🛑FRIJI BOVU: AUKUBALI MZIKI WA AWESU AWESU NA VALENTINO MASHAKA, AHOUA BADO ANAPOTEZA MIPIRA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • FRIJI BOVU: AUKUBALI MZIKI WA AWESU AWESU NA VALENTINO MASHAKA, AHOUA BADO ANAPOTEZA MIPIRA #simba #footballclub #simbasc #wasafi #yanga #azamfc #football #live #globaltvonline #millardayo

КОМЕНТАРІ • 50

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 23 дні тому

    Mashabik wenzngu wa simba simba yetu bdo lkn tuwe wavumilivu team mpya hii,,,tumefurah sababu tumeshinda lkn tungefungwa sidhan km tungesema mpira ulikuwa mzur,all in all kove you simba for lever,,tuiombee sana team yetu maadui ni weng sanaa❤❤

  • @dhulkifl2208
    @dhulkifl2208 22 дні тому

    Nimapema sana kuwajaji wachezaju tuwaache walau mechi 5 na sio sasa

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 23 дні тому

    Friji bovu uko sahih sana Hamza ni mtu ila Ahua tunaomba acheze kitim anakuwa mchoyo

  • @mariaraphael5463
    @mariaraphael5463 23 дні тому

    Tumwombee mukwala mungu amsaidie wazee kufunga🙏🙏🙏🙏

    • @user-cg4gi3no7r
      @user-cg4gi3no7r 23 дні тому

      Skiliza sio kumombea mess ana kwenda psj mechi tano bila goli mkwala kacheza mechi ngapi huyu mnasikiliza yye ana piga pesa kumsikiliza ana piga pesa miyeyusho tu

  • @Omarymatelephone
    @Omarymatelephone 24 дні тому

    Hamza yuko vzr pasi zake ni nzuri Sana inafika

  • @johntulio2644
    @johntulio2644 23 дні тому

    Ni mapema mno kusema wachezaji hawafai, mpira Sio draft bn!!!

  • @jumanneselemani2172
    @jumanneselemani2172 23 дні тому

    Kwani goli.alilofunga Malon mpira ulitka kwa nani kama siyo Haua

  • @YusuphAlly-y9o
    @YusuphAlly-y9o 24 дні тому +1

    Kwani 3 ulitaka gapi weew

  • @user-oz7qj7vs2k
    @user-oz7qj7vs2k 23 дні тому

    Pia Mimi namlaumi msemaji anawatangaza sana wachezaji , anashani kuw wote wanàipenda Simba kwaujumla msemaji anakosea sajili nyamaza hao hao wachezaji waneshikwa amimi usiamini ,msemaji umealibu kusifia wanakusikia wakasema ngoja tuje tuwaone wameshikwa

  • @Sanjey-vp1fm
    @Sanjey-vp1fm 23 дні тому

    Mm ndio maana cpendi sana kuwackiliza wachambuzi wa mpira wa Tanzania maana wanakurupuka sana kumjadili mchezaji, wachezaji wachache sana wanaokuja ligi ya Tanzania wakang'ara moja kwa moja so ninachokuomba kwa wana simba wenzangu musifuate mkumbo wa maneno ya wachambuzi kwasasa wacha tushinde huku timu ikiendelea kuzoea ligi yetu.

  • @user-mo9xd8es1j
    @user-mo9xd8es1j 23 дні тому

    sio hna kitu ww sema bdo anashindwa kukuamini hta chama alipokuja hakuwakatu baada ya mda ndio chama akaonekana

  • @AshaNchira
    @AshaNchira 23 дні тому

    Yanga wanaanza kuturoga haiwezekani wachezaji kama hao wakimataifa wacheze levo hiyo yanga wachawi tusipo jiangalia ndg zangu ni hatari.

  • @user-oz7qj7vs2k
    @user-oz7qj7vs2k 23 дні тому

    Aya hauwa kalogwa , wote alowàaifia semaji wameshikwa ,watibieni muone watavyo fanya kazi nzuri mi nawambia ujui kusima na picha huitambui MOO POLE. USIPOCHUKUWA. HATAMU CHANGAMKA BADO ASUBUHI wachezaji wako ni wazuri sana ila changamka

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 23 дні тому

    Kwani hata wananyanga ukimjadili mchezaji mmoja wako vizr sana magoli wanayakosa mangapo tuachieni simba yangu

  • @andrewmuya7212
    @andrewmuya7212 23 дні тому

    Friji bovu acha kuongelea simba vibaya wachezaji wetu mda Bado.Azizi ki alikua ivyo alivosajaliwa na yanga

  • @SimonMwashitete
    @SimonMwashitete 23 дні тому

    Mpira unaujua kaka nakusapoet kabisa Yan me mnyama laiv

  • @user-oz7qj7vs2k
    @user-oz7qj7vs2k 23 дні тому

    Kama unasema timu inalogwa waone viongozi ili kuchukuwa hatua wasilongwe ,

  • @VascoKasambala
    @VascoKasambala 23 дні тому

    WE NDO ZUZU TIM IMESHINDA GOLI3 UNASEMA BADO WE KITUKO

  • @user-oz7qj7vs2k
    @user-oz7qj7vs2k 23 дні тому

    Na mwisho wanataka muqaache wawacheke msipate ubigwa na itapika hamtapata wachezaji wZuri kwani wataidharau tim MOO kUWA MAKINI KAWATIBIE HAOWACHEZAJIWAKO UTAPAMATOKEO ukiyadhalaua haya uatajuata baadae.

  • @rahemakapara1073
    @rahemakapara1073 24 дні тому

    Hilo la mazoezi mimi sijui hayo mambo ila nikasema hee ndio mazoezi yenyewe

  • @OmayAlly
    @OmayAlly 24 дні тому

    Kwel bro nmekuelew

  • @johnlusingu3491
    @johnlusingu3491 23 дні тому

    Wachambuzi waBongo utadhani wao waliwahi kucheza mpira. Hovyo

  • @drallan6879
    @drallan6879 24 дні тому

    mpira ni magoli acha Ku underrate Simba fridge bovu

  • @jumachum8647
    @jumachum8647 23 дні тому

    unaonekana siyo mtu wa mpira unazungumziya mhemko

  • @user-qw9zu3ly8m
    @user-qw9zu3ly8m 23 дні тому

    Wewe kaka shoga nini ulivhokiongea ata sikuelewi

  • @IssaMkuki-f4j
    @IssaMkuki-f4j 23 дні тому

    Umeshinda kwani ulicheza wewe, wewe kacheze mechi Yako kitandani kwako.

  • @AbasBendela
    @AbasBendela 23 дні тому

    tuwapemda jamani badimapemasana

  • @cassimjohar1694
    @cassimjohar1694 24 дні тому +1

    Nakufatlia sana wakati mwengine unabutua una blem wachezaji ndiokwanza mechi ya kwanza tayar hawafai kwako sio chunvi wala sukar usikurupuke vuta subra wewe

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman4894 23 дні тому

    Ahua amesahau kazi yake anataka afunge yy mwenyewe unadhani mukwala atapata wapi mipira

  • @YusuphAlly-y9o
    @YusuphAlly-y9o 24 дні тому

    Timu inagoli 3 hujuikituww kwenda huko

  • @emanuelmwampashi9009
    @emanuelmwampashi9009 24 дні тому

    Charles Ahua hawezi kuvaa viatu vya chama hana uturivu kabisaa anamapepe tu

  • @user-oz7qj7vs2k
    @user-oz7qj7vs2k 23 дні тому

    Uwenda mkwla pia kalogwa kwanini aweivyo viongozi changamkeni, pia wewe friji bivu acha kumsemasema sana mukwLa huyo kalogwa , akajitibu

  • @emanuelmwampashi9009
    @emanuelmwampashi9009 24 дні тому +5

    Kaka umeongea ukweli kabisaa simba hawanakasi kabisaa tumeshinda lkn mpila hauvutii kabisa na pia eneo la umaliziaji hakuna kabisa hawapres kabisaa Simba bado tunakitu chakufanyaaa😮

    • @dicksonbenard1741
      @dicksonbenard1741 23 дні тому +1

      Ww ulitaka mpira wenye kas gan jifunze kuangalia nakutoa fact ya mpira ulivyo, Simba hawakua na kas ile kama uliyo itarajia kwasababu mpinza wake kupaki bas zaid ya dk 87 kwan wakat Simba anamilk mpira tabora walikua mara zote kwenye zone yao zaid ya wachezaji 8-9 ili kufanya blocking kwenye eneo lao kwa hal hyo ikaufanya mchezo kuwa wakimbinu zaid, ndio maana mwl alipo bain akafanya sub ya washambuliaj wengi ili kuifungua saf ya tabora ilyo kua mda wote ipo kwenye lango lao, ndio maana unaona baada ya ile sub Simba il pres mpira wa kasi na ikaifanya saf ya mabek kukosa utuliv mda wote nandio maana ikapata matokeo hayo

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 23 дні тому

      Ivi unajua maana ya kupress au umelisikua tu na unaandika , sasa kama timu imepaki basi na mpira unao wewe hiyo pressing unaipataje wakati hampishani?

  • @user-hs7um1rf8s
    @user-hs7um1rf8s 23 дні тому

    wengine humu ni machoko vipi simba wakimbize wakati tabora wamepaki basi acheni usenge mpira hamjuwi mafikili mpira nikama kunyonya mboo kuma zenu za nyuma zinanuka mavi

  • @hamidoungoma4301
    @hamidoungoma4301 24 дні тому

    Kwasasa Simba hii ligi anaichukulia kama kupanga kikosi chake kwaajili ya mashindano ya kimataifa, wanachokitaka ni ushindi tena isiwe magoli mengi, ufundi muliona kwa Yanga, sasa ufundi umehamia Caf,mutapata burdani huko, hapa ki point 3 tu

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 23 дні тому

    Asante simba yetu ,Mungu asiwache wachezaji wetu awalinde na hatari
    Goli 3 zimepqtikanaje tunashukuru kwa hilo

  • @suleimanali6939
    @suleimanali6939 24 дні тому

    TUMEVUTIWA NA MPIRAAAAAA
    TUMEVUTIWA NA MPIRAAAAA
    TUMEVUTIWA NA MPIRAAAAA

  • @user-oz7qj7vs2k
    @user-oz7qj7vs2k 23 дні тому

    VIONGOZI WA SIMBA CHANGAMKENI ,AYA MKIDHARAU JUU YENU SUBILINI KUCHEKWA MI NAMLAUMU MSEMAJI KUSIFIA WACHEZAJI UNAWAWEKA WAZI KWANINI

  • @YusuphAlly-y9o
    @YusuphAlly-y9o 24 дні тому

    Hakuna mchezaji AmBAR hafai pale mechi yakwnza heee

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 24 дні тому

    Hawa walijifunza wapi uchambuzi

  • @niyangupima5407
    @niyangupima5407 23 дні тому

    Wewe jamaa acha uchambuzi uchwara,Chama,Miquisone na Mugalu walipofika Simba walikua wanaanzia benchi bnw

  • @PeterJustin-ke5mk
    @PeterJustin-ke5mk 24 дні тому

    Unataka kasi ya aina gn wewe acha ushamba muhimu magoli na point 3 pia mfahamu mpira unautarabu wake ma speed yakwenda wapi

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 23 дні тому

    We jamaa na wewe ni bwege , hujui kama siku ya yanga na wao atleast walikuwa wanajitahidi kushindana? Sasa watu kumi na moja wako nyuma ya mpira unawezaje kufanya kasi na pressing, hebu mjielewe.

  • @mohamedguveti5372
    @mohamedguveti5372 24 дні тому

    Tatizo tabora walikuwa nyuma muda wote,,watakimbizana na nani?ungekuwa moira wa kupishana ungeona kasi,,pia timu bado kufahamiana,,msiwape pressure wachezaji,,wachambuzi msituharibie timu

    • @marthamsacky6973
      @marthamsacky6973 23 дні тому

      Ndio ujuylize mpira wenyewe wapinzani wametulia tuu wanasubiria mpira upelekwe hivi hiyo kasi wanayoitaka ingetokea wapi jamani

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY 23 дні тому

    WACHAMBUZI WAMCHONGO MNTAENGENEZA PRESHA KUBWA KWA WACHEZAJI.
    AHOUA AMETENGENEZA ASSIST MOJA.
    MUKWALA ANACHEZA VIZUUR.
    MNAONGEA POROJO MNAHARIBU TEAM.
    MIHEMKO MINGI

  • @AshaShariff-lr6ry
    @AshaShariff-lr6ry 23 дні тому

    Jamani tusubiri tuone mmbape nae ataanza kufunga kuananzia mechi ya ngapi? Maana jana hajafunga wachambuzi wa,bongo ndio mnaya kuza wajinga nyie