Rais William Ruto akosoa kuhafifishwa kwa demokrasia katika mataifa mbalimbali ya bara la afrika
Вставка
- Опубліковано 20 тра 2024
- Rais William Ruto amekosoa kuhafifishwa kwa Demokrasia katika mataifa mbalimbali ya bara la afrika. Akizungumza katika taasisi ya Jimmy Carter Mjini Atlanta Marekani, Ruto ameyataka mataifa yaliyostawi kusaidia kuimarisha demokrasia katika mataifa yanayokuwa ili kuwezesha maendeleo endelevu. Ruto anaanza rasmi ziara yake Jumatano atakapokutana na mwenyeji wake rais Joe Biden. Steve Shitera anaarifu zaidi.
Maneno bila kazi
Demokrasia gani hio ndo anaongelea?
Fisadi ni serikali, na ndio wafujaji tena wezi wakubwa
President William is very intelligent
Andika Rais
Which democracy and who does it benefit
Dini na siasa, havitangamani... Huyu si Mkristo utu? Mbona sasa anaongelea uongo apo😅😅
Ahadi nyingi matendo ziro