Je Sauti ya Tumboni inakuchanganya jifunze kitu hapa,,

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • Jinsi ya kutambua kama unaimba tumboni au la

КОМЕНТАРІ • 56

  • @user-zl2bt1lm4h
    @user-zl2bt1lm4h 8 місяців тому +1

    Wish kusikiza mafunzo haya Kila siku.Mungu akubariki

  • @BONGO_FILAMU
    @BONGO_FILAMU 5 років тому +2

    Leo umetisha kuliko siku zote ...keep it up ...somo limeeleweka

  • @cecybby507
    @cecybby507 3 роки тому

    Nimependa somo lako jmn hadi nataman ungekuwa hapa krb uwe mwalimu wangu jmn👏👏👏

  • @josepherick1570
    @josepherick1570 5 років тому +4

    asante sana kaka unatusaidia sana ubarkiwe

  • @stellahsanga8214
    @stellahsanga8214 4 роки тому +2

    Napenda kuimba san nitakutafuta nikutumie baadhi ya nyimbo ambazo naimba nikiwa chumbn au ninapopat hisia flan ya kuimba napenda san

  • @oldboy3760
    @oldboy3760 5 років тому +4

    nakubali sna brother

  • @harmoniky4000
    @harmoniky4000 4 роки тому +4

    Hili suala limenichanganya sana. Kuna jamaa alisema sauti ya tumboni inawezeshwa kwa kudhibiti misuli ile ambayo unaitumia wakati wa kutoa haja kubwa. Halafu akasema pointi ya msingi ni kufanya tumbo la chini(abdomen) kuwa taiti. Kwa sasa angalau naanza kuelewa. Ingawa kuhusu kutumia nguvu nyingi(constipated) au nguvu kidogo(vegan) inategemeana na mahali ulipo ikiwa ni studio, show ya ukumbini au uwanja wa mpira.

  • @queensharifu3910
    @queensharifu3910 3 роки тому +1

    Nimeipenda san hiii jamn je nikitak kunat n bit nifany vip

  • @melesianageorge2012
    @melesianageorge2012 3 роки тому +1

    Barikiwa,

  • @fanny7565
    @fanny7565 4 роки тому +1

    Nakubali kaka we noma

  • @youngbknzund2242
    @youngbknzund2242 4 роки тому +1

    Noma Sanaa kaka nimependa mafunzo hayaa

  • @hastatz
    @hastatz 4 роки тому +3

    Unapatikana wapi

  • @swammylove62
    @swammylove62 3 роки тому +1

    Napenda kuimba

  • @tizzymusicfranciss2736
    @tizzymusicfranciss2736 Рік тому +1

    Mnapatikana wap viongoz

  • @joycekaniki3519
    @joycekaniki3519 3 роки тому +1

    Nafaidika Mungu akubariki

  • @mycmeranyswai7957
    @mycmeranyswai7957 4 роки тому +1

    Napenda kuimba na dream yang asant najifunza kwako ili kufkia malengo yangu.. vile tuu siko Tanzania ningeomba nipate darasa refu kutko kwako

  • @edinaisaya6229
    @edinaisaya6229 3 роки тому +2

    🥰🥰

  • @helenamsese8339
    @helenamsese8339 4 роки тому +2

    Asante sana, napenda sana kuimba ila sauti yangu inakwaruza sana

  • @travixclay8990
    @travixclay8990 5 років тому +1

    Saw

  • @lukamolell3906
    @lukamolell3906 3 роки тому +1

    Kaka vp mnapatikan wap

  • @georgejohn7283
    @georgejohn7283 5 років тому +2

    Kaka kila nikikusikiliza lazima nipate kitu mungu aku baliki

  • @racheljacob4304
    @racheljacob4304 4 роки тому +2

    Jamani mimi napenda kuimba vizuri lakini sauti yangu nindogo ila sasa nikiimba napata maumivu

  • @mcmbega728
    @mcmbega728 3 роки тому +2

    Bro samahan naomb namb yako

  • @lizerlizz1166
    @lizerlizz1166 3 роки тому +1

    Kaka naomba nisaidie kuimba sauti ya tumboni

  • @sharifuhassan3241
    @sharifuhassan3241 5 років тому +2

    Nkbl San blood mista kiki

  • @lulejohn82
    @lulejohn82 3 роки тому +1

    nimependa maelekezo naeza kupata wapi kimfano

  • @stellaenock3170
    @stellaenock3170 4 роки тому +1

    Napenda sana kuimba naomba unitumie namba ya whtsap

  • @froramsigwa6107
    @froramsigwa6107 4 роки тому +1

    Kaka napenda ukifundisha ungekua songea mm nigekua mwanafunzi wa kwanza

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 5 років тому +2

    Nice

  • @mvungigaming
    @mvungigaming 5 років тому +2

    Naomba contact yako broh. Plz

  • @nathanaelnahson5375
    @nathanaelnahson5375 3 роки тому +1

    Nmekuelewa kaka lkn mi nmetokea kwenye kanisa aic shinyanga kwa sasa npo sngda npo katka kanisa la fpct nateseka kwel kuendana mawimbi ya sauti na kwaya ya huku wanaimba kisasa zaidi sjui unanisaidiaje kuhusu mawimbi ya saut

  • @naomikaaya4798
    @naomikaaya4798 3 роки тому +1

    Naomba niunge WhatsApp no 0620313314