MRISHO MPOTO ATUPA MAIKI AMKIMBILIA RAIS SAMIA - MA-BODYGUARD WATAKA KUMZUIA - APEWA 'MAOKOTO'...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • MRISHO MPOTO ATUPA MAIKI AMKIMBILIA RAIS SAMIA - MA-BODYGUARD WATAKA KUMZUIA - APEWA 'MAOKOTO'...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 81

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  6 місяців тому +3

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @MarooSimple
      @MarooSimple 6 місяців тому +1

      Link yenu iyo Aifunguki ya wathsApp

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744 6 місяців тому +7

    Mama Samia tunakupenda sana wewe ni Raisi bora duniani na kwa vile ni zaidi ya Maraisi wanaume Mungu Akupe maisha marefu na siha nzuri daima kura zote visiwani tunakupa you are the best ever we Love you soo Much

  • @manning979
    @manning979 6 місяців тому +4

    Nimefurahia kumuona Mkuu wangu wa Mkoa Mh, Balozi Dt Batlida Salha Burian, Tunakupenda sana Tabora❤

  • @zuwenaabdala7609
    @zuwenaabdala7609 Місяць тому

    Mama ni msikivu sana Zaid sana hekima aliyonayo ,,Mungu amtunze vema rais wetu Samia ,,mjomba heshima Yako mpoto

  • @aud548
    @aud548 6 місяців тому +8

    Mjomba mastered the art ya kula per diem ya hii nchi... kajitaftia ka angle anakula keki na yeye😂😂😂😂😂

    • @mvukiedavid4332
      @mvukiedavid4332 6 місяців тому

      Na Kila kwenye function ya Taifa yupo Kila awamu yeye anakula per diem

    • @aud548
      @aud548 6 місяців тому

      @@mvukiedavid4332 😂😂😂😂hatari mzeee

  • @monicamtei5397
    @monicamtei5397 6 місяців тому

    Asante sana Rais Samia kwa kujenga Taifa la Tanzania. MUNGU IBARIKI TANZANIA

  • @frankdaudi4444
    @frankdaudi4444 6 місяців тому

    Baba yetu, Mzee wetu, Na Mpiganaji wetu, Nenda Upumzike kwa Amani, AMINA.

  • @MarooSimple
    @MarooSimple 6 місяців тому +5

    Mr.Mpoto👑 🎉🎉 is your next inlevel❤
    First 🥇 Comment All like me ❤.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 6 місяців тому +5

    Mpoto usitusifie lakini tutetee nasisi tusemee na hilo kapu likijazwa kwa kusifu tu usitusahau mana tuna njaa mno mwenzetu....!

  • @XiuKaratu
    @XiuKaratu 6 місяців тому +2

    Bora Mpoto! Ukisikia Msechu ujue kuna mtu amekata kamba

  • @shamilaalhabsi909
    @shamilaalhabsi909 6 місяців тому +2

    Nakupenda mama samia
    Allah akupe nguvu kwa kazı unayoifanya
    İla kuna watanzania wengine hawaoni umuhim wako Ila ww fanya kazi yako
    Alllah atakupa ushupavu na ulizi wake

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 6 місяців тому +1

    Mama piga kaz nakupenda sana love more mumy

  • @ReginaldAplonary
    @ReginaldAplonary 6 місяців тому

    Love sana Rais wangu mpendwa🎉❤🎉🌹🥰🌲💯

  • @banguha
    @banguha 6 місяців тому +3

    Daaa ila mpoto ana akili kikapu chake kaja nacho msije kusingizia hatuna sehem ya kukutunza kamata flsa twende zetu akili ni nywele bongo bila akili utateseka

  • @user-fy6ck9di1f
    @user-fy6ck9di1f 6 місяців тому

    Hongera Sana brother mrisho mpoto

  • @user-dc7kf7np3l
    @user-dc7kf7np3l 6 місяців тому

    Maashaallah mama Samia hanabaya Apewe MAUA YAKE❤

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 6 місяців тому +2

    Mh Rais maji hatuna Dodoma yaan nimateso 2 umeme unakatika hovyo hovyo ukipiga simu wanakwambia maji hayatoshi.

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 6 місяців тому +4

    Maisha ni akili

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 6 місяців тому +2

    Mjomba wa taifa🌹

  • @sophiamsangi9763
    @sophiamsangi9763 6 місяців тому +3

    Hon hata na mimi mama ntilie niliyeko kijijini nafatilia sana mambo mema unayo yafanya mama mwenyezi mungu akubariki

  • @johngordonwyland
    @johngordonwyland 6 місяців тому +1

    Watching from New Orleans.

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 6 місяців тому

      Brother yanayoendelea uku na uko yapo?

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 6 місяців тому +4

    Machawa hao

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 6 місяців тому +4

    Umaskini inawatesa sana waafrika

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 6 місяців тому

      Hata wazungu nao ni masikini

    • @knowledgeispower1118
      @knowledgeispower1118 6 місяців тому

      @@jumakapilima7295 jifaraji na hiyo akili yako nyeusi..unawajua wazungu wewe.

  • @user-jc8es8ut1g
    @user-jc8es8ut1g 6 місяців тому +1

    Basi tu mwanamke mimi sijapata fursa yakuonana nae kwa kweli ningemkimbilia naamini naamini

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 6 місяців тому

    Ni Sahihi kabisa Mama Apewa Maua yake

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 6 місяців тому +2

    TATUENI KERO YA UMEME TUMECHOKA.WENZENU TUNAUMIA WAFANYA BIASHARA WANAPATA TABU MAMBO HAYAENDI

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 6 місяців тому +2

    Ujinga huu jpm alikuwa haupendi masherehe kira siku vitendo hakuna UMEME SHIDA MAJI SHIDA KIRA SIKU MASHEREHE YA KIJINGA TU

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 6 місяців тому

    Hongera unacheza na fusa

  • @masilingimbilinyi5589
    @masilingimbilinyi5589 6 місяців тому +1

    Huyu Rais samia suluhu Hasan nirais ambae anatumpenda anatujali hapend tugombane wala hapend tukwazane hakika mama samia ndio mana mana watanzania wote tunakuita mama hakika ww nizaid ya mzaz unatupenda sana nasi watanzania tunakupenda sana mungu akulinde uje uongoze zaid inchi imetulia inaumoja matusi yameisha chuki zimepungui ndio mana nakupenda Rais wangu pamoja na chama changu cha ccm

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 6 місяців тому

  • @user-jb8bo2qw6r
    @user-jb8bo2qw6r 6 місяців тому +1

    Nakumbuka huyu Mrisho Mpoto alitumia maneno ya masimango dhidi ya Viongozi mbali mbali wakiwemo wa madhehebu ya dini wakati wa tukio la kutia sahihi ya kuuzwa Kwa Bandari ya DSM. Bila shaka analipwa Kwa kufanya hayo!

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 6 місяців тому +2

    Hilo vazi utasikia ni la Milion 30

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 6 місяців тому

    Mama samia samahan sana nilikuwa natopoka tu mwanzo ulipo ingia kumbe upo tofauti na uwelewa wangu
    Ni mzuri mama na una hekima
    Ni mama mshllh samahan sana

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 6 місяців тому +2

    Mpoto mii sikuelew bn

  • @godwinmsumari8089
    @godwinmsumari8089 6 місяців тому

    Mjomba nomaa

  • @fredymkongwa5557
    @fredymkongwa5557 6 місяців тому

    Mama kiukweli unaupiga mwingi, siku naambiwa mama anakuwa Rais nikasema tumekwisha,kumbe ilikuwa ni Woga wangu tu,,mama hongera sana umeituliza nchi mama

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 6 місяців тому +1

    Huku kwetu kisasa ndio shida, juhudi zifanyijke watu wapate maji Dodoma ni Jiji

    • @ashachitemo7816
      @ashachitemo7816 6 місяців тому

      sahihi Na umeme wakaukatika mara kwa mara

  • @andrewandrew1991
    @andrewandrew1991 6 місяців тому

    Wanasiasa noma

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 6 місяців тому

    Mbele yaasali tena mmnacho kifikisha siiualia wamaisha yawatanzania acheni hizo.

  • @user-jb8bo2qw6r
    @user-jb8bo2qw6r 6 місяців тому

    Huyu Mrisho Mpoto aliwasimanga viongozi mbali😅emo

  • @abubakarally3413
    @abubakarally3413 6 місяців тому

    Ila viongozi wakubwa hawakimbiliwi ni hatari kwasababu wanalindwa kwa uangalifu sana

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 6 місяців тому +1

    Huweleweki

  • @user-qy4gb1kn4z
    @user-qy4gb1kn4z 6 місяців тому +3

    mpoto unazidi kupoteza umarufu tangu uwakejili maskofu wakati wa kusaini mkataba.wa bandari umetufanya kuchukia nyimbo zako hiso za kiluga tumejuwa ww mchumia tumbo tu

  • @hamadnassor-um2wy
    @hamadnassor-um2wy 6 місяців тому

    Ila kma maofisa usalama walichelwa kwenye kumuwahi

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 6 місяців тому

    Ivi mnacho kiimba ndouakisia wawatazania,au mmelambaasali.

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 6 місяців тому

    Mrisho unakaririshwa maneno 😂😂 zingatia maokoto

  • @yuahahmad6651
    @yuahahmad6651 6 місяців тому +1

    Nimefurahishwa sana na umakini wa walinzi wa rais ningekuwa na Hela aiseee ningewapa

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 6 місяців тому

      Wasingepokea hela yako bali wangekuweka chini ya ulinzi

    • @atupelejohnmwakangale3226
      @atupelejohnmwakangale3226 6 місяців тому +1

      Wamechelewa kidogo,katangulia kufija high table kabla yao😂

    • @samsonsamwel8782
      @samsonsamwel8782 6 місяців тому

      ​@@atupelejohnmwakangale3226na asingeweka chin maik alkuw ameshamalz kaz

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 6 місяців тому

    MRISHO NAOMBA TUGAWANE HIZO HELA

  • @georgekagwebe2461
    @georgekagwebe2461 6 місяців тому +1

    Chawa mzee

  • @emmanuelnyakunga8320
    @emmanuelnyakunga8320 6 місяців тому

    Iyo ni hutuba😂😂

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 6 місяців тому +1

    Mjomba mjanja Sana kaenda. Na kikapu kajiongeza..... maokoto kwanza mengine badae 😂😂😂

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 6 місяців тому +1

    Mpoto mchumia tumbo tu huna lolote

  • @nelsonmgaya1490
    @nelsonmgaya1490 6 місяців тому

    Hakuna uhalisia wa maneno yako!

  • @user-lm6wc8gw3z
    @user-lm6wc8gw3z 6 місяців тому +1

    Usenge tu unawasumbua

  • @user-xq2tw5hq9z
    @user-xq2tw5hq9z 6 місяців тому +1

    Mama unanitoa chadema ujue love u best president ever

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 6 місяців тому

    Mpoto. ....

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 6 місяців тому

    Kima wako naa

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 6 місяців тому

    Mjinga amebeba kakikapu ka hela wala sio kamaua

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 6 місяців тому

    Hisa 40 mbona bado tumepigwa?

  • @user-tk2we7cp5w
    @user-tk2we7cp5w 6 місяців тому

    Roma bhana eti wampe maua kumbe maua ya mama

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 6 місяців тому

    Huna lolote