" bado ananijia ndotoni ila nikiamka simuoni, bado ananijia nikilala .." ASANTE Mond kwa hii SMS, maana hii nyimbo kitambo kweli toka uiimbe. Asante Maadam Wemaaaa
Jaman eeh, plz naomba wimbo ambao Mbosso aliuimba kwa kuombwa na Babu Tale kuhusiana na kumkaribisha mtoto mpya duniani. Nliupenda sana na humu siuoniii
Mbosso is very humble ❤❤
Mbosso sina nyota after 2 years lakn ngoma imetoka mwezi jana daah
Mwanangu khan ujue we nifundi sana wakutunga adi kuimba👍💯
❤💙💜💖 loving it to and fro
💋😘
Diamonds voice is like a harp so flowing n lovely😍
Well done Mbosso.
" bado ananijia ndotoni ila nikiamka simuoni, bado ananijia nikilala .." ASANTE Mond kwa hii SMS, maana hii nyimbo kitambo kweli toka uiimbe. Asante Maadam Wemaaaa
IRENE SALUMU n
Nice
2020 July
Jaman mondi anaroho yaupendo😍
Wow beautiful Mbosso Love❤❤🇹🇿🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬💃💃💃💃
"Ntampata wapi kama yule" alafu Zuchu yupo kando anapiga back up tu akijua yeye atakuja kua kiboko yake😅😅🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥
Ndo nimekuja comment section kumake sure nimeona zuchu
Dis song was ages but you released yesterday
Super talented, super star Tanzania hakuna🙌🙌🙌
Jaman eeh, plz naomba wimbo ambao Mbosso aliuimba kwa kuombwa na Babu Tale kuhusiana na kumkaribisha mtoto mpya duniani. Nliupenda sana na humu siuoniii
Zuchuu before atoke ✨😯 patience pays
Very humble man😢
Namwona zuchu huko nyuma 👏🏻
😂Kabla wajakubaliwa😢
Hand's up bro nilikuw nikickiag 2 leo nimepat Tambo dah
My fev song
SIMBA JUKWANI🔥🔥🔥🔥🔥MBOSSO SUPORT💯
Safi sana mbosso utafika mbali
Saluti kijana
Kaka umepitia pagumu sana broo mbosso
Music For life, TZ💖💖💖
Nimekubali sana mondi ndiye kila kitu
Anatokea mjinga anasema katoa nyimbo juzi kaibiwa mashairi
nimependa ulivyo anza daaah
Kama hii nyimbo ilikuwepo tangu miaka miwili nyuma basi huyu jamaa ana utajili wa nyimbo jamani
Daaah kumbe sina nyota ya kitambo hadi tuliisahau
2021 🔥🔥🔥
Its 5 years already?...Dem siku zinaenda duh!
Hii ngomaa daaah
Mbosso🔥🔥🔥
wasafi nafsii mpaka mavazi nimewaongezea cheo🎼✌
Sultana Fashion
Vx
mbosso the mbosso well done man
hao clous hawezi kukushusha kamwe
1.24 the song got released a couple days ago
Wema wangu ulitisha umu yani nairudia hii
Big up mboso
Niceeee mboso
🔥🔥🔥
Mboso , mi mzee lakini huu wimbo hapo mwanzo umeutendea haki sana hii inaonyesha kwanini diamondi kakuchukua
emmanuel mkondya whats the name of the song
@@tanzanaire sina nyota
mboso mbona umemkalisha boss wetu
🥰
Hongera mbosso
Kamwimbia wema sepetu hapo....
Fanya kama waibwaga hii rmx..
umetisha
mmeemuon chchuuuuuu akeeee
nakupenda bureee duu
hongereni
❤❤❤
Amekaribushwa rasmi kwenye ULUMINATI ukijaribu kuhama wasafi ndio utajua ,kuingia ni rahisi kutoka ngumu
Kaka Kam umeshushwa naiyo sauti yako at nyimbo iwe mbay apan chezea kibiti we
mwiteni chidi benz atupiye vocal moja
c'est quoi le titre de la chanson que chante Mbosso ?
Au faite c'est une chanson de diamond qu'il ont fait remix
Zuchu kumbe alikua kichokoraa kileeeee
Babu Tale unaanza lini diet na mazoezi lkn mhhhhhh
Sfiii sana
Mbosso unatuua bn
Nyota la mapenzi..coming soon
Nice mboso
sanaa
Kama kuna zuchu uko nyuma duuh nimejua leo
Mbosso nilivyo ona ihi clip kwe acout ya WCB imenileta uku nilivyo ona mbosso anavyo lia dah! adi nimelia sijuwi kwanini
hebu tunaomba huo wimbo tuletehe jaman
jamani ludianeni joman
Big up hahaaaaa+974 sambamba wasafi hoyeee
Asante
👏👏
Hilijamaa balaa
Naajue bado niko,, ila hali yangu hohehahee
kazi kaka
Mbosso nakukuba🐓
tisha sana
we noma
kuanzia dk1:31 mboso imetoka?
Imetoka juzi
inpndz kijana
Naomba nijue kama hyo nyimbo iko official?
Ndio wameitoa juz hapo
ilipoanzia sina nyota
Nyota
Zuchuuu
Huu wimbo unaitwaje jaman
Ntampata wapi
Sina nyota
@@amirikhalifa9543 Halafu wanatokezea wajinga wajinga wanadai eti wameibiwa mostari na Mbosso
diamond unatisha jamaa una inua kipaji
Abu
Simba ulimwibia mwem et?
KAZI poa
Nimekubali sana mondi ndiye kila kitu
Big up mbosoo
❤️❤️