Askofu Mkuu Dallu avunja Ukimya/ Asema Kukanyaga Mafuta ni Kufuru/ Waamini waaangua vicheko baada..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 лис 2022
  • Radio Maria Tanzania
    S.L.P 34573,
    Mikocheni Industrial Area plot no. 125,
    Barua pepe: info.tan@radiomaria.org
    Wavuti: www.radiomaria.co.tz
    Mitandao Mingine ya Kijamii:
    Facebook: Radio Maria Tanzania
    Facebook Link: / radiomaria.tanzania
    Instagram: Radio Maria Tanzania
    Instagram Link: / radiomariatanzania
    Radio Maria Tanzania, Sauti ya Kikristu Nyumbani Mwako.

КОМЕНТАРІ • 35

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 5 місяців тому

    Asante sana baba askofu Dallu kwa ukweli huo

  • @agnesshayo9371
    @agnesshayo9371 Рік тому

    Asante sana Baba Askofu Mkuu Damian Denis Dallu. 🙏🙏Umesema vyema tuombe tu Mungu ATUSAIDIE🙏🙏

  • @michaelnyello3719
    @michaelnyello3719 Рік тому +1

    Mafundisho Mazuri Sana Baba Askofu🙏🙏

  • @peterkasenga8404
    @peterkasenga8404 Рік тому

    Amina

  • @TajiliusNdau
    @TajiliusNdau 2 місяці тому

    Kukanyaga mafuta wenyewe hule ni wizi kwa sababu mungu aliumba ulmwengu kwa wema tumjue mungu sio kukanyaga mafuta

  • @lucynzenga8024
    @lucynzenga8024 Рік тому

    Asante baba kwa mafundisho mazuri

  • @AstridaNdovanga-tz6vj
    @AstridaNdovanga-tz6vj Рік тому

    Sasa kama nimafuta matakatifu kwanini ukanyage

  • @eliyakinyaiya
    @eliyakinyaiya Рік тому

    Ahsante Baba askofu Dallu wa mafundisho mazuri sana 🙏

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx Рік тому

    Nimeyapenda haya mahubiri yamenibariki sana🙏

  • @agnesshayo9371
    @agnesshayo9371 Рік тому

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @michaelmagembe5069
    @michaelmagembe5069 Рік тому +1

    tunataka maaskofu kama hawa 10 tu wanatosha

  • @editamujuni94
    @editamujuni94 Рік тому

    Ubalikiwe baba

  • @efrosinamwanja7309
    @efrosinamwanja7309 Рік тому

    Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, Kanisa Takatifu Katoliki,Ushirika wa Watakatifu, Maondoleo ya dhambi,Ufufuko wa Miili,na Uzima wa Milele.Amina.

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 Рік тому

      Dini hiyo, Yesu Kristo Akusaidie kuijua kweli yake

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 Рік тому

      Mh! Umekariri vibaya,pambanua Leo Neno Kwa Neno Sala hyo,maana sio ya kweli ni ya kubuni Ili kupofusha wengi!

  • @felixlubuva5472
    @felixlubuva5472 Рік тому

    Mafundisho ya mnibariki Tena kila jambo limejipambambanua

  • @chrisdeoglatias8665
    @chrisdeoglatias8665 Рік тому

    KANISA KATOLIKI huwapumbaza watu wafikiri kwamba ukizikwa Kwa nyimbo za DINI na viongozi wakidini kunauhusiano na kwenda mbnguni/ paradiso na hvyo WTU wengi hulazmika kutii Kwa kicho Cha kidini wakijua watamwona Mungu Kwa njia hiyo!.
    Hakuna kitu km hcho,hata uzikwe na mapadre na mkuu wao yule mkuu,hueziiona mbngu Kwa vyovyote vle
    Isipokuwa Kwa mambo 3 Kupokea neema ya wokovu,kubatizwa ubatizo WA KWELI na kuishi utakatifu mambo ambayo yte hupingwa na taasisi hii km sio kugeuzwa
    Ukifa Hali umeyatimiza hayo,ht usipozikwa wewe n paradiso,huna hayo matatu ht aje papa kukuzika haitakusaidia lolote!

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 7 місяців тому

      Amini kile unachoamini, wacha waamini wanachoamini.

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 Рік тому

    Kama Kukanyaga mafuta ya upako Ni kufuru tumia Maandiko ya biblia siyo kusema tu ya kichwani mwako hiyo kofia ni ya duniani tu,Torati 33: 24

    • @catholicmusicianorganisati7353
      @catholicmusicianorganisati7353 Рік тому

      kofia hiyo imeokotwa?Tangu lini Mafuta matakatifu unakanyaga?acha upagani

    • @magreth
      @magreth Рік тому

      Vitu vingine sio maandiko ndugu, ni kutumia tu reasoning tuliojaliwa na Mungu....wapi kwenye bibilia pameandikwa ukikanyaga bibilia no kufuru?? Lakini Kwa akili za utashi na ufunuo wa Roho Mtakatifu huwezi kukanyaga bibilia Sasa kama umeelewa hivyo kuelewa kama kukanyaga bibilia inaweza kua kufuru basi ni rahisi kuelewa kukanyaga mafuta ya krisma ni kufuru just logically

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 Рік тому +1

      @@magreth dada Kama ni mafuta hayo sawa lakini Kama ni kukanyaga mafuta ya upako kibiblia ipo siyo kufuru usiishi kidini ishi kiroho, Mungu ni Roho (siyo Dini)so wamuabuduo imewapasa kumuabudu katika Roho na kweli (siyo katika Dini )

    • @magreth
      @magreth Рік тому

      @@patsonkyando1732 Lete kifungu Cha kukanyaga mafuta ya upako sio kufuru....

    • @magreth
      @magreth Рік тому

      @@patsonkyando1732 na nani kakwambia Mimi namuabudu Mungu kwenye dini? Unafahamuje connection yangu na Mungu kama ni ya kiroho?hapo ndugu zetu ndo mnapokosea kuhisi kwamba unapojibiwa basi umejifungamanisha kwenye dini

  • @TajiliusNdau
    @TajiliusNdau 2 місяці тому

    Kukanyaga mafuta wenyewe hule ni wizi kwa sababu mungu aliumba ulmwengu kwa wema tumjue mungu sio kukanyaga mafuta