"PALE YANGA NAMBA YANGU IPO" MSIKIE FEISAL SALUM AKITEMA CHECHE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • #yangasc #yangatv #yangaleo #azamsports #mpenjatv #manaratv #mavalatv #ayomatv #scopemedia #spotikaonlinetv #Utvtanzania #battletv #Dafraonolinetv #kariakooderby #alikamwe #Maximumtv #M15tv #PmtvTanzania #Richmedia #CAFAwards #tetesizausajiliyanga #tetesizausajilisimba #mazoeziyayanga #battletv #datasportstv #mbwaduke #yangascmedia #tanfootball #pecomezouzou #Wolfssportnews
    #Afcon2023 #simbasc

КОМЕНТАРІ • 164

  • @ShangweNgaga
    @ShangweNgaga 4 місяці тому +4

    Karibu sana yanga tena mwana mpotevu unamjua sana boli hukosi namba yanga unajuaaa sana.

  • @FadigaObet
    @FadigaObet 4 місяці тому +7

    ❤mshikaj anajua semaa tu timu aliyopo viongoz wake awajuh wanafanya nn kweny klabu

  • @KelvinMallya-p2y
    @KelvinMallya-p2y 4 місяці тому

    Asirudi yanga uyoooooo

  • @CatherineJohn-u1q
    @CatherineJohn-u1q 3 місяці тому

    Unaikubuka yagnga sana ukifika ukajua yanga itateleka

  • @ManfaceFildoline-d9x
    @ManfaceFildoline-d9x 4 місяці тому +2

    Njoo yanga tena bado tunakupendaaaa

  • @neemafrancis3968
    @neemafrancis3968 3 місяці тому

    Maji yamezidi unga

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 4 місяці тому +2

    fei is one of the Best players in this country of mwl nyerere... shida ni vitu vidogo vidogo saana...na maneno ya kuambiwa awe na uwezo wa kuyachanganua na kuyasimamia...

  • @epafronitophilipo8668
    @epafronitophilipo8668 4 місяці тому +2

    Nakukubali sana

  • @ommykiss7049
    @ommykiss7049 4 місяці тому +3

    Rudi nyumbani mwanangu ww ni mtoto wetu 🔰

  • @iddymtambo7186
    @iddymtambo7186 4 місяці тому +3

    Wewe ni Super sana kaka

  • @SalehMningo
    @SalehMningo 4 місяці тому +1

    Kwa mim fei toto ata akiludi yanga nampokea kwa miguu miwik

  • @JamesKibira-b2j
    @JamesKibira-b2j 4 місяці тому +1

    Kuna tatizo gani Feisal kurudi yanga mbona Morrison alirudi

  • @MatwikoHemedi
    @MatwikoHemedi 4 місяці тому +1

    Com back dogo

  • @janetjuma-i6d
    @janetjuma-i6d 4 місяці тому

    Anajua kua yanga n TM kubwa

  • @trueone6943
    @trueone6943 4 місяці тому

    Ebwana wee kijana big up ni muda wake wa kutafuta hela

  • @JosephKalenzi
    @JosephKalenzi 4 місяці тому

    Kama ypo tayari alud 2 mwane2 atkosea lakini ha2na budi kumupokea

  • @GraceKajanjabo
    @GraceKajanjabo 4 місяці тому

    Mimi mwenyewe sikutaki

  • @PiterAlex-e4y
    @PiterAlex-e4y 4 місяці тому

    Mmmmmm kalib mwana mpotev

  • @dorahtobiasy5979
    @dorahtobiasy5979 4 місяці тому

    Come back home

  • @SagudaMasunga-d2b
    @SagudaMasunga-d2b 4 місяці тому

    Timu aliyoko n nzr lakn xhda n la mwalim( kocha) mm nashaur atambue namna ya mabek walivy means shda n beki

  • @IsmailSelemani-wn8bd
    @IsmailSelemani-wn8bd 4 місяці тому +2

    Welcome back home maestro

  • @JamesChilale
    @JamesChilale 4 місяці тому

    😂😂😂

  • @PaulBusongo
    @PaulBusongo 4 місяці тому

    Huyu nisimba2

  • @prosperkatito1661
    @prosperkatito1661 4 місяці тому

    xhida dogo ulizinguwa

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 4 місяці тому +1

    Wasaidie Azam

  • @ManenoKatulamo
    @ManenoKatulamo 4 місяці тому

    Koma wew mbwa

  • @EnockTelly
    @EnockTelly 4 місяці тому

    Huyo fei amechoka kula aiscreem😂

  • @AshuraMswaki
    @AshuraMswaki 4 місяці тому

    Hat mim cmtaki fei kiukwel aende hat simba lkn yanga cmtak kabisa na hat akisajiriwa ctamshabikia afany vzr au vibay tupa kule

  • @JohnsonPaschal-f7n
    @JohnsonPaschal-f7n 4 місяці тому +2

    Ww fei huna jipyaa

    • @yahyakhamis255
      @yahyakhamis255 4 місяці тому

      Potea bwana kwingine utavunja ndoa yetu na mji

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 4 місяці тому

    Fundi sana

  • @CosmasKatule
    @CosmasKatule 4 місяці тому +1

    Naomba nirudishie elayangu niliyoliwa

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 4 місяці тому +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤rudi nyumbani patana na rais ukiona mashabiki wanakupigia kelele ni wanakupenda

  • @johnmpeka2575
    @johnmpeka2575 4 місяці тому +1

    Tulimrudisha moluson pamoja naali hotufanyia na pesa katupiga lakini tulimrudisha acheno roho za tetenas kwa feichuki za kwenu nyumbani mwazileta mpilani nawaomba tuongee ruga ya kimpila 😅😅

  • @Sophia-y6f
    @Sophia-y6f 4 місяці тому

    Yaani bado hajasema ,mpaka aseme🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ahmedmsambara7415
    @ahmedmsambara7415 4 місяці тому

    rudi nyumbani

  • @InnosentEmanuel
    @InnosentEmanuel 4 місяці тому

    Karibu jangwani fei wewe nakukubali sana hakuna zaidi yako ndani ya taifa letu

  • @jauzauabdalla5792
    @jauzauabdalla5792 4 місяці тому

    Feisal mm namkubali changamoto ni part of life ila fei ni mchezaji na nusu

  • @asantematembo7930
    @asantematembo7930 4 місяці тому

    Binafsi sihitaji hii nyumbu ije yanga😅😅

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 4 місяці тому

    Ndy usishangilie lasivyo vita itakuw ya kudumu hapa

  • @EzekieliDawas
    @EzekieliDawas 4 місяці тому

    Dogo fei Rudi zako yanga ase unapendeza sana ukiwa tangu tumeku miss sana

  • @ISAACMBAGO
    @ISAACMBAGO 4 місяці тому +1

    Fei toto! Acha watu waku tukane na kuku kosoa, come back na mvute na fiston kalala mayele na mwambie turudi wote dirisha dogo.😊❤

  • @trueone6943
    @trueone6943 4 місяці тому

    Me namkubali sana ikiwa pesa ipo anakwenda kupiga hela sio kuckiliza maneno ya watu

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 4 місяці тому

    Huyu mwandishi aliyevaa tshirt imeandikwa visit Rwanda anajua sana kuuliza maswali

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 4 місяці тому

    Ulicho kitaka ni kula Bata mpila kidogo unalaha sana ww😁

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 4 місяці тому

    We Fei acakujiamini ingia sasa uceze unasubirinini Yanga hatukutaki ukofala gapige mauno kwasimba uuuuiiii😝😝😝😝

  • @MunaIssa-ym4gh
    @MunaIssa-ym4gh 4 місяці тому

    Achen akae huko yaanga hatumhitaji

  • @HalimaKarm
    @HalimaKarm 4 місяці тому +1

    Hajakosea fei we ukihtaji rud yanga tumekumsi

  • @is-hakaJuma-j5u
    @is-hakaJuma-j5u 4 місяці тому +2

    Wacha kutukan kaka uwo mpira mwenzako unamwita msenge kwa manufaa yake mwenyew muache apambane fei

  • @akrajackson854
    @akrajackson854 4 місяці тому

    Kazi unayo😅😅😅😅😅 komaaaaa! 😂😂😂 kilikuwasha nini kuondoka na kinakukuna nini kurudiiii😂😂😂😂😂

    • @FloraChami-o7s
      @FloraChami-o7s 4 місяці тому

      Akishindwa ugali sukari sasa anautaka acha aje ale

  • @simeontwiyogohe2727
    @simeontwiyogohe2727 4 місяці тому +2

    Abaki hukohuko

  • @LucasLugwae
    @LucasLugwae 4 місяці тому

    Ni suala lako tu ilo tumekuachia kk angu

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 4 місяці тому

    Wee morisson amerudi sembuse huyu fei ni mtoto wa nyumbani

  • @ajibchinguwile6127
    @ajibchinguwile6127 4 місяці тому

    muache atapetape hizo ndizo kauli za mfa maji yanga hatuna nafasi naye tena

  • @MuhamedIssa-kw2qh
    @MuhamedIssa-kw2qh 4 місяці тому

    Njoo dirisha dogo usichelewe. Kama mkataba tutakuchangia ulipe

  • @JohnNjuyuwi-c2t
    @JohnNjuyuwi-c2t 4 місяці тому

    Ukweli kama yanga watamrudisha huyo mhuni wa mauno watakuwa wendawazimu na timu apewe magoma timu yake

  • @LobatMalima
    @LobatMalima 4 місяці тому

    Huyo anayesema mashabiki wa simba ndiyo wanamtuka fei, ujue huyo ndiyo chakula cha injinia anambokoa yaani mikundu anayoifira injinia, wa se ngeeeee wa ja ngwa niiiiiii

  • @faidha23
    @faidha23 4 місяці тому

    Rudi tu fey kaka bado tunakipenda tu

  • @ajibchinguwile6127
    @ajibchinguwile6127 4 місяці тому

    Hajui mpira chochote magoli yake yote anayofunga sio ya kiufundi ni ya kubahatisha tu

  • @BoniNdunguru-mc8iw
    @BoniNdunguru-mc8iw 4 місяці тому

    Fei unapamban

  • @trueone6943
    @trueone6943 4 місяці тому

    Kuna leo na kesho lazma atafute hela mpira wa Tanzania ni mipira ya kichawi tu😂

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 4 місяці тому

    Ulilinga sana mwisho wamalingo yako ndio uo

  • @oskakayombo9335
    @oskakayombo9335 4 місяці тому

    mwachen akapumzike jamani

  • @AshaMsese-y5f
    @AshaMsese-y5f 4 місяці тому

    Kuchamba kwingi utainuka na mavi....unaona mungu anavo Lipa umekua mfa maji haachi kutapa tapa ndo hili sasa

  • @JohnsonPaschal-f7n
    @JohnsonPaschal-f7n 4 місяці тому

    Hahahaah😂😂😂😂😂😂 akamwambie mama ake

  • @MariaThomas-il8eq
    @MariaThomas-il8eq 4 місяці тому

    ila kuna point umeiongea kijan

  • @FeristaPaulo-v7d
    @FeristaPaulo-v7d 4 місяці тому

    Unataka tena urudi Yanga kula ugali na sukari?

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 4 місяці тому +1

    MSIMCHONGANISHE NA VIONGOZI WAKEE JAMANIII BWAANAAA

  • @koletakilasa5988
    @koletakilasa5988 4 місяці тому

    Gundu tupuuuu

  • @NATHANAELNJALI
    @NATHANAELNJALI 4 місяці тому

    Feisali uliyumba sana sasa majuto ni mjukuu

  • @SimoniMbela
    @SimoniMbela 4 місяці тому

    Msaaukwao n mtumwa rud wwe

  • @JohnsonPaschal-f7n
    @JohnsonPaschal-f7n 4 місяці тому +1

    We fei ni fala tu huna jipya kumas we

  • @SarahFashion-vv3oh
    @SarahFashion-vv3oh 3 місяці тому

    Fei hautofeli

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 4 місяці тому

    Fei mdogo wangu simba na yanga ni ndoto ya kila mchezaji anahitaji hizi timu sema wewe umefanikiwa kupita yanga ndo unatoa majibu ya kizembe waulize wachezaji hata huko kwenye ligi za ndondo wote matamanio ni vilabu viwili tu ukisikia wametaja Azam ni ziada kwaiyo hilo jibu ulilotoa bado alijawapa furaha kina awesu

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 4 місяці тому +2

    Kamwambie mama yako Yanga hurudi tena

  • @AliAbdallahali-g8e
    @AliAbdallahali-g8e 4 місяці тому

    Sijawahi kukuchukia

  • @NATHANAELNJALI
    @NATHANAELNJALI 4 місяці тому +1

    Acheni akae hukohuko apigwe akili zimuingie

  • @philipnassa7493
    @philipnassa7493 4 місяці тому

    Huu mpira Acheni matusi

  • @Nayfat-us6cj
    @Nayfat-us6cj 4 місяці тому

    Dogo unatamaa sana namambo yakisenge so ile miuno ya kumtamanisha ex wako ili akurudie sifa sio nzur usitukane mamba kabla ujavuka mto kumanina zako tumekusameh

  • @GodwiniFwelo
    @GodwiniFwelo 4 місяці тому

    Ana mikosi uyu yan ukiwa nae hutoboi

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 4 місяці тому

    Pumbavu

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 4 місяці тому

    Yakwanza nikuomba msamaa yapili kufafungisha midomo ya 3 kuwakatikiya muuno ta 4 itakuwa aje sasa du! Tusubili tuone yamungu mengi

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 4 місяці тому

    Émana Eng Hersi uyu musenge hatumutaki hatumwitaji hatumupendi akafie mbere usituuthi

  • @ThomasGai-kz5cu
    @ThomasGai-kz5cu 4 місяці тому

    Wanaotukana ni mashabiki wa Simba hao.

  • @AllySalim-o7s
    @AllySalim-o7s 4 місяці тому

    Rudi nyumbani feisali tunakukubali sana

  • @JosephNgasa-j7l
    @JosephNgasa-j7l 4 місяці тому +4

    Kwa hiyo anamlaum mwalimu wake,acha dogo mwisho utajkanyaga waachie wasemaji wako,usije ukaleta tahaluki ww na viongozi wako

  • @AzizaAziza-x1w
    @AzizaAziza-x1w 4 місяці тому +1

    Feisal una laana utaishia hapohapo maendeleo yatakupta nyuma yamgongo

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 4 місяці тому

    Yanga home wewe

  • @bennieoswald8140
    @bennieoswald8140 4 місяці тому

    Mrudishe huyu dogo anajua boli sana

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 4 місяці тому

    HUYU MJINGA MKUBWA AKACHEZE ANAKOCHEZAGA AU AENDE HUKO UMAKOLONI..

  • @Veni584
    @Veni584 4 місяці тому

    Ndoto ya mchana hiyo,

  • @BurhaniSaidi
    @BurhaniSaidi 4 місяці тому

    Bac kuna mambwa wataumia

  • @ShabaniMasunga
    @ShabaniMasunga 4 місяці тому

    Usimlaum mwalim jilaumieni nyie wachezaji

  • @josephfissoo9583
    @josephfissoo9583 4 місяці тому

    Karibu mwanetu❤❤

  • @ZamoyoniCharles
    @ZamoyoniCharles 4 місяці тому

    Huyu dogo naomba kusamehe tu

  • @JohniMbuta
    @JohniMbuta 4 місяці тому

    Ludi nyumbani feisali weee ni kijana wetu na nimtoto wa yanga

  • @AshaMsese-y5f
    @AshaMsese-y5f 4 місяці тому

    Mm km mzanzibar mwenzang huyu jeur zilimzidi hadi umri alijiona akitoka yanga ..labda yanga itayumba bila yy yanga haiendelei lkn mungu kampiga kichapo takatifu saiv amekua mahulukutab

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 4 місяці тому +13

    Eng Hersi ukitaka tugombane mrudishe huyu msenge, Sisi nyuma mwiko hatumtaki huyu fala asirudi Na hatumtaki akatafute timu Sio Yanga. Akafilwe huko

  • @Nashonpeter60
    @Nashonpeter60 4 місяці тому

    Rudi nyumbni kaka tunakupenda sana

    • @SylvesterKameo
      @SylvesterKameo 4 місяці тому +1

      Nyumbani wapi? Unguja au Kizimukazi?

  • @HamadMbarouk-m7p
    @HamadMbarouk-m7p 4 місяці тому

    Ask hatuna kinyongo naww kijana rudi nyumbani

    • @janejoel2465
      @janejoel2465 4 місяці тому

      Kama yuko tyr kula ugal na sukal

  • @DavidKampate
    @DavidKampate 4 місяці тому

    Ah mi nahofu na huyu kijana,aludi tena