MTOTO WA MBOWE “AKISHINDWA ASIHAME CHAMA”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 34

  • @lucasmaganga8861
    @lucasmaganga8861 11 днів тому +1

    Baba Yenu alisema mwenyewe ulimshauri apumzike siasa, imekuwaje tena mmeanza kukana ushauri mliompa baba yenu

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 11 днів тому

    Mungu awatangulie katika yote Mungu asimamie aki

  • @DenisMatemu
    @DenisMatemu 11 днів тому +1

    strong together ❤

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 11 днів тому

    Huyu si mtoto wa Mbowe milard huyu mwandishi a dig deep.

  • @ZawadiSimyota
    @ZawadiSimyota 11 днів тому +2

    Ugali unaenda kumwagika Leo we subiri

  • @geraldleger5793
    @geraldleger5793 11 днів тому

    Baada ya miaka 5 niwenyekiti , ahaa mimeelewa jambo. MAANDALIZI hoyeeeeeee...

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 11 днів тому

    ❤ pambana kijana

  • @SarahNelson-w4i
    @SarahNelson-w4i 11 днів тому

    Hi

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 11 днів тому

    Hongera kijana

  • @lucasmaganga8861
    @lucasmaganga8861 11 днів тому

    Mwandishi uliza maswali ya maana sasa...
    Baba yao walimshauri asigombee, kipi tena kimewafanya wasisimamie ushauri wao

  • @richierobert7182
    @richierobert7182 11 днів тому

    Huyu dogo anaushawishi gani zaidi ya TWAHA MWAIPAYA hadi kuwa mjumbe🤣🤣🤣

  • @boniphacesululu5428
    @boniphacesululu5428 11 днів тому +2

    Vip ccm ikisema haiitaji Rais wa majaribio kwakuwa Samia amekuwepo na ashafanya Kaz utamjibuje....yaan hakika nimeanza kuelewa

  • @mrh2812
    @mrh2812 11 днів тому

    YUPO SAHIHI

  • @JuliusZumba
    @JuliusZumba 11 днів тому

    Mbowe ni imara daima

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 11 днів тому

    Ndiyo kawaida vyama vyote viko hivo huwezi upate uache mwanao. Baba Raisi mtoto Raisi au waziri so nikawaida.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 11 днів тому +3

    Ni wakati wa lisu na heche bas

  • @AndrewKisava
    @AndrewKisava 11 днів тому +1

    Sasa zimegeuza chama cha kichaga na familia ndo maana unasema hivyo lakini kiuhalisia chama hicho kipp kwasababu ya iconic nao ni Tundu lisu,john heche,godbless lema,na wanachama wengine ,hivyo mbona anaonekana kwakupitia wanachama walio jitoa hata wengine kumwaga damu zao hivyo wewe kijana acha ukabila na uchaga na ukanda na chama kimefika hata kinaitwa saccos hivyo kijana

  • @abdulkareem-n7v
    @abdulkareem-n7v 11 днів тому

    Kwa kujiamini huku ni dhahir mbowe ashapiga tyr

  • @a-africastudios225
    @a-africastudios225 11 днів тому

    Nyie familia si ndio mlimshauri baba yenu asigombeee?... mbona ndimi mbili mbili nyie?....
    Wacha Lisu achukue chama...

  • @hassanihamidu8546
    @hassanihamidu8546 11 днів тому +1

    We mtete babako tu ila hikisiochama cha familia mbwa wewe, na tunakwambia kabisa mkifanya masihara tutawaachia chama chenu wachaga.

  • @nashonjoel20
    @nashonjoel20 11 днів тому

    FAMILY BUSINESS SIO!! Not anymore brother

  • @shaban9730
    @shaban9730 11 днів тому +1

    Demokrasia ipi ww..

  • @lucykiwelu4451
    @lucykiwelu4451 11 днів тому

    Sauti ya baba kabisa

  • @josephfrancis9943
    @josephfrancis9943 11 днів тому

    Wwe kuma kweli babaako anauza chama mla rushwa mkubwa uto

  • @Jumamtafya-ie9zp
    @Jumamtafya-ie9zp 11 днів тому

    Chama ni chafamilia Tumekuwa kama

  • @SebastianCharleskayanda
    @SebastianCharleskayanda 11 днів тому

    We mtoto Acha usenge hufai hata kuwa mjumbe kwanza wewe umeiba uchaguzi kule hai kwa yule mama

  • @andrewkitema9838
    @andrewkitema9838 11 днів тому

    Hajui anachokisema. Hapo anahalalisha CCM itawale milele maana vyama vingine havijawahi kutawala na kauli yake haitakiwi kufanya majaribio kwenye uongozi.
    Immature statement

  • @JamesMbembela-x8y
    @JamesMbembela-x8y 11 днів тому

    Huyu analinda ugali wa familia yao

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 11 днів тому

    Piga kelele kwa wikiake

  • @KazunguMaridadi
    @KazunguMaridadi 11 днів тому +1

    Acha kumfagilia baba yako wewe.

  • @boniphacesululu5428
    @boniphacesululu5428 11 днів тому

    Ukifel je

  • @ukweli255
    @ukweli255 11 днів тому +3

    Familia ya Mzee Kibao na Kaka Mawazo wanamchora tu huyu mjusi wa machame