EXTENDED HIGHLIGHTS: YANGA 4-0 DOM JIJI| PACOME,AUCHO,MUDATHIR WALIVYO CHOCHEA MOTO WA DUBE NA MZIZE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 гру 2024
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 61

  • @fatmaomar8335
    @fatmaomar8335 13 годин тому +10

    Kila la kheri inshaallah yanga bingwa daima mbele nyuma mwiko 💚💚💛💛

  • @triceyanga
    @triceyanga 10 годин тому +6

    Admin asante sana kwa highlights ndefu ambao hatujaangalia game tunaenjoy na sisi

  • @SamuelDrake-hm5db
    @SamuelDrake-hm5db 14 годин тому +5

    Yanga bingwa

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 13 годин тому +5

    Asande MUNGU BABA na MWANA na ROHO MATAKATIFU ameeeen Hongera Sana nyote kazi nzuri kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga shalom

  • @hekimalaurent5127
    @hekimalaurent5127 41 хвилина тому

    Gusa achia, twende kwao
    Asante admini

  • @mgobanyapazi7738
    @mgobanyapazi7738 13 годин тому +6

    Gusa achia twende kwao
    Highlights 50mins
    Hongera sana

  • @KaungaDory
    @KaungaDory 13 годин тому +2

    Ila Bacca Mungu akutangulie baba unalinda sana nawenzako hongeren sanaa nawapendaa wachezaji wote 🎉🎉❤❤❤❤

  • @jacksonbuyungu9510
    @jacksonbuyungu9510 3 години тому

    I love ❤️ 😍 💖 ❣️ ❤❤❤yangaaaaaaaa

  • @KaungaDory
    @KaungaDory 13 годин тому +3

    Nimependa vile kocha anashangila pamoja na bench la ufundi😂🎉🎉❤

  • @MariamSittha
    @MariamSittha 11 годин тому +2

    Mwaga makopakopa kwayanga yetu💛💛💚💚

  • @lusanalusana-o3h
    @lusanalusana-o3h 11 годин тому +2

    Yanga bungwa

  • @KaungaDory
    @KaungaDory 13 годин тому +2

    Itoshe kusema asanteeee sana mwenyez Mungu kwa zawad ya ushindi nakutufanya tufurahie sherehe ya Christmas

  • @FemidaYahaya
    @FemidaYahaya 5 годин тому +1

    Admin Barikiwa sana...Daima mbele Nyuma Mwiko

  • @justinekinyaga6012
    @justinekinyaga6012 2 години тому

    Gusa achia twende kwaooo ❤❤❤

  • @AzizaBasawa
    @AzizaBasawa 12 годин тому +2

    Mungu nimwem 🎉 yang bingwa

  • @edwinmchele3002
    @edwinmchele3002 13 годин тому +2

    jaman hapa nawapongeza sanaaaa mashabiki wa yanga tulihitaji sana hizi highlights ndefu namna hii hongereni sanaaa

  • @Omaryyahya-v8o
    @Omaryyahya-v8o 11 годин тому +2

    One love DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
    3:36

  • @liliansiima6914
    @liliansiima6914 57 хвилин тому

    Asante nimeenjoy km vile nimeangalia mechi live

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 10 годин тому

    Naipenda yanga kuliko kula ❤❤😂😂🎉🎉🎉

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 8 годин тому +2

    Gari limewaka ni mwendo wa 4G 🎉🎉🎉🎉

  • @youngibraaH-l4c
    @youngibraaH-l4c 13 годин тому +1

    yani kama movie vile kudadaki👊👊👏

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 6 годин тому

    Baaa kubwa, highlight ya maana , Azam wanazingua na highlights zao, muwe mnatuwekea kama hivi , Big Up YANGA TV

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 3 години тому

    Man sha.Allah kazi iendelee

  • @mussamwampamba
    @mussamwampamba 13 годин тому +3

    Hakika yanga bingwa

  • @Tassyomy
    @Tassyomy 13 годин тому +3

    Duh..Leo Highlight.. Dk 50 Haki Ya Mungu Wananchi Tunainjoi Na Miudambu Udambu Ya Gusa Achia Twende Kwao..😂

  • @qayzersosa5222
    @qayzersosa5222 11 годин тому

    Mzize ana kaba sana good performance

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 11 годин тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jacksonbuyungu9510
    @jacksonbuyungu9510 3 години тому

    I love you yangaàaààa

    • @jacksonbuyungu9510
      @jacksonbuyungu9510 3 години тому

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤yanga ni kama Barcelona

  • @JaphetSamwel-p6i
    @JaphetSamwel-p6i 13 годин тому +2

    Hii ndo yanga tuyoihitaji na hapo bado hawajasema.

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 11 годин тому +2

    MI NINAOMBA YANGA TV MUWE MNARECORD NA KUITUPIA HAPA KWENYE CHANEL YETU KWANI MNAONYESHA MPIRA WOOTE

  • @ErickMichael-d9h
    @ErickMichael-d9h 11 годин тому +1

    Yani mpaka wasemeee 2mejipata😅

  • @shafiimohamedi311
    @shafiimohamedi311 12 годин тому +1

    KAZI imeanza sasa

  • @WilsonClement-z5f
    @WilsonClement-z5f 10 годин тому +1

    Mbona bingwaa kila mmoja analijua hiloo

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 13 годин тому +2

    Nawapenda sana ila wachezaji mjitahidi msiwe mnaridhika na magoli machache ikiwa huwezekano wakufunga mengi mnayo magoli mengi pia yanaraha yake kwasisi mashabiki naimani mtaongeza umakini golini nafasi nyingi mno zawazi mnazikosa au mawasiliano baina yenu yanakosekana pasi xinapotea ambazo zingekuwa magoli

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 13 годин тому +3

    Mzinga ukiwa tuna bahati na wewe na arajiga

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 13 годин тому +1

    Huyu goli keeper wa dodoma jiji mzembe sana anaacha lango wazi anatembea kati kati ya uwanja

  • @petromihayo8632
    @petromihayo8632 4 години тому

    HIii ni Idea Nzuri

  • @byabe870
    @byabe870 12 годин тому +1

    Mbona mapema leo

  • @MOHAMEDBALOZI-o9d
    @MOHAMEDBALOZI-o9d 3 години тому

    Yaap,mwendo wa nne nne. Mwizi anafukuzea kimya kimya.

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 8 годин тому

    Gusa achia twende kwao

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 4 години тому

    Kilalakheriy Nawaombea Wananchi Mufike Safari Yenu Ya Kuwa Bingwa...

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 12 годин тому

    Pia makisio ya pasi mjitahidi kuyafania kazi mazoezini pasi nyingine zamuhimu zinapotea ambazo zingebadili ubao

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 10 годин тому

    Hii Yanga imeshinda lakini naona bado haijafikia kiwango chake kilichofanya iwe tishio Afrika , Skills za wachezaji na Utimamu wao bado kidogo

  • @Tassyomy
    @Tassyomy 13 годин тому

    Ila Utulivu Mbele Bado..Papara Zimekua Nyingi..!!

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 12 годин тому

    Hv jamn chama na max wak wap

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 8 годин тому

      Max majeruhi atakuwa njd mwezi mzima,, Chama sina habari zake

    • @justinekinyaga6012
      @justinekinyaga6012 2 години тому

      Wanaumwa jmn 2waombeee🙏🙏🙏

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 10 годин тому +1

    Hii Yanga imeshinda lakini naona bado haijafikia kiwango chake kilichofanya iwe tishio Afrika , Skills za wachezaji na Utimamu wao bado kidogo

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 8 годин тому

      Yeah lkn kidogo kidogo unawaona uzembe wa miili yao umepungua km kipindi tunafungwa fungal ovyo,, ss hivi kiaina wanajituma ,, kocha anasema kila siku kuwa wachezaji awapo fiti walijihachia sana , Mfano mechi na Al hilal uhoni dube alivyokuwa akianguka ovyo? Yani amna stamina kabisa , Walipewa sana uhuru basi wakawa wanatomba tu , na kujiachia

    • @MohamedChillo
      @MohamedChillo 2 години тому

      @damianmcba9525 ni sawa lakini wale key players bado hawajarudi kwenye kiwango chao ambao ndiyo tegemeo kwenye mechi za kimataifa , hii Kasi wanayocheza wakiiingia wanapoozesha mchezo kabisa

  • @ChuluWanamaah
    @ChuluWanamaah 50 хвилин тому

    Yanga bingwa