Asante kipenzi nafatilia sana mafundisho yako kwanza ile tuu ya mkono imeweza badirisha maisha yangu.mana nilikua kero kwa watu sasa nakubarika kira srhemu
Thanks dada kwa haya mafunzo yote nashukuru sana mimi nakufatilia kutoka Uganda lakini swali langu ni ,ukiwa wataka kujisafisha mwili wako like tuseme kuna tabia mbaya kwa familiar ambao inafata watoto na wachukuu wafanya aje
Dada mi nauliza kuogea mkojo na chumvi na kitunguu swaum inasababisha vitu kama dam kutoka ghafla yani kama hedhi lakin siyo rasmi inatoka kama kamba kamba na kukata
NOVENA ni neno linalotokana na neno la kilatin " Novem" maana yake ni " Tisa". Novena ni mfulululizo wa sala kwa siku 9 tu. Ndani ya hizi siku 9 unafunga na kuombea yale unayotaka Mwenyezi Mungu akutendee kwa Imani sio kujaribisha. Ni Sala yenye nguvu sana. Kama ni Mkristo Mkatoliki anaelewa zaidi juu ya Novena.
Asante kipenzi nafatilia sana mafundisho yako kwanza ile tuu ya mkono imeweza badirisha maisha yangu.mana nilikua kero kwa watu sasa nakubarika kira srhemu
Ameen nimefurahi sana
Ikojeiyo ya mkono bibie
Mungu akupe maisha marefuuuuu sana sina cha kulipaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Thanks dada kwa haya mafunzo yote nashukuru sana mimi nakufatilia kutoka Uganda lakini swali langu ni ,ukiwa wataka kujisafisha mwili wako like tuseme kuna tabia mbaya kwa familiar ambao inafata watoto na wachukuu wafanya aje
Aisee nafatilia sana kipindi chako upo vizuri sana dadate wangu kipenzi
Dada Mungu akubariki sana sana
Ninatamani niongeze na wewe kwenye simu unielekeze zaidi
Asante naitaji dawa ya uvimbe kwenye kizazi dada
Nashukuru sana dada Lois umenifundisha nilikua jini na ni mwezi Moja but nimebadilika nashukuru
Mungu akubarik dada
❤❤miminaombadawaya kupunguza unene
Dada Asante sana nakupenda dada yangu, pia wazaz wako wabarikiwe maana wew ni jiniaz
Asante sana mpendwa nakupenda pia zaidi ❣️❣️
Asante mama God bless you
Karibu sana
Mungu akubariki sana mama
Mungu. Akubariki. Sana. Dd.
Sante dada nimeipenda hiyoo
Mungu akubariki sana ddaa uko vizuri sanaa
@@fadhilieshaismail9923 karibu ❣️
Da Lois mungu akupe umri mrefu ili uwezekutufunguwa sisi tuliofugwa
Asante anty napenda mafundisho yako
Mungu akubarik dada nimejifunz mengi sijui nilichelewa wapiii mm😢
Asante sana mpendwa 🙏
No yako please my dada❤@@tabibulois
@@tabutabu8900 +255 622 074085
Asant dad
mungu akubariki kwa kutusaidiya dada
Asante
@@tabibulois mudalasiri ni unga gani iyo
Asant tabibu rois
Mungu akutunze
@@mumtazsalim5455 ameen
Je ukiwa kazini dadangu nielimishe.asante
Nikiwa kazini kuongezwa pesa
Dadayagumiye nagufatiriyasana nikobujumbura nakuwomba unitumiyeniro yako utakuwa umenisayidi yawasapu napedakipidicako asate mugu akumbariki
My mm nataka nimfanyie mmewang hamin et nixaidie dada ang 😅
Asante dada
Swali langu wewe una tumiaga ivyo? Nakama una tumiaga ivyo kwanini hauja pata tajiri mwenye pesa nyingi ili uache kuuza ayo mambo ?
kwani waishi naye ndo umuulize swali kama hiyo?
Duuh wanadamu banaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeogea points saaan😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤upewe maua yako
Wewe kama ujafanikiwa na uwezi kufanya acha maneno ya shombo ulishawai ona wap mganga akajinganga
@FeythKivuyo comme ya miezi saba( 7) leo ndo una kuja kuni replied? Kweli una stress 😩 zakukosa buddle pole mwaya
CINNAMON in English
CANNELLE in French
MDALASINI in Swahili
Asante sana 🙏
My dear thank so much for helping me god bless you 🙏🙏💕💕
@@carolineachieng2968 Asante Sana 🙏
ni amdalasini ya maandazi ao?
@@vevevechou-yu5gk ndiyo
Hiyo ni unga aina gani
Sisi hatujuii kiswahili Mama unga wa mudarasini njonini??
Cinnamon Ipo supermarket
naomba namba yako unisaidie dawa yamadondo yatumbo
@@PendoFrank-z9n
+255 622 074 085
Tunapa wapi mtalazini
Cinnamon powder Iko supermarket au sokoni
Dada mimi mjamzito vp inaweza kufanya kazi kweli
Ndiyo
Na matokeyo ndani ya siku gap au mda wowote tu
Unga nigani hiyo
@@Jecintamaina-qs5oq cinnamon powder
Dada Aste Ile yamkojo umenisaidia mpenz
Asante. Sana. Dada. Kasomo. Hili
Nimeipenda sana hiyo
Nilikuwa nauliza, iyo munarasini mtu anaweza kuipata wapi?
Nenda supermarket au sokoni uliza cinnamon
Mimi nafurahi kukufatilia sababu naona unatujali mwenyezi MUNGU akujalue heri uzidi kutuelimisha🙏
dada naflahi sana mafundisho yako unarikiwe
Asante mama
Mungu akusaidie
Naomba kuriza midarasani nini?
Cinamon
Wise women..
Mungu akubariki dada lois
Asante sana
Asante sana 🙏
Mdalasili ni cinnamon??
Ndiyo mdalasini ni cinnamon
@@BrigitaKawau thanks 👍
Ungawamudarasin niungagan Mimi nikoburundi sijaerew wungawamudarasin
Nenda kwa siyoni fasi wanauzisha ma biungo vya pilao useme unga wa mudalasiini utapata ni efu tano
Cinnamon
Naomb namb yak❤
Mdalasini sifahamu dada ni nini?
Nenda sokoni utajua tu iko yaunga na kuna ya magome
Unapatikana wapi
@@MerryAbednego mwanza na kahama
Aminaaa
Sisi kwendu hakuna chuvi ya mudo,Naweza kutumia yenyote?
Naomba namba yako
Nakupenda bure
❤mudalasini ndo nini mama kiswahili engine
Kwa English ni cinnamon powder
Unapatikan wp
From kenya
Swali yangu hii: ii dawa haiko kwa muda tu?
Atlist video vyako mama nifupi
Hiyo unnga ni gani
Cinnamon
Dada naomba namba zako
@@JanethThomas-f7e
+255 622 074 085
@@tabibulois Asante
Uko wwpi namba
@@EmmanuelPaul-iq2wr +255622074085
Dada nomba jibu hii nguvu ya universal utajuta je uko nayo kwa mwili wako?
Utanipigia
asnte sana
Dunia zima inakutizama umasikini unamanisha kwaeri kila mmoja atapaka
Asate
😂😂😂😂😂 acha uwongoo wewe dada 😂 unatk kutajirishwa na you tube maana unakula MB za watu tu 😂😂😂 ili ujipatie pesa
Kwani umelazimishwa wewe nenda zako
Ukweli bro
Anakudanganyeni munaliwa MB tu😂😂
Naomba no yako
Naomba uitume ile ya kuongea mukojo wa asubuhi kiondoa uchawi na majini mm niko na nayo
@@saidamwavuo9926 utanipigia
mudalasini nzoo nini?
Cinnamon
Asante dada nimekuelewa vilivyo
Dada mi nauliza kuogea mkojo na chumvi na kitunguu swaum inasababisha vitu kama dam kutoka ghafla yani kama hedhi lakin siyo rasmi inatoka kama kamba kamba na kukata
Hapana, Pima fibroids
Mdarasini ndjo unga gani? dada kwa swahihi ya Kwetu congo
CINNAMON in english
CANNELLE in French
MDALASINI in Swahili
Asante
Sasa sisi tunaofanya kazi za ndani je tunawezaje kutumia jamani
😂😂😂😂
Dawa ya kubeti
❤❤❤
Mudarasini Nini kwa kiswahili ya kinieji
Asate kwawazu Hilo
Asante sana
Watu wenye ukwasu...nimelipenda Hilo neno
Ni UKWASI(utajiri)
UKATA ni (umasikini)
Hello tabi , napenda sana kukufatilia. Nahitaji kufanya remedy yako lkn mimi ni muislam. Sasa hii sheria ya siri kuvu za kiza haitaniathiri?
Haichagui dini na haiharibu dini ya mtu
@@Jamila96_juma tayari nishafanya na nmeona miujiza tayari
Mdalasili ni nini mama
Cinnamon
mdarasini wa aina gani dada
Nip namba Yako dada
+255 622 074 085
Nashukuru saaanaa
Unga wa mtarasini ni gani dada
Novela ndio dua gani dadang maana mm siijui na nko na shda sana
NOVENA ni neno linalotokana na neno la kilatin " Novem" maana yake ni " Tisa". Novena ni mfulululizo wa sala kwa siku 9 tu. Ndani ya hizi siku 9 unafunga na kuombea yale unayotaka Mwenyezi Mungu akutendee kwa Imani sio kujaribisha. Ni Sala yenye nguvu sana. Kama ni Mkristo Mkatoliki anaelewa zaidi juu ya Novena.
Asa Mimi sidjui mdarasini ni unga gani please nioneshe
Google " Cinnamon in English
Mudarasini nikitugani
Amina kwakwel
Nanikitumia kuogea mkojo
Mdarazini ni nini kwa kingeleza
@@DorcasKangai-im4xb cinnamon
Cinnamon😅
Nataka biashara yangu iwe na mvuto wateja walale kila siku
Barikiwa sana mpendwa
Shukurani dada yangu
What is mdalasini in English
Cinnamon powder
Cinnamon powder
Mimi natumia mafuta ya mgando
Sa.mtufasiriye.mdalasini
Ninini.hatujajuwa
Na mimi pia naamini katika nguvu za siri.
Unaweza kutumia km uneenda kwenye shughuli zako
Hizo dawa za tezi dume ni sh ngapi nijibu
150 k, hatua ya kwanza, piga kwa maelekezo zaidi
Unaishi wp
Mdarasini ni nini kwa kingereza
@@BenardKoech-f3l cinnamon
Mambos