Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Mzee Magoma kuanzia sasa hatukutaki na hatukuhotaji katika taasisi yetu ya yanga mvurugaji mkubwa! Na kuanzia leo tunakufuta yanga mbwa ww mzee mibusha! Kanunue uchawi upya mshirikina usiejielewa! Yanga ni kubwa kuliko mtu yeyote! Nimetukana laana yako inijie mm nilieokolewa na Mungu! Jina lenyewe Baya ety MAGOMA KWENDRAAAAA
sasa ndiyo wakati umefika wa kukomesha wahuni katika vilabu vyetu vikubwa . waliohusika na uhuni huo uongozi wa Yanga lazima uwachukulie hatua za kisheria. hii yote ni hiyana baada kuona sasa hakuna ulaji kama ilivyokuwa huko nyuma.
Mbona hamkukata rufaa kupinga hukumu hii tangu mwaka jana 2023 na kufungua kesi ya jinai kuwashtaki kwa kughushi nyaraka. Mmekaa kimya hadi mambo yanaharibika.? Unasema hamkushirikishwa wakati mwenzenu Jabir Katundu hadi aliandika barua mahakamini kuwa hausiki nyie mlindwa vipi kujua. Yanga futeni idara ya sheria ni bure kabisa iko siku mtalia kwa mwendo huu wa idara ya sheria.
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Keep fooling yourself 😂😂
Mi napenda Alikamwe angebaki yanga atufikishe ileee inchi ya shadi ya afrika
Mwakisi unapenda kusema dar young Africans, sio sawa ni Young Africans na sio Dar young Africans.
Yangaa wanaonewaaa sanaaa
Mzee Magoma kuanzia sasa hatukutaki na hatukuhotaji katika taasisi yetu ya yanga mvurugaji mkubwa! Na kuanzia leo tunakufuta yanga mbwa ww mzee mibusha! Kanunue uchawi upya mshirikina usiejielewa! Yanga ni kubwa kuliko mtu yeyote! Nimetukana laana yako inijie mm nilieokolewa na Mungu! Jina lenyewe Baya ety MAGOMA KWENDRAAAAA
Nchi hii ina uhuru usio na mipaka, anatokea yeyote na madai yasiyoeleweka na watu wanapoteza muda kuelezea ujinga huu
Wanasheria wa Yanga kila siku wanafeli,sijawai kuwaona wakishinda kesi ni wakufukuzwa wote hawa
Kesi ya fei walishinda ila mama akaingilia kati
Uyo no mwehu
Ngoma umeishaa hiyooo
Ngomaa umeishaa hiyoo
Hivi huyu jamaa anajiamini nini kutaka kutuvulunga hivi wakati tuko vitani au mutu gani anahakili timamu kweli
Wezi wakubwa nyinyi
sasa ndiyo wakati umefika wa kukomesha wahuni katika vilabu vyetu vikubwa .
waliohusika na uhuni huo uongozi wa Yanga lazima uwachukulie hatua za kisheria.
hii yote ni hiyana baada kuona sasa hakuna ulaji kama ilivyokuwa huko nyuma.
Jela is loading 😅😅😅
Hiyo jela hiyo
Kama ulikuwa unapata kula yako kupitia yanga mzee mashamba yameisha tupo Digital
Mangoma ameulamba
Mangoma kaulamba mbuyu dakekii
Utopolo ulibwanji😂😂😂
Mbona hamkukata rufaa kupinga hukumu hii tangu mwaka jana 2023 na kufungua kesi ya jinai kuwashtaki kwa kughushi nyaraka. Mmekaa kimya hadi mambo yanaharibika.? Unasema hamkushirikishwa wakati mwenzenu Jabir Katundu hadi aliandika barua mahakamini kuwa hausiki nyie mlindwa vipi kujua. Yanga futeni idara ya sheria ni bure kabisa iko siku mtalia kwa mwendo huu wa idara ya sheria.