Niligundua wakati mtumishi wa MUNGU anapogusia mambo kadha wa kadha Huwa kunakatishiwa katishiwa mawasiliano ili tusiskiye yotee Sauti huwa inatoweka-toweka ghaflaa Sio mara ya kwanzaa; Zaidi ya mara hata mia Mimi nafuata sana mahubiri ya baba mchungaji🙏🏾na ninasema tunarukishwa rukishwa wakati, na hatupati-pati vyema mahubiri kwa sababu ya kukatiwa katiwa maneno.
Bwana Yesu asifiwee baba Mungu akubariki sana kwa kuendelea kuisema kweli ya Mungu pasipo kupindisha Mimi pia ni kijana ambaye Niko Morogoro masomoni naomba namba za mawasiliano ya Mchungaji
Mimi kusema kweli nabarikiwa sana sana sana Hapa Faransa, hadi leo sijapata kupatana na Muhubiri Halisi, mwenye msimamo na kutojali kama akatatorokwa kwa injili ya Kwelikweli Wahubiri wengi huzingatia umati, matoleo na zaka hawataki washirika watoroke😂kwa kuambiwa kweli
Amen 🙌
Naitwa meshack kalinga nipo songea naabidu kanisa la E.A.G.T nakufatiria sana nakupenda nimtoto wa mwendo wasaa mbilinyi
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.
Asante sana baba Moses Kulola wetu uliyebaki tunakusikia sana baba,MUNGuU atusaidie
Jambo sana. Mimihuwa ninabarikiwa sana na mahubiri maana, licha ya kunibadilisha, ni kamaa niko chuoni cha Biblia chenyewe kabisa.
Amina sana nipo mbeya nawafuatiria
Naomba Mungu uishi milele mchungaji
Mungu tutunzie mtumishi wako huyu mlinde Bwana
Nakufuata mchungaji kwa mafundisho,mimi ni mchungaji ntaboba koya wa Congo Kinshasa
Bwana YESU ASFIWE!!
🤗Nafuatilia kipindi toka Paris Faransa 🇫🇷 MUNGU Azidi kuwabariki kwa Mahubiri na INJILI YA YESU
IIende Mbele na IENDELEE🙏🏾
Ubarikiwe Baba napata kuyasikia mambo magumu na mazito nisiyoyajua YESU atupe kushinda
Bwana akubariki mchungaji unasema kweli ndivyo ilivyo
Daah nabarikiwa sana ,Mungu akujalie neema ya kuishi sana ili tupata vtu ambavyo Mungu amekupa kwa ajili ytuu..
Hallelujah hallelujah hallelujah
Niligundua wakati mtumishi wa MUNGU anapogusia mambo kadha wa kadha
Huwa kunakatishiwa katishiwa mawasiliano ili tusiskiye yotee
Sauti huwa inatoweka-toweka ghaflaa
Sio mara ya kwanzaa;
Zaidi ya mara hata mia
Mimi nafuata sana mahubiri ya baba mchungaji🙏🏾na ninasema tunarukishwa rukishwa wakati,
na hatupati-pati vyema mahubiri kwa sababu ya kukatiwa katiwa maneno.
Nimebarikiwa sana na mafundisho Yako pamoja na familia yangu.Mungu azidi kukutia nguvu.
Yesu hawezi kutuacha tupo tee. Utukuzwe ee Mungu wetu
Amina baba mungu akubariki sana nimebarikiwa sana
Mungu akuongezeye upako
Nimeshikwa na wevu wakukuona mtumishi mombasa
Nakufatilia sana babangu napata mafundisho nyeti sana Mungu akubariki Sana akuzidishie cku za kuishi utufundishe mengi zaidi
Nataka nishukuru Mungu Pia Na mtumishi wake baba nakushukuru sana kwa kupokea simu yangu from Burundi Bujumbura
Amina sana Baba ubarikiwe injili yenye mafta ya Roho mtakatifu inafaa sana kwa kaniaa la Sasa
Bwana Yesu asifiwee baba Mungu akubariki sana kwa kuendelea kuisema kweli ya Mungu pasipo kupindisha Mimi pia ni kijana ambaye Niko Morogoro masomoni naomba namba za mawasiliano ya Mchungaji
Baba karibu kahama na ushetu
Nabarikiwa nkiwa nda ya yesu
Aminaa
Watu Wana barikiwa
Asante Sana Nairobi Kenya.
Jaman uje na Mpanda Katavi Baba Mch
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
Ameni mtumishi
Yaan mm hapa kila siku lazima niingie kuangalia
Nakupata vizur mchungaji nikiwa hapa washington marekan,, ubarikiwe sana kwa kutuletea neno la Mwenyez Mungu
You are a blessing to me.
Safi sana baba
Hakika ni Neema juu ya neema
Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu,
Mungu leta watu kama hawa ktk kipindi hiki kigumu ili waseme kweli yako
Amen
Naomba no. Mheshimiwa mzee magembe
Ipo kwenye ukurasa wake
@@raphaelmasasi966 bt nikipiga haishikwi mpendwa.
Amen Zanzibar itakuwa mwezi wa ngpi
Mimi kusema kweli nabarikiwa sana sana sana
Hapa Faransa, hadi leo sijapata kupatana na Muhubiri Halisi, mwenye msimamo na kutojali kama akatatorokwa kwa injili ya Kwelikweli
Wahubiri wengi huzingatia umati, matoleo na zaka hawataki washirika watoroke😂kwa kuambiwa kweli
Pastor be assured una vijana wanaokuja kuendeleza hayo na kazi uliyofanya na unayofanya ya kutupandia knowledge is not in loss
Katavi lini baba
Uje na Mpanda Katavi
Kanisa
10:46 tutakuomba namba zako za simu tafadhali Mtumishi wa Mungu
Tunaomba namba ya simu.yako.mtumishi wa Mungu Rev Magembe 13:57
Angekua mwamposa watu wangekua wako weng umu hawataki ukwl watu
Watu wamebebwa na miujiza hawatak injili ya kwel.
Tukumbuke na katavi baba
M
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.