MWAMAKULA aungana na LEMA KUMSILIBA NABII GEO DAVIE "ULE NI UTAKATISHAJI FEDHA NA KUSAKA UMAARUFU"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024
  • MWAMAKULA AUNGANA NA LEMA KUMSILIBA NABII GEO DAVIE "ULE NI UTAKATISHAJI FEDHA NA KUSAKA UMAARUFU"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

КОМЕНТАРІ • 186

  • @lastonsimon2932
    @lastonsimon2932 Рік тому +5

    Nashukuru sana askofu kupaza sauti hakika unasimamia ukweli wengine hawana ukweli mungu atupe ufunuo

  • @josephsilupya6013
    @josephsilupya6013 Рік тому

    We mtumishi ndani yako amnaofu ya Mungu unaongeya ujinga tu na neno la Mungu alimo ndani yako

  • @johnmsambuzi9094
    @johnmsambuzi9094 Рік тому +3

    Asante mch,mwamakula hao wanaojiita manabii,watugani wanafeza za mashoga,nakumbuka wakati vyama vinaruhusiwa kuanzishwa mwaka 1992 kiongozi mmoja aliwahi kusema,vyama vyote vpewe feza naserikali,lengo wasiluhusiwe kutafuta pesa popote,wanafeza wakachukua pesa za wauza madawa ushoga nk

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Рік тому +7

    Mwamakula unabuthara Sana mungu akurinde ameni

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika

    Enyi Wakristo nawaonya kwa Jina la YESU MWOKOZI acheni malumbano katika utumishi wenu. Msiwe wasemaji na kunyooshea vidole. ( Onyaneni kwa Zaburi na kuonyana kwa upole). ( Tutaacha kuzaraulika kwa tabia hii ya kulumbana kila wakati?). Tunajenga Ufalme wa Mungu mkuu wote haya yote ya nini?. (Hakika YESU MWOKOZI ATUPE HEKIMA WATUMISHI WAKE). AMEN.

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 Рік тому +5

    Umeongea point sana, tuwe na mfumo wa kutatua majanga kama haya pindi yanapotokea

  • @johnjeremiah5117
    @johnjeremiah5117 Рік тому +1

    Jamani hivi mmeshindwa kutafakari habari za Mungu na kuhubiri injili kwa mataifa tote hata ifikie hatua ya kumjadili mtu mmeishiwa sera maaskofu Goe Deve Acha afanye kazi Alioitiwa acheni kusema vibaya kuhusu mtu wa Mungu hata kama unajua hayupo sawa wewe ni nani uhukumuye

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Рік тому +1

    Katholic wamejenga karibu Tanzania nzimaa hii. Lakini hawajawahi kutajitangaza , lakini yanajionyesha yenyewe. Siyo kujitangaza na kujigamba. Tufungue macho jamani, siku za mwisho ndo hizii. Tunaziona , na kusikia wenyewe. MOTO UNAKUJA UKO MBELE YETU. NA WALA SIYO SIKU NYINGI.😊😊

  • @winnerstv421
    @winnerstv421 Рік тому +6

    You are very sure sir bishop

  • @mangapastortee3038
    @mangapastortee3038 Рік тому +5

    Iweni na shukrani,,mtu akiwafadhili anatenda Kwa moyo,,na maskini hatuwezi kuwamaliza...mzee unapotea

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Рік тому

      KWELI AMEPOTEA HUYU ANATUMWA KISIASA

    • @mwajumamussa3988
      @mwajumamussa3988 Рік тому

      sasa watu wasipate msaada kwa muda huu wa matatizo , mimi sioni tatizo watu kusaidiwa .

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Рік тому +3

    Gordevie ninabii wa kishetani sio mtumishi wa mungu kabisa

  • @dobidotz3696
    @dobidotz3696 Рік тому +1

    Mmmmmm happy si sawa, kama mfumo haupo tunafanyaje? Kwahiyo watu wasipewe msaada? Tuache haya mambo, Baniani mbaya kiatu chake dawa.

  • @sokoinemallya3395
    @sokoinemallya3395 Рік тому +2

    Hongera sana baba .askofu wee mkweli sana

  • @febronialyimo8585
    @febronialyimo8585 Рік тому

    Askofu you are very right. Hiyo hela ni upepo na wanaopokea kamwe hawawezi kuja kufanya lolote. Anajua wakienda kanisani kwake watatoa sadaka nono. Ananunua watu na kufarakanisha wake za watu.

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj Рік тому +1

    Ni kawaida sana kanisa kusaidia Jamie,ni mojawapo ya kazi za kanisa.hiyo ni political inferiority.Amen sana.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Рік тому +1

    Huyo hana kitu hiyo million 💯

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Рік тому +5

    Kama angeleta kwenye kanisa
    Lako kama sadaka ungemrudishia?

    • @officialmubytz1076
      @officialmubytz1076 Рік тому

      Uko sawaaaa
      Tatizo sisi tunafanya kazi ya mungu
      Tunahukumuuu

  • @amedeusshirima6982
    @amedeusshirima6982 Рік тому +2

    nabii yule niwamchongo kbsa sisi tulio namungu ndani yetu tunawajua manabii wamchongo juu tumejaa marifa ndani yetu

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Рік тому +2

    Mtumishi umeongea kweli
    Kila siku najiuliza,Je ! Serikali inajua chanzo cha hizo pesa ????
    Labda ni " utakatishaji " 😳

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Рік тому +6

    kueleweka anaeleweka...lakini asipangie watu watumiaje pesa zao,,kila mtu apange mambo yake mradi haubugudhi watu,,it's okay👍

  • @thomasmagoti9040
    @thomasmagoti9040 Рік тому +1

    Watumishi wa mungu wataangamizwa kwa roho zao mbaya, watu wamepatwa na shida wasisaidiwe kwel??? Mh Mungu ni mwema

  • @edwintigwela6394
    @edwintigwela6394 Рік тому +7

    Baba askofu mungu akubariki huo ndio ukweli watanzania tunashikiwa Sana akili

    • @masakamgalla9273
      @masakamgalla9273 Рік тому

      Hata yeye mwenendo wake una mashaka kwa tunaomfuatilia. Tunashindwa kumjua yuko upande upi, wa dini au siasa. Aidha hatuwezi kuhitimisha maana maswala ya imani ni ya ndani ya mtu mwenyewe

  • @lembriskivuyo9178
    @lembriskivuyo9178 Рік тому

    Mbona mnamjadili Joe Dev Sana kwani kuwasaidia watu Ni kosa.mbona wazungu Kila siku wanatoa pesa afrika .mbona hamjwasemi? Acheni wivu Mungu anawajuwa walio wake

  • @josephsilupya6013
    @josephsilupya6013 Рік тому

    kama angekuwa ni diamond njo aliwasaidiya usingelisema ayoyote Mungu anambariki MTU ili naye awasaidiye WENGINE una roho mbaya sana wewe na Mungu ayumo ndani yako maana Mungu ni upendo

  • @JacksonNainyeye-do9yj
    @JacksonNainyeye-do9yj Рік тому

    Safi mchungaji umeongea sahihi

  • @chuwimkali547
    @chuwimkali547 Рік тому +4

    Kama soko limeunguwa naselikali ilikuwaikichukuakodi inapaswa selikalindio ilijengeilosoko

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Рік тому

      Kweli kabisa

    • @enocksosthenes4505
      @enocksosthenes4505 Рік тому

      Serekali inaweza kujenga soko lingine ila mali zao je? Unauza mchele magunia matatu ndo mtaji ukayawekee bima ya 100,000 itakuwa akili matope tujaribu kifikiria aina za biashara zinazofanywa masokoni na gharama za BIMA na ndo maana sionlazima kiwa na BIMA ni hiari ya mfanya biamshara .

    • @allabout1783
      @allabout1783 Рік тому

      Acha nafasi basi kila baada ya Neno ndugu!

  • @karimmveyange2558
    @karimmveyange2558 Рік тому

    Wa TZ bwana ni kama wamerogwa vile mbongo zao. Nchi ilishambuliwa na mafisadi kwa miongo kadhaa ,watu wakalalamika,alitokea mtu akawadhibiti nakuanza kuinyanyua nchi kama muujiza vile. Mkalalamika oooh anavunja haki za binadamuuu.Hayupo, tumerudi kuleee chini ,Mnalalamika tena , hata akitokea mwenye nazo hajawaibia ,akasaisia watu, naye eti nimbaya? Vichwa vya ajabu mbele ya Mungu

  • @kwizerahakili-vc4ly
    @kwizerahakili-vc4ly Рік тому +1

    Kusaidia watu kunaitaji utaratibu!!? Nabii amesaidia wenye uhitaji. Yupo sahihi. Hayo mengine ni siasa tu.

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 Рік тому

    Akili nyingi wewe unayo hongera sana,

  • @kakanicodemus3632
    @kakanicodemus3632 Рік тому

    Viongozi wa dini acheni siasa, wana siasa wafanye siasa waachane na kuhubiri dini, na watu wa dini endeleeni na dini acheni siasa. Ila kusaidia jamii lisiwe jambo la kisiasa, we kiongoz wa kidini Kila siku mikutano ya kisiasa lin umewah kuwa na mkutano wa injili

  • @odilomagungu8803
    @odilomagungu8803 Рік тому +3

    Huyu nabii ni tapeli

  • @mongeza
    @mongeza Рік тому +3

    Kwa kauli yako watu wa nje ya kanisa hahawezi kusaidiwa hata siku moja

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Рік тому

      Elewa anachokizungumza. Msaada unaanza ndani kabla ya nje. Je, yeye kuanza nje inamaana ndani hakuna wenye matatizo!?

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Рік тому +1

    Hamna Askofu hapa

  • @philbertchristian7166
    @philbertchristian7166 Рік тому

    Hapa natofautiana na Askofu kidogo japo naheshimu mawazo yake. KUSAIDIA wahitaji ni tendo la huruma na linalopaswa kufanywa na kila mtu aliyeguswa. Swala la mtu kutafuta umaharufu au kutakatisha fedha, ni vigumu kulidhibitisha maana linamuhusu mtu mwenyewe na dhamira yake. Kauli kama hizi zinaweza kuwavunja moyo watu wenye nia njema ya kusaidia.

  • @lembriskivuyo9178
    @lembriskivuyo9178 Рік тому

    Hivi pesa wazungu wanaletaga uku afrika mnajua zinapatikanaje.

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li 4 місяці тому

    Huyoo sio nabii ni msani ndugu zangu huyoo hapo sio nabiii ni katika wale mashetani mnao watafuta binadamu waungane nae mungu azihakiwi apo mjifunze huyoo na zumaridi amna tofauti jodevi sio nabii ni mtu tu wakawaida

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Рік тому

    🤔 ukisikiliza kwa umakini kuna vituunavipata. 🤝🌹

  • @christineaimtonga1787
    @christineaimtonga1787 Рік тому +4

    Baba askofu umenena vema isipo kuwa wengine hawawezi kukuelewa

  • @josephsilupya6013
    @josephsilupya6013 Рік тому

    toka ulianza kuvaa iyo cheo ya utumishi auyajuwaka kwamba Mungu niupendo atabima isaidiye 100% aijakuwa sababu mtu mwengine asisaidiye acheni wivu biblia inasema heri mkono wakutiwa kuliko wa kupokeya na mwasaidiyeni waomba

  • @enocksosthenes4505
    @enocksosthenes4505 Рік тому

    BIMA sio lazima kwa nchi yetu unatakiwa uelewe hivyo sio kila biashara ina bima. Acheni kukariri soma sheria za BIMA uelewe

  • @enocksosthenes4505
    @enocksosthenes4505 Рік тому

    Nadhani tunahitaji kuwa na uelewa. Anaulizwa kitendo cha nabii kutoa fedha kwa waathirika wa soko kuungua na yeye analeta swala la lema. Swala la mfuko nadhani utalaumu mfumo kwa makosa binafsi leo kwenye Bima ya gari mfano kuna third party na comprehensive na ni uamuzi wawenye chombo na ipo hivyo kwa pikipiki. Hanuna tofauti. Ukikata bima ya comprehensive utalipwa asara inayopatikana ila ukiwa na third party atahudumiwa uliyemuatjiri pekee hivyo bima si shida. Swala la bima ya fya ni tofauti na kwa taifa letu haiathiri kundi moja tu la bodaboda watu wote wanachangamoto ya bima na ndo maana tunaelekea kwenye bima kwa wote. Hivyo hata kwenye masoko bima haijawekwa kama lazima hivyo ukiona kuna risk unaruhusiwa kuweka bima.

  • @hekimazaustaadhmashaka9724
    @hekimazaustaadhmashaka9724 Рік тому

    Kwanza NABII MKUU hakukurupuka,aliombwa na Uongozi wa Solo la SAMUNGE kwa muda mrefu ndipo alipoamua kwenda kuwasaidia

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 Рік тому +1

    Huyu anaejiita nabii mkuu anataka umaarufu wa kipumbavu. Msaada wasaidie wasio jiweza kuna vilema wengi nchi hii. Vipofu viwete yanima nk. Kuwapa wasanii magari na wafanya biashara pesa huu ni ujinga wa FREEMASON. tujielewe unamoaje mtu msaada wa pesa mwenye pesa. Huu ni ujinga sana. Hii ni kaz ya shetani

  • @mollelmelita8106
    @mollelmelita8106 Рік тому +1

    Ww mwamakula acha hizo ww sio mwanasiasa so acha siasa nashangaaa unamtetea lema maana ni mwanasiasa

  • @manilabonalumanula9210
    @manilabonalumanula9210 Рік тому +1

    Tuangalie msingi. Kwa hiyo wale watakaopenda dhambi na baadaye wakatubu na kuwa na utii hadi siku ya mwisho, watakuja kuhesabiwa dhambi?

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Рік тому

    Kwa mfumo wa nchi yetu kwa wafanyabiashara wadogo au wajasiriamali wengi hawana au hatuna bima..sasa kwa mfano imetokea umepatwa na shida, mtu mwenye nia njema asikusaidie?? Afu inabidi tuelewe mfumo wa kanisa katoliki katika kuidhinisha utoaji wa hela unaweza ukawa tofauti na mfumo wa dhehebu analoliongoza huyo anayejiita nabii mkuu kwahiyo tusipende kudisi kila kitu ambacho mtu anafanya.

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Рік тому +1

    Huyu askofu vp, kwa Tanzania hapa uliona wapi wafanya biashara sokoni wana kata bima😄😆nyumba yenyewe watu hatukati bima

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Рік тому +1

    Bakari Nduwimana umenifurahisha🤣🤣

  • @kambanimwanyulu7570
    @kambanimwanyulu7570 Рік тому

    Huyo Gambo aliwahi kuzuia michango ya watu wakati basi lililo oata ajari na kuua wanafunzi.

  • @linusigeorge7404
    @linusigeorge7404 Рік тому +1

    Uyu anawanyanganya maskini kanisan kwa kutumia jina la mungu ndizo andizo anatafutia kiki

  • @msafirikalinga6938
    @msafirikalinga6938 Рік тому

    Akiwasaidia wafanyabiashara maana yake amewasaidia hata hao walemavu coz wengi ni ndugu wa wafanyabiashara na wanawategemea pia

  • @elicanageorge1319
    @elicanageorge1319 Рік тому

    NILICHOGUNDUA BONGO UKIWA NA HELA LAZIMA UTREND KIVYOVYOTE VILE. na usipokuwa na hela utakuwa mfafanuzi wa aliye na hela😁😁😁

  • @theresiakaruhanga364
    @theresiakaruhanga364 Рік тому

    Definitely

  • @josephsilupya6013
    @josephsilupya6013 Рік тому

    we ni mfarisayo wewe PESA yako unazitowaka wapi kama we ni maskini yeye nitajiri hela anazo na amesha saidiya WENGINE zaidi ya ayo Yesu alipomponya mgonjwa siku ya sabato mafarisayo wakachukiya sana ndiyo watu kama wewe

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Рік тому

    Usiseme imesukwa mtu akienda kulalamika kanisani kosa liko kwa aliyelalamika sio aliyetoa msaada mbona lawama kwa nabii? Ww Samunge hukujua walipata majanga? Tatizo la watu ni ubinafsi wale watu walikosa mitaji na mali zao ziliteketea mlitakaje?

  • @Veni584
    @Veni584 Рік тому +4

    Hawa wamelambishwa asali wamehama kukosoa serikali sasa wanataka asali tena kwa nabii wanadili na wenye hela sasa

  • @chalessabaya2938
    @chalessabaya2938 Рік тому

    Nabii mkuu anawasaidiaga wengi sana ndani ya kanisa acheni kuongea kitu msichokijua huo nyundo anaogongaga kanisani ni ya nn?

  • @jamesmuthangya9843
    @jamesmuthangya9843 Рік тому

    Nabii davie amefanya mambo ya mungu hao watu aliwazaidia niwatu wamungu pia sasa mukae kama watu wamungu asheni ma ya ushetani baba davie alishaindia watu wa mungu ashante sana nabii davie mungu akubariki sana💖💖🥰🥰🥰

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Рік тому +1

    Watu hawajui kua Joe Dave ni mfanya biashara wa madini na biashara zingine, hata hategemei sadaka.

  • @karimmveyange2558
    @karimmveyange2558 Рік тому

    kama huo nisawa na utakatishaji fedha na mnaongea sana kama vile nikweli,mbona watu wa kanisa waligawiwa magunia ya fedha za watanzania mwaka ule mbona mlikaa kimyaaa?Rugemalila Funds escro.Mwacheni huyo aliye toa mfukoni mwake hakuiibia nchi kama Tegeta Escro.Anzeni na hilo kwanza

  • @eamsatellite2077
    @eamsatellite2077 Рік тому +1

    Sasa msaada unatatizo gani alafu ndugu askofu wewe Ni mtu wa mungu ila una roho mbaya huo Ni ukweli pili usifananishe Tanzania na inchi zilizo endelea ambazo tunakopa pesa kutoka kwao ilo undoa alafu dini na siasa unakosea ,. Yani philosophy na psychology inanionesha katika paji lako la sura unaroho mbaya huna nuru kabisa Kama watu wa imani. Kwaiyo sadaka kikitoka huwa mnawapa slip ? Na kuna sadaka na pewa anza na watu binafsi au taasisi . Yule alicho kifanya iwe kwa umaarufu au sio kasaidia wengi katika soko lile wewe ndio ulie kuja na hoja hiyo. Tumuogope mungu sana

  • @winygidarossa9472
    @winygidarossa9472 Рік тому

    Kwani samunge imeunguwa Leo? Mkubwa wapi siku Zote

  • @officialmubytz1076
    @officialmubytz1076 Рік тому

    Tusihukumu Kama ametoa msaada na watu wamenufaika ni sawa
    Swala la kwamba anatoa kwa agenda gani ni yeye na mungu wake anayetuhesabianhakinsisi sotee

  • @gaitamaemmanuel
    @gaitamaemmanuel Рік тому

    Aslofu kila siku kwenye siasa😮

  • @haggaikinyau1395
    @haggaikinyau1395 Рік тому

    Hivi Geordavie ni kwanza kuchangia jamii? Marehemu Mengi mbona alikuwa anatoa mamilioni hamkusema kitu? Hii tu ndo imekuwa nongwa?

  • @msafirikalinga6938
    @msafirikalinga6938 Рік тому

    Kuna madhehebu yana makanisa ya ghorofa lkn hawasaidii watu, mwacheni Nabii Mkuu awasaidie watu, wivu unawasumbua nyau nyie

  • @ahz6907
    @ahz6907 Рік тому +1

    Hata kama anatoa kwa umaarufu ni sawa tu.maana anasaidia wanaojiweza bila shaka

    • @mchelechibuga8590
      @mchelechibuga8590 Рік тому

      Tatizo una roho mbaya

    • @febronialyimo8585
      @febronialyimo8585 Рік тому

      Elimu inasaidia mambo mengi. Elimu ya kuzaliwa na ya darasani. Fafanua mambo yanayotokea. Hivi kwa akili ndogo tu unaona hiyo hela ni halali!!!? Manabii wa uongo tutawajuaje? Kwa matendo yao. Biblia imesema. Vipofu na viziwi ni wengi Tanzania. Wakati manabii mabilionea wanaongezeka, na maovu, magonjwa, ukata, ubakaji, na uchafu mwingi vinaongezeka. Tunamtania Mungu ila mwenye macho haambiwi ona.

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 Рік тому

    Unajua hizi siasa tunavyozitumia ipo siku watu watakosa misaada kwa hiyo hata wale waliotoa misaada kwenye maafa uturuki nao ni wahuni???
    Me naimani sisi binadamu hakuna aliyekamilika bt Dk.Geo alitoa kwa wema tu Leo katoa 100m matumbo joto tu

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Рік тому

    Baba Askofu umedandia gari Kwa mbele hukupaswa kuyasema hayo eti mifumo ya nchi ni mibovu.Mumefilisi KKKT Kwa ulafi wenu.Vipi kama fedha hizo zingeelekezwa kwako ungehoji haya.Acha chuki binafsi ww.

  • @sebastianmwaphe497
    @sebastianmwaphe497 Рік тому

    Askofu!!! Naona na zuchetto juu!! Tena rangi ya kikadinarli kabisa mh!!!

  • @yohanasosimbwilo2039
    @yohanasosimbwilo2039 Рік тому

    KUMBE YESU KUMPONYA YULE MTU SIKU YA SABATO ....alikosea amaaaa!!! Maana mafarisayo bado tunao ...Yan mtu asaidiwe haaf we mwingine uumie!!!!

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Рік тому

    Ana mpinzani

  • @danieljoseph273
    @danieljoseph273 Рік тому

    Hiyo nayo nielem kutoka mbinguni hakima ya Sulemani ndiyo inayo toka kinywani kwa askofu

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Рік тому

    Ww swali unajibuje swali? Kama ww ni askofu husaidii watu? Ww unasema kafanys vby ww hata baya ulilolifanya liko wapi?

  • @yohanasosimbwilo2039
    @yohanasosimbwilo2039 Рік тому

    Hivi kosa ni kutoa tuu iyo Hela...au....mana tukio la moto na nabii kutoa iyo Hela ni mbali mbali

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Рік тому

    Nabii GeorDavie Ni Baba lao

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Рік тому

    Mbona Wewe umetafuta umaarufu na umeupata 🤣🤣🤣

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Рік тому

    Lini unahubiri injili mbona Kila mara tunakusikia na mambo ya nchi TU? Ya mbinguni lini kweli sijawahi kukusikia ukitoa Nemo la mungu

  • @revocatusmagezi2235
    @revocatusmagezi2235 Рік тому

    Askofu kumbe wewe usingesaidia wahanga wa moto, hata kama wangekuja kwako wakakupigia magoti, wewe ni serikali, mfumo, bima, nk
    Sasa hivyo havipo wafanya biashara wasisaidiwe? Hata wao wanahitaji msaada wa pesa haijalishi katoa nani

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Рік тому

    MBONA WEWE NABII WA KINYAKYUSA HAHAHAHAHA MZEE WA MWANAKONDOO AMESHINDA DUH

  • @jacobsabore9822
    @jacobsabore9822 Рік тому

    Usitupunguzie mwendo goli moja ni milioni 5

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Рік тому

    Hivi huyu Askofu bado yuko kazini au amestaafu? Maana kila siku yuko kwenye siasa na chadema. Kama hajastaafu atimliwe kabisa

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 Рік тому

    Umeulizwa swali unakwepa .kauliza kwani jodev kafanya kosa kuchangia soko unaleta siasa.nimeamini we sio askofu ni tapeli na wivu unaku....

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Рік тому +1

    Kiukweli umeongea vizur

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Рік тому

    KINACHOKUUMA NINI HASA! BIMA IPO HATA HUKO ULAYA KUNA BIMA ACHA ROHO YA KUTU UMETUMWA NA KINA LEMA UMCHAFUWE MWENZAKO! KANISA LAKO LINA MATATIZO KIBAO SHUGHULIKIA YA KWAKO! KANISA LA LENNA HILO KAJITOA KAWAACHIA WANYAKYUSA

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 Рік тому

    Khaa hata Yesu alituonya kwamba KUPENDA SANA PESA NDIYO MWANZO WA KUMTUMIKIA SHETANI!! YOTE HAYA MAKELELE NI PESA ALIZOTAFUTA NABII MKUU MWENYEWE!! LEO HII MNALIALIA KAMA NINI! LOL ACHENI WIVU WA ROHO ZA KOROSHO🤔😡

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 Рік тому

    Mwamakula mi nimekuelewa

  • @coastermahenge8910
    @coastermahenge8910 Рік тому +1

    hiyo pete nina wasiwas nayo harafu watu wa Mungu wote kwann upinge yanabii ??? harafu unaonyesha mwisho wa dunia manabii wauongoo kila nafsi iishii kiiman tu

    • @Philipoupdates
      @Philipoupdates Рік тому

      Hizo ni Pete za kiaskofu ma askofu wa kkkt wanavaa wa Anglican wa romna

    • @sebastianmwaphe497
      @sebastianmwaphe497 Рік тому

      @@Philipoupdates huyu Ni wa kanisa lipi Kati ya hayo maana sijamfahamu nisaidie ndugu

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 Рік тому +3

    Mwamakula nihadhina ya taifa

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Рік тому +2

    Mwamakula vipi zikiletwa kwako M 100

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Рік тому +1

    Watanzania Mungu atusaidie tunapo ambiwa ukweli juu ya mifumo hatujui lolote ,Cha ajabu,Mambo ya msingi ya nchi,yanabebwa kisiasa.lakini jingine Mimi Nina wasiwasi na baadhi ya wanaojiita Niwatumishi wa Mungu,wanatumia muda mwingi kwenye malumbano,mbona maadili ya watumishi hayapo hivyo ,je watamwomba Mungu saa ngapi na malumbano hayo au Kuna kitu nyuma ya pazia?

    • @karimmveyange2558
      @karimmveyange2558 Рік тому

      Tuongelee juu ya mifumo yetu hii yakikoloni tena mibaya kuliko yakikoloni,hii nyakisulutani na ukandamizaji.Lkini tuache kuongelea mtu binafsi asiye husika na Wakandamizaji.Hata mimi nikikaba nikipata angalau 2000 nitawapelekea hao walio pata mkasa

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 Рік тому

    Tatizo lenu wanasiasa jengeni chama chenu tulitegemea mlivyo ruhusiwa na rais mtakuwa na hoja za kujenga inchi matokeo yake ndiyo hayo

  • @abibumbota5160
    @abibumbota5160 Рік тому +1

    Ila wewe ni mjinga wivu tu unakusumbua na lema wako mtu anasaidia watu mnaanza midomo milefu huna akili wewe

    • @felixmsale9244
      @felixmsale9244 Рік тому

      Wewe ni mtanzania Kiswahili ni Lugha yko ya asili ,Ingekua vizuri ungekua unaandika Lugha ya kistaarabu na bila kukashifu na kua na makosa makosa kama kushindwa kutofautisha kati ya R na L .

    • @manilabonalumanula9210
      @manilabonalumanula9210 Рік тому +1

      Akili anazo lkn mawazo yake naye hayana utu. Ni wivu unawasumbua. Hivi wao wamesaidia nini ktk jamii? Mtu asiposaidia watasema anajisikia ameshindwa kusaidia masikini, akisaidia watasema anatafuta umaarufu. Pia kwa nn aungane na Lema kipindi hiki alikuwa wp kuyazungumzia siku zote hizo? Yeye awaachie wanasiasa naye aendelee kutuhudumia kiroho ili tuendelee kuwaamini. Kwa sasa nilitegemea kuona wanapambana kutoa elimu na kukataa Ushoga kwa nguvu zote.

    • @muhsinikoki4060
      @muhsinikoki4060 Рік тому

      wendo fala umekujakusaidiwa hapaduniani ka uendele kusaidiwa fala wewe

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Рік тому

    Hajaongea kitu, hata wanaotembea barabarani wanauhitaji, nia yake ya kutoa anaijua yeye msimpangie, sio kila mtu anamoyo wa kutoa,

  • @msafirikalinga6938
    @msafirikalinga6938 Рік тому

    Ko wewe unadisi nn kama hapo, huna hela kaa kimya, acha siasa kwenye matatizo ya watu weweee

  • @milley7185
    @milley7185 Рік тому

    yani ni kweli tassili yake yaotwaje hakuitambulisha iila ni uhuni n'a nilijiuliza walipata kweli uhuni mwingi

  • @mahershalalhashbazi2189
    @mahershalalhashbazi2189 Рік тому +1

    Msaada ni jambo jema kwa kila mtu.
    Msaada hauhitaji masharti,Msaidie mtu kadiri uwezavyo{Mithali 19:17}
    Wivu ni mbaya sana;wafanya biashara wakisaidiwa na Geo Dave then wakalipwa na Bima zao; ninyi inawauma nini?wanafaidi sana? [Ayubu 5:2]
    Geo Dave anatimiza Maandiko;anlia na wanaolia na anacheka na wanaocheka.
    Sio kila kitu Goe Dave anakosea,palipo haki mpeni haki yake;Anapokosea ni mwanadamu mwiteni muonyeni kama ndugu mwingine yeyote

  • @masumbukosiyougomvi7900
    @masumbukosiyougomvi7900 Рік тому +2

    Yawezekana mliomba kifadhiriwa mkanyimwa, mwovu akinyimwa huanzisha zari.

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361 Рік тому +1

    Oyo anamdomo tu lakini hana akili kutoa ni moyo usambe si utajiri

  • @meikoking
    @meikoking Рік тому

    Je wewe ulishawah kumsaidia Nani kanisani kwako???? Yaan unazungumza uwongo mtupu