Umetisha sana kazi zako ziko poa sana kinomanoma uko poa sana salute kwako nakukubali sana Kwa nyimbo zako Huwa siwazi kuhusu MB nikiwa nasikiliza Ngoma zako
Hakika Kila jambo lina Wakati wake kaka kisima piga kazi maana tuliowahi kukuona mwanzo kabisa kiukweli umepitia mengi ndugu unatembea na Njalu kwenye kampeni za CCM itilima daah ulikuwa na magumu mno
We kaka ni noma sana tunajivunia kuwa na msanii kama wewe mm najua tupo wasukuma wengi naomba like zenu❤❤
Nyimbo nzuri hazichoshi kusikiliza 😍
Kazi powa ya Sara tumeipenda sana
Kisima unatuheshimisha sana sisi wasukuma mungu azidi kukupa nguvu zaidi💪💪💪💪
Mwaka u u nakupa namba moja mwaka jana ulishika nbir mwaka 1saiv nakubali kaka nimeerewa sana nyimbo iyo mm madaha salala ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Pamoja sana kaka karibu kwetu mpimbwe zugu udubhinile ngika
Umetisha sana kazi zako ziko poa sana kinomanoma uko poa sana salute kwako nakukubali sana Kwa nyimbo zako Huwa siwazi kuhusu MB nikiwa nasikiliza Ngoma zako
Daaah tindulano nihatari mpaka nimetoa machozi jamn kisima olegw'embi ngosha
Hongera sana mwamba wakisukuma❤❤
Kisima wewe Ni Msanii Namba Moja Duniani kwenye Asili Mimi Ndio Nasema Sasa❤❤🔥🔥🔥
Safi sana kazi nzuriiii❤
Kaka me Shabiki yak mpaka inafikia hatua me naomba nyimbo yak popote jap nipo nzimbia huku dah unanikosha sana❤❤❤❤ piga kaz kaka
Big up sana msanii wetu❤
Sema mbasha mtu mbad sana anyway 🎉🎉🎉🎉wimbo mzuri sana bro👏👏.
Ngoma kali nyanda majabala pamoja sana
mpaka mvaa ugugupandeka kiwashe majabala 🔥🔥🔥🔥🙏🙏👊
Wachimbaji wa kakola sasaaa🔥🔥🔥
Hii nyimbo nilkuwa nmeisubiri sana tandu ulipoipga kwenye show ya BILISHI🎉🎉
Hii song saf sana kisima 🎉🎉yako hayo
kisima unajua sana 🔥🔥🙌
Ngoma imeturia sana🎉
The greatest singer in Tanzania
Nimeiwahi kabisaaa hii leo 😄
Nakubali bro
Hatunaga shoo mbaya
Tunataka ngoma kali zamwaka huu kaka
Da huu wimbo umenigusa santeeee
safi sana umukaya
Ngoma ya moto sana hatari
kazi moja
Uko vizur napenda nyimbo zako
hii nyimbo ipo vizur sana
Mimi ni shabiki mkubwa nyanda majabala niko mwanza natamani sana kuonana na huyu jamaa natokea nkololo ya mwamoto
Hakika Kila jambo lina Wakati wake kaka kisima piga kazi maana tuliowahi kukuona mwanzo kabisa kiukweli umepitia mengi ndugu unatembea na Njalu kwenye kampeni za CCM itilima daah ulikuwa na magumu mno
I Always listening to your songs...
Fanya kazi kijana wanye majungu watajua 2😂
Kka pamoja san majaba moja
Au siyo mzingo wamaana huoo
Mim Sio wa kuambiwa na kusimuliwa ila ndio wa kuwaambia kisima katoa ngoma mpya ya Sarah. MTC is 🔥🔥🔥🔥🔥
HIVI WEWE KISIMA ULIKUWA KWENYE MAWAZO YANGU??
MPENZI WANGU SARA ALINIACHA MPAKA SAIV YUPO DAR ES SALAAM DAAAH!! KISIMA🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Na Tv Nazo Siku Hizi Zina Wapenzi
Tulia wewe Mshamba unajua nini wewe,Tv inajiongoza yenyewe au na watu
MTC to the GLOBAL🎉
Yaan Wakati wa mungu ukifika hakuna wa kupinga nakumbuka kisima ulikuwa unabeba gunia la mahindi kupakiza kwenye gari hapo nyumban kwetu senani😅😅
mimi na wewe mpaka kieleweke
Big up
Unatueshimisha wasukuma pamoja sana
Kipindi hicho unapakia mahindi kwenye gari senanii nakuja kama tan boy na ndinga imendikwa mwanz ni mgumu...piga kazii nyanda omukaya
Song kumi nime dowlinoad nane na nimechangia albam yetu wasumukuma kwa mtunga nyimbo nyimbo jaman
Excellent songs
Majabala Traditional culture tupo juu sana turn up the volume🔊🎼🎼
Twendeni na sara
🔥🔥🔥
Safi sana
Wa kubese safi sana kisima kazi nzuri njoo mladz kaka
Ngoma kali
Nakubali
Safi kijana
Uko vizur
Mtc tanzania kisima majabala pamoja
Safi tolaga milemo nkoi
Kisima ni mzaliwa wa wapi??
KISIMA NYANDA MAJABALA 🎉🎉🎉🎉❤❤
Saf ujumbe mzuri san kwa dada zetu wavivu kifany kaz
C.E.O.wa_kampun_kubwa_ya_MTC_TANZANIA_nakukubaligi_sana
King Majabala
Namba 9
Pojasana majabal
Unyama
Video yake IPO wapi majabala😅
Bhe kisima eshene hatari
Video IPO wapi majabala 😅
Facebook
Neyo Lolo sala
Uhakika
Nakubali
Hii song saf sana🎉🎉🎉yako kaka chukua