Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Vuai Khamis ZnzWasaf Nakupeni maua yenu . Uchambuzi umeshiba. Nassir Khalfani hongera
huyu Nasir Khalfan kanyooka sanaaaa
Nasir hongera sana...umenyooka
Nassir nakuami sana. Maneno yako yamenyooka sawa sawa
Nasri you become top top mchambuzi kweli
Kibu kibu kibu 😅 jamani tumpe kibu maua yake🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
Hahahaha nacheka mie yupo kwa mganga huyo anapata ujuz kwa mganga iokes😂😂😂😂
Watangazaji mbona mnaongelea issue ya kibu mkandaji tu.B.Pakome Wa Yanga mbona mmekaa kimiya
Kwani wewe unawafundisha cha kuongea?
Pacome hakuripoti kambini? 😂😂 Au hakuna mchezaji aliewahi kuondoka kwenda kwao
Simba wapo busy na magoma tu kibu aah
Nisomeki kamaa ElikiKibu kaisakimbia kambi
Kibu hajapewa pesa za usajili
Kwan kibu pindi ameanzisha zogo walimpatia malupulupu yake yawezekana mchezaji haitaji kuendelea na timu ndomaana anayafanya haya
HAYO YA KIBU SIJAIONA HIYO STYLE HAPA EUROPA. KAMA ANA CONTRACT NI KOSA KUBWA. ANA ANGUSHA MAENDEELEO YAKE BINAFSI.
Huyo kibu kama hatak nayeye aondoke t
Kibu ni yang kitenge
Msije mkajisahaulisha Kuna Lile bango litawekwa pale msimbazi....
SWALI LANGU KWENU STUDIO HAPO:Kipindi hiki cha Michezo kinaanza saa ngapi,, Najua ni saa 8:30Am Kwan nn kipindi hiki kinachelewa kuanza nje ya muda ambao umepangwa, hamuoni kwamba mnatunyima fursa ya kujua vitu vingi kwa kuchelewa kuanza kipindi.
KIBU D UKO WAP
Hapo ndio mtaacha kutukana mamba kabla ya kuvuka mto. Simba walimsajiri Kibu haraka haraka kwa presha za kusikia kwamba anatakiwa Yanga
Vipi kama na mzigo wa msim ulio pita hajalipwa atakuwaje na Imani na mzigo wa sasa kama atalipwa wote? Akilipwa nusu nusu atalipwa kweli?
ii ya kibu kitaalam inaitwa demand ya kibu imezidi supply😂
Kibu anaihenyesha Simba coz kashawaonesha yeye i zaid yao
Huyu Anwar hajui mpira
Kibu yupo kwa mganga anafukizwa
Kibu upo wapi sajil ngumu imepotelea wapi?
Wakati utopolo wa mo dewji wako bega kwa bega na mzee magoma, Sie tuko na kibu hadi alipwe hela yake...inaitwa karma😅😅😅😅
😂😂🎉🎉🎉🎉
Amefunga goli moja msimu mzm na matatizo ndio hayo je angefunga goli 10 nahisi wakina mangungu wangepigwa makofi
Clabu inamadeni nyingi kwa mchezaji mnaye muhongelea
Vuai Khamis Znz
Wasaf Nakupeni maua yenu . Uchambuzi umeshiba. Nassir Khalfani hongera
huyu Nasir Khalfan kanyooka sanaaaa
Nasir hongera sana...umenyooka
Nassir nakuami sana. Maneno yako yamenyooka sawa sawa
Nasri you become top top mchambuzi kweli
Kibu kibu kibu 😅 jamani tumpe kibu maua yake🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂
Hahahaha nacheka mie yupo kwa mganga huyo anapata ujuz kwa mganga iokes😂😂😂😂
Watangazaji mbona mnaongelea issue ya kibu mkandaji tu.
B.Pakome Wa Yanga mbona mmekaa kimiya
Kwani wewe unawafundisha cha kuongea?
Pacome hakuripoti kambini? 😂😂 Au hakuna mchezaji aliewahi kuondoka kwenda kwao
Simba wapo busy na magoma tu kibu aah
Nisomeki kamaa ElikiKibu kaisakimbia kambi
Kibu hajapewa pesa za usajili
Kwan kibu pindi ameanzisha zogo walimpatia malupulupu yake yawezekana mchezaji haitaji kuendelea na timu ndomaana anayafanya haya
HAYO YA KIBU SIJAIONA HIYO STYLE HAPA EUROPA. KAMA ANA CONTRACT NI KOSA KUBWA. ANA ANGUSHA MAENDEELEO YAKE BINAFSI.
Huyo kibu kama hatak nayeye aondoke t
Kibu ni yang kitenge
Msije mkajisahaulisha Kuna Lile bango litawekwa pale msimbazi....
SWALI LANGU KWENU STUDIO HAPO:
Kipindi hiki cha Michezo kinaanza saa ngapi,, Najua ni saa 8:30Am Kwan nn kipindi hiki kinachelewa kuanza nje ya muda ambao umepangwa, hamuoni kwamba mnatunyima fursa ya kujua vitu vingi kwa kuchelewa kuanza kipindi.
KIBU D UKO WAP
Hapo ndio mtaacha kutukana mamba kabla ya kuvuka mto.
Simba walimsajiri Kibu haraka haraka kwa presha za kusikia kwamba anatakiwa Yanga
Vipi kama na mzigo wa msim ulio pita hajalipwa atakuwaje na Imani na mzigo wa sasa kama atalipwa wote? Akilipwa nusu nusu atalipwa kweli?
ii ya kibu kitaalam inaitwa demand ya kibu imezidi supply😂
Kibu anaihenyesha Simba coz kashawaonesha yeye i zaid yao
Huyu Anwar hajui mpira
Kibu yupo kwa mganga anafukizwa
Kibu upo wapi sajil ngumu imepotelea wapi?
Wakati utopolo wa mo dewji wako bega kwa bega na mzee magoma, Sie tuko na kibu hadi alipwe hela yake...inaitwa karma😅😅😅😅
😂😂🎉🎉🎉🎉
Amefunga goli moja msimu mzm na matatizo ndio hayo je angefunga goli 10 nahisi wakina mangungu wangepigwa makofi
Clabu inamadeni nyingi kwa mchezaji mnaye muhongelea