PADRE ACHINJWA KIKATILI MBEYA, MWILI NA KICHWA VYATENGENISHWA!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 52

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 5 місяців тому

    Mmmh ila mim sii msemaj Mungu kapigane na waliofanya huo unyama kama huo. Amina

  • @rosemaryjohn6516
    @rosemaryjohn6516 2 роки тому +1

    Jaman Dunia imeisha ubinadam aupo mungu tukumbuke 😭😭😭

  • @lizp6826
    @lizp6826 2 роки тому +1

    Kamanda anaonekana yuko smart Sana mfata Sheria...Safi sana Mungu ambariki na pole Kwa wafiwa

  • @angolina1768
    @angolina1768 2 роки тому +1

    Mmh hata kama umezoea kuua ndo ukaue hadi Padre uwiii hujihulumii maandiko yanasema ukiua kwa upange utakufa kwa upanga maandiko hayajawah kubadirika .Raha ya Milele umpe Ee bwana na Mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa aman Amina

  • @gracejonh4022
    @gracejonh4022 2 роки тому

    Jamani jamani 😭😭😭😭😭

  • @mgonjafredy9529
    @mgonjafredy9529 2 роки тому

    Mungu turehem Hadi watumishi wanauwawa jmn

  • @NeemaGabriel-d8e
    @NeemaGabriel-d8e 4 місяці тому

    Ee mungu

  • @jecoog6086
    @jecoog6086 2 роки тому +3

    Dah inauma sana 😢

  • @dainesgebu7944
    @dainesgebu7944 2 роки тому +4

    Jmn hii nchii tunakwenda wapi eee mungu wangu😭😭😭

    • @mamialsawafi8020
      @mamialsawafi8020 2 роки тому

      Kuna sababu zake ila watu hawajui

    • @cyprianonesmo1832
      @cyprianonesmo1832 2 роки тому

      @@mamialsawafi8020 Mami unaweza kutujulisha tujue kama wewe unajua

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 роки тому +3

    Mmmh pole yake aisee R.I.P padre

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 2 роки тому

    Jamani Mungu tuhurumie kwakweri

  • @sebastianungimba4676
    @sebastianungimba4676 2 роки тому +5

    Uchunguzi Tanzania mara zote hazijawahi kuzaa matokeo chanya,

  • @remigiusyustinian2060
    @remigiusyustinian2060 2 роки тому

    Daaaa!! Hatari sana

  • @praygodmtui1407
    @praygodmtui1407 2 роки тому +3

    Waziri wa mambo ya ndani jiuzulu mauaji yamekua mengi

  • @longoempire1246
    @longoempire1246 2 роки тому +3

    My country is too wase now😭

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 2 роки тому +3

    Mapadre wengi huhusishwa na vitendo vya ngono. Ndo chanzo cha mauji ya walio wengi

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 2 роки тому

      Kweli pengine alihisiwa kuwa na mahisiano na mtu wa mtu

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 роки тому

    😭😭😭😭😭😭Mungu zitakase nafsi zetu yaarab unyama gani huu jamani hivi unakuwa namtu wakawaida kwelii unafanya jambo gumu kama hili huyo alifanya unyama huu roho yahuyo ndugu yetu itamsimbua hadi ajutee

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 роки тому

    Eti Tanzania ni nchi ya Amani 😥😥😥😢😢

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 2 роки тому

    😭😭😭😭

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 2 роки тому +1

    Daaa jamani unyama gani huo

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 Рік тому

    Hifi jaman mbon watu wanauwa sana binadam wenzao yan mpk nishindwa kuelewa

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 роки тому +1

    Mtihani sasa kwakweli

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 2 роки тому

    Mmmmmh

  • @salmaamiry7674
    @salmaamiry7674 2 роки тому +1

    Tanzania nchi yngu kuna nini jamn 😭😭😭😭😭

    • @consolatatemu8613
      @consolatatemu8613 2 роки тому

      Jamani kunanini mbona Padre aliye kufaga mwenye teki na uyu wote ni shirika moja police chunguzeni

  • @MariamJames-qn5gx
    @MariamJames-qn5gx 5 місяців тому

    Huyo alikutwa na mke wa mtu ndio maana kauliwa mapadili wengine wanahisababishia tu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 4 місяці тому

    He na mazabahuni tena jamani mungu awakamate waliofanya jicho kitendo ola siku waliokamatwa watajua kuzaliwa

  • @saidiabas8855
    @saidiabas8855 2 роки тому

    Jamani watu wa Tanzania bara mbona mnsuana kikatili kila siku badae mnasema hii nchi ya amani

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 2 роки тому

    Uchunguz wa Tz hauna mashiko

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 2 роки тому

    Dah Mungu aikumbuke nchi hii, so bad mtu anauwawa kama mnyama

  • @sosweke7083
    @sosweke7083 2 роки тому

    Uwaniaji wa Vyeo mara nyingi husababisha vifo Kama hivi kanisani

  • @dankedaudimwangombe5072
    @dankedaudimwangombe5072 2 роки тому

    Kwakweli niatali

  • @technologytech7874
    @technologytech7874 2 роки тому

    Duuuh ni atar kwa kwer nchi hii

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 роки тому +2

    Miye naona ata bendera wabadili rangi waweke nyekundu tu maana kila muda damu za watu zinamwagika vita ya wenyewe kwa wenyewe

  • @dadaagnes4483
    @dadaagnes4483 2 роки тому +1

    Binadam anachinjwa kama mnyama bila huruma dooh!

  • @rosejosephmateru6317
    @rosejosephmateru6317 2 роки тому

    Ata Padre wetu Fransis kangwa alipotea na akakutwa kafariki sasa sijui mapadre wamewakosea nn jmn

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому

    🙄🙄Eeh

  • @Maryam-ij9nr
    @Maryam-ij9nr 2 роки тому

    kwani tanzania inanini jamani

  • @mamialsawafi8020
    @mamialsawafi8020 2 роки тому

    Mauaji yamekuwa mengi mimi nilijuwa nchi zingine inavyosemakana watu wanauliwa wanateswa wanatolewa figo heee kumbe Tz ndio inaongoza kwa mauaji mtihani kwakweli duh

  • @abednego3876
    @abednego3876 2 роки тому

    Walisema jpm na makonda wauwaji

  • @kagwilengaiza2050
    @kagwilengaiza2050 2 роки тому

    Mh

  • @tariqbutt9516
    @tariqbutt9516 2 роки тому

    Mbeya. Meanza balaa ( ushirikina huo)

  • @fredrickmwegole7841
    @fredrickmwegole7841 2 роки тому +1

    Jpm aisee tutakufufua tu

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 2 роки тому

      Wakati wa Jpm hayakuwepo haya?yalikuwepo,Watanzania tuwe na hofu ya Mungu,vinginrvyo tutajimaliza wenyewe,Mungu tuhurumie.

  • @princedenice4115
    @princedenice4115 2 роки тому

    Hata huyu kajiua

    • @estherfuppi9258
      @estherfuppi9258 2 роки тому

      Unasemaje? Au unajua? Kwa kauli yako kajiua, manake kanichinja kutoa KICHWA kisha akaniviringisha kwenye blanket na kujitupa mtoni sio? Kuwa na staha ndugu, hebu fafanua kajiuaje?

    • @filberthabashi2870
      @filberthabashi2870 2 роки тому

      Prince denice uneongea pumba sjui kama we n mzima

    • @talitakongola8639
      @talitakongola8639 2 роки тому

      Mmmmh