🔴

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 22

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 2 місяці тому +9

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @Afsah90
      @Afsah90 2 місяці тому

      Keep fooling yourself 😂😂

  • @IsackGudemtunku
    @IsackGudemtunku 2 місяці тому +1

    Mi napenda Alikamwe angebaki yanga atufikishe ileee inchi ya shadi ya afrika

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256 2 місяці тому +2

    Mwakisi unapenda kusema dar young Africans, sio sawa ni Young Africans na sio Dar young Africans.

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 2 місяці тому +1

    Yangaa wanaonewaaa sanaaa

  • @laurian27
    @laurian27 2 місяці тому +1

    Mzee Magoma kuanzia sasa hatukutaki na hatukuhotaji katika taasisi yetu ya yanga mvurugaji mkubwa! Na kuanzia leo tunakufuta yanga mbwa ww mzee mibusha! Kanunue uchawi upya mshirikina usiejielewa! Yanga ni kubwa kuliko mtu yeyote! Nimetukana laana yako inijie mm nilieokolewa na Mungu! Jina lenyewe Baya ety MAGOMA KWENDRAAAAA

  • @aku-vc09a11k
    @aku-vc09a11k 2 місяці тому +1

    Nchi hii ina uhuru usio na mipaka, anatokea yeyote na madai yasiyoeleweka na watu wanapoteza muda kuelezea ujinga huu

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256 2 місяці тому +1

    Wanasheria wa Yanga kila siku wanafeli,sijawai kuwaona wakishinda kesi ni wakufukuzwa wote hawa

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 2 місяці тому +1

      Kesi ya fei walishinda ila mama akaingilia kati

  • @RajabudabogGobeka
    @RajabudabogGobeka 2 місяці тому +1

    Uyo no mwehu

  • @machanoyusuf8045
    @machanoyusuf8045 2 місяці тому

    Ngoma umeishaa hiyooo

  • @machanoyusuf8045
    @machanoyusuf8045 2 місяці тому

    Ngomaa umeishaa hiyoo

  • @mahunapaschal
    @mahunapaschal 2 місяці тому

    Hivi huyu jamaa anajiamini nini kutaka kutuvulunga hivi wakati tuko vitani au mutu gani anahakili timamu kweli

  • @MaftahFahdi
    @MaftahFahdi 2 місяці тому

    Wezi wakubwa nyinyi

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 2 місяці тому

    sasa ndiyo wakati umefika wa kukomesha wahuni katika vilabu vyetu vikubwa .
    waliohusika na uhuni huo uongozi wa Yanga lazima uwachukulie hatua za kisheria.
    hii yote ni hiyana baada kuona sasa hakuna ulaji kama ilivyokuwa huko nyuma.

  • @marthamwasumbi2387
    @marthamwasumbi2387 2 місяці тому

    Hiyo jela hiyo

  • @laurian27
    @laurian27 2 місяці тому

    Kama ulikuwa unapata kula yako kupitia yanga mzee mashamba yameisha tupo Digital

  • @GwamakaMwaisumbe
    @GwamakaMwaisumbe 2 місяці тому

    Mangoma ameulamba

  • @GwamakaMwaisumbe
    @GwamakaMwaisumbe 2 місяці тому

    Mangoma kaulamba mbuyu dakekii

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 2 місяці тому

    Utopolo ulibwanji😂😂😂

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 2 місяці тому

    Mbona hamkukata rufaa kupinga hukumu hii tangu mwaka jana 2023 na kufungua kesi ya jinai kuwashtaki kwa kughushi nyaraka. Mmekaa kimya hadi mambo yanaharibika.? Unasema hamkushirikishwa wakati mwenzenu Jabir Katundu hadi aliandika barua mahakamini kuwa hausiki nyie mlindwa vipi kujua. Yanga futeni idara ya sheria ni bure kabisa iko siku mtalia kwa mwendo huu wa idara ya sheria.