Ndg zangu na wahudumu wetu wazuri mungu awalinde ,mm ninashida kuna kampuni moja ya mikopo online imenidhulumu niliomba mkopo kupitia mo foundation pia walitaka niwe na akiba kulingana na kiasi ninachotaka nmelipa hiyo akiba pamoja na malipo mengine imefika laki mbili baada ya kukamilisha mpaka leo sijapata ni miezi minne sasa
Ndg zangu na wahudumu wetu wazuri mungu awalinde ,mm ninashida kuna kampuni moja ya mikopo online imenidhulumu niliomba mkopo kupitia mo foundation pia walitaka niwe na akiba kulingana na kiasi ninachotaka nmelipa hiyo akiba pamoja na malipo mengine imefika laki mbili baada ya kukamilisha mpaka leo sijapata ni miezi minne sasa
Asante sana,nimeelewa,nina ndoto ya kumiliki Kampuni,siku moja nitawatembelea.
Asante sana,naje unaweza sajili jina la biashara na badae kubadilisha kuwa kampuni?
Mbona hapa morogoro kwenye maonesho ya tiba asili ya mwafrika hamjafika wakati wadau tulikua tunataka kusajiri jina la biasha?
Vip kuhusu gharam za usajili
Nawezaje kusajili biashara yangu?
Nahitaji kutengeneza brela
Kwakeli mi huwa nashangaa sana yaaa kusali kampuni tuuuvinachukua mpaka siku 2
Mnapatikana wapi?
Naombeni mtusaidie namna ya kusajili biashara kwa njia ya mtandao
Asante sana...lkn vp naweza kusajili jina la biashara?
Mna patikana wapi
Mtakuwepo pia Nyakabindi Simiyu kwenye maonesho ya NaneNane
hapana tupo mbeya kwenye maonesho ya nane nane yanafanyika kitaifa mkoan mbeya karibu
nikijaribu kuandika jina la kampuni naambiwa siyo sahihi nifanyaje hapo?
Samahani naomba namba ya watsp
Naitaji kujisajiri naweza kutumia neno gani kama utambulisho wa kufahamika
Mi ni fundi ujenzi naitaji kujisajiri.
Nataka kusajili ila biashara yangu ni shulee itafaa
Nahitaji kubadilisha jina ila linakataa nashindwa kumalizia