BABY ZUCHU KAZIMIA AMVURUGA BABA WA WATU / KACHANGANYIKIWA// HIVI NI KWELI
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#motownsanya #wasafitv #hivinikweli
asee huyu mtoto kipaji chake cha hali ya juu Mungu ambariki zaid🙌🏼🙏🏽
Bongo vijana wanapenda umbea sana watu wameacha kazi zao wanafuatilia yasiyowahusu🤣🤣
Mo townsanya ww ni no. 1 tv presenter unaweza mno 💯 idea mujarab sana
Zuchu Amewafinika watoto wote yuko juu" mbayaa Masha-Allah 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣hawa watoto wanaua zaidi kuliko wote waliopitaa 🤗💪🏻💪🏻💪🏻
Munaosem uyu katisha kuliko madog wote uongo bhn Mai zumo kile hapana kwakwel ni 🔥
Kazuchu.kangu kameweza🥰😍😍
Wewe Motownsanya utakuja kuuwa watu na presha😂😂Zuchu ni another level🙌
Zuchu anajua kuwashida walio pita mwingizaji mzuri alafu ana passion
Beby zuu kako powa sana
Mtoto actor mzuri sana.
5 Er. ua-cam.com/video/XaEySPegizY/v-deo.html
Show iko top👌🔥mtu haezi elewa kabisa ,ningumu kuchanuka unanaswa , toto is bright like grandmother,like mother
Kwanza huyu nimtoto au kadumaa🤣🤣🤣🤣🤣🙌🔥🔥
Ni mtoto kabisa ila duuuu😂😂😂
Nimecheka balaa 😃😃mzee na mshipa wake anamkimbiza baba wa zuchu😅
Baby Zuu kauwa anajaza umati, katishaaa🔥 🔥🔥🔥🔥
AISEE DOGO ZUCHU KAUWA SAAAAAANA KULIKO MADOGO WOTE WALIOPITA DAAAH SI MCHEZO 🤣🤣🤣🤣🤣 BIG TALENT
Montown we need part2 na zuchu
😂🤣🤣😂😂 hii noma zuchu baby nikomedi tosha wallah
Sanya na zuchu leo ni moto nimecheka sanaa mtoto kaua
mo town umetishaa mzee 🔥🔥
mtoto ana kipaji kikubwa sanaaaaaa
Hahahahaha mjomba costa muoga 😂😂😂😂
Ila leo jamani zuchu hatari kinoma haipingwi haikataliwi 🔥💯 ameweza Sanaa ♥️❤️
Mtto mshenzi uyu 🤣🤣 walh nimejua kucheka leo baba wawa2 kashatoa siri kwamba katoka na wengi🤣🤣🤣
Ila kukosa sim kubwa ni janga la kitaifa yaan jamaa hawaelewi chochote
Umeonaee 😆😆
Dar noma sana.
zuchu baby 🤣🤣🤣🤣🤣🤣you nail it baby girly we 💖you in +254
Hii ndo kali ya mwaka yaani uyu mtoto zuchu ana balaa 😄😄😄😄
We mtoto umejua kuwaumbua wanaume yaan nimecheka ety kweli mm nimetembea na wanawake wengi sana inaweza ikawa kweli dah umejua kuumbua ww mtoto
😃😃😃😃Anko costa
Levels.. Sanya akili kubwa.
Baby zuchu mitano kwako umetisha kinoma🤣🤣🤣🤣❤
Salute bby zuchu
Nakupenda mtt mungu akukuze
Zuchu katisha leo 😂😂😂🔥🔥🔥🔥 sanya Huna mbaya
King Lee 🔥
Dah.. zu baby. Talente kinoma 😂🤣
zuchu ninoma sana kabisa 🌹🌹💕💕🥰🥰👍👍👏👏👌👌💯💯🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanini hawa wa toto Msiwakutanishe Na Mai zumu, dogo sele, Asma, na dogo zuchu? Wakafanya pamoja Bonge la funny 😆 la daika 25 tu basi huu ni ushauri na saa?
Ushauri nzuri, sijui wataona waufanyie kazi.
Zuchu ame uwa sana🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣🤣
Zuchu kama zuchu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ila zuchu ww ni 🔥
Huyu mtoto kiboko😂😂😂
Huyu mtoto ni fireee🔥🔥🔥🔥🔥
Baby zuchu kawafunika watoto wenzake wote ni noma huyu mtoto🤣🤣🤣🤣
Hapana mai yupo juu
Zuchu kama zuchu 😂😂😂😂ameuwaaaaa
Zuchu nomaa💥💥💥💥
Zichu baby ninoma kweli
😂😂😂😂😂 mtoto anatembea na mapigo ya moyo
I love it 🤩🤩🤩 Zuchu baby
Huyu mtoto kanishinda tabia 🤣🤣🤣
Waooo so talented and amazing comedian upcoming artist
Zuchu amefunika wote aisee hata jamaa wastend kuanza kusema kweli ametemebea nawengi labda kweli mama nilikuwa naye
Baby zuchu kumbe unatembea n bomu 😄😄😄😄
Zuchu ww ni 🔥
Balaa zito zuchu kaua sana ✌✌✌
Wasafi jamani mko moto Sanaa 🔥🔥🔥🔥
Kipind safi sana hiki #MoTownSanya
Nawasalimia Kwa jina la mjomba costa
😂😂😂😂Tuendeleee kuwala
It was amazing
Zuchu kampinga huyo mkaka😂😂😂😂
@@HappynessJose r tu
Amazing mtoto 🥰🥰🥰🥰👌🇰🇪
Mo town GENIOUS
Nimeanza kucheka kabla kaz haijaanza zuuuuuchuuu nakupeendaaa
Et ana hiki kidude et? Siyo bomu hili😄😄😄😄😄 zuchu mtoto utawaua watu kwa presha
ZUCHU umeua mtoto 😂🤣
Sanya juu home 🏠 🤣🤣🤣✅
Huyu mtoto kitambo ananiambia🤣🤣
Uyu mutoto namupenda
11:40 he is the best street uncle ever🤣🤣
Gh. ua-cam.com/video/XaEySPegizY/v-deo.html
🤣🤣
Zuchu Zuchu 😂🤣🤣🤣🤣🤣😂
Saaaaaafiii
Yaani kanaweza hadi kuigiza😂😂
The girl is so tallented
Mimi naona serekali ingepitisha bajet kila mtz awe anamiliki smart phone na anapewa na serekali waache kutuumiza vichwa na haya mambo ya maji na umeme hayo tutajitafutia wenyewe maana uko nikama wame shindwa yani kukosa maji na kukosa hiki kipindi kipi bora??? Apo sija vuta nikivuta sijui itakuaje 😂😂😂
😂😂😂😂😂💃
Haha
Pointy hiyo
Ama kwel kukosa sim nijanga la taifa🤣🤣🤣🤣
Wantanzania mnachekesha sana
Mo unatisha sana ña hao watoto wako
😂😂😂 uyu mtoto kanishinda tabia
Napenda sana uyu zuchubby mai zumo na asma
Mo town sanya nembo ya mtaa umeua balaa unyama sana
Hii nzuri
Zuchu kazimia 🤣🤣
Uyo Mzee Milena yaani soo saan Kabisa
Good job 💖💖
🤣🤣🤣Eti mjomba Kosta kijana kavulungwa 😀😀namjua
Dah haka ka zuchu baby 🤣🤣🤣kanapigilia msumali usimtetee ndio huyu huyu
Mo town Mungu anakuonaa ila u make me happy
Zuchu ni noma 😂😂😂😂😂
Yani uyo zuchu ninoma Sana😁😁😁
😂😂😂Nyie mnachanya watu eti sio bomu hili
Hahahahaaa zuchuuuu jamaniiii
Hii nimeikubali mchaga
Zuchu baby katisha sanaaa
😂😂😂😂😂UYU MTOTO UWIIII
Dah huyo jamaa aliekua anamtuma zuchu maji walimalizaje jaman
😂😂😂hyu kamalza show
Show ilikua kali sanaa😂😂😂😁
Good
Et nlisha pita nawatoto wengi sana
Mmetisha Sana BG up
Zuchu motoòooooooo kaua sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mnajua kucheza na akiri za watu wakijiona kama walikuwa wanachezewa duu!!! Sijui watachekaje
Jamani mtakuja muache watu waumizane