MWAMAKULA aungana na LEMA KUMSILIBA NABII GEO DAVIE "ULE NI UTAKATISHAJI FEDHA NA KUSAKA UMAARUFU"
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- MWAMAKULA AUNGANA NA LEMA KUMSILIBA NABII GEO DAVIE "ULE NI UTAKATISHAJI FEDHA NA KUSAKA UMAARUFU"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Nashukuru sana askofu kupaza sauti hakika unasimamia ukweli wengine hawana ukweli mungu atupe ufunuo
We mtumishi ndani yako amnaofu ya Mungu unaongeya ujinga tu na neno la Mungu alimo ndani yako
Asante mch,mwamakula hao wanaojiita manabii,watugani wanafeza za mashoga,nakumbuka wakati vyama vinaruhusiwa kuanzishwa mwaka 1992 kiongozi mmoja aliwahi kusema,vyama vyote vpewe feza naserikali,lengo wasiluhusiwe kutafuta pesa popote,wanafeza wakachukua pesa za wauza madawa ushoga nk
Mwamakula unabuthara Sana mungu akurinde ameni
Enyi Wakristo nawaonya kwa Jina la YESU MWOKOZI acheni malumbano katika utumishi wenu. Msiwe wasemaji na kunyooshea vidole. ( Onyaneni kwa Zaburi na kuonyana kwa upole). ( Tutaacha kuzaraulika kwa tabia hii ya kulumbana kila wakati?). Tunajenga Ufalme wa Mungu mkuu wote haya yote ya nini?. (Hakika YESU MWOKOZI ATUPE HEKIMA WATUMISHI WAKE). AMEN.
Umeongea point sana, tuwe na mfumo wa kutatua majanga kama haya pindi yanapotokea
Jamani hivi mmeshindwa kutafakari habari za Mungu na kuhubiri injili kwa mataifa tote hata ifikie hatua ya kumjadili mtu mmeishiwa sera maaskofu Goe Deve Acha afanye kazi Alioitiwa acheni kusema vibaya kuhusu mtu wa Mungu hata kama unajua hayupo sawa wewe ni nani uhukumuye
Katholic wamejenga karibu Tanzania nzimaa hii. Lakini hawajawahi kutajitangaza , lakini yanajionyesha yenyewe. Siyo kujitangaza na kujigamba. Tufungue macho jamani, siku za mwisho ndo hizii. Tunaziona , na kusikia wenyewe. MOTO UNAKUJA UKO MBELE YETU. NA WALA SIYO SIKU NYINGI.😊😊
You are very sure sir bishop
Iweni na shukrani,,mtu akiwafadhili anatenda Kwa moyo,,na maskini hatuwezi kuwamaliza...mzee unapotea
KWELI AMEPOTEA HUYU ANATUMWA KISIASA
sasa watu wasipate msaada kwa muda huu wa matatizo , mimi sioni tatizo watu kusaidiwa .
Gordevie ninabii wa kishetani sio mtumishi wa mungu kabisa
Mmmmmm happy si sawa, kama mfumo haupo tunafanyaje? Kwahiyo watu wasipewe msaada? Tuache haya mambo, Baniani mbaya kiatu chake dawa.
Hongera sana baba .askofu wee mkweli sana
Askofu you are very right. Hiyo hela ni upepo na wanaopokea kamwe hawawezi kuja kufanya lolote. Anajua wakienda kanisani kwake watatoa sadaka nono. Ananunua watu na kufarakanisha wake za watu.
Ni kawaida sana kanisa kusaidia Jamie,ni mojawapo ya kazi za kanisa.hiyo ni political inferiority.Amen sana.
Huyo hana kitu hiyo million 💯
Kama angeleta kwenye kanisa
Lako kama sadaka ungemrudishia?
Uko sawaaaa
Tatizo sisi tunafanya kazi ya mungu
Tunahukumuuu
nabii yule niwamchongo kbsa sisi tulio namungu ndani yetu tunawajua manabii wamchongo juu tumejaa marifa ndani yetu
Mtumishi umeongea kweli
Kila siku najiuliza,Je ! Serikali inajua chanzo cha hizo pesa ????
Labda ni " utakatishaji " 😳
kueleweka anaeleweka...lakini asipangie watu watumiaje pesa zao,,kila mtu apange mambo yake mradi haubugudhi watu,,it's okay👍
Watumishi wa mungu wataangamizwa kwa roho zao mbaya, watu wamepatwa na shida wasisaidiwe kwel??? Mh Mungu ni mwema
Baba askofu mungu akubariki huo ndio ukweli watanzania tunashikiwa Sana akili
Hata yeye mwenendo wake una mashaka kwa tunaomfuatilia. Tunashindwa kumjua yuko upande upi, wa dini au siasa. Aidha hatuwezi kuhitimisha maana maswala ya imani ni ya ndani ya mtu mwenyewe
Mbona mnamjadili Joe Dev Sana kwani kuwasaidia watu Ni kosa.mbona wazungu Kila siku wanatoa pesa afrika .mbona hamjwasemi? Acheni wivu Mungu anawajuwa walio wake
kama angekuwa ni diamond njo aliwasaidiya usingelisema ayoyote Mungu anambariki MTU ili naye awasaidiye WENGINE una roho mbaya sana wewe na Mungu ayumo ndani yako maana Mungu ni upendo
Safi mchungaji umeongea sahihi
Kama soko limeunguwa naselikali ilikuwaikichukuakodi inapaswa selikalindio ilijengeilosoko
Kweli kabisa
Serekali inaweza kujenga soko lingine ila mali zao je? Unauza mchele magunia matatu ndo mtaji ukayawekee bima ya 100,000 itakuwa akili matope tujaribu kifikiria aina za biashara zinazofanywa masokoni na gharama za BIMA na ndo maana sionlazima kiwa na BIMA ni hiari ya mfanya biamshara .
Acha nafasi basi kila baada ya Neno ndugu!
Wa TZ bwana ni kama wamerogwa vile mbongo zao. Nchi ilishambuliwa na mafisadi kwa miongo kadhaa ,watu wakalalamika,alitokea mtu akawadhibiti nakuanza kuinyanyua nchi kama muujiza vile. Mkalalamika oooh anavunja haki za binadamuuu.Hayupo, tumerudi kuleee chini ,Mnalalamika tena , hata akitokea mwenye nazo hajawaibia ,akasaisia watu, naye eti nimbaya? Vichwa vya ajabu mbele ya Mungu
Kusaidia watu kunaitaji utaratibu!!? Nabii amesaidia wenye uhitaji. Yupo sahihi. Hayo mengine ni siasa tu.
Akili nyingi wewe unayo hongera sana,
Viongozi wa dini acheni siasa, wana siasa wafanye siasa waachane na kuhubiri dini, na watu wa dini endeleeni na dini acheni siasa. Ila kusaidia jamii lisiwe jambo la kisiasa, we kiongoz wa kidini Kila siku mikutano ya kisiasa lin umewah kuwa na mkutano wa injili
Huyu nabii ni tapeli
Kwa kauli yako watu wa nje ya kanisa hahawezi kusaidiwa hata siku moja
Elewa anachokizungumza. Msaada unaanza ndani kabla ya nje. Je, yeye kuanza nje inamaana ndani hakuna wenye matatizo!?
Hamna Askofu hapa
Hapa natofautiana na Askofu kidogo japo naheshimu mawazo yake. KUSAIDIA wahitaji ni tendo la huruma na linalopaswa kufanywa na kila mtu aliyeguswa. Swala la mtu kutafuta umaharufu au kutakatisha fedha, ni vigumu kulidhibitisha maana linamuhusu mtu mwenyewe na dhamira yake. Kauli kama hizi zinaweza kuwavunja moyo watu wenye nia njema ya kusaidia.
Hivi pesa wazungu wanaletaga uku afrika mnajua zinapatikanaje.
Huyoo sio nabii ni msani ndugu zangu huyoo hapo sio nabiii ni katika wale mashetani mnao watafuta binadamu waungane nae mungu azihakiwi apo mjifunze huyoo na zumaridi amna tofauti jodevi sio nabii ni mtu tu wakawaida
🤔 ukisikiliza kwa umakini kuna vituunavipata. 🤝🌹
Baba askofu umenena vema isipo kuwa wengine hawawezi kukuelewa
toka ulianza kuvaa iyo cheo ya utumishi auyajuwaka kwamba Mungu niupendo atabima isaidiye 100% aijakuwa sababu mtu mwengine asisaidiye acheni wivu biblia inasema heri mkono wakutiwa kuliko wa kupokeya na mwasaidiyeni waomba
BIMA sio lazima kwa nchi yetu unatakiwa uelewe hivyo sio kila biashara ina bima. Acheni kukariri soma sheria za BIMA uelewe
Nadhani tunahitaji kuwa na uelewa. Anaulizwa kitendo cha nabii kutoa fedha kwa waathirika wa soko kuungua na yeye analeta swala la lema. Swala la mfuko nadhani utalaumu mfumo kwa makosa binafsi leo kwenye Bima ya gari mfano kuna third party na comprehensive na ni uamuzi wawenye chombo na ipo hivyo kwa pikipiki. Hanuna tofauti. Ukikata bima ya comprehensive utalipwa asara inayopatikana ila ukiwa na third party atahudumiwa uliyemuatjiri pekee hivyo bima si shida. Swala la bima ya fya ni tofauti na kwa taifa letu haiathiri kundi moja tu la bodaboda watu wote wanachangamoto ya bima na ndo maana tunaelekea kwenye bima kwa wote. Hivyo hata kwenye masoko bima haijawekwa kama lazima hivyo ukiona kuna risk unaruhusiwa kuweka bima.
Kwanza NABII MKUU hakukurupuka,aliombwa na Uongozi wa Solo la SAMUNGE kwa muda mrefu ndipo alipoamua kwenda kuwasaidia
Huyu anaejiita nabii mkuu anataka umaarufu wa kipumbavu. Msaada wasaidie wasio jiweza kuna vilema wengi nchi hii. Vipofu viwete yanima nk. Kuwapa wasanii magari na wafanya biashara pesa huu ni ujinga wa FREEMASON. tujielewe unamoaje mtu msaada wa pesa mwenye pesa. Huu ni ujinga sana. Hii ni kaz ya shetani
Ww mwamakula acha hizo ww sio mwanasiasa so acha siasa nashangaaa unamtetea lema maana ni mwanasiasa
Tuangalie msingi. Kwa hiyo wale watakaopenda dhambi na baadaye wakatubu na kuwa na utii hadi siku ya mwisho, watakuja kuhesabiwa dhambi?
Kwa mfumo wa nchi yetu kwa wafanyabiashara wadogo au wajasiriamali wengi hawana au hatuna bima..sasa kwa mfano imetokea umepatwa na shida, mtu mwenye nia njema asikusaidie?? Afu inabidi tuelewe mfumo wa kanisa katoliki katika kuidhinisha utoaji wa hela unaweza ukawa tofauti na mfumo wa dhehebu analoliongoza huyo anayejiita nabii mkuu kwahiyo tusipende kudisi kila kitu ambacho mtu anafanya.
Huyu askofu vp, kwa Tanzania hapa uliona wapi wafanya biashara sokoni wana kata bima😄😆nyumba yenyewe watu hatukati bima
Bakari Nduwimana umenifurahisha🤣🤣
Huyo Gambo aliwahi kuzuia michango ya watu wakati basi lililo oata ajari na kuua wanafunzi.
Uyu anawanyanganya maskini kanisan kwa kutumia jina la mungu ndizo andizo anatafutia kiki
Akiwasaidia wafanyabiashara maana yake amewasaidia hata hao walemavu coz wengi ni ndugu wa wafanyabiashara na wanawategemea pia
NILICHOGUNDUA BONGO UKIWA NA HELA LAZIMA UTREND KIVYOVYOTE VILE. na usipokuwa na hela utakuwa mfafanuzi wa aliye na hela😁😁😁
Definitely
we ni mfarisayo wewe PESA yako unazitowaka wapi kama we ni maskini yeye nitajiri hela anazo na amesha saidiya WENGINE zaidi ya ayo Yesu alipomponya mgonjwa siku ya sabato mafarisayo wakachukiya sana ndiyo watu kama wewe
Usiseme imesukwa mtu akienda kulalamika kanisani kosa liko kwa aliyelalamika sio aliyetoa msaada mbona lawama kwa nabii? Ww Samunge hukujua walipata majanga? Tatizo la watu ni ubinafsi wale watu walikosa mitaji na mali zao ziliteketea mlitakaje?
Hawa wamelambishwa asali wamehama kukosoa serikali sasa wanataka asali tena kwa nabii wanadili na wenye hela sasa
Nabii mkuu anawasaidiaga wengi sana ndani ya kanisa acheni kuongea kitu msichokijua huo nyundo anaogongaga kanisani ni ya nn?
Nabii davie amefanya mambo ya mungu hao watu aliwazaidia niwatu wamungu pia sasa mukae kama watu wamungu asheni ma ya ushetani baba davie alishaindia watu wa mungu ashante sana nabii davie mungu akubariki sana💖💖🥰🥰🥰
Hio ni bima ya mungu
Umelamba asali @James Muthangya😄
Watu hawajui kua Joe Dave ni mfanya biashara wa madini na biashara zingine, hata hategemei sadaka.
kama huo nisawa na utakatishaji fedha na mnaongea sana kama vile nikweli,mbona watu wa kanisa waligawiwa magunia ya fedha za watanzania mwaka ule mbona mlikaa kimyaaa?Rugemalila Funds escro.Mwacheni huyo aliye toa mfukoni mwake hakuiibia nchi kama Tegeta Escro.Anzeni na hilo kwanza
Sasa msaada unatatizo gani alafu ndugu askofu wewe Ni mtu wa mungu ila una roho mbaya huo Ni ukweli pili usifananishe Tanzania na inchi zilizo endelea ambazo tunakopa pesa kutoka kwao ilo undoa alafu dini na siasa unakosea ,. Yani philosophy na psychology inanionesha katika paji lako la sura unaroho mbaya huna nuru kabisa Kama watu wa imani. Kwaiyo sadaka kikitoka huwa mnawapa slip ? Na kuna sadaka na pewa anza na watu binafsi au taasisi . Yule alicho kifanya iwe kwa umaarufu au sio kasaidia wengi katika soko lile wewe ndio ulie kuja na hoja hiyo. Tumuogope mungu sana
Hili nilijinga
Kwani samunge imeunguwa Leo? Mkubwa wapi siku Zote
Tusihukumu Kama ametoa msaada na watu wamenufaika ni sawa
Swala la kwamba anatoa kwa agenda gani ni yeye na mungu wake anayetuhesabianhakinsisi sotee
Aslofu kila siku kwenye siasa😮
Hivi Geordavie ni kwanza kuchangia jamii? Marehemu Mengi mbona alikuwa anatoa mamilioni hamkusema kitu? Hii tu ndo imekuwa nongwa?
Kuna madhehebu yana makanisa ya ghorofa lkn hawasaidii watu, mwacheni Nabii Mkuu awasaidie watu, wivu unawasumbua nyau nyie
Hata kama anatoa kwa umaarufu ni sawa tu.maana anasaidia wanaojiweza bila shaka
Tatizo una roho mbaya
Elimu inasaidia mambo mengi. Elimu ya kuzaliwa na ya darasani. Fafanua mambo yanayotokea. Hivi kwa akili ndogo tu unaona hiyo hela ni halali!!!? Manabii wa uongo tutawajuaje? Kwa matendo yao. Biblia imesema. Vipofu na viziwi ni wengi Tanzania. Wakati manabii mabilionea wanaongezeka, na maovu, magonjwa, ukata, ubakaji, na uchafu mwingi vinaongezeka. Tunamtania Mungu ila mwenye macho haambiwi ona.
Unajua hizi siasa tunavyozitumia ipo siku watu watakosa misaada kwa hiyo hata wale waliotoa misaada kwenye maafa uturuki nao ni wahuni???
Me naimani sisi binadamu hakuna aliyekamilika bt Dk.Geo alitoa kwa wema tu Leo katoa 100m matumbo joto tu
Baba Askofu umedandia gari Kwa mbele hukupaswa kuyasema hayo eti mifumo ya nchi ni mibovu.Mumefilisi KKKT Kwa ulafi wenu.Vipi kama fedha hizo zingeelekezwa kwako ungehoji haya.Acha chuki binafsi ww.
Askofu!!! Naona na zuchetto juu!! Tena rangi ya kikadinarli kabisa mh!!!
KUMBE YESU KUMPONYA YULE MTU SIKU YA SABATO ....alikosea amaaaa!!! Maana mafarisayo bado tunao ...Yan mtu asaidiwe haaf we mwingine uumie!!!!
Ana mpinzani
Hiyo nayo nielem kutoka mbinguni hakima ya Sulemani ndiyo inayo toka kinywani kwa askofu
Ww swali unajibuje swali? Kama ww ni askofu husaidii watu? Ww unasema kafanys vby ww hata baya ulilolifanya liko wapi?
Hivi kosa ni kutoa tuu iyo Hela...au....mana tukio la moto na nabii kutoa iyo Hela ni mbali mbali
Nabii GeorDavie Ni Baba lao
Mbona Wewe umetafuta umaarufu na umeupata 🤣🤣🤣
Lini unahubiri injili mbona Kila mara tunakusikia na mambo ya nchi TU? Ya mbinguni lini kweli sijawahi kukusikia ukitoa Nemo la mungu
Askofu kumbe wewe usingesaidia wahanga wa moto, hata kama wangekuja kwako wakakupigia magoti, wewe ni serikali, mfumo, bima, nk
Sasa hivyo havipo wafanya biashara wasisaidiwe? Hata wao wanahitaji msaada wa pesa haijalishi katoa nani
MBONA WEWE NABII WA KINYAKYUSA HAHAHAHAHA MZEE WA MWANAKONDOO AMESHINDA DUH
Usitupunguzie mwendo goli moja ni milioni 5
Hivi huyu Askofu bado yuko kazini au amestaafu? Maana kila siku yuko kwenye siasa na chadema. Kama hajastaafu atimliwe kabisa
Umeulizwa swali unakwepa .kauliza kwani jodev kafanya kosa kuchangia soko unaleta siasa.nimeamini we sio askofu ni tapeli na wivu unaku....
Kiukweli umeongea vizur
Kaongea upuuzitu
KINACHOKUUMA NINI HASA! BIMA IPO HATA HUKO ULAYA KUNA BIMA ACHA ROHO YA KUTU UMETUMWA NA KINA LEMA UMCHAFUWE MWENZAKO! KANISA LAKO LINA MATATIZO KIBAO SHUGHULIKIA YA KWAKO! KANISA LA LENNA HILO KAJITOA KAWAACHIA WANYAKYUSA
Khaa hata Yesu alituonya kwamba KUPENDA SANA PESA NDIYO MWANZO WA KUMTUMIKIA SHETANI!! YOTE HAYA MAKELELE NI PESA ALIZOTAFUTA NABII MKUU MWENYEWE!! LEO HII MNALIALIA KAMA NINI! LOL ACHENI WIVU WA ROHO ZA KOROSHO🤔😡
Mwamakula mi nimekuelewa
hiyo pete nina wasiwas nayo harafu watu wa Mungu wote kwann upinge yanabii ??? harafu unaonyesha mwisho wa dunia manabii wauongoo kila nafsi iishii kiiman tu
Hizo ni Pete za kiaskofu ma askofu wa kkkt wanavaa wa Anglican wa romna
@@Philipoupdates huyu Ni wa kanisa lipi Kati ya hayo maana sijamfahamu nisaidie ndugu
Mwamakula nihadhina ya taifa
Mwamakula vipi zikiletwa kwako M 100
Watanzania Mungu atusaidie tunapo ambiwa ukweli juu ya mifumo hatujui lolote ,Cha ajabu,Mambo ya msingi ya nchi,yanabebwa kisiasa.lakini jingine Mimi Nina wasiwasi na baadhi ya wanaojiita Niwatumishi wa Mungu,wanatumia muda mwingi kwenye malumbano,mbona maadili ya watumishi hayapo hivyo ,je watamwomba Mungu saa ngapi na malumbano hayo au Kuna kitu nyuma ya pazia?
Tuongelee juu ya mifumo yetu hii yakikoloni tena mibaya kuliko yakikoloni,hii nyakisulutani na ukandamizaji.Lkini tuache kuongelea mtu binafsi asiye husika na Wakandamizaji.Hata mimi nikikaba nikipata angalau 2000 nitawapelekea hao walio pata mkasa
Tatizo lenu wanasiasa jengeni chama chenu tulitegemea mlivyo ruhusiwa na rais mtakuwa na hoja za kujenga inchi matokeo yake ndiyo hayo
Ila wewe ni mjinga wivu tu unakusumbua na lema wako mtu anasaidia watu mnaanza midomo milefu huna akili wewe
Wewe ni mtanzania Kiswahili ni Lugha yko ya asili ,Ingekua vizuri ungekua unaandika Lugha ya kistaarabu na bila kukashifu na kua na makosa makosa kama kushindwa kutofautisha kati ya R na L .
Akili anazo lkn mawazo yake naye hayana utu. Ni wivu unawasumbua. Hivi wao wamesaidia nini ktk jamii? Mtu asiposaidia watasema anajisikia ameshindwa kusaidia masikini, akisaidia watasema anatafuta umaarufu. Pia kwa nn aungane na Lema kipindi hiki alikuwa wp kuyazungumzia siku zote hizo? Yeye awaachie wanasiasa naye aendelee kutuhudumia kiroho ili tuendelee kuwaamini. Kwa sasa nilitegemea kuona wanapambana kutoa elimu na kukataa Ushoga kwa nguvu zote.
wendo fala umekujakusaidiwa hapaduniani ka uendele kusaidiwa fala wewe
Hajaongea kitu, hata wanaotembea barabarani wanauhitaji, nia yake ya kutoa anaijua yeye msimpangie, sio kila mtu anamoyo wa kutoa,
Ko wewe unadisi nn kama hapo, huna hela kaa kimya, acha siasa kwenye matatizo ya watu weweee
yani ni kweli tassili yake yaotwaje hakuitambulisha iila ni uhuni n'a nilijiuliza walipata kweli uhuni mwingi
Msaada ni jambo jema kwa kila mtu.
Msaada hauhitaji masharti,Msaidie mtu kadiri uwezavyo{Mithali 19:17}
Wivu ni mbaya sana;wafanya biashara wakisaidiwa na Geo Dave then wakalipwa na Bima zao; ninyi inawauma nini?wanafaidi sana? [Ayubu 5:2]
Geo Dave anatimiza Maandiko;anlia na wanaolia na anacheka na wanaocheka.
Sio kila kitu Goe Dave anakosea,palipo haki mpeni haki yake;Anapokosea ni mwanadamu mwiteni muonyeni kama ndugu mwingine yeyote
Yawezekana mliomba kifadhiriwa mkanyimwa, mwovu akinyimwa huanzisha zari.
Oyo anamdomo tu lakini hana akili kutoa ni moyo usambe si utajiri
Je wewe ulishawah kumsaidia Nani kanisani kwako???? Yaan unazungumza uwongo mtupu