Baba mimi nimjamzito lakini nikikalibiya kujifuwa naotandoto mbaya nanikijifunguwa watoto wanakufa baba naomba msaadawako wakimaombi mimi naitwa kasekina muhando
Na mimi napokea watoto mapacha wakike na kiume katika jina la yesu Mungu atanifungua usikuwa Leo nashika mimba kwa uwezo wamungu naamin Mungu ananifungua
Alafu watu wanampiga vita huyu mtumishi. Tena wanaompiga vita wakristu tena makuhani. Sasa tunawaomba makuhani mnayempiga vita nyie si mna Mungu wa kweli Wapeni watu watoto. Wafungulieni watu biashara zao zilizokufa kwa giza. Jamani mwacheni mwamposa mungu anamtumia na yuko level ya juu sana kwenye issue ya kiroho
Ameni namshukuruu munguu dakika tano zilizo pita ali yangu ilikua sonzury ila sahivi najiskia uleuzito umeishaa ila nimebakiwa na jipuutuu kikwapan ila naamini nitapona kwajina la yes amen
Mtume mwamposa sasa ivi nimetoka kutukanwa na mwanamke anae nichukulia mpenzi wangu nataka amuache Tena mchana kweupe pia nataka mwanaume Aldi kwngu Tena aniowe mtume
Na mimi napokea watoto mapacha wakike na wakiume katka jina la yesu Ameeen
Baba mimi nimjamzito lakini nikikalibiya kujifuwa naotandoto mbaya nanikijifunguwa watoto wanakufa baba naomba msaadawako wakimaombi mimi naitwa kasekina muhando
Napokea double mapacha watano kwajina layesu amen
Nami najiungamanisha na madhabahu ya inuka uangaze, napokea watoto wangu mapacha katika jina Yesu
Wasio amini wasiamini 2 lakini Mungu yupo Yesu anayenda kupitia watumishi wake Hongera sana dada yangu furaha yako izidi mara 💯
Uyu Mwana Mume Mungu alie muvumuliya mkewe Mungu akubariki sana
Ushuhuda mkuu..Mungu wakumbuke wanawake wanaotafuta watoto.
Amen...napokea na mimi watoto kupitia ushuhuda huu kwa iman
Mungu akuongeze upako, mtumishi, God bless you,
Ameen namimi napokea mtoto kwa jina la Yesu
Ameni napokea kwa jina la yesu nipate amani Katika mtaa wangu
Kupitia shuhuda hii na me napokea mapacha wa3 mwezi huu ameeen
Nampokea mtoto samweli katika jina la Yesu Kristo mungu Kwa haki yako ufanye hima unifungue tumbo langu
Napokea double miracle kwa jina la Yesu
Madhabahu ya inuka uangaze maisha yangu yabadilike kwajina la yesu
Na mim napokea kwa jina la yesu🙏🙏🙏Na naaminiii one dey yessssss
Na Mimi naomba mungu nipokee watoto mapacha wakiki na wakiume kwajina la yesu🙏🙏
Amen jina la bwana lihimidiwe mungu amekutendea
Napokea mapacha ktk jina la Yesu
Mungu mteendee na Joyce kupitia hushuuda huu watoto mapacha wakike na wakiume kupitia hushuuda huu
in Jesus name napoke mtoto wakike na kiume amen
Napokea kwa imani
Kiukwl Mimi nampnda sna hyu mtumishi anajli sio Kama watumishi wengne wanaongea vitu mpka mtu unajiskia vbya Kama anakuaibisha mbele zawatu. ublikiwe baba🙏🙏🙏
Na mimi napokea watoto mapacha wakike na kiume katika jina la yesu Mungu atanifungua usikuwa Leo nashika mimba kwa uwezo wamungu naamin Mungu ananifungua
Amina mtumishi nami Napikea mtoto wa kike kwa jina la yesu
Amina Mungu wetu ni mkuu sana kwa imani yako atakutendea! Nami naamini kuwa atafanya na kufuta kila chozi
Amini
Seja lovado o nosso Senhorio Jesus Cristo. Aleluaaaaaaa
Nibarik na mm bwana
Mungu naomba unisaidie namm nipakate
Amen nami napokea MTT wakiume
Wow naamini kupitia ushuuda huu kazi ya mikono yangu itakua safi amen
Napokea na mm kwa jina la Yesu.💪💪
Nami napokea ktk jina la yesu
Sijui kwann watoto wa madhabahuni wengi wanakuwa wa kiume, GOD IS amazing
I'm sorry to bother me pppp
Pppppppppppppppppp the poi
Kwasababu watt wa kikee wamekuwa wengii kuliko wa kiumee na watt wa kiumee ni baraka
Kweli kabisa
Namimi napokea kwa jinala yesuu
Namimi napokea kwa jinala yesu
Ameen Ameen nataman kipnz chang nae apate mtoto,,,
Amen napokea miujiza wangu
Nami napokea masha kwa jina la yesu kristo,kupitia mazabau iii
Kilaaa sikuu nawaambia mungu Alie ziumba mbingu na ardhii anaishii hapa amuaminii embuu onenii mama alivyoo furahii huyuu jamanii atowahii kusahau hii mazabauu
Nikweli
Napokea kwa jinala yesu
I receive my twins in Jesus Mighty Name 🙏
Napokea na mm kwa imani kwa jina la yesu
Amen.NIMEPOKEA NA MIMI WATOTO IJN
Napokea mtoto kwa imani
Napoleão mtoto kwa amani
Ameen namimi nitampokea samweli wangu kwa jina la Yesu
Naitwa Deborah Petro naitaji wajukuu naomba mungu anipe wajukuuu
Amen pendo amepokea mwakan atajifungua mtoto kama huyo mama na atamshukuru mungu kwa hilo
AMEEEEEEEEEEEEEEEEE🤲🤲🤲🤲
Alafu watu wanampiga vita huyu mtumishi. Tena wanaompiga vita wakristu tena makuhani.
Sasa tunawaomba makuhani mnayempiga vita nyie si mna Mungu wa kweli
Wapeni watu watoto. Wafungulieni watu biashara zao zilizokufa kwa giza.
Jamani mwacheni mwamposa mungu anamtumia na yuko level ya juu sana kwenye issue ya kiroho
Mungu ni mwema
Amen napokea kwajina la yesu
Nampokea mtoto wa kiume kwa imani ni katika jina la yesu Amina!!!
Napokea katika jina la YESU
Amen
Glory to God glory to God
Ameni namshukuruu munguu dakika tano zilizo pita ali yangu ilikua sonzury ila sahivi najiskia uleuzito umeishaa ila nimebakiwa na jipuutuu kikwapan ila naamini nitapona kwajina la yes amen
Haleluyaaaaa 👏👏🙌 God is good all the time 🙏🙏
Naomba mstari unaosema: Bwana Yesu asifiwe. Matayo, Yohana, Marco, Luka. Nitajie huo mstari
Amina
Ahsante yesu kwakumpa mtoto mwanamke huyu ameni
Had nmelia!
Namuomba mungu nifaulu mtihani wadarasa lasaba amen
Napokea kwa jina la yesu
mungu nitendee nipate mume na mtoto
Mi gemima 🙏🙏🖐️🖐️🖐️🇨🇩🇨🇩
Namm naomba mungu aniponye kwa jina la yesu amen.
Ameeeeen 🙏🙏
Pia nataka watoto baba am Annrita kirimi and Nicholas mwika
Mungu ni mwaminifu napokea kwa jina la yesu
Mtume mwamposa sasa ivi nimetoka kutukanwa na mwanamke anae nichukulia mpenzi wangu nataka amuache Tena mchana kweupe pia nataka mwanaume Aldi kwngu Tena aniowe mtume
Nappkea kwa jina la.yesu
Amina nami nitapokea linawezekana
Napokea Kwa jina LA yesu
Amina namimi Leah nitapokea kwaimani
Amina napokea kwa jina la yesu watoto mapacha
Namshukuru mwamposa kwa baraka zake
Mwasiti
Kwa YESU yote yanawezekana
heemungu tufungulie nasisi
Napokea mapacha wakike na wakiume kwa jina la yesu
Mungu yu mwemaa
Napokeaa mtot wa kiumee kwajina la yesu
Nimelia kwa. Furaha nami Mungu attafannya
Wow, mungu ni mwema sana 👏👏🙏🙏
🙏
Mungu ni mwema kweli. Lakini siyo Yesu. Luka 18:18,19) alikataa.
mungu nimwema
Naomba maomba na mim tufunguliwe familia yetu mimi sarafina mwinuka
Napokea na mimi watoto mapacha wakike na wakiume kupitia hushuuda huu
Mungu yupo na wanaume wema wapo
Naombea ndoa yang nanitaka nizae watoto mapacha wakike
Oky obrigado ❤asante
nami naamini mwenyezi mungu atanisaidia naamin nitabarikiwa mara mbili
Asilimia mungu wakweli yuko arise any shine
Mungu kupitia madhabahu hii ya inuka uangaze NAMI nishuhudie kitu leo
Mungu nikumbuke na mimi fungua tumbo langu naitaji mtoto🙏🏼 😭😭
Amen utapata mama
Napokea baraka za watoto katika jina la yesu
Madhabau ya inuka na uangaze nisaidie ugonjwa wangu unaonitesa upone na utoke ndoa yangu iwe ya upendo na mme wangu anipende aachane nawanawake wa nje
Nami napokea kwa imani🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏
Mungu akubaliki baba
Samuel mtoto wa baraka nakuhitaji kwa maisha yangu.
Nataka mwanaume amuache yule Alie nitukana leo yesu anitendee miujiza nimepokea
Ameni.
Napokea Muujiza wangu na mimi
Napokea uja uzito kwanzia sasa 2024 kwanzia mwenzi wa pili nitakua mja mzito napokea
Amina mtumishi wa mungu
Na mimi nipokee mimba ya watoto mapacha wa kiume na wa kike kwa imani 🤰🤰
Waongo
Nataka nipate mtoto wakike na niweze kubaliki ndoa napokea kwa damu ya yesu
Na Mimi pia nime pokea mapacha wangu wa kiume kwa mwezi huu naishi Mozambique