Haya matukio mtayaona sana na hivi ndo mnawanyanyasa wamachinga! Wakati wa Magu si ajabu wangekua wanajiuzia vitu kujipatia riziki.For now they have no hope....RIP ANKO MAGU....
Mmmmmm Allah anisamehe bila Mimi walai nachukia wezi hawa niwatu wabaya mno watu wakuregeshana nyuma tuuu haki Mwenyezi Mungu atuongoze sote tueshimu sheria ya one of the ten commandments of musa a.s.
ukisikia wamama wenye midomo mabarazani hayana kazi hafu ukiyatazama yanavaa vizuri ndo haya. kazi ya wizi. ingrkuwa mimi mwenye duka. ningewakamata taratibu bila kelele nifunge geti niwaonyeshe adabu. ningewakata viganga vya mikono na kuwavua nguo hafu niwaruhusu waende zao. aibu wanawake kwanza mnaonekana mnafamilia nyie watoto wenu na waume zenu sijui mahawara mtawaeleza nini?. wenzenu wanahangaika wanauza mboga mboga mitaani na matunda kichwani wanapata rirkhi zao nyie mmejinenepea na kula vya dhulma. leo imewafika 18yenu. mnabahati sana nyie. aibu wanawake tunaheshma zetu mnatuharibia sifa. wapumbavu wakubwa nyie. sasa mnalia nini wakati ushahidi upo.
Namshukur Mungu kwa kuniepusha na iyo tabia.namuomba sana azidi kuniepusha na dhahama hii.
Ewe Mwenyezi Mungu tupe stara na kukinai kwa kile tunacho dhani ni kidogo unacho turuzuku. Amin!
Amiin
Aamina.yaarabi😭😭
Amiiin thumma amin
Haya matukio mtayaona sana na hivi ndo mnawanyanyasa wamachinga! Wakati wa Magu si ajabu wangekua wanajiuzia vitu kujipatia riziki.For now they have no hope....RIP ANKO MAGU....
Dunia Sijui siku hizi tuna elekeya wapi aibu ya mwenzako usitangaze kila mtu ni mkosefu na mkosaji.
Waizi wote hao. Hata yule mama mtu mzima pia aliiba, kisha ajifanya yeye mzuri
Jamani aki nyie wamama mmetuaibisha Njooni Saudi Arabia muoshe vyoo dhahabu ni cheap
njoeni mpigie kazi oman msikae kuiba cheni za mia
natamani kuja oman
kweli. tuwaite. waje. kuliko. aibu. kam. iyo
Ww nan aje hko kuna mateso kama nn
Kuteseka au
Unaendaje iba kwenye watu wengi ivi? Si uta kufa kabla ya kipigo kwa presha 😂
Mmmmmm Allah anisamehe bila Mimi walai nachukia wezi hawa niwatu wabaya mno watu wakuregeshana nyuma tuuu haki Mwenyezi Mungu atuongoze sote tueshimu sheria ya one of the ten commandments of musa a.s.
Asante MUNGU kuniepusha na tamaa yoyote
noma sana waah, lkn who else thinks huyu mtangazaji ana sauti nzuri 😍
Wewe unashida. Umpende mtu kwa sauti tuu?waja penda majini
Muuuuuuh makubwa ya dunia,kama una uwezo za buku kwa nini utake vya laki!!!! Tuhache tamaa tupambane na hali zetu
Dar ndio maana hamjitambui,yaani mwizi mnawatunza na kuwaambia warelax😂😂😂😂😂😂,nimewatamani sana hao
Ohoo in Tansania,,the things are very cheap kwanini?My be wamewasingizia
Msichukue Sheria mikononi mwenu wapelekeni polisi
Nipo Oman nafua vichup vya warabu na kutosha hamam
Aaaa yan unafua vichupi vya waarabu etii alafu unajisifu mmmm ww dahhh hongera
Uzeni hata vitumbua ila sio kuiba jaman
mtauwawa bure kwa tamaa za kijinga kitu km unauwezo nacho achana nacho
hizo sio dhahabu msijidai vile .......loh!
Kweli hawajui maana ya sahabu
Haha TANZANIA mna mambo
Mwizi mwamwabia atulie dah😂😂😂
Kenya hilo halifanyiki jameni .wangefaa angalau kuchapwa bakora kadhaa
Huna lolote Kenya wapi?
Mwenye gauni ya njano simuoni mû TZD
Mh! aib Wallah watuwazim hovyo hawaoni hata aib 😏 wakauz mkaa
Mtu akiiba chakula nitamuhurumia labda ni njaa, basi hawa wakuiba urembo na pombe hata sijui niwasaidieje. Tabia zingine ni kujitakia kifo bure.
Bahati yenu mapolice wamuwakimbilia bato kuchomwa loooo namushukulu Mungu nilikuwa na woga kwani wangewachoma mto . Siyo kweri
mchome dada yako
Yan issa azam kila kona we bro kiboko
Sio thahabu, ni chain za kutoka China zenye rangi ya thahabu kutoka kampuni la Coco
Jamani kinamama mnatuaibisha munaiba? Mkauze hata mbogamboga
watazania wazuri wana roho ya upendo kweli. Kenya wanapigwa kinyama na kutolewa nguo kuachwo uchi wafe.
Charles Kibiro kweli kabsa
kuliko uibe Kenya bora uuze unga china
Jamani, wanawake.. Vikoba hivyo. Wanataka wakalipe madeni, uwiii
hao labda walikuwa makahaba makahaba hakuna wameamua kutunga mbinu nyingine yakujipatia rizki basi wasameheni mwisho wao umetimia
dah pamoja sana global tv online mimi nawapenda sana kwahabali tu mpo juuu
Safi sana wanapenda kuvuna wasipo panda
ilo fundisho kwawa mama wengine
aisha yusuph omariy
Abee
aisha yusuph omariy uko pos
Anaiba halafu mjeur😂😂😂😂
wanaomba kupelekwa polisi washajua polisi wataachiwa free . piga hao iwe funzo kwa wengine .
Piga hao tena wakiingia dukani hawatoki haraka mpk ww munuzi wa kweli unaamua kuondoka
Uzeeni tupuu zenuu zaa nyumaa ili mupatee pesaa zaa harakaaa uzeeni tupuu zenuu zaa nyumaa
mi nimemuona lingo tu😂😂😂
MUNGU atusamehe na atusaidie huyu shetani kishawishi ashindwe kabisa. Tuwe na roho za hekima. Na MUNGU atusaidie sana
Wana bahati wangekua wanaume wangejuta wallah
Wadada wazuri wezi jamani uzeniata vitumbuwa bx
Waafrika Kueni wastaarabu wezi tena mwawapiga kama hayawani si sheria iko nchini
Aibu kweli jamani heleni tuu
Senate global kwa habari mzuri mko vizuri
Noma sana mmh
yuwaonye ndugu jam na marafki na wazaz wetu I ni aibu aise
Subhannahllah
Mi mwenyewe nawataman mana wanakera sana wanarudisha nyuma wafanya biashara
Mh lkn pengine cyo kweli jmn maana dar bwn
Wangekua wanaume wangewaua
Forgive them please they don't know what the do
Doooh aibuuu lazima kwan kuva Chen jaman
😃😂😃😂ujinga.
duh piga kabisa polisi wann nyie wapige waachieni wasepe😠
Kumbe mwanamke akiiba anapigwa na wanawake alafu mwanaume anapigwa na wanaume leo nomeona
jmn heri waje saudi tusaidiane kuwahudumia warabu aibu wanawake wzm ovyo
mariyam maria umeonaaa eeh
mariyam maria +97477053859 nicheki whatsap pliz nkupe issue
mariyam maria umeonaaee😀
mariyam maria waambie tena swee waje saudi wasugue hamam dhahabu itakua cheap
Umeonaee hata mimi niko qatar doha
Subhannallah
Uuliwe bure sababu ya cheni ya mia moja jamani majanga kila kukicha
Binti Mohammed wizi mbaya
@@halimamfangavo5747 mbaya sana
Kujeeni uku mhsunguwe voo vawaarabu kuliko kudhalilika jamaniii
Msipende kuwadharirisha wanawake .wanawake mambo yao ni siri Mbona mnayaweka hadharani.
dada uyo mjeuli kweli kaiba anakua namdomo mlefu mbona mwenzie si mkali
jmn wanawake hao shame on them looooh wangepigwa mpka watolewe alama
Huyo mmama mmoja alokata ny wele ndo mwz
aibu sana mwanamke kuwa mwizi.
😃😂Hata.wakiume.hapendezi.wakikendyikabisaa.maivu.hayampendezimtu
Aliemuona Isa Azam gonga like
Aibuu tupu kwakweli wenzenu wapambane nyiny muibe
Kama hawana kazi siwauze hata maandazii
Said Said nani ale
hamna haya wanawake wazima mwashindwa kuuza viazi na chapati mkapata pesa za kununuwa vitu
Tafuteni ajira fanyeni kazi mpate hela mkanunue mnachotaka tabia hizi wengine pia mnawaharibia jina
jamani, za mwizi, arubaini, kweli, mara kwanza, ukiiba, wafurahi, kwa, kua, umefaulu, kumbe, bado, ndio, wazidisha uhuni, poleni, ndio funzo.
awataki kujituma wanaiba jamani njoni Oman tufanye Kazi
watanzania mna visanga 😅😅😅😅😅mnamdekeza mwizi??
ukisikia wamama wenye midomo mabarazani hayana kazi hafu ukiyatazama yanavaa vizuri ndo haya. kazi ya wizi. ingrkuwa mimi mwenye duka. ningewakamata taratibu bila kelele nifunge geti niwaonyeshe adabu. ningewakata viganga vya mikono na kuwavua nguo hafu niwaruhusu waende zao.
aibu wanawake kwanza mnaonekana mnafamilia nyie watoto wenu na waume zenu sijui mahawara mtawaeleza nini?.
wenzenu wanahangaika wanauza mboga mboga mitaani na matunda kichwani wanapata rirkhi zao nyie mmejinenepea na kula vya dhulma. leo imewafika 18yenu. mnabahati sana nyie. aibu wanawake tunaheshma zetu mnatuharibia sifa. wapumbavu wakubwa nyie. sasa mnalia nini wakati ushahidi upo.
wow👀
Katumia busala wangejaa watudukan mwao wangeibiwa zaid nawatuwengine
Sasa mnaaibishwa ivo chen za 20p jmn , ni shida kazi hamna?? Aunachagua kazi polen
We nimharifu tulia😂😂😂😂
Rerax
Wauliwe tu wanawake waizi dooooh aibu sn
Hilo duka halina CCTV? (Camera za ulinzi)
Wanawake kwa tamaa
Tamaa mbaya
jaman karibuni Oman ilimpate kwa jasho
Nipe connection jamani
Umeona eee nipo maabellah mm mpenzi maisha yanaenda na pesa tunaingiza kwa uwezo wake ALLAH tena ya halali kabisaa...
wanaume wa dar bhana😆😆😆
Siyo cheni za dhahabu hizo
Mitihani waallah pole yao za mwizi ni 40
hata Mimi hawa wakina mama waliniiba nikawakamata wakafungwa jela miezi mitatu katoro geita
hata Mimi hawa wakina mama waliniiba nikawakamata wakafungwa jela miezi mitatu katoro geita
Ebhanaaa eeee akinamama jamani?!
Ingekuwa Kenya askari wangekunjia maiti
Kama na wewe umemuona issa azam laiki 👇tujuane 😂😂
mjini kuna mambo nani angedhania wamama kama hao ni wezi lol
Unajua wakipingwa hawataiba tena
Oman kuna kazi kuna kufirwa
Sasa mambo hayo yakijinga wayaleta hapa kafirwe ww mjinga
Pumbavu kabisa wangepewa doz kdg
Jamani wanawake aibuuuuuuuuuu
Nyie hali ngum asikwambie MTU😢😢😢
Siyo Hal ngum no mijiz tu hiyo mijanamke ata Hal ngum vip uwezi ukaiba kama so tabia yako
Madada pambaneni na hali zenu sisi tunateseka uku mwisho wa cku hatumuombi mtu malazi wala makazi
Saumu Hassan kweli dea unapata rial yako yahalali
Du aibu iwe fundisho
mola tupe roho zakukinai.madada aibu hio
Mime mwona lingo kwa mbaali
Si wafanye kaz wiz wa nn
Chomeni moto wamezoea vya dezo
It's very embarrassed
Jane Wacera cwalaumu. If u go deeply ul find kuna mashida. U never kno aki
Eeeh mungu
No globalizazione
Wapigweee mbwaa
very sad waachilieni tu
hawana hayakweli wajetutoe jashokwawarabu doo
umeona eeh
umeona eeh
umeona eeh
Fadhila Ramadhan uko Oman?
Fadhila Ramadhan niko maabella