Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

HII MUPYA! MAHARUSI WAMEKUTANA INSTAGRAM, HAWAJAWAHI KUONANA , MAREKANI NA TANZANIA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 кві 2021
  • Baada ya kua na urafiki kwa miaka 11 na mahusiano ya mapenzi kwa miaka mitatu yote hiyo bila kuonana Bw akiwa Marekani bibie Tanzanian. Hatimae Macrey na Doroth waoana baada ya kukutana face to face for only two weeks .....
    TUMERUDI UA-cam RASMI. Poleni sana kwa kutumiss..
    Tell friends to Subscribe, Share and Comment
    ‪@Mcgarab‬

КОМЕНТАРІ • 405

  • @fatumasidi3372
    @fatumasidi3372 3 роки тому +34

    Its so amazing, i share the same love-marriage story. Met my lovely wife on facebook june 18th 2018.. akiwa Tanzania mm nikiwa Qatar, miezi 9 baadae ambayo ni feb 16 2019 nikaja Tz kila kitu kilikua tayari ndio tulifunga ndoa.
    Hapa hatujawahi kuonana kwanza mm mkenya na mke wangu mtanzania. Tunapendana sana na Mwenyezi Mungu katujaalia na mtoto 1 sasa.
    With true love, its possible.
    Hongereni sana

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 2 роки тому +4

    Nimempenda Bibi harus hajaweka minywele ya bandia Kichwani, na mie cku Mungu akinijalia nikapata Mume! Cku ya harusi ctaweka nywele za bandia kichwani

    • @treasureforashes3497
      @treasureforashes3497 2 роки тому +1

      Hamna ubaya na weaves,kila mtu na style yake,haimaniishi ya wengine mbaya,

  • @harrietsutta2568
    @harrietsutta2568 3 роки тому +24

    Hongera sana mdogo wangu Dorothy. You have been a good child I have seen you growing up tukiwa shuleni. You have been cool all the way with that beauty that has never faded. Well behaved.
    Nakutakia heri na baraka tele. Make the man happy... treat him like a king he will make you his queen as you build your castle.
    Happy marriage life

  • @moshikilimanjaro5660
    @moshikilimanjaro5660 3 роки тому +6

    Glory be to God,
    I wishing you all the best ,Mungu awalinde, na kuwatunza,,na kuwafanikisha katika maisha yenu ya ndoa.

  • @haroldmerei1830
    @haroldmerei1830 3 роки тому +35

    If you don't have anything good to say to the couple it is a good idea unyamaze. Very nice looking couple, beautiful wedding ceremony, acheni wivu!

    • @dibabatv5761
      @dibabatv5761 3 роки тому +4

      Umeongea sahihi Sana,watakie mema watu wafanikiwe, acheni kukosoa kosoa watu wanependana, hatuwez zaliwa sawa

    • @gloryfrankie1743
      @gloryfrankie1743 3 роки тому +2

      Yes this is very true

    • @zulfahamidu5348
      @zulfahamidu5348 3 роки тому

      @@dibabatv5761 you can p

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 3 роки тому +7

    Msuwakosoe maarusi Mungu amewakutanisha. Jifunzeni kuacha wivu.

  • @nashymbaty1119
    @nashymbaty1119 3 роки тому +13

    😃😃😃kwani Mahusiano yenyew yanasemaje 🙌🙌 ila everything is possible when yu trust God

  • @habibatyntosso1436
    @habibatyntosso1436 3 роки тому +22

    Mimi pia nimeolewa kupitia tu mitandao sijawah kuonana nae nimemjua mme wangu siku tunafunga ndoa yaan ni nzur usiogope kila kitu mungu ndy anajua tumuachie

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 Місяць тому

    Mmh niseme ya moyoni bwana na bi kharusi wameendana wamefanana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @bobwhite9252
    @bobwhite9252 3 роки тому +3

    Dada wa kidimbwi huyu..mjanja kuliko jamaa..ila hongera sana..kizungu zaid

  • @luielias2400
    @luielias2400 3 роки тому +1

    Ayeeee na ni mupyaa kweli kwelii🤩🤩nzuri mnoo👌

  • @jasmine.mayala7597
    @jasmine.mayala7597 3 роки тому +8

    😂😂😂😂😃🤣🤣🤣jaman km mie mume wangu alilosea number nakupiga kwngu ndipo tukafamihana humo

  • @betydalaurent6485
    @betydalaurent6485 3 роки тому +3

    Waooh it's so amazing jmni,,God is great.😍
    Mc hujawahi kufail

  • @sumaaramson5903
    @sumaaramson5903 3 роки тому +11

    Nlipata mume Facebook sasa tuna miaka 8 kwa ndoa na watoto wa3 na tuna Amani na maelewano kabisa tena nchi tofauti

  • @masoudsalum9514
    @masoudsalum9514 3 роки тому +24

    Huyu mwanamke nahisi sio poa kama mcharuko kuliko mwanaume hapa

  • @rehemasam6946
    @rehemasam6946 3 роки тому +1

    Hongera sana Dorothy usiache kuingana na mume wako katika maombi

  • @julianamuga389
    @julianamuga389 3 роки тому +19

    Nmegundua kitu😅😅😅😅Bibi kachachuka bwana mpole
    Then bwana mcha Mungu haswa apo kwa kidawa !?!?!so watasaidiana kuchange all the best

  • @amukoamercy1172
    @amukoamercy1172 3 роки тому +1

    Hapo pa roho mtakatifu
    Holy spirit show me my husband too.

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 3 роки тому +2

    Mungu aibariki ndoa yenu. Naimani mtafurahia maisha yenu mpaka mtakapo zikana. Roho mtakatifu humuongoza mtu sehemu sahihi. Mungu akubariki sana kaka kwa kumsikiliza roho mtakatifu. Amina.👨‍👩‍👧‍👦💖

  • @kirumscalone3975
    @kirumscalone3975 3 роки тому +2

    Kazi ya Mungu haina makosa,mbarikiwe kwa ndoa yenu.

  • @azashaban5846
    @azashaban5846 3 роки тому +5

    mbona kama ana sura yakike hongerani sana mnapendexan

  • @vero57
    @vero57 3 роки тому +9

    Hongera sana,lakini mbona bwana harusi mpole sana

  • @BeatriceNyato
    @BeatriceNyato 4 місяці тому

    Ni nzuriii nimeipenda naomb nam nipate

  • @zuu7130
    @zuu7130 3 роки тому +2

    Umepatikana kaka kwauyo mke

  • @jnjtraders7274
    @jnjtraders7274 2 роки тому

    Jaman nataman kuolewa wananipa wivu daah,Bwana Yesu ahsante na meme yangu itafika.

  • @MauaMwaka
    @MauaMwaka 3 роки тому +2

    God bless your marriage

  • @elizabethmwambopo9505
    @elizabethmwambopo9505 3 роки тому +4

    That is True Love congratulation❤❤❤❤

  • @GladnessIsaya
    @GladnessIsaya Місяць тому

    We unayesema cjui bwana harusi lastborn mara kama siyo rizki ndo nini

  • @fabianlucas3594
    @fabianlucas3594 3 роки тому

    Mc uko vizuri
    Hawa wanandoa wakaishi vyemaaa

  • @rehemakaberege8119
    @rehemakaberege8119 3 роки тому +3

    Hongera nyingi kwenu mpendanao wote

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 3 роки тому +2

    Nimempenda bi harus kavaa simple mno

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 2 роки тому +1

    Bibi harusi upo vzuri huna mambo mengi na umependeza sana

  • @greennourish58
    @greennourish58 3 роки тому +3

    The same thing happened to me, met the love of my life online in 2019

  • @samirasaid9204
    @samirasaid9204 3 роки тому +6

    Nilicho gundua kuna watu wana roho ya kwa nini kila kitu anapanga mwenyenzimung acheni wivu😏😏

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 роки тому +4

    Kila la kheri comments nyingi mnasema mwanamke mcharuku wivu tu watu hupendana sio wngine huishia kuonywa kama mboga

    • @matundumgweno4533
      @matundumgweno4533 3 роки тому +2

      Hahahaah kuonywa kama mboga

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 3 роки тому

      @@matundumgweno4533 kabsa mtoto wa shangazi 😄😄😄😄🤠💯

  • @annanyoni1981
    @annanyoni1981 3 роки тому +1

    Mbona comment zimejaa za kiinglishi tu😂 kwani wenzangu namimi wabuza kwa lulenge hatupo

  • @rehemarehema1445
    @rehemarehema1445 3 роки тому +1

    Mwanamke hamna kitu jmn mpaka naona aibu kama nipo karibu vile

  • @paschallukanya5889
    @paschallukanya5889 3 роки тому +3

    Nguvu ya pesa hiyo

  • @elishamwakigali1232
    @elishamwakigali1232 Рік тому

    Bro una talent kinoumaaa

  • @joycemachibya4380
    @joycemachibya4380 3 роки тому +1

    So fantastic 😍😍😍

  • @sukariyao6537
    @sukariyao6537 3 роки тому +23

    Wale wanawake wote mnaotukana wanaume wakija fb au mesenja ndoa mtaisikia kwa wenzenu tuuuuh upooo 👌 mwenzenu nami nimepata stara fb 😂😜😜🙈

  • @amanijosiah5205
    @amanijosiah5205 3 роки тому +1

    Mwanamke hamna kitu hapo mcharuko balaaa

  • @novakauki5560
    @novakauki5560 3 роки тому +1

    Mwanamke mdangaji sana uyo

  • @vasilistasamson5245
    @vasilistasamson5245 3 роки тому +1

    Cheese huyu mwanamke mungu saidia

  • @milliamkiwire2852
    @milliamkiwire2852 2 роки тому +1

    God's plan are always real 🙏🙏🙏❣️

  • @raphaelmagayane4733
    @raphaelmagayane4733 2 роки тому

    It's a matter of prayers and God will do the rest. be blessed Guys

  • @winfridanambole1341
    @winfridanambole1341 3 роки тому +2

    Jamn na mm mungu si anioneshe the right person 😢😢

    • @nyamangaking6608
      @nyamangaking6608 3 роки тому

      You want the right person that's my contact +27848885287

    • @winfridanambole1341
      @winfridanambole1341 3 роки тому

      @@nyamangaking6608 😂😂😂

    • @winfridanambole1341
      @winfridanambole1341 3 роки тому

      @@nyamangaking6608 nitajuaje km ni right person

    • @nyamangaking6608
      @nyamangaking6608 3 роки тому

      Omba Mungu atakwambia lakini najua kila aliyeokoka kweli kweli is a right person

    • @nyamangaking6608
      @nyamangaking6608 3 роки тому

      Let's talk in box +27848885287 but we must have enough time to know each other

  • @emmanuelmrisho8676
    @emmanuelmrisho8676 3 роки тому

    Nyimbo waloingilia ukumbini hawa inaitwaje na kaimba nani please

  • @josephinemnyindo39
    @josephinemnyindo39 3 роки тому +3

    Hii nayo mupya!!!

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 3 роки тому +7

    Mdada anajishaua weee😂😂😂😂😂😂

  • @DM_15
    @DM_15 3 роки тому +2

    Huyu mwanamke ana mawengeflan just msikilize vzr nikama jamaa kaokota zagabov

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w 3 роки тому +1

      😅😅😅

    • @user-ot2io4cy6w
      @user-ot2io4cy6w 3 роки тому

      Eti ZAGABOVU

    • @DM_15
      @DM_15 3 роки тому +2

      @@user-ot2io4cy6w sindio mawengeflani iv mcharuko mcharuko iv yaki istergram flani

  • @mfumbuzionlinetv
    @mfumbuzionlinetv 3 роки тому +2

    ☺️☺️☺️ nzuri

  • @swagger7053
    @swagger7053 3 роки тому +1

    Glory to god

  • @rechoevarist9103
    @rechoevarist9103 3 роки тому +2

    Mwanamke anashughulika

  • @marryciousben3803
    @marryciousben3803 3 роки тому +1

    Uyu mwanamke anaonekana wamoto kwer alafu kinajishauwa kumshika shika mwanaume iyo kwiyo

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 3 роки тому +3

    Nilikutana na mwanaume fulani fb 2013, leo imebaki kuwa story! Alianza na ‘mlipie mwanangu ada, sina nauli’, mama yake naye, walipie ada wajukuu wangu (watoto za binti zake), sina chakula, nataka nauli, nina jambo fulani mkoani!’ Niliwa block wote

  • @powerlifeayurvedicclinicsirare
    @powerlifeayurvedicclinicsirare 2 роки тому

    GOD IS GOOD

  • @florencekashaija7539
    @florencekashaija7539 3 роки тому

    Kwamba Bibie ndiye wa kutoka mamtoni.

  • @sarasereki7526
    @sarasereki7526 3 роки тому

    Yes

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 роки тому +3

    Wamependeza sana

  • @massongatzerick
    @massongatzerick 3 роки тому

    Gara B kama Gara B,congrats

  • @cosmasvicta658
    @cosmasvicta658 3 роки тому

    How did you know what she is right person?, did you deeply investigate her much???.

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 3 роки тому

    Mwanamke anaonekana kama Govinda vile hapa ndgu wa Mme mmepatikana.

  • @catherinemwakalinga6503
    @catherinemwakalinga6503 3 роки тому +1

    Wow congrats Doroth

  • @saralusinde53
    @saralusinde53 3 роки тому +4

    mbona kama mwanamke ana kitete kuolewa na kaka wa marekani

    • @neleakilanga3834
      @neleakilanga3834 3 роки тому

      😂😂😂

    • @alikutenga3303
      @alikutenga3303 3 роки тому

      Yote furaha hiyo..
      Sasahv hao waowaji walivyokuwa hawapo unafanya mchezo nn?.

    • @jenifajuma5395
      @jenifajuma5395 3 роки тому

      Waowaji wenyewe hakuna siku hizi hata ningekuwa mimi ningechangamka balaaa

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 3 роки тому

      @@alikutenga3303 😁😁😁😁😁

  • @josephemmanuel3175
    @josephemmanuel3175 3 роки тому +2

    Mbona mwamba hayupo concrete maana Kuna wakurungwa wa buza kwa lulenge na mzee mparange wanamtazama tu

  • @ubarikiweulipo6969
    @ubarikiweulipo6969 3 роки тому +7

    Subiri muendelezo na mwisho wa hiyo ndoa ndo nitakuja cu comment apa napita tu

    • @omanabcd9249
      @omanabcd9249 3 роки тому +1

      Mke hakuna

    • @ziongodfirst1868
      @ziongodfirst1868 3 роки тому

      Haki huyo dada kwa mwonekano tu labda tuone wataishia wapi ngoja ninyamaze

  • @franciscanamkuru6185
    @franciscanamkuru6185 3 роки тому

    Hongera

  • @samiramawby8252
    @samiramawby8252 3 роки тому +2

    Bibi harusi mcharuko yaweza kuwa karoga huyu siyo roho mtakatifu ni roho mtakakitu looo cyo kwa mcharuko huo

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 3 роки тому +1

    Natamanii nami iwe like

  • @jaclinedaniely2563
    @jaclinedaniely2563 3 роки тому

    Very nice

  • @fatmamajid7613
    @fatmamajid7613 3 роки тому

    Yes sir

  • @nodjackobo6125
    @nodjackobo6125 3 роки тому

    Very good

  • @doricesamwel7785
    @doricesamwel7785 2 роки тому

    Inapendeza

  • @deelissa2746
    @deelissa2746 3 роки тому +1

    Hata Sina mpango wa kuolewa na jini mim😂

  • @aishamtuli8926
    @aishamtuli8926 2 роки тому

    Hapa kaashwa mtoto m2

  • @susanlazaro8323
    @susanlazaro8323 3 роки тому +4

    Nilichogundua hawa Wote ni Mademu nadhani Wakubwa Mmenielewa 😂😂😂😂😂😂😂

  • @annadamian4178
    @annadamian4178 3 роки тому +4

    Mkaka mpole ❣️

  • @kweka14l35
    @kweka14l35 3 роки тому

    True Love still Exist 💓💓💓 Love bird's 👍🎉

  • @esthermoraa6648
    @esthermoraa6648 3 роки тому

    This is what we call trust,

  • @user-qj1vr3jw6r
    @user-qj1vr3jw6r 8 місяців тому

    😍😍😍😍😍😍😍🤩👌👌👌

  • @joevang4685
    @joevang4685 3 роки тому +1

    hamna ndoa hapo. anaibiwa huyo

  • @merisianapius4663
    @merisianapius4663 3 роки тому

    Nzur

  • @faridahmutola5778
    @faridahmutola5778 3 роки тому

    Beautiful ❣️❣️

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 3 роки тому +1

    Namm natafuta mume atakaye nipenda km nilivyo pindi atakapojua maisha yangu.namm nitampenda pia

  • @ceciliagsaguti1595
    @ceciliagsaguti1595 3 роки тому

    Waoooh so nice

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 3 роки тому +1

    Mwanamke mapepe

  • @emanuelgavile3856
    @emanuelgavile3856 3 роки тому +6

    Dada mjuajii

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 3 роки тому +1

    Bora tumerudi UA-cam

  • @dottosembo9236
    @dottosembo9236 3 роки тому

    Wooo💕

  • @rebeccanassary1720
    @rebeccanassary1720 3 роки тому

    Very nice couple

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali9371 3 роки тому +2

    Distance is not a barrier

  • @swagger7053
    @swagger7053 3 роки тому

    Mmmh ni atr

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 3 роки тому

    Hongeren

  • @clospercleophace2668
    @clospercleophace2668 3 роки тому

    Mc nimekuelewa

  • @esthela5105
    @esthela5105 3 роки тому

    Amen

  • @hadijamwanana2471
    @hadijamwanana2471 3 роки тому +2

    Mwanamke naona Kama mwizi mh ngoja tuone maana anavomshika kiwizi wizi

  • @gabriellafaith6128
    @gabriellafaith6128 3 роки тому

    GOD’s plans 🙏

  • @rozirobat5448
    @rozirobat5448 2 роки тому

    Saluni

  • @tamaraseff.9707
    @tamaraseff.9707 3 роки тому +1

    Mmmmh hogera sanaaaaaa.nlmpata mmja uko uko kube freemason.jameni nigemezwa sai nmekoma kusaka mitadaoni.😃😃😃😃