AFANDE MAKOTI EPISODE 1 STARING KICHECHE# & MWAJUMA KOMWE
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- Malaika#mydought#love clamvevovi#love dontatv#mpayu mzeekucheche#mpayu busatitv#mpayu babajoan#dontatv penzi la dada wakazi#dubia#dontatv chadomaster#dontatv Karibu Hapa kwa channel yetu ya filamu
furahia wasanii wako hapa
Bongo Movies
Bongo Comedy
Bongo Series
duuh hii movie inanfanya ncheke😂😂😂
Habari za mda huu mashabiki zetu tunapenda kuwambia kuwa kwasasa ndio tumeanza rasmi na endeleeni kufatilia tamthilia hii kwasasa ahadi yetu nikwamba tutatoa kwa wakati kwahio sabscribe now
Sawa mtoe kwa wakati
Tuko ndani
Pumbavu zenyu 😅😅😅 kicheche love you kibroo
Mna rudia contents
Malaika vpi bana
Mbona unaacha malaika..foorm Congo 🇨🇩🇨🇩
Tunapiga kwotekwote mkuu
@@AugustinhoManyangaunitedboetz3 Washaikatisha kicheche hamalizagi filam
Kicheche Welcome baba tuko pamoja apa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Vipi kicheche mbona umekata malaika? Toka congo dr🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team kicheche makoti🎉🎉❤❤
Hiii sasa ina mulejesha mr kicheche strlingi mankote😮
Kicheche n'a kupenda Sana jesuis 🇨🇩🇨🇩🇨🇩😂😂😂
Muendelezo uwe mapema tafadhali mpayu film
Mwajuma komwe vs Makoti nawapenda bure🎉🎉
Kikofia
Huyu jamaa noma kicheche🎉🎉🎉
Courage kicheche ni Congo kalemie 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Niko hapa kwa sababu ya mwajuma komwe na kicheche ❤❤❤
Malaika namuona tena kwenye afande makoti pamoja na mwajuma kijicho,naipenda iyo.nawapa kazi nzuri
Leo mm ni wanne 🎉🎉🎉
Na wapenada sana wa ntazania mimi mucongomani🇨🇩🇨🇩✊✊✊✊
Mugash kwny tabia za hovyo 😂😂 sombaya kla seem anavaa uhusika appreciate sana
Kazi kazi hongereni
Kicheche ebu endelea na malaika bhana mbna Mambo mengi kwa wakati mmoja vep babu umeshindwa Kaz sio
Teari uko
Big movie
Muendelezo tafadhali msichelewe kocheche
Kicheche pambana utupe vitu vizuli tunakbalii❤❤❤❤
Plany b ya kicheche 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Iyi kari kabisa kicheche😅😅
Sawa🎉🎉🎉🎉🎉tunapenda kicheche kutoka Congo Kinshasa 🇨🇩
Hapo hakuna vita
Vipi vurugu zimepungua au vp mzee Wa kongo
Naitwa kimaru hatari kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunawapenda sana 😅😂😂😂😂 kicheche
Mbona umekamatwa mapema sana baba
Kama unampenda kicheche like nyingi kwangu
Kicheche namm nakutakia kazi ndjema twakupenda
Kaz nzur sana kicheche umejua nichekesha
🎉🎉🎉
Big up sana
Courage vraiment frérot
Mpo vizur mtoe kazi kwa wakati tafadhali
Nimefurahi sana kuona kicheche on my screen.
Nimefurah Sana kuona kicheche unafanya kazi na mwajuma kome. Tunaomba ufanye kaz na vailet
Kaz nzur sana mpayu film
Mr makot tafadhali usimuache plesesi 🎉🎉🎉🎉🎉mnapendezana
😂😂😂😂😂😂😂😅😅Eti wana wake awa ni taki duhh magoti bwana
Hakika kaz ninzur sana kicheche upo vizur❤
Safii
Kicheche Nina ku miss sana
Kazi nzuri Saaana 🎉🎉🎉
Tunaomkubali kicheche gonga like hapaaaaaa
kicheche unajua kutunga film kinoma
Hizi ndo movie zako kicheche , tumemiss kazi hizi
Mungu akujarie kicheche
Bora ume rudi boss wangu makoti
😂😂😂😂😂 mm mwenyewe nimekujua ww n mwajuma komwe
From Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Good luck to you 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
hiii kazi imetulia mno
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣 makoti weeeeee
Kubwa sana hii🎉🎉
Kicheche umeua sana mzee wangu
Kiukweli kicheche 🎉🎉🎉🎉na mwajuma komo 🎉🎉🎉🎉mnatisha 🎉🎉🎉🎉sana pia nawapenda sana tangu kwenye kibamia maua yenu🎉🎉🎉🎉
Naifati napenda kaz yako nzur
Pumbavu zako kicheche uko wagwan kabisa much appreciation love from 🇰🇪🇰🇪
Atari sana hii
ila laifati nimzuri sana❤❤❤
Asante Makoti uwanja niwako ki cheche
Msumbiji tinaweza
Hawana pakulala et wote😂😂😂😂
Dah ila kicheche weni mwehu kabisaaaa
Makoti akikutana na Mwajuma komwe ni 🔥🔥😂😂😂😂😂🎉🎉😍
Kaz nzur story nzur sauti nzur muendelezobtafadhali
Hii imeeeenda kicheche big up ❤❤❤
Wakwanza Kutoka kenya
Safi sana
Fire kicheche
🎉🎉🎉🎉watu noma sana
😂😂😂ila kicheche na huyo dada nyie 🙌mabox kweli
Vip maraik banaaa
Haaaaaaaaaav😮😮😮😮😮😮😮 mnavituko mwajuma komwe na kicheche
Baba nakubali kazi zakoo
🎉🎉🎉❤huna baya
....kicheche kazi safi
The best hiii imeenda
Noma sana watani ❤❤❤
Mpayu ndg yangu 🎉🎉🎉
Afande makoti nihatar
Kaz nzur sana
Safii san kicheche kaludi tena daa nilimkumbika jamaa yangu atie like tu apa😊
God is good
Kaka mi nakipaji Cha kuigiza vipi nafasi zipo nawapenda saana hii ndio safi
Wanao mkubali kicheche naomba ulike 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Confirmed By Vihiga Finest Official 👑
Hii qali sana aisee
namkubali kichehce
Nice 😂😂😂😂😂
Kicheche hizi ndio movie zako sasa si zile za kuwa serious
Tunataka malaika bhn
Kazii kubwaaaa
Hapo umefika kicheche
Dhuuu 😂😂 but good nice one story 🎉🎉🎉🎉
Kicheche bana malaika vpi ndio imeisha ivo ama n kwotekwote
Iyo ndo asili ya Kicheche tulomzoeya
Hiyo kamba kwenye shati weka upande wa kushoto
Kicheche ukunjee ukachukuwa vicheche wenzako ukuuu kongo kablaa havisha uwawa ukuu vita ngumuuu
Kichehe usipote sana tukopamoja