USTADHI KONDOBUNGO ATOA SIRI ZA MASHEIK NA WAISLAMU WENGI KUVAA PETE, DR SULLE NA MBOGO WAPEWA SOMO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024
  • TUMEPATA NAFASI YA AKIZUNGUMZIA PETE NA NGUVU ZAKE KATIKA OFISI YA SHEIK KANDABUNGO NA TUMEPATA SOMO LA KUJIFUNZA TAZAMA HAPA

КОМЕНТАРІ • 34

  • @abuuahmad3238
    @abuuahmad3238 2 місяці тому +1

    Maa shaa Allah... sheikh Kondo...hii ni ilmu ya ukweli...ilmu nzito...we need more ...I love listening to this...
    Salaam from Texas
    Barakallah fiikum

  • @MohammedSalmin-m3i
    @MohammedSalmin-m3i 3 місяці тому +1

    Sheikh Yuko, vizuri Sanaa..

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 2 місяці тому

    mzee huku sawa sana

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 3 місяці тому +1

    Tusiuhukumu uislamu Kwa kutojua linaloongelewa.

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 3 місяці тому

    Hayaa ni maarifa makubwa sana

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 місяці тому +1

    VIONGOZI WA DINI ACHENI MAMBO YENU BINAFSI FUNDISHENI IMANI YA DINI. MAJINI MAJINI WHAT IS MAJINI BWANA.

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 3 місяці тому

    Uislamu ni Raha ona sheikh anavyoichambua Pete na madini yaliyomo kwenye hiyo Pete.😊

  • @MrishoSamueli
    @MrishoSamueli 3 місяці тому +1

    Hata utajiri mtu anaweza kufanya maalifa ukawa tajiri hii haipingwi kabisa

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 2 місяці тому

    Je elimu ya falaki ipo kwenye uislam?

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 3 місяці тому +1

    Msikilize sheikh anachokiongea usikurupuke kwenye uchawi. Msikilize Kwa umakini ili umuelewe.

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin4015 3 місяці тому +1

    Msingi wa uisilamu ni kupenda wenyewe kwa wenyewe na kusaidiana na majini ndugu zao.

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 3 місяці тому

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 3 місяці тому

    4NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @user13375
    @user13375 3 місяці тому

    Misir ndo uchaw ulipoupatia😮😮

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 3 місяці тому

    Nishawahi kusema narudia tena shetani hana uwezo wa kusema kitu kuwa lakn ana uwezo wa kufanya chochote kupitia vitu mfano pete,cheni,bangili na mengineyo

    • @bilid4128
      @bilid4128 3 місяці тому

      Hapo kwenye neno "kuwa lakn" umeniacha kidogo tafadhali naomba ufafanuzi kidogo

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 місяці тому

      @@bilid4128 sijaweka mkato ndo maana unasema nimekuacha (kitu kuwa)

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 3 місяці тому

    Kwahyo wewe mzee kati yahawo walio toa elimu ya falaki na wewe mwenyeelimu ninani yani umejikanyagakanyaga sana

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 3 місяці тому

      @@ayubutwalbu6594 yeye huyo mwalimu amejitoa katika ushirikina, lakn inabidi ufahamu kuwa hiyo elimu ya farak ni ushirikina amabo sheh yoyote lazima asome

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 3 місяці тому +3

    Uislamu ni uchawi mtupu

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 3 місяці тому

      Acha chuki za kidini

    • @mussashaha-iv7gg
      @mussashaha-iv7gg 3 місяці тому +1

      wewe huelewi uislam ndio dini ya kweli hakika kama unataka kujua nitafute

    • @batashqiraa9936
      @batashqiraa9936 3 місяці тому +1

      Uislamu sio uchawi, uislamu ni dini ya haki ambayo imeridhiwa na Mwenyezi Mungu, uislamu unakataza kufanya uchawi, uislamu unatambua kuwa uchawi upo lkn uislamu hauruhusu kufata na kufanya uchawi, kwaiyo usiuchafue uislamu kwa chuki zako, pinga kielimu na sio kichuki

    • @othmaniddikilongokilongo7890
      @othmaniddikilongokilongo7890 3 місяці тому

      Uislaam ni mfumo wa maisha anayoyaridhia Allah hapa duniani wala sio uchawi. Kuuchukia kwako uislaam ni khasara kwako.

    • @abuuahmad3238
      @abuuahmad3238 2 місяці тому

      And Christianity is for brain dead

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx 3 місяці тому

    HAPO HAKUNA USOMI WA DINI ZAIDI YA USHIRIKINA UKIONA MAPETE HAYO UJUE NI MSHIRIKI NA, WAEPUKENI HAO.

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 3 місяці тому

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 3 місяці тому

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

    • @joezeno8
      @joezeno8 3 місяці тому

      @@SIMULIZIZONENafikiri ulirusha hii kipindi part 2 mbele badala ya part 1

    • @JumaAthuman-bk6hx
      @JumaAthuman-bk6hx 3 місяці тому

      Acha kughulika na washirikina hawa utapoteza muda wako na kupigwa vijisenti vyako.Hawa ndo matapeli kwa kivuli cha dini,na ndo wanachafua uislamu