MAGIC SCHOOL | ep 17 |

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 378

  • @JacklinebosiboriMomanyi
    @JacklinebosiboriMomanyi 8 днів тому +29

    Yaani huku watu wa kasongo ndio wengi😂😂😂😂mnipitieni basi na mimi❤❤

  • @NtacobanzizaLeatitiazilfa
    @NtacobanzizaLeatitiazilfa 8 днів тому +14

    Yani Awa wakina misodo na mandoga Wamenifurahisha kurogana wenyew kwawenyew Asant sana❤❤

  • @jacquelinemuthina
    @jacquelinemuthina 8 днів тому +97

    Tuliokuwa tumesubiri episode 17 piga like,,watoto w kasongo mpo😂😂😂

  • @RoseAchungo-lo9pn
    @RoseAchungo-lo9pn 8 днів тому +36

    Tulikuwa tumeisubir episode hii, Kwa hamu na gamu😊 kaz Bora dubu❤ wap wakenya wenzangu weka lik za dubu jaman🇰🇪

  • @BahaDePrince
    @BahaDePrince 8 днів тому +25

    Endelea kununua wanawake pombe na kwenyu mlango ya choo n gunia,
    First to watch from Kenya 🇰🇪 the

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 8 днів тому +10

    Oyooooooooo ❤❤❤❤Mashallah mungu abaliki sana kazi zenu

  • @Shukuru2535
    @Shukuru2535 8 днів тому +12

    Kwa Wale wanao Amin yesu Kristo Kua ni bwana n'a mwokozi Wa maisha yake weka neno amina

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 8 днів тому +11

    🎉🎉sasa move imekua jmn mmewahi hongerani sn🎉🎉❤❤😂😂Dubu maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ThomasWilliam-k5h
    @ThomasWilliam-k5h 8 днів тому +4

    Kazi nzuli sana Dubu ila jitahidi kuwahisha maana tunasubiri mpaka tunachoka Mungu akuongezee nguvu tuko pamoja na wew

  • @anniesylivester4100
    @anniesylivester4100 8 днів тому +9

    ila hawa vijana wa kuwasumbua wenzao naona wanauana nguvu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wao kwa wao

  • @KapendFiston
    @KapendFiston 8 днів тому +3

    Kwa kweli kazi nzuri sana ongereni Sana timu Yote mzima nimeona tunataka kufika mwisho wa filamu ii

  • @NassorMohd-v5o
    @NassorMohd-v5o 8 днів тому +10

    Kwaiy dawa ni kokakola 😂😂😂😂

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 7 днів тому +3

    😂😂😂😂😂😂hii movie naipenda Sana ❤❤ wakenya bila Shaka twainjoi PAMOJA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Msaniitz
    @Msaniitz 8 днів тому +5

    Kaka dubu kazi yko Ni nzuri Sana nilikua nimesubiria Sana atimae umetuletea ahsante saña Kaka dubu tutazidi kuipenda kazi zako zoote ❤❤🌹🌹🌹🌹🌹

  • @RafhaelMutha
    @RafhaelMutha 8 днів тому +32

    Wangapi wanampenda kitorondo kama mimi 🎉🎉🎉

  • @عائشهعبدالله-ي7ب
    @عائشهعبدالله-ي7ب 8 днів тому +5

    Dubu umeyatiba jmni siri itajulikana ssa 😢😢😢😂😂❤❤❤❤

  • @SimonMutembei-hs9om
    @SimonMutembei-hs9om 8 днів тому +17

    Wajanja wameanza kumalizana wenyewe😂😂😂

  • @OmarChaka-qv5ro
    @OmarChaka-qv5ro 8 днів тому +11

    Safi sana dubu lakn unachelewa❤❤❤❤

  • @FatumaChizi-m2n
    @FatumaChizi-m2n 7 днів тому +1

    Aky magic school imekuwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nawapenda sana nyote Mungu awazidishie umarufu zaidi

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 8 днів тому +7

    Wow leo nimekuwa wa kwanza tulokuwa tukiisubiri kwa hamu tujuane❤🎉

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 8 днів тому +3

    Chobi pole sanaa kaka unampenda kitorondo na kitorondo kapenda mwingine hivi ndivyo dunia inaenda jipe moyo mandonga anakupenda pia😂😂

  • @EyecandieDr
    @EyecandieDr 8 днів тому +4

    Wow beautiful we love u as Kenyans keep it up ❤

  • @Teresacarlosmucavei
    @Teresacarlosmucavei 8 днів тому +3

    Dubu nime ipenda sana kazi zako, karibu kwetu mozambique

  • @MichaelMikeMwangi
    @MichaelMikeMwangi 8 днів тому +20

    Mbna episode Zina chelewa Sana dubu

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 8 днів тому +41

    Utakayesoma hii comment mungu akubaliki ww na uzao wako 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @AbednegoMselela
    @AbednegoMselela 8 днів тому +11

    Jamn ila kitolondo mrembo jamn mungu kamuumba😊😊

  • @JacklineCharles-r1x
    @JacklineCharles-r1x 8 днів тому +7

    Very nice keep it up Dubu❤🎉

  • @ASIADONASIA
    @ASIADONASIA 8 днів тому +3

    Safi sana dubu mpango wako ulikuwa mzur sana..❤

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 8 днів тому +8

    Leo mapema2 tunainjoi na magic school 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SophiaMabula
    @SophiaMabula 8 днів тому +2

    Jmn jmn wiki nzima daaaah ay bn dubu jitahid xna kuwahixha had 2naxahau❤❤❤

  • @MonicahMogere-c4q
    @MonicahMogere-c4q 8 днів тому +3

    Kazi nzuri sana dubu🎉🎉🎉🎉

  • @JasminMadege
    @JasminMadege 8 днів тому +3

    Nmeelewa sana hii move so msiwe mnaichelewesha 😅😅😅

  • @RyanGerald-j2u
    @RyanGerald-j2u 8 днів тому +2

    Kazi nzuri san dubu🎉🎉🎉

  • @Fbmovie254
    @Fbmovie254 8 днів тому +3

    Dah asante sana kaka dubu Kwa mafunzo ❤from kenya

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 8 днів тому +3

    Kazi nzr 🎉🎉🎉 wabaya wamesha logana😂😂

  • @Mamylizzy
    @Mamylizzy 7 днів тому +1

    Hongera kaka dubu kazi nzuri❤❤❤❤❤

  • @elizabethmanya4399
    @elizabethmanya4399 8 днів тому +3

    Hongera dubu kwa kuwahisha ep inayofuata🌹🌹🌹

    • @elizabethmanya4399
      @elizabethmanya4399 5 днів тому

      Tunakisapoti kwa kila hali pia usicheleweshe sn.mimi ni mshabiki wako sana

  • @lisahke
    @lisahke 8 днів тому +3

    😂😂😂😂yaani wamerogana wenyewe kwa wenyewe😂😂🎉

  • @SonBoe-j2i
    @SonBoe-j2i 8 днів тому +1

    Mchez wa chingi, pacome, na mwandonga mchezo wao mzur san😅😅

  • @HaythamRamadhan
    @HaythamRamadhan 8 днів тому +8

    Leo wa Kwanza kaz nzur san🎉

  • @Younomane
    @Younomane 8 днів тому +3

    Ira uyu nimwarimu bora rukumba🇿🇦🤝

  • @Lidya-e1i
    @Lidya-e1i 8 днів тому +2

    ❤❤❤apa sasa kutakuwa na uadui kati ya chobi na Dubu,

  • @marietacristovao1387
    @marietacristovao1387 8 днів тому +3

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @RAJUBAIBAHUBARI
    @RAJUBAIBAHUBARI 8 днів тому +2

    Unyama 2 wanangu kwa Dubu@@🎉🎉❤❤

  • @ZZawadi-s5v
    @ZZawadi-s5v 8 днів тому +3

    Chobi punguza wivu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @OrnellaNdabarushimana
    @OrnellaNdabarushimana 8 днів тому +17

    Tunaowo amini kwamba ep inayo fwata niya finally gonga like 🎉

  • @Ludovickmunishi
    @Ludovickmunishi 7 днів тому +1

    Mambo ching na mandonga ni both team to score😂😂😂😂😂😂

  • @SaidiNgomwa-f4l
    @SaidiNgomwa-f4l 8 днів тому +4

    nani kaona sigda ya mwarimu moto kama na ww umeona usisome bira kulike👍👍

  • @NamamuraAdel
    @NamamuraAdel 2 дні тому +1

    Dubu kazi nzuri sana🎉

  • @MariamSalimu-z2g
    @MariamSalimu-z2g 8 днів тому +5

    Dubu nshakupenda siwezi ishi bila ww

  • @princeliy1175
    @princeliy1175 8 днів тому +11

    Hii ndo maana ya UBAYA UBWELA😂❤😅

  • @HappyMapya-d7l
    @HappyMapya-d7l 8 днів тому +1

    Hatimae bàada ya kusubili kwa muda mrefu 🎉🎉🎉❤❤

  • @ZaiA.Mondia
    @ZaiA.Mondia 8 днів тому +6

    Jamani hii move naipenda ila nyani ngwengwe na moto waivunja mbavu zangu

  • @EmmyPande
    @EmmyPande 8 днів тому +1

    Napenda kazi unazifanya dubu kazi nzuri ❤❤

  • @joufflyngmutangaza306
    @joufflyngmutangaza306 8 днів тому +1

    Intéressant les gars 🔥🔥🇨🇩🇨🇩

  • @GloryWillson
    @GloryWillson 8 днів тому +3

    ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 naipenda hii dubu ❤

  • @HamisiMachinda
    @HamisiMachinda 8 днів тому +1

    Kazi nzul sana dubu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @vincentgeorge178
    @vincentgeorge178 8 днів тому +4

    Naikubali sana hii kitu 🔥🔥

  • @ShaniMtandi
    @ShaniMtandi 8 днів тому +4

    Tumesunir sana ❤

  • @OmaryRamadan-m8v
    @OmaryRamadan-m8v 8 днів тому +1

    😂😂😂misondo wamejichimbia shimo wakaingia wenyewe

  • @EdmondOmete
    @EdmondOmete 8 днів тому +1

    Mko safi sana❤❤❤❤

  • @bigstonemcb9171
    @bigstonemcb9171 8 днів тому +2

    Escola de magia, Magic school gostei muito

  • @DainesWilliam
    @DainesWilliam 8 днів тому +10

    Nimewah jmn mnipe like 10 ❤🎉🎉twende pamoja

  • @LebonAlliance
    @LebonAlliance 8 днів тому +5

    Leo nimewayi naomba like 🎉🎉🎉🎉

  • @NathanaelKontawa-h6y
    @NathanaelKontawa-h6y 8 днів тому +2

    Kazi nzuri dubu Ila Nina ombi fanya movie kwa ajiliyangu love school isiwe na unjawi

  • @EliakimuKipeta
    @EliakimuKipeta 8 днів тому +4

    Tukumbuke na Ibada mwasababu kuna majanga mengi mtaani kam ushoga ,uasherati,ulevi.

  • @FikiriKenga
    @FikiriKenga 7 днів тому +1

    Hii ni episode nzuri sana💥💥💯💯

  • @Anna-e8q4h
    @Anna-e8q4h 8 днів тому +4

    Jaman tunasubr kwa ham halaf wanna tup vty hahaha penda san dubu🤫🩸

  • @thomasiankalua-v8y
    @thomasiankalua-v8y 8 днів тому +3

    Nice nilikua naisubilia sanaaaa

  • @BrotherAmbu-pf3vi
    @BrotherAmbu-pf3vi 8 днів тому +13

    Niko wakwanza like zng jmn🤜🤛

  • @Emilymama2boys
    @Emilymama2boys 8 днів тому +1

    Waaah Yani wachawi watatu wanarogana wenyewe kwa wenyewe😂😂😂😂

  • @SaidMnachilah
    @SaidMnachilah 8 днів тому +11

    Leo raisi mama samia amezaliwa happy birthday kwake kazaliwa Leo raisi wetu naomba like zake ❤

  • @Samiyabahatinanti
    @Samiyabahatinanti 8 днів тому +1

    Baba na cobi na mkubari🎉🎉🎉❤

  • @AbednegoMselela
    @AbednegoMselela 8 днів тому +3

    Oyaaa weeee kuna vita mpya inakuja ya chobi na dubu

  • @LazaroMakelemo
    @LazaroMakelemo 8 днів тому +2

    Nyie wenye nguo nyeupe. Hamna maarifa.
    Mnaongea mambo yenu waziwazi kwa sauti kubwa. Bila kutumia lugha za kikamanda🧭

  • @GrandePiquiGrande
    @GrandePiquiGrande 8 днів тому +4

    Tunao tazamá hiiii movie yetu ya Magic school tukiwa kitandani tujuwane apo kwenye like 🇲🇿🇲🇿🇲🇿👏👏👏

  • @alitante4279
    @alitante4279 8 днів тому +2

    Style ya Asante kwa wem wko 😂

  • @TONNYONDEGO
    @TONNYONDEGO 8 днів тому +6

    Nmependa kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪💯

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 8 днів тому +4

    Mandonga hiyo style ya asante kwa wema wako ndio ipi hiyo

  • @NyagiroJared
    @NyagiroJared 8 днів тому +7

    Good and nice work

  • @ahmedmohammed9394
    @ahmedmohammed9394 8 днів тому +7

    Dubu is here ❤❤❤🔥🔥🔥🙏👍

  • @marymuli-cu6dq
    @marymuli-cu6dq 8 днів тому +4

    Wa kwanza leo kutoka kenya wapi likes zangu

  • @lizchepkorir2000
    @lizchepkorir2000 8 днів тому +1

    Kazi nzuri sana dubu❤️🔥🥳yenye mafunzo sana kwanza hapo part ya misondo chingi na mandonga it really happens in real life eeh mwenyezi mungu tusaidie ila nimependaa😹🥳❤️🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Nochathegreat
    @Nochathegreat 8 днів тому +5

    Bro Dubu na me nna kitu npe Nafasi nioneshe Talent🤦‍♂️✊🙏🔥 🔥

  • @RevinaJonathan
    @RevinaJonathan 8 днів тому +5

    Wakwanz Leo jamn uwiiii like zangu🎉 Oman

  • @ZalhaMbarka
    @ZalhaMbarka 8 днів тому +1

    bila shaka tupo mwishoni sie wapangaji move tushajua😂😂😂😂😂tunawapenda❤❤❤❤❤❤

  • @KingKibo-xp4ny
    @KingKibo-xp4ny 8 днів тому +3

    Safi Sana ila mujibidishe munakaa Sana bwana #Kenya tunaburudika

  • @Guyfleury17
    @Guyfleury17 8 днів тому +2

    Asante sana Dubu pamoja na team yako,lakini munachelewesha sana

  • @mjubah_jr
    @mjubah_jr 8 днів тому +15

    Wakwanza leo like kwangu😂😂

  • @HamisiSadiki-z4j
    @HamisiSadiki-z4j 8 днів тому +1

    Oya mmechelewesha Sana Wana mpaka nilipagawa 😢😢 yaan

  • @ChristinaJonathan-wh3wq
    @ChristinaJonathan-wh3wq 8 днів тому +4

    Awamu hii dubu umewaixha sna yaan mpk raha

  • @ajesterkalulu7927
    @ajesterkalulu7927 8 днів тому +1

    😂😂😂😂😂yaani wahuni wamegeukana wote

  • @odigahildah4176
    @odigahildah4176 8 днів тому +1

    Good work keep it up ma Mungu awalinde

  • @EmmanuelMasigati
    @EmmanuelMasigati 8 днів тому +2

    Kazi nzuri sana

  • @LUCYMASUNGA-p2b
    @LUCYMASUNGA-p2b 8 днів тому +3

    Naombeni like zangu leo jaman 😢 dubu umetisha leo mapema sanaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @EstherApeli-z8i
    @EstherApeli-z8i 8 днів тому +2

    Ni nice 👍

  • @fatumaandrea247
    @fatumaandrea247 8 днів тому +1

    Chobi mbona unahasira 😂😂

  • @GgGgg-z8x
    @GgGgg-z8x 8 днів тому +1

    Jamanieee kazi nzuri nawapenda bureeee bt msicheleweshe part (18)❤❤❤

  • @saidibrahim2459
    @saidibrahim2459 8 днів тому +3

    Anachelewa sanaa wakati huku anakubalika

  • @MalikiMikidad
    @MalikiMikidad 8 днів тому +2

    Nomaaa sanaa💪💪