Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Mara zote ukiwaza Manzese kama wewe ni mpenzi wa Bongo Flava basi utawaza Madee tu. Waliosema au alipojiita Rais wa kule sidhani kama kulikua na upinzani wowote, najua kulikua na mtu mwengine ambae alikua anataka hiyo title ila tayari ilikua na mwenyewe ambaye inamkaa haswa.
Busara zake za miaka ya karibuni na haswa niseme zaidi mwaka huu ni moja ya vitu vilinivutia kutaka kuongea nae. Maana si mara nyingi kwa kijana ambaye amekulia maisha ya ‘ki gangster’ kuwaza watu wengine au hata kuonyesha kuguswa na kitu flani. Ili mtu afikie kufikiria suala la umri kwenda na kuanza kujijengea kwenye maisha ya baadae siku Muumba atakapotuita ni jambo ambalo tunatakiwa kujifunza kutoka kwake. Na pia ni moja ya idea maridhawa nimeskia mwaka huu. Na kubwa kabisa ni kuwa mimi na yeye hatukuwahi kuwa na maongezi ya aina hii, wakati muafaka kabisa...
Seneda yeye haswa alizaliwa wapi? Ametokea kwenye familia ya mziki? Wazazi wake ni watu wa aina gani haswa? Kule Manzese ndo kwao? Au ilikua maskani tu? Na kama si hivyo aliwezaje kujikita mpaka akawa rais? Suala la elimu je? Wakati anakua kuna makashkashi yoyote alipitia? Na muziki? Na Babu Tale? Na Abdu Bonge aliwatoa wapi? Na TipTop Connection nayo chimbuko lake ni wapi?
Niliongea naye kuhusu hayo na kuwa ‘chawa’ ili yake yamuendee kwenye suala zima la kujijengea empire yake... Muziki umemfanyia nini? Kama Baba ni kitu gani ambacho watoto wake wanapenda kuhusu yeye? Yuko na hao Mama za watoto wake? Ki ukweli kuna mengi tumezungumza naye lejendari huyu wa Bongo Flava ikiwa pia pamoja na wimbo wa ‘Pombe Yangu’ ambao nao pia una story yake ya kipekee.
Yangu matumaini uta enjoy kama nilivyo enjoy mimi na wenzangu wakati tuna film hii.
Love,
Salama.../
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Hawa ndio mfano wa watu tunapenda kuwasikia Salama.
Asante sana,
Fid Q, Idris, na wengine wachache pia, are very inspiring.
We love your interviews.
Kosa lako wewe sio kosa kwangu ni FUNZO kwangu 🙌🏽🙌🏽 madee
DUU AISEEE MADEE UKIKAA NAE UTAVUNJIKA MBAVU ANACHEKESHA SANA ANA STORY KINOMA... SIJUTII MB ZANGU BIG UP NACHEKA TU HAPA
Nakupenda hiki kipindi Sanaa narudia This is how journalism is , how journalist need ANGEL it's gives you all detail from interviewer freely,flowing, no hesitation s. LOVE YOU SALAMA♥️♥️♥️
Nimeipenda chemistry ya Salama na Madee, interview nzima nimebaki nakenua tu,
Big up kwenu.
Nice one.
Queen September mie pia nakenua tuu jmn kha!!
😍
Exclusive moja hatari sana... Madee is very wise and Salama you the best
Nataka kujua mengi kuhusiana na kiba plz salama naomba inayo fuata ufanye nae au diamondi
Love u Salama, am glad kweny kpnd hiki u also shares some of ur Lifestory I really wanted to no u more😍
Salama, hio salamu Hamadi amejibu kwa sauti ta Bwakila! Kazi safi.
Asante Sheikh Ali! ♥️
Tatizo nimeliona kwa Watanzania wengi wanajibu tofauti na swali,Salama kauliza colour ya nywele kama kapaka "black colour",yeye anajibu "volume" wingi wa nywele.
Hiki sio kipndi bali ni DARASA 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 MIM MUHUDHULIAJI MZURI SIKOSAGI KIPINDI
Soooooo nice aseeeee... Show ina uhalisia wa kweli hadi raha. Big up to you all
QUEEN OF TV SHOWS
Kipindi chako kizuri salama , from Lusaka zambia through youtube
Salama u are the best .......naomba kuona ukimiterview kiba plz
salama this is the best interview.
Best of the best interview........salama acheka sana coz huchoki kusikiliza!........... like kwa madeeee!✌
Brother unajua kujieleza vizuri
nimeipenda hile "pambania umuoneshe mtoto kuwa wewe ndo baba yake hamna mwingine ,hata kama kuna mwingine anakuja na kutambulishwa kuwa ni baba yake,ila mtoto akilini ajue kuwa wewe ndo baba yake sio yule anayekuja badala yako" safi sana shineida ndo madee..
Salama una kazi nzuri mamii, u know how to question ur guests.... Madee unavutia na nywele zako,ni baba bora na nimependa ulivyopambana... Good guys
Salama nakukubali sana niletee jide
SALAMA JABIR is the best YOH
This is the funniest interview so far...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Salama Big up sana dada Yetu
Kosa lako wew kwangu ndo elimu kwangu
hilo la tale na uniform""""Madee wewee😂😂😂😂😂kweli usimuone mtu kafanikiwa watu wanatoka mbali saaaana acheni wale Bata zao.
Kweli kabisa
Nmeendaa kuitazama kazi yake mola
Kiukweli tume enjoy sana interview 😂😂😂
madee nakukubali Sana brother , hatari Sana
Daah, nimecheka sana aisee. #RESPECT
Salama naona anachukua notice kama yupo darasani pale maswali yake yanapojibiwa vzuri 😀😀😀
Watu wahip hop wanajuag kuengea
mwasiti#uyo sio msanii wa hip-hop huyo, msanii wa fleva za bongo
Umekuta dunia imeandaliwa,
Nawe bila hiyana si ukazaliwa,
Umekuta wasafiri (wasafiri)
Waliotutoka kwaheri
Kimwili umetutoka kiroho tupo nawe,
Upo ndani ya kina Kati mbao chini mawe,
Mchana na usiku tunaomba tuwe nawe,
Haiwezi kuwa sawa,
Ugonjwa hautibiki na mauti hayana dawa,
Kwa heri mwanahawa
🤣🤣🤣🤣 sasa madee uliimbaje wakati taya ulivunjwa?🤣🤣🤣🤣 da 🙄 watu wanatoka mbali jamani,mpaka wameshawahi kuiba du kweli usione watu wanamafanikio ukadhani wamepata kirahisi big NO,❤ you much salama from swiss
Mikono juu kama unampenda madee yooo miaka yote mi nazidi kuwarusha Toka far es salaam dodoma mpaka Arusha
Aisee maisha kupata sio rahisi kikubwa subra na uvumilivu
Very professional bro
F
Nimeenjoy sana na cheko kubwa.. Nice interview
BABA WA DOGO JANJA... SHENEDA ASANTE KWA MAOJIANO YAMEKA PAHALI YAKE NICE LESSON
Cool
Salama, this is the best interview
Napenda kipindi chako salama
Plz salama naomba ufanye na kiba au diamond
..."kuzaa nje ya ndoa imenikomaza"... reaaleee?... acheni ku preach uzinzi na ufuska... inaweza kuwa imakaa sawa kwa upande wako... ila watu si wapumbavu kuamini huo upuuzi... kuna listi isiomaliza ya matatizo yanayoweza kujiri kwa kuwa mzizi...maradhi.. watoto wa mitaani (wanao kwenda kuwa wezi, na majambazi)... na hapo hatujaongelea suala ambalo ni Muhimu kwa wengi kuliko yote... kumuasi Mungu.... so tuondolee uo ujinga...
tatzo mnayakuza...kwan ambacho hujamuelewa nn...kashasema yeye anajifunza so kama unaamin ni uzinzi ndo usizini sasa
Madee nakuelew sana bro
"Leta tuone kama kweli umevunjika taya arifu" ilickika sauti ya kijana mmoja huko A town akimwambia Naniii
mjuba kama mjuba😂
I like it
Salama msosi unaletwa kwa grade,wa manzese wana grade yao na wa mbezi wana grade yao
Today lesson...To Accept changes
Senedaaaaaa
We are waiting
Watu wng wanadumaa kuogopa mabadiliko, inanihusu 80%
Dah! Mimi 100%
Nimekaa muda mrefu nasoma kibao katikati ya madee na saalama. Kimeandikwa gather it mean a lot
😂
Nimependa men
Kumbe ilikua n debate..
Salama anafurahi jamani unaonesha haswaa kua hii interview ya kirasta
machalii wa chuga hawaamini mpaka waone nyaya mdomoni😂
Ya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 sana
This episode was good but the set up seem rushed, the scarfs are not ironed, the drinks weren’t mentioned seems like regular juice , the table set is off , and the samaki samaki food wasn’t mentioned when bought out. Seems like was a last minute set up.
interview nzuri sana
Hamad Ali. 👍🏾😎
Tunasubiri
Safi sana salama....u re the master of tv shows
Mtandao unasumbua nilipo lkn naangalia hvyhvy kibish
Kama mm
Another day
Unaibiwa ulikuja na shilingi ngapi
Duu maisha ni safari ndefu
Nzury San
One of the interview.... "Nice one"
Hamad seneda
Vipi kuhusu mchizi wako mb Dogg mbona unamlenga
Salama ulipo tupo dada
Shenz type
URirC Air
Madee
Bonge Darasa
🇧🇮
#MADEE KAWASHIKA MKONO DOGOJ NA MAARIFA
MAFANIKIO KUSAIDIANA
Aii kazi yake mola naikibali kinyamaaaa...yaani jamaa Rasta huyu namkubali anavoongea yupo Nature yaani
NIMESIKILAZA INTERVIEW ZOTE HII BORA SANA UKIONDOA ILE YA MWANA F.A
Salama naomba umuite na NIKKI MBISHI kwenye hii interview..
Haswaaa
Unajifunza kupitia tamthilia?na si maadili ya u-Afrika wako..hapa sijamkubali huyu mtu
Big Interview! Hongera Madee! Karibuni msubscribe channel yetu kwa video's za mazoezi
Huna hoji watu bila kuwauliza sehemu huska wanapotoka au kuzaliwa
Salama Naomba Uni Unblock Instagram @eliasakitasa
Hahaha ulimfanya nn😀😀
Tulia dawa IKUINGIE!