Leo niwape historia fupi ya hiyo video ya Alikufa kwa ngoma. Nikiwa video producer miaka ya 2000 nilikwenda Tanzania na kukuta huu wimbo ukiwa umeshapotea kwenye radio stations yaani ulisha achwa kuchezwa (expired) lakini kutokana na mimi kuupenda wimbo huo, nikamtafuta Mwana Fa ambaye kwa sasa naibu waziri sanaa, utamadui na michezo. Nilipokutana naye nilima idea ya kufanya video ya huo wimbo ambao haukuwahi kufanyiwa video, akasema wimbo wenyewe umeshapitwa na wakati, nikamwambia sasa tukiufanyia video utarudi upya kabisa. Akakubali, shida ikawa ni nani atabeba gharama za hiyo video? Yeye Mwana Fa hakuwa kwenye position ya kulipia production costs, so mimi nikaja na idea kuwa mimi nitalipia gharama zote ili tu nione hiyo video inaruka hewani. Kwa wakati huo gharama ya kufanya video 1 Tanzania ilikuwa inaanzia Tsh laki 3. Nikatengeneza script na baadae tuka shoot hiyo music video katika maeneo mbali mbali hapo Dar es Salaam, ikiwemo makaburi ya Makumbusho, nyuma ya Millenium towers na makaburi ya Upanga karibu na Hellenic club (kituo cha dala dala RED CROSS. Na eneo jingine ni kanisa la Saint Joseph mjini linalotazamana na bandarini zinapo ondokea boti kwenda Zanzibar. Pia nje ya kanisa la Azania front liliopo karibu na New Africa Hotel Dar es Salaam. Baada ya kuitoa hiyo video iliurudisha huo wimbo kupigwa kwenye ma redio na hatimaye kumpatia shows kadhaa Mwana Fa. Baadae mimi na Mwana Fa tukaiuza hiyo video kwa Mamu stores ambao walikuwa wasambazaji wakubwa wa Bongo fleva kipindi kile, walikuwa na ofisi pembeni ya Msimbazi police staion, mtaa wa Tandamuti Karioakoo. Cha kusikitisha tuliiuza kwa kiasi kidogo kuliko gharama niliyoingia ku produce ile music video, tukagawana ile pesa 50-50. Tangu wakati huo tumekuwa kama brothers mimi na Hamisi Mwinjuma aka Mwana Fa. Hiyo ndio fupi kuhusu music video ya Alikufa kwa ngoma.
Mm na ule wa dudud baya anafariki ulee kweny video aisee nlikuw naogop san nakumbuk kipind iko tunamalizia kuaalia mzee wa busara alafu chennel 10 unakuja mzk huoo
Nyimbo za kusisimua izo ni shida yaani acha kabisa nyimbo zenye ujumbe mzito lakini saizi ni shida tu ata wanacho iba uwezi kuwaelewa kabisa yaani wale watu wa miaka iyo biga kelele
Hizi ndo nyimbo sasa aisee 2024
Form 1 moja, wat a song mistari imenyooka, old school walijua sana kuandika.
Good broo utafkr imetokajan oy we got
Leo niwape historia fupi ya hiyo video ya Alikufa kwa ngoma.
Nikiwa video producer miaka ya 2000 nilikwenda Tanzania
na kukuta huu wimbo ukiwa umeshapotea kwenye radio stations
yaani ulisha achwa kuchezwa (expired) lakini kutokana na mimi
kuupenda wimbo huo, nikamtafuta Mwana Fa ambaye kwa sasa
naibu waziri sanaa, utamadui na michezo.
Nilipokutana naye nilima idea ya kufanya video ya huo wimbo
ambao haukuwahi kufanyiwa video, akasema wimbo wenyewe
umeshapitwa na wakati, nikamwambia sasa tukiufanyia video
utarudi upya kabisa. Akakubali, shida ikawa ni nani atabeba
gharama za hiyo video? Yeye Mwana Fa hakuwa kwenye
position ya kulipia production costs, so mimi nikaja na idea
kuwa mimi nitalipia gharama zote ili tu nione hiyo video inaruka
hewani. Kwa wakati huo gharama ya kufanya video 1 Tanzania
ilikuwa inaanzia Tsh laki 3.
Nikatengeneza script na baadae tuka shoot hiyo music video
katika maeneo mbali mbali hapo Dar es Salaam, ikiwemo
makaburi ya Makumbusho, nyuma ya Millenium towers na makaburi
ya Upanga karibu na Hellenic club (kituo cha dala dala RED CROSS.
Na eneo jingine ni kanisa la Saint Joseph mjini linalotazamana na
bandarini zinapo ondokea boti kwenda Zanzibar. Pia nje ya kanisa
la Azania front liliopo karibu na New Africa Hotel Dar es Salaam.
Baada ya kuitoa hiyo video iliurudisha huo wimbo kupigwa kwenye
ma redio na hatimaye kumpatia shows kadhaa Mwana Fa. Baadae
mimi na Mwana Fa tukaiuza hiyo video kwa Mamu stores ambao
walikuwa wasambazaji wakubwa wa Bongo fleva kipindi kile,
walikuwa na ofisi pembeni ya Msimbazi police staion, mtaa wa
Tandamuti Karioakoo. Cha kusikitisha tuliiuza kwa kiasi kidogo
kuliko gharama niliyoingia ku produce ile music video, tukagawana
ile pesa 50-50. Tangu wakati huo tumekuwa kama brothers mimi
na Hamisi Mwinjuma aka Mwana Fa. Hiyo ndio fupi kuhusu music
video ya Alikufa kwa ngoma.
Hongeren sana,
Unaweza kutuambia kwa mamu store walinunua bei gan ili tujue kama ilikulipa boss?
@@Misifa Waliinunua kwa Tsh laki 3 tu, huku gharama za ku shoot zilini gharimu Tsh laki 4 za Tanzania.
Hii video n mwaka gana hap sio 2004 hii?
@@mohammedmhina3973 2002-03
SASA wewe nani amekuuliza🤣🤣🤣🤣🤣let us enjoy this tbt in peace myguy🤣🤣🤣
Nyimbo za zamani zilikua na dakika nyingi utafikiri masong ya kihindi
Hii Nyimbo Namaliza Kidato cha Nne 2003,,Tuliokua Depo moja Gonga like hapa 🔥🔥
Huu wimbo nlikua nauogopa saa aa😹😹😹anyways 2020 still here
Kabisa
Nlkuaa siangalii at kdg
🤣🤣🤣🤣🤣
Ha hahahah ulikuwa ushazipiga nyama nyingi halafu kavukavu hofu apo lazma ikuhusu na kupima hutaki kila siku ntaenda kesho.ntaenda kesho 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Mm na ule wa dudud baya anafariki ulee kweny video aisee nlikuw naogop san nakumbuk kipind iko tunamalizia kuaalia mzee wa busara alafu chennel 10 unakuja mzk huoo
2023 and as long as i Breath A be Jamming to this Tune!Bless Up
Nakukubali naibu ulikuwa mkali
Hatali sana hii ngomaa 2023
2020 piga like Apa
2000s songs still hit in my ears❤
When bongo music was real. Those days
this song made me travel to tanzania via isebania border..we need these rappers..
Huu ndo ulkua mzk achana na mizk ya Leo kaz kukata mauno
😂
Big up FA 2022 still nyimbo nzuri
Mfuasi wa maadili 'alikufa kwa ngoma'
Mbunge wangu wa muheza Hamis mwinyuma
Hip hop bongo imeanzia kino enzi izo
Kama tuko sawa 2020,hii ni ngoma ya karne
From Kenya wit love
Asante sana kuwa nasi leo Clubhouse 🙏🏾
Na huyu jamaa aliye act kama marehemu alikuja kuja kufa miezi kadhaa baadae kwa ajali ya gari namjua alikuwa sonara maeneo ya Komakoma mwananyamala
😢😢😢😢 alijitabiri mwenyewe sio
Yes ni kweli alikuwa anaitwa TUTU miaka hiyo Mimi nilikuwa nimepanga geto kwao.
That was the music that rocked the 2000s amazing it died out quickly
Yaaaan
20_6_2020 naangalia hii ngoma ya kusikitisha enzi zile
Nyimbo za kusisimua izo ni shida yaani acha kabisa nyimbo zenye ujumbe mzito lakini saizi ni shida tu ata wanacho iba uwezi kuwaelewa kabisa yaani wale watu wa miaka iyo biga kelele
Legend fwa huu ni wimbo wa kwanza kuskia wa fwa
2024 still here 🔥🔥🔥🔥✅️
Trending in my mind until now 😍😍😍😍
Alikuwa Bado Young
Nliogopa sana hii ngoma enzi izo
Lile tangazo la usione soo sema nae halijakuogopesha
Beautiful song
Ukweli na uongo uko tofauti
Nyimbo nzuri sana
Kitambo sana😂😂
2022 we here 22 age now duuh
Ukimwi kwa wembamba na wacheza Sumo 😅😅😅
Ukisikiliza huu wimbo ni kama unafanya meditation yaani
2022 still listening to this song
5/11/2018 tupia comments yako tujuane
😀😀atali sana
Hakufunga kufuli 2023
Dada yangu il faut sikikumuja mimi n'a wewe kuhusu faraja
😅😅😅😅😅lakin alikufa kwa ngoma
Hay ndiyo magoma bhna
Alikufa Kwa ngoma
16/3/2023 nipe like
Happening now wazee wanakufa Kwa Ngoma
17.02.2023 bado nipo na binamu wangu mwana f.a xaiv uhamasishaji umepoa xana walati bado hili gonjwa lipo na linasumbua xana
2003 kitambo hicho
Mbunge wetu now
Still 2023🎉
FALSAFA Mtunzi bora wa nyimbo wa wakati wote.
Kabisa
Hit ya kitambo ambayo bado inahit
2024🙌
2023 likes zenu hapa
2023 rise up u are hand
hatari Sana hiibngoma
2021
Yanikumbusha enzi zile 2005.
Mfalme,,,,,,pamoja sana.
2003
Mwana efey n'a nana yetu ledi gey déy
Back to when bongo music was real not this crap by the likes of diamond.
Nangalia 27/2/2020
Mean Fa mpango mzima
Bongo gold
2022 like here
15/08/2024😢😢😢😢
2023❤
2024🎉🎉
2021 bado nipo hapa
Naikubali.hii,ngoma
Nakubal fa
Waswali pengo
Pasteur
Bado ujumbe uja chuja #2023.
10/08/2018
14/10/2017 am watching
Tar 10_05_2019
Hey mo
KABISA
Kitambosana
Mwana FA
Tuka pale ajapata ukimwi
2022👏🏾👏🏾
2014
2022💫💫
Good 3/10/2022
27 may 2021 i was here
frid 4 20121
2021
20/august/2021
Tajiri mtata kama Sallah
23.06.2021.
10/8/2019
2003
Milele.tamu
9/2021
2021 /11/18
2020
6/7/19
2021
2021
2021
2023 and the song is still on 🔥
29 ,5 ,2023 ngoma bado naitazama