ENZI ZA HADIJA KOPA MWAKA 1990 ULIKUWEPO
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
#Muuminina #Dida #Juhuditz #Al-Muuminin #Adila
#Mwanacha #Afnania #Stumai #Zuchu
#muminina #Qadiria #zanzibarqaswida #AFNAANIA #DIRECTORONE.T #Future Tz #Wasafi Media #ZMASTORY #Juhuditz #JUMAFAKIH #ZanzibarQaswida #AQAZStudio #Al-muuminin #YasmediaTv #stumai #zbc #tbc #futuretz #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #youtube #youtuber #youtubechannel #revolutionreal #blacksmokeyeye #smokeyeye #glow #glowingskin #discoverunder5k #discoverunder10k
Leo ni try 20/01/2024 ndio naona hii haipungui ni miaka 34 iliopita na huyu dada bado yapo hai na bado nimuimbaji sasa ni mda pekee wa kumuombea na kumuomba aache mziki na amrudie M/ Mungu atubu hwenda Mungu akamsamehe Allah amjalie wepesi in shaa Allah
Yaan watu wa zaman natural kabisa wana hishma sana
Wallah hapo wengi wameshatangulia mbele ya haki subhana llah
Hpo nsharud zangu shule nkitumwa dukani kwa mpemba Shahame nakuta kafungulia kiredio chake anapata burudan😂😂,namm ñkitoka pale naimbaimba ,,,sasa nenda sasa nenda karoge unapojua.Taarab ipo damuni kitambo sana
Kitambo sana bado kama miaka mitano ndio nizaliwe hapo
Hapa alikuwa khadija lipa sio khadija kopa
Asante kwa historia na burudani🤝
Watu wa zamani wazuri sana wanaoneka wa siha wako neutral
WAP zuchu honey wangu namtafuta alikuwepo
Ata zuchu hakuepo enzi izo😂🎉
Baba na mama yake Zuchu wote wapo hapo
Wazamani wako poa hyo natural hair zao wamependeza kweli na wako watulivu cn
Pandisha Wahoi, Daktari na amejisalimu please
Apo zuchu alikua anatafutwa ju mama anakaa bdo mdogo sana we
Enzi hizo zilitamba sana mm nipo dogo janja
Hii ni Hatari...Sikuwepi Mimi honestly 😂
Yussuf Dorya, enzi hizo ameoza anapiga mzigo usiku mchana hajiwezi yu hoi!
Hii ndio ilikuwa taarabu Zanzibar Haile selas Dar Starlite
Jamani kitambo ❤❤❤❤❤ jamani ataakiwa anamiaka 40 anaonekana kama anamiaka 18
Useme harubaini je nazuchu utamuweka mingapi uliza kwaza
Kuna Dada kavaa red med mnazijua izoi nguo
Hizi taarab zakale mbona mzur
Yaani mama tubia tena
Hpo mitandio hakuna,watu ilikua hawaja chanuka ,kma ambae hio ilikua ndunia nyengine😂,
Jamen ata nilikua cjazaliwa😂😂
Kama tulivyokubaliana tunaanza kuzewka kisha tunakuwa vijana
Hiyo ndio ilikuwa taarab unakaa kwenye kiti unaburdika,lkn saa hiv hakuna taarab ni rumba tu na kukata viuno
MAMA NA TAARAAB NA ZUCHU WBC NA MATUSI
Niko na miaka 8 mwaka 90 nimekumbuka hizi tarab ktk tvz
Cheiche 🎉🎉🎉ata Nia ya kuzaliwa sina mwaka uwoo😅
@@MdNasr-jm8pj mie nina miezi 4 apo
Mhhhhh hata kuzaliwa sijazaliwa jamn ndio kwanza 97 /Oct 😂😂 shikamoo sasa uwaachie kina zuch kubishana mitandaon jamn
Zuchu alikua ajazaliwa xuchu kazaliwa mwaka 93 😂😂😂
Alikua tayari kazaliwa zuchu wa 89
@@tausisaidi2096hawajuag kama zuchu ni mzee..eti 93 hahah
Hpo nsharud zangu shule nkitumwa dukani kwa mpemba Shahame nakuta kafungulia kiredio chake anapata burudan😂😂,namm ñkitoka pale naimbaimba ,,,sasa nenda sasa nenda karoge unapojua.Taarab ipo damuni kitambo sana
Hpo nsharud zangu shule nkitumwa dukani kwa mpemba Shahame nakuta kafungulia kiredio chake anapata burudan😂😂,namm ñkitoka pale naimbaimba ,,,sasa nenda sasa nenda karoge unapojua.Taarab ipo damuni kitambo sana