INTERVIEW na TAG Forest Ya Kwanza Praise Team Walioimba Wimbo “Bwana Nimerudi Tena”.
Вставка
- Опубліковано 20 сер 2023
- TAG Forest Ya Kwanza Praise Team Kutoka Mbeya Walitua Kwenye Talanta Africa Show na Kufunguka Mambo Kadhaa Kuhusu Huduma Yao Ya Uimbaji.
Mbarikiwe kuanzia mtunzi, wapiga vyombo, walimu na waimbaji wote kwaajili ya Wimbo huu. Ni Wimbo wangu wa Kila Asubuhi kwa ZAIDI ya mwezi sasa
Mungu awabariki Wimbo naupenda sana
I see my bro donick mwakatobe 🙏🏼🙏🏼
Utukufu kwa Bwana❤❤❤
Iv Mtumishi donic wa Saxaphone ameondoka Kariakoo jaman?
🔥🔥🔥