MRISHO MPOTO ATUPA MAIKI AMKIMBILIA RAIS SAMIA - MA-BODYGUARD WATAKA KUMZUIA - APEWA 'MAOKOTO'...
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- MRISHO MPOTO ATUPA MAIKI AMKIMBILIA RAIS SAMIA - MA-BODYGUARD WATAKA KUMZUIA - APEWA 'MAOKOTO'...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Link yenu iyo Aifunguki ya wathsApp
Mama Samia tunakupenda sana wewe ni Raisi bora duniani na kwa vile ni zaidi ya Maraisi wanaume Mungu Akupe maisha marefu na siha nzuri daima kura zote visiwani tunakupa you are the best ever we Love you soo Much
Nimefurahia kumuona Mkuu wangu wa Mkoa Mh, Balozi Dt Batlida Salha Burian, Tunakupenda sana Tabora❤
😊😊😊😊
Mama ni msikivu sana Zaid sana hekima aliyonayo ,,Mungu amtunze vema rais wetu Samia ,,mjomba heshima Yako mpoto
Mjomba mastered the art ya kula per diem ya hii nchi... kajitaftia ka angle anakula keki na yeye😂😂😂😂😂
Na Kila kwenye function ya Taifa yupo Kila awamu yeye anakula per diem
@@mvukiedavid4332 😂😂😂😂hatari mzeee
Asante sana Rais Samia kwa kujenga Taifa la Tanzania. MUNGU IBARIKI TANZANIA
Baba yetu, Mzee wetu, Na Mpiganaji wetu, Nenda Upumzike kwa Amani, AMINA.
Mr.Mpoto👑 🎉🎉 is your next inlevel❤
First 🥇 Comment All like me ❤.
Mpoto usitusifie lakini tutetee nasisi tusemee na hilo kapu likijazwa kwa kusifu tu usitusahau mana tuna njaa mno mwenzetu....!
😂😂😂
😂😂😂😅😅
Bora Mpoto! Ukisikia Msechu ujue kuna mtu amekata kamba
😂😂😂😂
Nakupenda mama samia
Allah akupe nguvu kwa kazı unayoifanya
İla kuna watanzania wengine hawaoni umuhim wako Ila ww fanya kazi yako
Alllah atakupa ushupavu na ulizi wake
Mama piga kaz nakupenda sana love more mumy
Love sana Rais wangu mpendwa🎉❤🎉🌹🥰🌲💯
Daaa ila mpoto ana akili kikapu chake kaja nacho msije kusingizia hatuna sehem ya kukutunza kamata flsa twende zetu akili ni nywele bongo bila akili utateseka
Hongera Sana brother mrisho mpoto
Maashaallah mama Samia hanabaya Apewe MAUA YAKE❤
Mh Rais maji hatuna Dodoma yaan nimateso 2 umeme unakatika hovyo hovyo ukipiga simu wanakwambia maji hayatoshi.
Maisha ni akili
Mjomba wa taifa🌹
Hon hata na mimi mama ntilie niliyeko kijijini nafatilia sana mambo mema unayo yafanya mama mwenyezi mungu akubariki
Watching from New Orleans.
Brother yanayoendelea uku na uko yapo?
Machawa hao
Umaskini inawatesa sana waafrika
Hata wazungu nao ni masikini
@@jumakapilima7295 jifaraji na hiyo akili yako nyeusi..unawajua wazungu wewe.
Basi tu mwanamke mimi sijapata fursa yakuonana nae kwa kweli ningemkimbilia naamini naamini
Ni Sahihi kabisa Mama Apewa Maua yake
TATUENI KERO YA UMEME TUMECHOKA.WENZENU TUNAUMIA WAFANYA BIASHARA WANAPATA TABU MAMBO HAYAENDI
Ujinga huu jpm alikuwa haupendi masherehe kira siku vitendo hakuna UMEME SHIDA MAJI SHIDA KIRA SIKU MASHEREHE YA KIJINGA TU
Hongera unacheza na fusa
Huyu Rais samia suluhu Hasan nirais ambae anatumpenda anatujali hapend tugombane wala hapend tukwazane hakika mama samia ndio mana mana watanzania wote tunakuita mama hakika ww nizaid ya mzaz unatupenda sana nasi watanzania tunakupenda sana mungu akulinde uje uongoze zaid inchi imetulia inaumoja matusi yameisha chuki zimepungui ndio mana nakupenda Rais wangu pamoja na chama changu cha ccm
Wewe peke yako
❤
Nakumbuka huyu Mrisho Mpoto alitumia maneno ya masimango dhidi ya Viongozi mbali mbali wakiwemo wa madhehebu ya dini wakati wa tukio la kutia sahihi ya kuuzwa Kwa Bandari ya DSM. Bila shaka analipwa Kwa kufanya hayo!
Hilo vazi utasikia ni la Milion 30
Mama samia samahan sana nilikuwa natopoka tu mwanzo ulipo ingia kumbe upo tofauti na uwelewa wangu
Ni mzuri mama na una hekima
Ni mama mshllh samahan sana
Kwa vile umemuelewa ucjali!!
Mpoto mii sikuelew bn
Mjomba nomaa
Mama kiukweli unaupiga mwingi, siku naambiwa mama anakuwa Rais nikasema tumekwisha,kumbe ilikuwa ni Woga wangu tu,,mama hongera sana umeituliza nchi mama
Huku kwetu kisasa ndio shida, juhudi zifanyijke watu wapate maji Dodoma ni Jiji
sahihi Na umeme wakaukatika mara kwa mara
Wanasiasa noma
Mbele yaasali tena mmnacho kifikisha siiualia wamaisha yawatanzania acheni hizo.
Huyu Mrisho Mpoto aliwasimanga viongozi mbali😅emo
Ila viongozi wakubwa hawakimbiliwi ni hatari kwasababu wanalindwa kwa uangalifu sana
Huweleweki
mpoto unazidi kupoteza umarufu tangu uwakejili maskofu wakati wa kusaini mkataba.wa bandari umetufanya kuchukia nyimbo zako hiso za kiluga tumejuwa ww mchumia tumbo tu
Ila kma maofisa usalama walichelwa kwenye kumuwahi
Ivi mnacho kiimba ndouakisia wawatazania,au mmelambaasali.
Mrisho unakaririshwa maneno 😂😂 zingatia maokoto
Nimefurahishwa sana na umakini wa walinzi wa rais ningekuwa na Hela aiseee ningewapa
Wasingepokea hela yako bali wangekuweka chini ya ulinzi
Wamechelewa kidogo,katangulia kufija high table kabla yao😂
@@atupelejohnmwakangale3226na asingeweka chin maik alkuw ameshamalz kaz
MRISHO NAOMBA TUGAWANE HIZO HELA
Chawa mzee
Kweli kabisa chawa kama chawa!
Iyo ni hutuba😂😂
Mjomba mjanja Sana kaenda. Na kikapu kajiongeza..... maokoto kwanza mengine badae 😂😂😂
Hahaha hahaha hahaha hahaha ametumwa pesa uyo
@@HadijaZabroni-pu1lt Kwa kweli😂
😂😂
Mpoto mchumia tumbo tu huna lolote
Hakuna uhalisia wa maneno yako!
Usenge tu unawasumbua
Mama unanitoa chadema ujue love u best president ever
Mpoto. ....
Kima wako naa
Mjinga amebeba kakikapu ka hela wala sio kamaua
Hisa 40 mbona bado tumepigwa?
Roma bhana eti wampe maua kumbe maua ya mama
Huna lolote