Kupitia Maombi ya Mt Lita wa kasha Kila kilichoshindakana Kwangu na maradhi yatokanayo na roho mbaya za wanadam yatapata suruhisho nafunga na kuomba nikiwa na Imani ya kuishindabvita hii katika jina la Yesu kristo Amina ❤🙏
We Mt .Lita wa kashia ww ni mtatifu wa mambo yaliyoshindikana naomba Sasa yakawezekana kwangu kwa kunifugua vifungo vyote vilivyofungwa ktika maisha yangu na manangu Mohamed umba nadhani yake roho mpya akubali kwennda kusoma kuliko kuuza nyama naamini inawezekana kwako.
Ee mtakatifu rita muombezi wawenye shidq ilioshindikana kibinadam nakuomba Uniombee kwa yesu nimalize madeni yote na wanangu wafaulu miitihani yao yote kwakupitia maombezi yako ee rita nisaidie.
Ninaamini kupitia maombi ya mama wa keshia ninaomba roho ya madeni iniishe roho ya kukataliwana wanaume initoke naomba mwanangu apate kazi wa kiume naomba mwanangu wa kike aweze kufauru shuleni naomba nipate pesa za kulipa ada ya shule ya mtoto wangu na nipate hela ya kodi kwa urahisi Mungu nisaidie
Kipitia maombi haya napokea uponyaji, nalipwa mafeni, mtoto wangu,Gian na waridi wanafaulu mitihani yao,nakopokea kibali, hakima ,maarifa, Mume wangu analipa madeni, anapata na mtaji wake
Ninaomba mwanangu Getruda emile laurenti kupitia maombi ya mtakatifu Rita anapoenda kufanya mtihani wake wa kidato Cha Sita wiki ijayo namwombea ufaulu mwema kupitia mtakatifu Rita akawe jibu ktk mitihani yake
Nina imani kuwa kupitia novena hii naenda kuanza mwanzo mpya ❤ na Baraka zote zi juu yangu, amani na upendo juu ya familia yangu pia❤ Amina
Ahsantee kwa Novena hii nzuri 🙏🙏Aminaa
🙏🏾🙏🏾
@@lucidtv95kwani hii naile nyingine kunatofauti gani
Mtakatifu rita naomba unifungulie milango ya baraka .nipate pesa leo niweze kulea wazazi yatima ba wajane amina
Mt Rita niangazie nuru ya maisha yangu naona giza mbelw yangu. Naomba hagazia mahiraji ya moyo wangu.
Amina🙏🏾🙏🏾
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Kupitia Maombi ya Mt Lita wa kasha Kila kilichoshindakana Kwangu na maradhi yatokanayo na roho mbaya za wanadam yatapata suruhisho nafunga na kuomba nikiwa na Imani ya kuishindabvita hii katika jina la Yesu kristo Amina ❤🙏
Amina saana hakika Lita ni mt mambo yalioshindika
Nina imani mtu Rita wa kashia ataenda kunitendea miugiza .... maombi yangu yatajibiwa... Amen 🙏🙏🙏🧎🧎🧎🧎🧎🧎
Kupitia novena ya mt.Rita washikia wa wamambo yalioshindikana,Naomba yawezekane yale yote ninayokuomba kils siku ameen.
Amina🙏🏾🙏🏾
Mtakatifu Rita ninaamini kwa kuwa kwako Kuna ushindi katika mahitaji ya ndoa yangu e basi nimeaamini kwako 🙏
Amen ❤❤❤❤❤❤❤
Amina
Mt rita Naomba nifungue vifungo vyote niokoe kweny matatizo yote Okoa NDOA YANGU nipe ulinzi katika Maisha yangu na familia yangu
Mtakatifu Rita naomba unitimizie maombi yangu
We Mt .Lita wa kashia ww ni mtatifu wa mambo yaliyoshindikana naomba Sasa yakawezekana kwangu kwa kunifugua vifungo vyote vilivyofungwa ktika maisha yangu na manangu Mohamed umba nadhani yake roho mpya akubali kwennda kusoma kuliko kuuza nyama naamini inawezekana kwako.
Nauliza, hitaji kwa siku zote tatu liwe hilohilo moja au unaweza kusema kila siku hitaji lake?
Kwa mt Rita naomba unifungulie vifungo vyote vinavyo ginza katika famlia yangu
Mtakatifu rita wa kashia naomba uniponye sikio langu kuanzia sasa mm shada amina
Naamin ntajifungua salama kwa maombezi ya MT RITA wa KASHIA mtoto mwenye afya na mim nitabaki na afya yangu BWANA Tuhurumie kwa Novena hii 🙏🙏
Amina sana🙏🏾🙏🏾 Mungu akujalie hitaji la moyo wako.
Mt Rita uwaombee pia uniombee na mm ili Mungu ajibu maombi yangu amina
Mtakatifu Rita naumwa sana nipatie afya tena nizidi kueneza injili
Naimani kabisa naenda kuwa mshindi kwa maombi ya mama Mtakatifu Ritha wa Kashia
Amina🙏🏾🙏🏾
Rita wa kashia ana nguvu nyingi sana mm Kwa Imani namwamini sana
Ee mtakatifu rita muombezi wawenye shidq ilioshindikana kibinadam nakuomba Uniombee kwa yesu nimalize madeni yote na wanangu wafaulu miitihani yao yote kwakupitia maombezi yako ee rita nisaidie.
Amina🙏🏾🙏🏾
Hii novena inanguvu sana
Mno🙏🏾
Kupitia maombez haya.kila kinaenda kubadilika katika maisha yangu
Amina🙏🏾🙏🏾
Na Imani ntampata kazi ninayoitaka Kwa Rita kashia
Amina🙏🏾🙏🏾
Utuombee mama
Ewe mt Rita wa kalsha unipnye na.maumivu ya mishipa na utiwa mgongo amina
Ninaamini kupitia maombi ya mama wa keshia ninaomba roho ya madeni iniishe roho ya kukataliwana wanaume initoke naomba mwanangu apate kazi wa kiume naomba mwanangu wa kike aweze kufauru shuleni naomba nipate pesa za kulipa ada ya shule ya mtoto wangu na nipate hela ya kodi kwa urahisi Mungu nisaidie
Mungu ni mwema sana, na akutimizie maombi yako yote kwa maombezi ya mtumishi wake Mt. Rita wa Kashia. Amina. 🙏🏾
Thanks for this novena of st. Rita, I hope all my problems will be solved and I will be freed from them completely
Asante mama
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kipitia maombi haya napokea uponyaji, nalipwa mafeni, mtoto wangu,Gian na waridi wanafaulu mitihani yao,nakopokea kibali, hakima ,maarifa, Mume wangu analipa madeni, anapata na mtaji wake
Kwaombez ya mtakatifu Rita naomba ubariki familia yangu ,biashara angu ikapate kibali mbele zakoo nawaombe wagonjwa wote waliokata tamaa naamin utatendaaa
mtakatifu Rita naomba mlinde witness kwa mabaya yote mpe kibari Cha uongozi Bora naamini unatenda amina
Imelda
Mtakatifu rita naomba uwatunze watoto wangu uwalinde watoto wangu gladnes gliry na osmunda
Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu
Amina🙏🏾🙏🏾
Mt Rita wa kashia wape upendo wazazi wangu katika familia yao
Ninaomba mwanangu Getruda emile laurenti kupitia maombi ya mtakatifu Rita anapoenda kufanya mtihani wake wa kidato Cha Sita wiki ijayo namwombea ufaulu mwema kupitia mtakatifu Rita akawe jibu ktk mitihani yake
Naomba mtoto wangu Gian afaulu mitihani yake yote apate A
Mt. Rita wa Kashia utuombee
Amina
Eee mt Rita kashia nisaidie kuniombea magumu niliyo nayo pia niwe muombaji mwema.
Mtakatifu Rita uniobee nipone,
Mt Lita utuombee daima
Mt Rita nakuomba uwalinde watoto wangu ulinzi na kunyanyua uchumi wao.
Mt Rita utumbee
Kupitia maombi ya Mt Rita wa kaishiwa naomba nipate mchumba mwema mwenyew kumjua mungu
Mtakatifu Lita namkabidhi mwanangu consolatha mikononi mwako kuazia sasa
Ee mtakatifu Rita wa kashia naomba unisaidie nimpate mume sahisahi
Mambo
Naomba mtu anipe maelekezo jinsi ya kusali hii sala kwa siku tatu kuanzia saa ngapi mpk saa ngapi
😢
Maombezi ya mtakatifu rita naomba umkomboe mwanangu glad umpe mchumba mwema muondolee watu wabaya amini
Naomba mwanangu Yuda aache pombe, amended kazi yake
Wapendwa samahn hii sala inaendana na mfungo " kwaajil ya maombi? Na je kama mtu ananyonyesha inakuaje
Nikweli inaendana na mfungo? Mbona hawajibu tunaomba majibu wapendwa
Naimani ntafanikiwa kupitia maombi ya mtakatifu ritha wakashia
Amina🙏🏾🙏🏾
Whatsapp number ni ipi?
Mambo
Amina
Ewe mt Rita wa kalsha unipnye na.maumivu ya mishipa na utiwa mgongo amina
Amina