Makonda baba.... Hili ni kama.deni, unazidi kukubalika na kuaminika mpaka naona hata wewe mwenyewe unashangaa❤❤ mungu awe nawe katika uongozi bora haswa kutetea haki❤❤ tunakuombea mema
Hata mm nko njian nakuja arusha mungu azid kukurinda katika uongoziako bora africa nzima inagutizama ww kwa mema unaozid gutenda rc makonda mungu azidi kukurinda 🙏🙏
Watumishi wa JEHOVAH MUNGU kama Mchungaji huyu wanamkubali Paul CHRISTIAN makonda wanaleta appreciationship zao, lakini kuna mijinga inamponda mara yamuite majina ya ajabu, mara sijui nini, nimeamini mti wenye matunda ndio unapigwa mawe Ila binafsi Namuombea sana Paul CHRISTIAN Makonda Aishi maisha marefu na MUNGU AMBAYE NI NIKO AMBAYE NIKO AMFANYE Awe Raisi.
Mwanangu mh makonda yatosha tu kusema MBEBA MAONO WA FAMILIA huwa anateuliwa na mungu , hayumbishwi bali anan’gaa zaidi mpaka anga za mataifa bbyangu mungu azidi kukuonekania tumuone mungu hivyovyo kwako kwa utumishi wako unaomtumikia ktk secta hiyo nyeti ya KURUDISHA vilivyoporwa na wasio na huruma , hata waliporwa ndoa zao bb umewaona kwa jicho la huruma ya kimungu iliyopo ndani mwako ,binafsi nakuombea kwa mungu hicho alichokupatia kisipote bali ufikie hata kuwa pastor makonda ulihubiri neno lake na matendo yake makuu ambayo tunayayona pia kupitia kwako yaliyoshindikana bb unayatatua kwa wema na maridhiano hata kufikia mtu kukiri kwa kinywa kwamba alitenda kosa mungu akubariki na familia yako na mwanao mpendwa kigani christian mungu akamkuze ktk hekima na kimo
from zaire nie pia penda sana kazi zako Makonda zina ujasiri uthubutu mkubwa wengi wanapewa mamlaka halafu wanaanza kuwaogopa kuburuzwa kuwaabudu wale wanaowaongoza Mungu wewe ni mkuumwangalie Makonda mpatie na ulinzi wako
Kama mimi uwa Nafatilia kazi zako Na kila upitapo mungu Akutagulie lakin uzifurahie kila kitu unapewa watu wengine zio patina wa mungu zio kila mtu Aafurahishwa na kazi unae wafanyia wananchi wa Arusha
Hadi bulundi kwakweri W ndo makonda wanafki na mafsadi wabane choo utazidi kuishi makonda na utazidi kuitwa makonda mpaka mungu apende heshima yako mkuu
Kweli unafaa mpaka nje ya nchi Yako je unajua unadeni la wanaokuchukia jua ni ujumbe umeletewa kama wewe unajijua kua mwaminifu mpaka kufa teteawanjonge TANZANIA nzima MUNGU AKULINDE maadui ni wengi katika kazi Yako familia maisha Yako
ukisifia boga Sifia na majani yake samia umlinde kijana wako arusha itaongoza kukupa kura Amin nakwambia mother nikuombe msisitizo kwa wengine waige haki itawale nchi hupendi dhuruma mother bgup
Mhe: Makonda unachosema siku zote kuwa ukitenda mema utasifika kwa wema na ukitenda mabaya utasemwa kwa hayohayo. Kauli yako imejidhihirisha kutoka kwa raia wa taifa jingine...HAKIKA UMEBARIKIWA
Rais Samia alinde kilichomo ndani ya Makonda Kama vile Makonda alivyomtabiria Rais Samia kuwa silu moja awe Makamu wa Rais ikaja ikatokea na Sasa Ni Rais wa Tanzania: Basi Rais Samia naye amtakie Mema Makonda asisikilize maneno ya Maadui zake:Watu waovu hawapendi watu wema wana nongwa wana husuda wana chuki Mungu amlinde Sana Mheshimiwa Makonda nani ajuaye hatima yake baada ya mwaka 2025 na 2030? Ni Mungu pekee ajuaye
Kama ukovizuri ki mawazo je makonda ana kundi lipi!!! La wezi na wavivu anaowapa elimu ya kuwajibika au kundi la wale wanao umia kwa kuwekwa wazi kwa zuluma zao je wewe uko kundi lipi??? Ungependa kuambiwa mapungufu yako?au unachukia kuambiwa mapungufu
Duhhh!!! Duniani Kuna watu wenye chuki , kundi Gani Tena? Kwa hiyo hujaona vile, vilio vyote vya wajane, wazee. Walemavu, kutetewa na Makonda. Kama wewe Bado una mawazo ya aina hiyo, basi wewe siyo binafamu.
@@user-nx4pb3lk5v ki ukweli makonda kama ana kundi basi anakundi zuri sana na taifa linapata rehema za Mungu kupitia kundi la wote wanao kubali uwajibikaji kama wa kundi la makonda Tanzania nao ni wachache.. lakini wengi wanafanya kazi ilimdradi wafike mwisho wa mwezi bila kuhisi maumivu ya wanyonge wa nao uhitaji msaada wa huduma zao
❤❤❤
Namimi Niko pia jiani kutoka Drcongo 🇨🇩 nakuja Arusha 🇹🇿
Makonda baba.... Hili ni kama.deni, unazidi kukubalika na kuaminika mpaka naona hata wewe mwenyewe unashangaa❤❤ mungu awe nawe katika uongozi bora haswa kutetea haki❤❤ tunakuombea mema
Na Mimi nakupenda Paul Makonda from🇷🇼🇷🇼
Mungu akulinde kiongoz imira na shupavu
Kazi ya Mku ni nzuri kabisa apewe mauwa yake kabisa 💯💯💯💯💯
Yes apokeee maua yake kabisa🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Utukufu Kwa Mungu wetu
Mungu akubariki Baba Mchungaji. Kutoka mbali Burundi mpaka hapa Tanzania 🙏🙏🇹🇿🇹🇿🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Makonda mungu akubaliki kwa kazi nzuri unayo fanya
Nikumuomba Mungutu kwanza picha ipimwe ikovizuri au . Maana sikuhizi hapana kuaminimtu hovyo hasa haowanchiingine. Mtihani Mungu akulinde makonda
Mungu akulinde Makonda
Safi sana makonda fanya kazi mungu akulinde baba nakuelewa sana ww ndo mabaki ambayo mungu alimjibu eliya amejisazia 50
Makonda hoyeeeeeeeeeseeee
Mauwaaaaaa kwamhe Makonda Mauwaaaaa kwa mhe Rais kwakutuletea mhe Mkonda mungu awasimamieni kazizenu
Huyu makonda kama atajaliwa kuwa na afya njema badae atakuja kuwa kiongozi mkubwa sana siku zijazo
Mungu akubariki sana Mchungaji na akulinde katika safari yako ya kurudi Burundi
kumbe kakayetu kutoka Burundi yuko vizuli tunakuangalia kutoka makamba Burundi
Hata mm nko njian nakuja arusha mungu azid kukurinda katika uongoziako bora africa nzima inagutizama ww kwa mema unaozid gutenda rc makonda mungu azidi kukurinda 🙏🙏
Kama Burundi wamekubali nyie mnao pinga kunani bwana mwana anatenda
Ukiona mtu anapinga anayofanya makonda jua ni wale mafusadi!!!!
Kwa sababu Burundi hawaelewi kitu ndio maana wametuma huyo mtu mjinga
@@mataypanga5262mwenzako anaongoza waumini kwenye kanisa lake, wewe je?
Mjinga ndo ww naona ni miongoni mwa wale wezi na Wala rushwa ndo maana unampinga@@mataypanga5262
Yan mtu ana akili timamu unasema mjinga? Kweli we ni li Tz tabulalasa kabisa
Nimependa sana huu upendo yaan mpaka nimetokwa 😭😭 ya furaha
😂😂😂 pole
Huyo mtumishi anajua kuchora yaan ni hatari. Apewe maua yake.❤❤❤
Mchungaji upo vzr.
Watumishi wa JEHOVAH MUNGU kama Mchungaji huyu wanamkubali Paul CHRISTIAN makonda wanaleta appreciationship zao, lakini kuna mijinga inamponda mara yamuite majina ya ajabu, mara sijui nini, nimeamini mti wenye matunda ndio unapigwa mawe
Ila binafsi Namuombea sana Paul CHRISTIAN Makonda Aishi maisha marefu na MUNGU AMBAYE NI NIKO AMBAYE NIKO AMFANYE Awe Raisi.
Hata Na Mimi Ni muburundi 🇧🇮🇧🇮nipo🇿🇦🇿🇦Ila Kwa makonda hunigeuzi
Makonda Mungu akulinde
Makonda hongera kwa kazi nzuri Mungu akuongoze hivyo hivyo.
From Zambia big up makonda we love you
Muheshimiwa Makonda Ongera Baba
Asante baba mchungaji kwa kuliona hilo makonda shujaa
Makonda kuwa makini sanaa na watu watakuj kajinala bwana kube cyo❤❤❤
Heeeeee Makonda hadi Burundi, jamani acheni Makonda apasue anga
Mhe. Makonda Mungu Aku linde sana
Ubarikiwe mchungaji kwa kuiona kazi ya makonda
Mimwenyewè nakupenda Paul makonda kutoka Tanzania 🇹🇿
Makonda oyeeeeeee❤❤❤
Mungu akubariki sana
Mwanangu mh makonda yatosha tu kusema MBEBA MAONO WA FAMILIA huwa anateuliwa na mungu , hayumbishwi bali anan’gaa zaidi mpaka anga za mataifa bbyangu mungu azidi kukuonekania tumuone mungu hivyovyo kwako kwa utumishi wako unaomtumikia ktk secta hiyo nyeti ya KURUDISHA vilivyoporwa na wasio na huruma , hata waliporwa ndoa zao bb umewaona kwa jicho la huruma ya kimungu iliyopo ndani mwako ,binafsi nakuombea kwa mungu hicho alichokupatia kisipote bali ufikie hata kuwa pastor makonda ulihubiri neno lake na matendo yake makuu ambayo tunayayona pia kupitia kwako yaliyoshindikana bb unayatatua kwa wema na maridhiano hata kufikia mtu kukiri kwa kinywa kwamba alitenda kosa mungu akubariki na familia yako na mwanao mpendwa kigani christian mungu akamkuze ktk hekima na kimo
Mchungaji upo vzr
Makonda mungu akuongoze ufike mbali
Ndugu kutoka Burundi 🇧🇮💚💙💚💙💚💙💙🖤🖤
Nabii hakubaliki kwao watu kutoka Burundi wamempa Makonda heshima kubwa sana, asanteni Burundi.
Kweri kabisa
Makonda haoni haya Kulitaja Jina Kuu la Yesu.
MAKONDA, WEWE NI KIOO NYOTA YAKO INANG,AA SANA HONGERA
from zaire nie pia penda sana kazi zako Makonda zina ujasiri uthubutu mkubwa wengi wanapewa mamlaka halafu wanaanza kuwaogopa kuburuzwa kuwaabudu wale wanaowaongoza Mungu wewe ni mkuumwangalie Makonda mpatie na ulinzi wako
Compatriote de malanga hein ?
Kama mimi uwa Nafatilia kazi zako Na kila upitapo mungu Akutagulie lakin uzifurahie kila kitu unapewa watu wengine zio patina wa mungu zio kila mtu Aafurahishwa na kazi unae wafanyia wananchi wa Arusha
Namuona magufuli jr to be Kwa mbaaaaali,
Tunashukuru watu wa Burundi kwa kuliona hilo, lkn Mh Makonda kuwa makini wasijekukuletea bomu hawatabiliki hao. Wasijekutumia njia dhaifu ya pastor
Mimi naomba mungu amulinde makonda pia rais hamlete mkoa wa mara
😂😂😂 jamani mwacheni mkuu wetu tukae nae Arusha Mungu ibariki Tanzania na wananchii wote
MAKONDO.! MITANO TENA✊
Hadi bulundi kwakweri W ndo makonda wanafki na mafsadi wabane choo utazidi kuishi makonda na utazidi kuitwa makonda mpaka mungu apende heshima yako mkuu
Nikimuona mh, makonda nahisi magu wetu bado yupo haii,,mola akulinde zaidiii brooh wangu
Hongela sana makondo
Sanaaaa
Mimi pia nampenda makonda sana.
Watu wenye roho mbaya wanachukia
Hongera sana
Rais 2030
Makonda tunakuombea sana ulinzi wa Mungu uwe nawe Mungu apigane nao wale wote wanaopigana nawe by Mbeya boy
Makonda high up ♥️
Kweli unafaa mpaka nje ya nchi Yako je unajua unadeni la wanaokuchukia jua ni ujumbe umeletewa kama wewe unajijua kua mwaminifu mpaka kufa teteawanjonge TANZANIA nzima MUNGU AKULINDE maadui ni wengi katika kazi Yako familia maisha Yako
Aya wa tz njooni museme eyi burundi hatujui kiswahili. 😂
Nice
Makonda hakika umebarikiwa Sana pokea maua yako🎉🎉🎉🎉🎉
Burundi wamekubali ila kuna mtu mmoja haoni haya mkuu anafanya wataelewa tu
Burundi hejuru 🇧🇮🇧🇮
Hakika wameupiga mwingi
Viongozi wote wangekuwa kama makonda,nchi hii tungekuwa mbali sana kimaendeleo, RIP JPM
Swahili media inawivu kwanini hawakuripiti makabidhiano yalivyofanyika
Kuwa makini makonda MUNGU akutie nguvu
Allah awatie nguvu tudumishe amani kuabudu kila ana haki ya kuabudu anachokitaka
ukisifia boga Sifia na majani yake samia umlinde kijana wako arusha itaongoza kukupa kura Amin nakwambia mother nikuombe msisitizo kwa wengine waige haki itawale nchi hupendi dhuruma mother bgup
Makonde, he is a very, very good leader, mfano wakuingwa..from 🇨🇦 🍁
Hakika nabii hakubaliki kwao. tujifunze kupenda mema.
Tuoneshe mahojiano yao
Me natamani angekuwa kaka yangu maana anatenda haki sana na ana utu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
kbs nakuunga mkono kuwa na mtu kama Mh.makonda ndani ya familiya ni raha tupu!
Dunia nzima lazima imupende makonda anafa anae Pinga nae atuonyeshe
Viongozi wengine waige wananchi tunahitaji mtu anayeweza kusaidia watu
Ukitenda vema unapata kibali mh MUNGU AWE NA WEWE POPOTE .MUNGU UWABARIKI NA KUWALINDA WATUMISHI WAKO WOTE POPOTE.
Hata mimi nakuunga mko mch
Mungu wa mbinguni akikuinua hata wanadamu wafanye nini watashindwa
Huyuu ndio raisi aje baada ya mama tunataka wachapa kazi
Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni
Lisije kuwa bomu mwee😂
Mimi pia nina maswali moyoni,
Umakini uwepo
Lazima imekaguliwa na usalama
Anajitahidi kiswahiri sana
Anajuwa
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mhe: Makonda unachosema siku zote kuwa ukitenda mema utasifika kwa wema na ukitenda mabaya utasemwa kwa hayohayo. Kauli yako imejidhihirisha kutoka kwa raia wa taifa jingine...HAKIKA UMEBARIKIWA
Rais Samia alinde kilichomo ndani ya Makonda Kama vile Makonda alivyomtabiria Rais Samia kuwa silu moja awe Makamu wa Rais ikaja ikatokea na Sasa Ni Rais wa Tanzania: Basi Rais Samia naye amtakie Mema Makonda asisikilize maneno ya Maadui zake:Watu waovu hawapendi watu wema wana nongwa wana husuda wana chuki
Mungu amlinde Sana Mheshimiwa Makonda nani ajuaye hatima yake baada ya mwaka 2025 na 2030? Ni Mungu pekee ajuaye
SASA WARUNDI WANAMKUBAR MAKONDA WHY SS TUSIMKUBALI
SI munajiendekeza maneno ya Mange kimambi 😂
Makonda ni lahis
Mwamba
Mh.angalia usiletewe virus vya asas sio kila kitu kizuri
Kwa makonda hakuna kibaya kinachoingia
Sina shaka na Makonda lkn wanachukia majizi kwa kaz anayofanya Makonda
Tukotunaona
huna lolote, unataka umaarufu tu.
MAKONDA piga kazi 2030 ni wewe wanaopiga kelele wanaona donge.
Makonda jembe
Imescaniwa hiyo?????????? Mh
Wenye roho mbaya utawajua tu
Huyo ni tapeli kanunuliwa na kundi la Makonda😂
Kama ukovizuri ki mawazo je makonda ana kundi lipi!!! La wezi na wavivu anaowapa elimu ya kuwajibika au kundi la wale wanao umia kwa kuwekwa wazi kwa zuluma zao je wewe uko kundi lipi??? Ungependa kuambiwa mapungufu yako?au unachukia kuambiwa mapungufu
Duhhh!!! Duniani Kuna watu wenye chuki , kundi Gani Tena? Kwa hiyo hujaona vile, vilio vyote vya wajane, wazee. Walemavu, kutetewa na Makonda.
Kama wewe Bado una mawazo ya aina hiyo, basi wewe siyo binafamu.
Kuma ww mnunulie na ww baba yako
@@ezekielmatondane714 utakuwa haukosawa in your health ,basi asante ,,afya nikuwa mzima kimwili,,akili na kijamii kunamahala penye shida pole
@@user-nx4pb3lk5v ki ukweli makonda kama ana kundi basi anakundi zuri sana na taifa linapata rehema za Mungu kupitia kundi la wote wanao kubali uwajibikaji kama wa kundi la makonda Tanzania nao ni wachache.. lakini wengi wanafanya kazi ilimdradi wafike mwisho wa mwezi bila kuhisi maumivu ya wanyonge wa nao uhitaji msaada wa huduma zao
Heeeeee Makonda hadi Burundi, jamani acheni Makonda apasue anga