Hakuna jambo lenye wenyewe katika uislamu bali kila jambo katika uislamu linatoka kwa Allah Kisha tunafundisha namna ya kulitekeleza na Mtume صلى الله عليه وسلم toeni ushahidi wa Qur'an inayowasapoti kujuzisha hayo maulid
Tatizo la mawahabi hupenda kuwahukumu watu kwa kuwatelia maneno mdomoni mwau.Huwanganganiza watu mambo ambayo hawanayo eti kwasababu tu wameona kwenye kitabu
Machallaah ❤
Acha bid'aah mzee
Wahabi na ufahamu wake mfupi hana uwezo wakufundisha ni bidaa na nini suna
Watu wa maulid bimaana sio jambo ladin nilawatu
Hakuna jambo lenye wenyewe katika uislamu bali kila jambo katika uislamu linatoka kwa Allah Kisha tunafundisha namna ya kulitekeleza na Mtume صلى الله عليه وسلم toeni ushahidi wa Qur'an inayowasapoti kujuzisha hayo maulid
Tatizo la mawahabi hupenda kuwahukumu watu kwa kuwatelia maneno mdomoni mwau.Huwanganganiza watu mambo ambayo hawanayo eti kwasababu tu wameona kwenye kitabu
Kwaiy mtume akisifia watu wacheze em tuzindukeni huu ni uzush hakuna hata kala rasul tuache mn shekh kila asema tu yy hajui hata kutetea ayo maulid
Huwezi kuwakuta ar-Raafidhah anafata Sunnah wapi aya kwenye Quraan au hadith sahihi tutawasali kwa maiti?😢
Wewe ni jahili tu wakiwahabi. Nikikuuliza tu maana yakutawasali hujui
@@abiabi9353 Jibu Swali wachakujifanya mjuaji