Magoli | SAMAKIBA 2-3 FEIBUI | Mechi ya Hisani | Nifuate Zanzibar 15/06/2024

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 вер 2024
  • Tazama magoli yote matano na penati aliyokosa Alikiba katika mchezo wa hisani, Team FEIBUI ikiitandika Team SAMAKIBA mabao 3-2 kwenye Dimba la Amaan Complex, Zanzibar.
    Magoli ya FEIBUI (Fesal Salum Feitoto na Abdulaziz Makame) yamefungwa na Feisal Salum, Ibrahim Ahmada Hilika, na Dismas Novatus huku magoli ya SAMAKIBA (Mbwana Samatta na Alikiba) yakifungwa na Kelvin John 'Mbappe' na Mbwana Samatta.
    Dakika ya 24, Team SAMAKIBA walipata penati lakini Alikiba alikosa....

КОМЕНТАРІ • 62

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 3 місяці тому +4

    Hongereni kwa wandaaaji mchezo mzuri Sanaa👏👏👏👏

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 3 місяці тому +3

    Mchezo ilikuwa wa kistarabu sana, hongera waandaaji ❤

  • @marosproduction01
    @marosproduction01 3 місяці тому +2

    Samakiba Foundation

  • @SulmanAliy-wp8zq
    @SulmanAliy-wp8zq 3 місяці тому +4

    Team fei

  • @peacestone6764
    @peacestone6764 3 місяці тому +2

    mtangazaji ni🔥💯

    • @RichardIbrahim-bl8kd
      @RichardIbrahim-bl8kd 3 місяці тому

      Charles hirrarry wa BBC ni hatari sana😃

    • @AtwifMabrouk
      @AtwifMabrouk 3 місяці тому

      😂😂😂😂 Nimecheka Kwa SAUTI

    • @ahmedhillary6067
      @ahmedhillary6067 3 місяці тому

      Huyo ni Ahmed Hillary 😅 ​@@RichardIbrahim-bl8kd

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 3 місяці тому +3

    Mpila umeisha sijamuona alikiba akishika mpila vizuli 😂😂😂

  • @covertv8081
    @covertv8081 3 місяці тому +5

    Leo mm wa Kwanzaa nipeni maua yangu

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 місяці тому +15

    Mbona kama nimemuon mukoko tonombe jmn ila kamerazenu zimezingua😢

    • @AtwifMabrouk
      @AtwifMabrouk 3 місяці тому +1

      Ndio alikuepo

    • @DavidMido
      @DavidMido 3 місяці тому +1

      Mukoko yeye

    • @japhetgoliama
      @japhetgoliama 3 місяці тому +1

      Mukoko anaenda kosti ya tanga

    • @celvinrobert7972
      @celvinrobert7972 3 місяці тому +1

      Awa wananzingua Kinoma Yn siku ya Derby au Finals ndio wanajitahidi kuweka Camera Zaidi Ya 1 unprofessional things kbs wanaboa

    • @alexnomba
      @alexnomba 3 місяці тому +1

      Yupo bongo uyo

  • @isackobadiah484
    @isackobadiah484 3 місяці тому +1

    Mnazingua, Hamuonyeshi Vizurii

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 3 місяці тому

    Buruuudani safi sana

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 місяці тому +3

    Dah fei straika

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 3 місяці тому +1

    Kiba alipokosa Penalty Fei na Nova walivuogeuka na kucheka 😂

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 3 місяці тому +2

    😂😂ila kibaka kauza gemu

  • @tariknassoraucho5814
    @tariknassoraucho5814 3 місяці тому

    Kwaio kipindi cha kwanza cup10 Kiba Cha 2 ni Samatta

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 3 місяці тому

    What a match 🙌

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 3 місяці тому

    KingKiba aache ubishoo umetuangusha 😢

  • @stn4873
    @stn4873 3 місяці тому

    Namuona hapo MUKOKO TONOMBE

  • @OmaO-rd9cx
    @OmaO-rd9cx 3 місяці тому

    Bola hata ningedaka mm kuliko huyo juma kaseja

  • @WeChooseYou1
    @WeChooseYou1 3 місяці тому +3

    Kiba 😂

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 3 місяці тому

    Alikiba anatumia left kumbee

    • @Gainoz27
      @Gainoz27 3 місяці тому +1

      Anatumia kulia ila alitaka kufung kisuperStar

  • @upepobeka6877
    @upepobeka6877 3 місяці тому +1

    Ticha tomombe au macho yng

  • @RajabuHamza-hs9kn
    @RajabuHamza-hs9kn 3 місяці тому

    Mukoko😮😮😮😮😮

  • @junglemovies2623
    @junglemovies2623 3 місяці тому

    Mukoko TEACHER

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 3 місяці тому

    Sauti ya mtangazaji kama charles Hillary

  • @stn4873
    @stn4873 3 місяці тому +1

    Hivi huyu ali kiba mnasemaga ni mchezaji😂😂😂😂😂😂

    • @st.jamese.r6941
      @st.jamese.r6941 3 місяці тому +1

      Ndio mchezaj, alwah kuchezea Coastal union ya Tanga na akawa anakiwasha tu 😢

    • @decent_pd2692
      @decent_pd2692 3 місяці тому +1

      Kisa kakosa penalty??? Hata alivyoipiga tu unajua ni mchezaji....

    • @stn4873
      @stn4873 3 місяці тому

      Sio kukosa penati, sijawahi ona ufundi wowote kutoka kwake...embu Utakeni radhi mpira nyinyi🤣🤣🤣

    • @stevekasawala2315
      @stevekasawala2315 3 місяці тому +1

      Mpira unahitaji mazoezi sana sio hivyo unavyofikiria

    • @KomboBafah-rx1rh
      @KomboBafah-rx1rh 3 місяці тому

      ​@@st.jamese.r6941 hajawahi kuchezaa hata huko coastal union

  • @josephdamas3647
    @josephdamas3647 3 місяці тому

    huyu kelvin john ni yupi ?

    • @machaizephrine3505
      @machaizephrine3505 3 місяці тому +2

      Nimchezaji wa kitanzatia. Alikuwa anachezea Genk saahivi amesajiliwa Aab ya Denmark.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 місяці тому +1

      Mtoto Wa mzee John

    • @AtwifMabrouk
      @AtwifMabrouk 3 місяці тому +1

      Yule alokua anaitwa M'BAPE

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 місяці тому

      @@AtwifMabrouk mwambie ni w mtoto 2 Wa mzee John... Akina mbappe wapo kibao ... Kuna mbappe wa congo, Kuna mbappe wa mwananyamala hata yombo vituka yupo mbappe pia .....

    • @dangomc_niger
      @dangomc_niger 3 місяці тому

      pakome

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 3 місяці тому +1

    kba kakznguwa bhn

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 3 місяці тому +1

    😅😅😅😅 kibamiaaaa

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 3 місяці тому

    Tonombee Mukoko

  • @SimomNgumbi
    @SimomNgumbi 3 місяці тому

    Mokok

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 3 місяці тому

    Mziki hajui hata mpira hajui😂😂😂