CHANZO CHA MATATIZO YAKO NI WAO
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2024
- Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa BWANA, kama maji yaifunikavyo bahari.
Habakuki 2:14
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
SHAROM,, mtumish kila ktu unachofundisha kweny madhabahu hii nkama unaona maisha ya kila mtu kiukwel unatusaidia Sana kwa mafundsho yako nakushukuru Sana🙏🙏
Aminaa mtumishi barikiwa Sana hakika kila unachokifundisha kwenye madhabahu hii hakika ndicho nachopitia kwenye maisha Yangu amen
Amen Asante Mtumishi Hapa duniani tuko kwa vita hata hata ukitenda mema lazima watu watakutendea ubaya tu.Tusaidie Mungu wangu 🙏
Mungu wa asnte kwa kunikutanisha n madhabahu hii naomba kufunguliwa niwe huru😢 mimechoka maisha y mahangaiko
Mungu ni nusuru kwa kila jambo peke yangu siwenzi
Asante mtumishi Mungu akubariki sana....."matatizo yanatengezwa"😢 Mungu tusaidie
Asante sana mtumishi wa Mungu..... Hakika nabarikiwa sana.
Ameen
Mungu uniponye nami
🙏🙏🙏mungu nisaindie kujua chazo cha matati yangu ilniweze Kung,oa mizizi yahilo tatizo kwaimani yangu nawaza kushinda kwa damu ya yesu
Ameen mtumishi
Mungu sadiyatusadiyetusamehe
Asante sana mtumishi aki 😢
Ameen mungu nisaidie kujua chanzo Cha matatizo yangu ili niweze kushinda vita
Real mtumishi..
Amen amen amen
Kweli mtumishi unachoongea ni kweli.Mungu anisaidie na Roho Mtakatifu aniongoze vema.
Shalom shalom.
Ameen.
Amen
Emeeeen
Iyo nikweli kabasa asha tumwombe mungu atuteteye EE yesu tuokoe nama adui niwegi😢
Naamini hata mm changamoto zangu siyo za kawaida, nina roho yakuchukuwa😢😢😢
Amen Amen Ee mungu naomba unisaidie 😢😢😢😢😢
Yaani kabla sijaokoka niliendaga Kwa mganga Kwa ajili ya ndoa yangu ila Yesu ni mzuri. Ndio nikawa nimemwagia moto petrol na wiki hiyohiyo nikakutanaga na Yesu.
Ee bwana unihurumie unisamehe unirehemu 😢😢
Mbona ni mm unanisemea Mungu nisaidie
Sasa utajuaje huo mzizi maana vingne havieleweki daaa Mungu nisaidie nimechoka sana
Kiukweli ninabarikiwa sana na maubiri ya Siri za biblia Asante sana mtumishi,MUNGU akutiye nguvu amen.
Amen amen barikiwa mtumishi wa Mungu unatusaidia sana
Mungu tunaomba msaada wako Bwana
Duh 🙄🙄 haya ni màish yngu kbsa
Amen🙏