidi kukulinda mtumishiwa mungu..kuwa na amani hii duniani kitu ya maana
Neema ya bwana yesu ikubebe all your songs are on the high level
Amen Amen Amen 🙏❤
Asaante Mungu kwa kutuponya🙏🙏🙏
Safi baba ❤❤❤❤good work 👏
Ameni mtumishi
Sijawah kukuchoka unaubariki moyo wangu na wa Mungu pia, neema kubwa na ikubebe.
Kununa sio dawa Kama kuna shida sema 🙏🙏🙏🙏🙏🙏barikiwa Sana Baba tunapona,,,,
Nice song 🇰🇪🇰🇪
Be blessed papa😊
Kiukweli mtumishi hongera sana kwa wimbo wenye maneno yenye hekima kubwa. Mungu akuinuwe zaidi
Wow...kazi njema hii ,baraka tele 🎉🎉🎉🎉
Daima husikiliza wimbo huu kabla ya kulala ,,,ju umenisaidia kutoa uamzi ulio sahihi🙏🙏🙏
Aaaah ya bony que Dieu vous bénisse abondamment mon frère je vous aime très fort ,❤❤❤👀👀 bon travail Que la grâce du seigneur soit avec vous ❤❤car les paroles qui sortent de ta bouche ma changé 🎉🎉 oui tu es l'homme de Dieu. que ta famille y compris et toi vous êtes béni amen que le talent là sort encore et encore si j'étais aussi à Tanzanie j'allais prié à ton eglise , Que Dieu te donne encore et encore la force de le louer et de le servir c'est beau de voir l'homme de Dieu on menaient les âmes perdues au seigneur ❤❤👍👍👍🙏🙏🙏🎉🎉🎉bon travail
Kweli kuishi na watu si raisi bali Mungu aingilie kati maishani mwetu
Mtumishi Mungu akulinde sana ili uendelee kumtukuza Mungu
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu najisikia amani kusukiliza nyimbo zako
Hongera sana kwa wimbo wako wenye maneno ya hekima sana, Mungu akuinuwe zaidi
Wimbo mzuri ... Christina Shusho skiza huu wimbo
Mauwa ya producer wa hii nyimbo tafadhali
Mungu wa mbinguni azid kukutumia mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe Sana mtumishi
Fantastic and interesting work 🎉
Hongera sana kaka yangu
Tuletee wimbo boomplay
Natamani hata mm pia auweke nimeutafuta boom play huu na mwalimu nikaukosa
Good work mtumishi keep it up
Amani kitu muhimu sana,ubarikiwe mtumishi kwa ujumbe huu mzuri
Hakika hasira huaribu mengi
Kaka ang hongera ujawahi kukosea
, 🥰🥰🥰
🎉🎉🎉🎉 barikiwa mwana wa Mungu
Barikiwa sana bony mwaitege
Barikiwa sana Wimbo wa baraka
Very well song, barikiwa kaka
Baba yangu nyimbo hii imenigusa sanaaa
Amen amen tumepokea ujumbe mzuri wa kutuongoza kufikia hatima nzuri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
wakti mwingine huwa nacheza mke mwema, ndiyo bwana siku yote. nitaongeza huu wimbo kwa list sasa! barikiwa sana mtumishi
Hakika Mungu anakupa vionjo
Kumechangamka leo 😊
May God continue to be on your side all the days of your life, your songs have a good message and are comforting
Thank you so much
Mungu akubariki sana rafiki yangu Bonny nimebarikiwa nikiwa NewYork
Asante sana ndugu yangu
Mungu azidi kubariki baba
Yote ni mungu tu i'm in DRc
mungu asifiwe sana father
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
ASANTE SANA KWA NIMBO ZURI❤❤❤❤❤❤❤
Ameen baba
Nice one 🙏🙏🙏
Ngoma zako zote Kali hujawahi kukosea
Wow!
Wimbo mzuri sana barikiwa .
Ninaweza kukupata kwa njia gani ?
255 753582739
Asante sana ndugu.
Nitawasiliana na wewe hivi karibuni.ubarikiwe sana na Mungu.
Ameen baba
Baba saruti kwako
🙏🙏🙏💗💗💗
❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉
❤❤❤
🎉
❤❤
Ndo nyimbo tunazoziitaji kwenye hii nchi yetu, ubarikiwe sana mtumishi❤
Iam the first person to comment here. 🇿🇲🇿🇲👏👏👏 much love got you man of God please come to Zambia again we miss you
Tunakutengemea ahuwezi kutuangusha Bonny mwaitege