WEWE NAFIKIRI UNASIFA ZA KUPIGA RAMLI UNAUNGANISHA UNGANISHA VIPANDE VYA AYA KAMA WANAVYOUNGANISHA WAPIGA RAMLI KWA KUTUMIA QURAN BACHU KASEMA LETE AYA SIO KUUNGANISHA NENO HUKU NA HUKO LETA ANDIKO KAMA ILIVO BISMILLAHI KATIKA QURAAN NDIO DAI LA BACHU
Jamani shekh Muhammad bacho kaleta ushahidi ktk vitabu vya wanazuoni watatu na ww tuletee hicho unachokisema unakisema kwa ufaham wa mwanazuoni gani ktk wanazuoni waliotangulia ?
Bachu kumbe unachotafuta nikupazwa hayo maneno yote yamo ktk kur an leo hii unayakataa na kuna wimbi la wajnga wanakusapot Alla atusamehe kweli hakuna mkamilif
الحمد لله، والصلاة والسلام على رسول الله، وعلى آله وصحبه، أما بعد: فالاستعاذة ليست آية من القرآن الكريم باتفاق العلماء، قال القرطبي رحمه الله تعالى في تفسيره: ... أجمع العلماء على أن التعوذ ليس من القرآن ولا آية منه، وهو قول القارئ: أعوذ بالله من الشيطان الرجيم..
allah kuinukuu kwa ujumla wake katika qur ani kama ni aya ni kujikinga yeye na sheitwani sisi tumeamrishwa tujikinge na sheitwani kwasababu ni adui kwetu allah hawezi kujikinga na sheitwani sababu ni kiumbe chake qur ani ni maneno ya allah kama angeinukuu kwa ujumla wake ni sawa na kujikinga allah na sheitwani au angeinukuu kama bismillahi kwa barua ya sule imani ingekuwa ni aya bismillahi ni aya sababu allah kainukuu kwa nabii suleimani bismillah imeshuka kwa ukamilifu kutoka lauhil mahfudh mpaka kwa mtume s;a;w hakuna tamko la aya ya audhu kwa ukamilifu kutoka lauhul mahfudh
Hizo ni aya mbili tofauti shekhe, yeye ametaka uainishe aya inayosema audhubillahi minashaitani rajiim moja kwa moja, bado huja jibu swali. Hakuna aya hiyo katika msaafu hilo ndo jibu sahihi hayo mengine ni maelezo tu
BACHU ni mkufurishaji Hana elimu yoyote audhubillahi minasheytan rajym ni maneno yaliyotoka katika kinywa Cha mtume Muhammad ,na mwenye zimungu pia ametamka maneno hayo yametoka kwake na kuchezewa na akina homonize ni kufru ,Sasa BACHU Kwa kukosa elimu anatafuta umaarufu Kwa kupinga mashekhe.
@AbdallaMwagora-sm1rj hoja hujibiwa kwa hoja, aya ilio andikwa audhubillahi minashaitani rajiim mojakwamoja ktk quran hakuna. Maswala ya audhubillahi minashaitani rajiim kutamka mtume au kuepo ktk mafundisho hiyo ni mada nyengine
Kumbe mpaka uchanganye lete aya kamili inayo sema أعوذباالله من الشيطان الرجيم usiunganishe lete kwa ujumla sio uunge unge sio matamshi lete aya sio matamshi kijana unatupotezea muda tafuta kazi ufanye
ndivo ilivo qur,ani Aya zake zinaungana wenyewe Kwa wenyewe bachu hamna kitu hata kwenye Hadith Kuna hukumu inaitwa tadaaruji bachu hayafahamu hayo ndio maana huropokwa tu
@jumafaki2891 umesikiliza vizur lkn NN kaongea huyo sheikh yaani aya ya qur an uchukue neno kwenye aya moja kisha uchukue neno jingine kwenye aya nyingine uyaunge kisha useme ni aya ndan ya qur an ? Jambo hilo hakuna katika uislam
Hakuna Aya inayosema audhubillah mina shaitwan rajiym ,,
WEWE NAFIKIRI UNASIFA ZA KUPIGA RAMLI UNAUNGANISHA UNGANISHA VIPANDE VYA AYA KAMA WANAVYOUNGANISHA WAPIGA RAMLI KWA KUTUMIA QURAN BACHU KASEMA LETE AYA SIO KUUNGANISHA NENO HUKU NA HUKO LETA ANDIKO KAMA ILIVO BISMILLAHI KATIKA QURAAN NDIO DAI LA BACHU
Malemba ukichukua kipande Cha Aya sura tofauti ukaunga ndo unahesabu Aya , iyo ni Aya Yako ,
Muhammad bachu unafanya masihara na kur an unaificha haki unatetea batili muogope Allah kur an unaiknusha leo hii
Wewe hujielewi. Lete Aya Moja kwa Moja أعوذبالله من الشيطان الرجيم. Leteni acheni khiyana.
Bachu Allah akuongoze upo xahihi hayo maneno xio Aya huyu malemba ni msaniiii
Jamani shekh Muhammad bacho kaleta ushahidi ktk vitabu vya wanazuoni watatu na ww tuletee hicho unachokisema unakisema kwa ufaham wa mwanazuoni gani ktk wanazuoni waliotangulia ?
Bachu kumbe unachotafuta nikupazwa hayo maneno yote yamo ktk kur an leo hii unayakataa na kuna wimbi la wajnga wanakusapot Alla atusamehe kweli hakuna mkamilif
Unatakiwa kwqnza uelewe mzozo upo wap we bidada
Bachu ana uchache wa elimu
Umelazimuishwa kuweka Audhubillaminasheytanirajim kabla ya kusema Basmala kulingana na Surah *_A-Nahli_***: Ayah ***_98_*
فَإِذَا قَرَأۡتَ ٱلۡقُرۡءَانَ فَٱسۡتَعِذۡ بِٱللَّهِ مِنَ ٱلشَّيۡطَٰنِ ٱلرَّجِيمِ
*Na ukisoma Qur’ani mwombe Mwenyezi Mungu akulinde na Shetani maluuni.*
Usia shangaae kwani alisema iyo sio ayah akiwa amekataa Basmala sio Aya ambeye imeandikwa ameziona na anapinga.
الحمد لله، والصلاة والسلام على رسول الله، وعلى آله وصحبه، أما بعد:
فالاستعاذة ليست آية من القرآن الكريم باتفاق العلماء، قال القرطبي رحمه الله تعالى في تفسيره: ... أجمع العلماء على أن التعوذ ليس من القرآن ولا آية منه، وهو قول القارئ: أعوذ بالله من الشيطان الرجيم..
Wacha UJINGA WA NDACHA KUUNGA UNAGA MA AYA...HAKUNA AYA SIO MANENO ...UMEAMBIWA AYA INAYO ANZA AUDHU BILLAHI MINASHEITWANI RAJEEN. KONDOO
Acha ubishi ulichoulizwa umekielewa wabambanyq na kukata na kuunga ili upate utakacho, wagonjwa.
Tatizoooo siyo aya hyo Aundubillahi minasheitwaanirrajiim syo aya bhana malemba
Bachu na wapambe wake ni tatizo huyu lemba nimemuelewa sana
Na kila anae msapoti hawana elimu wakasome
allah kuinukuu kwa ujumla wake katika qur ani kama ni aya ni kujikinga yeye na sheitwani sisi tumeamrishwa tujikinge na sheitwani kwasababu ni adui kwetu allah hawezi kujikinga na sheitwani sababu ni kiumbe chake qur ani ni maneno ya allah kama angeinukuu kwa ujumla wake ni sawa na kujikinga allah na sheitwani au angeinukuu kama bismillahi kwa barua ya sule imani ingekuwa ni aya bismillahi ni aya sababu allah kainukuu kwa nabii suleimani bismillah imeshuka kwa ukamilifu kutoka lauhil mahfudh mpaka kwa mtume s;a;w hakuna tamko la aya ya audhu kwa ukamilifu kutoka lauhul mahfudh
Huyu lemba anajua hata kama watamzihaki lakini Yuko sahihi Sana
Bachu anakufuru sana watu wenye kuzuka hao mawahabi baadhi yao hawana adabu kabisa
Hahaha 😅 pimbi atafuta umaarufu.
Ajielewa lkn huyu malemba?😂😂
Jibu su'ala ulioulizwa muhusu shehe wako matusi yalio toka kuwake
Kwa hiyo ukisema Maryam Musa Adam hiyo Ni aya
Kwani kuku si kuku na jogoo si kuku?Wacheni ushabiki hii dini si ya mashindano ya kimaskani
Kumbe mpk uyachanganye ila so aya moja
Bachu mropokaji asiwapotezer muda.
Hizo ni aya mbili tofauti shekhe, yeye ametaka uainishe aya inayosema audhubillahi minashaitani rajiim moja kwa moja, bado huja jibu swali. Hakuna aya hiyo katika msaafu hilo ndo jibu sahihi hayo mengine ni maelezo tu
BACHU ni mkufurishaji Hana elimu yoyote audhubillahi minasheytan rajym ni maneno yaliyotoka katika kinywa Cha mtume Muhammad ,na mwenye zimungu pia ametamka maneno hayo yametoka kwake na kuchezewa na akina homonize ni kufru ,Sasa BACHU Kwa kukosa elimu anatafuta umaarufu Kwa kupinga mashekhe.
@AbdallaMwagora-sm1rj hoja hujibiwa kwa hoja, aya ilio andikwa audhubillahi minashaitani rajiim mojakwamoja ktk quran hakuna. Maswala ya audhubillahi minashaitani rajiim kutamka mtume au kuepo ktk mafundisho hiyo ni mada nyengine
Wewe bado huja leta jibu. Hiyo aya tunasubiri usiungeunge Maneno
Mi nawaambia bachu hekima hana man kila kitu kipo wazi
Usijijtie hamnazo lete hiyo aya audhubillah mina shaytwan rrajim
Kumbe mpaka uchanganye
lete aya kamili inayo sema
أعوذباالله من الشيطان الرجيم
usiunganishe lete kwa ujumla
sio uunge unge sio matamshi
lete aya sio matamshi kijana
unatupotezea muda
tafuta kazi ufanye
Ustadh achana nae bachu uyo cc wazanzibar watu km hawa huwa twawadharau
Tafuta Aya nzima
Kwaahiyo ni aya kwamba imeunganika mbaka mwisho?
Sasa kwa staili Io ya kuunganisha maneno yanayopatikana ndani ya quran tunaweza kuunga aya nyingi sana😂
ndivo ilivo qur,ani Aya zake zinaungana wenyewe Kwa wenyewe bachu hamna kitu hata kwenye Hadith Kuna hukumu inaitwa tadaaruji bachu hayafahamu hayo ndio maana huropokwa tu
@jumafaki2891 umesikiliza vizur lkn NN kaongea huyo sheikh yaani aya ya qur an uchukue neno kwenye aya moja kisha uchukue neno jingine kwenye aya nyingine uyaunge kisha useme ni aya ndan ya qur an ? Jambo hilo hakuna katika uislam
Bachu hana radhi ya mashekhe na akiendelea hivyo ataangamia
Na wewe ni kama huyo Malemba
Bachu alisema Audhu billaahi sio aya wewe ndio unakuwa ndumila kuwili tu
Aya ya welding ya kuunga unga hakuna qur an hiyo
Pimbi
HUNA UJUALO ...MTUPUUUU....DEBE TUPU....ALI KAFIRI....UMEAMBIWA AUDHUU BILLAHI RAJEEM....
TWAREGEA PALEPALE HAKUNA AYA INAYOA ANZA NA AUDHU BILLAHI RAJEEEEM....
Shekhe muogope mungu, acha mihemko bacho kakufuru kisha Wewe unkurupka muogope allahu