Hongereni sana ! KWA KWELI PAMOJA NA KARO ZENU KUBWA LAKINI MNAWATUNZA VIZURI MNAJALI AFYA ZAO HASA LISHE. Nawashauri MPUNGUZE KARO PIA MNACHUZA SANA MSICHUKUE DARAJA LA KWANZA TU.
Hongera sana kwa kazi hii nzuri ya kulijenga taifa la Mungu. Ushauri wangu ni vizuri zaidi takwimu kuhusu matokeo ziambatane na asilimia, mfano idadi ya wanafunzi waliopata daraja la 1 ni asilimia ngapi ya wanafunzi elfu 5 ? Ubarikiwe sana.
Hongereni sana kwa matokeo mazuri TEC na waalimu wa shule husika. Je. TEC yaweza kuongeza idadi ya wanafunzi kwa kuongeza idadi ya wanaojiunga kidato cha tano n sita. Au kuongeza idadi ya shule za kidato cha tano na sita? Tatu, ni masomo aina gani shule zetu zinafanya vizuri?
Hongera sana Sr Joyce na wakuu wote wa shule za TEC
Hongereni sana ! KWA KWELI PAMOJA NA KARO ZENU KUBWA LAKINI MNAWATUNZA VIZURI MNAJALI AFYA ZAO HASA LISHE. Nawashauri MPUNGUZE KARO PIA MNACHUZA SANA MSICHUKUE DARAJA LA KWANZA TU.
Tumsifu Yesu Kristu! Asante kwa update!
Hongereni waalimu kwa juhudi zenu
Mungu awape nguvu.
Kongole kwako Sr kwa ufafanuzi mzuri wa uchambuzi huo.
Hongereni St augustine kaisho sec
Hongera Sana Sr Kwa hzo jitihada namini mwaka huu ni zaidi . hongera mtoto wa mama CDNK 🌹Kwa kazi nzuri
Safi sana shule za Kanisa katoriki
Hongereni sana Sr. Lakini ungetoa kwa asilimia ingependeza zaidi. Asante sana
Hongera sana kwa kazi hii nzuri ya kulijenga taifa la Mungu. Ushauri wangu ni vizuri zaidi takwimu kuhusu matokeo ziambatane na asilimia, mfano idadi ya wanafunzi waliopata daraja la 1 ni asilimia ngapi ya wanafunzi elfu 5 ? Ubarikiwe sana.
Msizifute kwa kuwatoa watoto musaidie wafanye vizuri
Hongereni sana kwa matokeo mazuri TEC na waalimu wa shule husika. Je. TEC yaweza kuongeza idadi ya wanafunzi kwa kuongeza idadi ya wanaojiunga kidato cha tano n sita. Au kuongeza idadi ya shule za kidato cha tano na sita? Tatu, ni masomo aina gani shule zetu zinafanya vizuri?
St. Peter's Seminary ongezeni juhudi, kama tulivyofanya kaka zenu
Tanga pokea maua yako🎉
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Mbona Tabora hakuna
Hao watatu umebana kauli, hakuna division inayosema hawakufanya vizuri, usimung'unye maneno sema wamepata division ZERO, hata hivyo *HONGERENI*
Kwa hiyo division ziro wamefanya vzuri?
@@benedictntilla6943 kabla hujajibu soma vizuri uelewe kilichoandikwa.