Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
    Mara zote ukiwaza Manzese kama wewe ni mpenzi wa Bongo Flava basi utawaza Madee tu. Waliosema au alipojiita Rais wa kule sidhani kama kulikua na upinzani wowote, najua kulikua na mtu mwengine ambae alikua anataka hiyo title ila tayari ilikua na mwenyewe ambaye inamkaa haswa.
    Busara zake za miaka ya karibuni na haswa niseme zaidi mwaka huu ni moja ya vitu vilinivutia kutaka kuongea nae. Maana si mara nyingi kwa kijana ambaye amekulia maisha ya ‘ki gangster’ kuwaza watu wengine au hata kuonyesha kuguswa na kitu flani. Ili mtu afikie kufikiria suala la umri kwenda na kuanza kujijengea kwenye maisha ya baadae siku Muumba atakapotuita ni jambo ambalo tunatakiwa kujifunza kutoka kwake. Na pia ni moja ya idea maridhawa nimeskia mwaka huu. Na kubwa kabisa ni kuwa mimi na yeye hatukuwahi kuwa na maongezi ya aina hii, wakati muafaka kabisa...
    Seneda yeye haswa alizaliwa wapi? Ametokea kwenye familia ya mziki? Wazazi wake ni watu wa aina gani haswa? Kule Manzese ndo kwao? Au ilikua maskani tu? Na kama si hivyo aliwezaje kujikita mpaka akawa rais? Suala la elimu je? Wakati anakua kuna makashkashi yoyote alipitia? Na muziki? Na Babu Tale? Na Abdu Bonge aliwatoa wapi? Na TipTop Connection nayo chimbuko lake ni wapi?
    Niliongea naye kuhusu hayo na kuwa ‘chawa’ ili yake yamuendee kwenye suala zima la kujijengea empire yake... Muziki umemfanyia nini? Kama Baba ni kitu gani ambacho watoto wake wanapenda kuhusu yeye? Yuko na hao Mama za watoto wake? Ki ukweli kuna mengi tumezungumza naye lejendari huyu wa Bongo Flava ikiwa pia pamoja na wimbo wa ‘Pombe Yangu’ ambao nao pia una story yake ya kipekee.
    Yangu matumaini uta enjoy kama nilivyo enjoy mimi na wenzangu wakati tuna film hii.
    Love,
    Salama.../
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown

КОМЕНТАРІ • 102

  • @katikatisafaris
    @katikatisafaris 4 роки тому +5

    Hawa ndio mfano wa watu tunapenda kuwasikia Salama.
    Asante sana,
    Fid Q, Idris, na wengine wachache pia, are very inspiring.
    We love your interviews.

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 4 роки тому +13

    Kosa lako wewe sio kosa kwangu ni FUNZO kwangu 🙌🏽🙌🏽 madee

  • @martinfrancis9808
    @martinfrancis9808 4 роки тому +4

    DUU AISEEE MADEE UKIKAA NAE UTAVUNJIKA MBAVU ANACHEKESHA SANA ANA STORY KINOMA... SIJUTII MB ZANGU BIG UP NACHEKA TU HAPA

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 4 роки тому +2

    Nakupenda hiki kipindi Sanaa narudia This is how journalism is , how journalist need ANGEL it's gives you all detail from interviewer freely,flowing, no hesitation s. LOVE YOU SALAMA♥️♥️♥️

  • @queenseptember4640
    @queenseptember4640 4 роки тому +8

    Nimeipenda chemistry ya Salama na Madee, interview nzima nimebaki nakenua tu,
    Big up kwenu.
    Nice one.

    • @latifamadaha4377
      @latifamadaha4377 4 роки тому +1

      Queen September mie pia nakenua tuu jmn kha!!
      😍

  • @rodrickmataba8999
    @rodrickmataba8999 4 роки тому +1

    Exclusive moja hatari sana... Madee is very wise and Salama you the best

  • @neematemu9758
    @neematemu9758 4 роки тому +8

    Nataka kujua mengi kuhusiana na kiba plz salama naomba inayo fuata ufanye nae au diamondi

  • @annaamos328
    @annaamos328 4 роки тому +2

    Love u Salama, am glad kweny kpnd hiki u also shares some of ur Lifestory I really wanted to no u more😍

  • @Ali_Manzu
    @Ali_Manzu 4 роки тому +4

    Salama, hio salamu Hamadi amejibu kwa sauti ta Bwakila! Kazi safi.

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 4 роки тому +1

    Tatizo nimeliona kwa Watanzania wengi wanajibu tofauti na swali,Salama kauliza colour ya nywele kama kapaka "black colour",yeye anajibu "volume" wingi wa nywele.

  • @rohityalsina5972
    @rohityalsina5972 4 роки тому +1

    Hiki sio kipndi bali ni DARASA 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 MIM MUHUDHULIAJI MZURI SIKOSAGI KIPINDI

  • @fra_nyuki
    @fra_nyuki 4 роки тому +1

    Soooooo nice aseeeee... Show ina uhalisia wa kweli hadi raha. Big up to you all

  • @moseskarima3824
    @moseskarima3824 4 роки тому +7

    QUEEN OF TV SHOWS

    • @peterlwinga6475
      @peterlwinga6475 4 роки тому +2

      Kipindi chako kizuri salama , from Lusaka zambia through youtube

  • @neematemu9758
    @neematemu9758 4 роки тому +10

    Salama u are the best .......naomba kuona ukimiterview kiba plz

  • @ebrahimhaji3168
    @ebrahimhaji3168 4 роки тому +5

    salama this is the best interview.

  • @mangib52
    @mangib52 4 роки тому

    Best of the best interview........salama acheka sana coz huchoki kusikiliza!........... like kwa madeeee!✌

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 4 роки тому +1

    Brother unajua kujieleza vizuri

  • @francymeselano6627
    @francymeselano6627 4 роки тому

    nimeipenda hile "pambania umuoneshe mtoto kuwa wewe ndo baba yake hamna mwingine ,hata kama kuna mwingine anakuja na kutambulishwa kuwa ni baba yake,ila mtoto akilini ajue kuwa wewe ndo baba yake sio yule anayekuja badala yako" safi sana shineida ndo madee..

  • @linethowire7031
    @linethowire7031 4 роки тому

    Salama una kazi nzuri mamii, u know how to question ur guests.... Madee unavutia na nywele zako,ni baba bora na nimependa ulivyopambana... Good guys

  • @husnazahoro7082
    @husnazahoro7082 4 роки тому +1

    Salama nakukubali sana niletee jide

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI. 4 роки тому +3

    SALAMA JABIR is the best YOH

  • @wagonzizi1184
    @wagonzizi1184 3 роки тому +3

    This is the funniest interview so far...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @harmonymattondo4042
    @harmonymattondo4042 Рік тому

    Salama Big up sana dada Yetu

  • @abdulzuberi2418
    @abdulzuberi2418 6 місяців тому

    Kosa lako wew kwangu ndo elimu kwangu

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 роки тому +3

    hilo la tale na uniform""""Madee wewee😂😂😂😂😂kweli usimuone mtu kafanikiwa watu wanatoka mbali saaaana acheni wale Bata zao.

  • @ramlaamiri9718
    @ramlaamiri9718 4 роки тому +2

    Nmeendaa kuitazama kazi yake mola

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому

    Kiukweli tume enjoy sana interview 😂😂😂

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 4 роки тому

    madee nakukubali Sana brother , hatari Sana

  • @MadTitan255
    @MadTitan255 3 роки тому

    Daah, nimecheka sana aisee. #RESPECT

  • @exburnnyhilary6463
    @exburnnyhilary6463 4 роки тому

    Salama naona anachukua notice kama yupo darasani pale maswali yake yanapojibiwa vzuri 😀😀😀

  • @mwasitiiddy7425
    @mwasitiiddy7425 4 роки тому +8

    Watu wahip hop wanajuag kuengea

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 4 роки тому

    Umekuta dunia imeandaliwa,
    Nawe bila hiyana si ukazaliwa,
    Umekuta wasafiri (wasafiri)
    Waliotutoka kwaheri
    Kimwili umetutoka kiroho tupo nawe,
    Upo ndani ya kina Kati mbao chini mawe,
    Mchana na usiku tunaomba tuwe nawe,
    Haiwezi kuwa sawa,
    Ugonjwa hautibiki na mauti hayana dawa,
    Kwa heri mwanahawa

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 роки тому

    🤣🤣🤣🤣 sasa madee uliimbaje wakati taya ulivunjwa?🤣🤣🤣🤣 da 🙄 watu wanatoka mbali jamani,mpaka wameshawahi kuiba du kweli usione watu wanamafanikio ukadhani wamepata kirahisi big NO,❤ you much salama from swiss

  • @thabitisimba1143
    @thabitisimba1143 4 роки тому

    Mikono juu kama unampenda madee yooo miaka yote mi nazidi kuwarusha Toka far es salaam dodoma mpaka Arusha

  • @ashasiaga3197
    @ashasiaga3197 4 роки тому

    Aisee maisha kupata sio rahisi kikubwa subra na uvumilivu

  • @adamjohn7782
    @adamjohn7782 4 роки тому +4

    Very professional bro

  • @Proches91
    @Proches91 4 роки тому

    Nimeenjoy sana na cheko kubwa.. Nice interview

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 4 роки тому

    BABA WA DOGO JANJA... SHENEDA ASANTE KWA MAOJIANO YAMEKA PAHALI YAKE NICE LESSON

  • @Eddiedillip
    @Eddiedillip 4 роки тому +1

    Cool

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 роки тому +5

    Salama, this is the best interview

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 роки тому +1

    Napenda kipindi chako salama

  • @neematemu9758
    @neematemu9758 4 роки тому +1

    Plz salama naomba ufanye na kiba au diamond

  • @getmotivated3619
    @getmotivated3619 4 роки тому +4

    ..."kuzaa nje ya ndoa imenikomaza"... reaaleee?... acheni ku preach uzinzi na ufuska... inaweza kuwa imakaa sawa kwa upande wako... ila watu si wapumbavu kuamini huo upuuzi... kuna listi isiomaliza ya matatizo yanayoweza kujiri kwa kuwa mzizi...maradhi.. watoto wa mitaani (wanao kwenda kuwa wezi, na majambazi)... na hapo hatujaongelea suala ambalo ni Muhimu kwa wengi kuliko yote... kumuasi Mungu.... so tuondolee uo ujinga...

    • @signalboy4260
      @signalboy4260 4 роки тому +2

      tatzo mnayakuza...kwan ambacho hujamuelewa nn...kashasema yeye anajifunza so kama unaamin ni uzinzi ndo usizini sasa

  • @deucmichael4374
    @deucmichael4374 4 роки тому

    Madee nakuelew sana bro

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 4 роки тому +1

    "Leta tuone kama kweli umevunjika taya arifu" ilickika sauti ya kijana mmoja huko A town akimwambia Naniii

  • @ahmadshomvi6545
    @ahmadshomvi6545 4 роки тому +1

    I like it

  • @naasamson4905
    @naasamson4905 4 роки тому +1

    Salama msosi unaletwa kwa grade,wa manzese wana grade yao na wa mbezi wana grade yao

  • @marcuskikot5915
    @marcuskikot5915 2 роки тому

    Today lesson...To Accept changes

  • @abdallahomari9860
    @abdallahomari9860 4 роки тому +1

    Senedaaaaaa

  • @annajohn9063
    @annajohn9063 4 роки тому +1

    We are waiting

  • @kipajifilamu4718
    @kipajifilamu4718 4 роки тому +3

    Watu wng wanadumaa kuogopa mabadiliko, inanihusu 80%

  • @mauakipepeo8319
    @mauakipepeo8319 4 роки тому

    Nimekaa muda mrefu nasoma kibao katikati ya madee na saalama. Kimeandikwa gather it mean a lot

  • @mariamjumaswalehe635
    @mariamjumaswalehe635 4 роки тому

    Nimependa men

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 Рік тому

    Kumbe ilikua n debate..

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 4 роки тому +1

    Salama anafurahi jamani unaonesha haswaa kua hii interview ya kirasta

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 4 роки тому

    machalii wa chuga hawaamini mpaka waone nyaya mdomoni😂

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff 4 роки тому

    Ya 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 sana

  • @justfaye6763
    @justfaye6763 4 роки тому +3

    This episode was good but the set up seem rushed, the scarfs are not ironed, the drinks weren’t mentioned seems like regular juice , the table set is off , and the samaki samaki food wasn’t mentioned when bought out. Seems like was a last minute set up.

  • @ernestnoely848
    @ernestnoely848 4 роки тому

    interview nzuri sana

  • @mohammedaliabdallah5508
    @mohammedaliabdallah5508 4 роки тому +1

    Hamad Ali. 👍🏾😎

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 4 роки тому +1

    Tunasubiri

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 4 роки тому +1

    Safi sana salama....u re the master of tv shows

  • @kipajifilamu4718
    @kipajifilamu4718 4 роки тому +2

    Mtandao unasumbua nilipo lkn naangalia hvyhvy kibish

  • @kipajifilamu4718
    @kipajifilamu4718 4 роки тому +1

    Another day

  • @rumibarton2359
    @rumibarton2359 4 роки тому +1

    Unaibiwa ulikuja na shilingi ngapi

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 4 роки тому

    Duu maisha ni safari ndefu

  • @khamissshaban4016
    @khamissshaban4016 4 роки тому

    Nzury San

  • @saidissa9832
    @saidissa9832 4 роки тому +1

    One of the interview.... "Nice one"

  • @herisophisticated9275
    @herisophisticated9275 4 роки тому +2

    Hamad seneda

  • @ramadhanomar360
    @ramadhanomar360 4 роки тому

    Vipi kuhusu mchizi wako mb Dogg mbona unamlenga

  • @muhidinkilemba6540
    @muhidinkilemba6540 4 роки тому

    Salama ulipo tupo dada

  • @ramlaamiri9718
    @ramlaamiri9718 4 роки тому +1

    Shenz type

  • @talazain1017
    @talazain1017 4 роки тому +2

    URirC Air

  • @msandomuumbi4803
    @msandomuumbi4803 4 роки тому +1

    Madee

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi9530 4 роки тому

    Bonge Darasa

  • @alihakizimana7206
    @alihakizimana7206 4 роки тому

    🇧🇮

  • @chundabadsingasinga3130
    @chundabadsingasinga3130 4 роки тому

    #MADEE KAWASHIKA MKONO DOGOJ NA MAARIFA
    MAFANIKIO KUSAIDIANA

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 4 роки тому +2

    Aii kazi yake mola naikibali kinyamaaaa...yaani jamaa Rasta huyu namkubali anavoongea yupo Nature yaani

  • @dalalikinondonirealestatea8875
    @dalalikinondonirealestatea8875 3 роки тому

    NIMESIKILAZA INTERVIEW ZOTE HII BORA SANA UKIONDOA ILE YA MWANA F.A

  • @abdarahamaniabubakari4036
    @abdarahamaniabubakari4036 4 роки тому +1

    Salama naomba umuite na NIKKI MBISHI kwenye hii interview..

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 3 роки тому

    Unajifunza kupitia tamthilia?na si maadili ya u-Afrika wako..hapa sijamkubali huyu mtu

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 4 роки тому

    Big Interview! Hongera Madee! Karibuni msubscribe channel yetu kwa video's za mazoezi

  • @francosichale
    @francosichale 4 роки тому +1

    Huna hoji watu bila kuwauliza sehemu huska wanapotoka au kuzaliwa

  • @Kibitiyetu1
    @Kibitiyetu1 4 роки тому +3

    Salama Naomba Uni Unblock Instagram @eliasakitasa