Kiukweli Kabisa Mwanza serikali hamuitendei haki yaani barabara zote nI vichochoro na makorongo kibao kila siku vilaka juu ya vilaka wakati ndo jiji la pili kwa ukubwa.Ni aibu kubwa sana.
Mwanza ni Jiji la pili kwa ukubwa,idadi ya watu ni Kubwa sana. tusaidie hizo Barabara za USAGARA-MJINI na KISESA-MJINI ziwe njia nne kusaidia wananchi kusafiri. Tano Tena kwa Dokta Samia
Hizo ni kodi zetu. Na hiyo ni kazi.yenu kwa vile mnakusanya pesa yetu
Waziri acha siasa mkanda Rasi nae anatafutwa ?
Kiukweli Kabisa Mwanza serikali hamuitendei haki yaani barabara zote nI vichochoro na makorongo kibao kila siku vilaka juu ya vilaka wakati ndo jiji la pili kwa ukubwa.Ni aibu kubwa sana.
Ajabu sana wakati Arusha ni jiji la tatu lakini lina barabara ya njia 4 km kama 40 hivi
Vichochoro kabisa
Ata anavyoongea sidhani😂
Izi barabara za mwanza musoma mwanza shinyanga zinataka njia nne
hii barabara imesemwa miaka 3 sasa imepita inatengenezwa mpaka leo jaman
Walikuwa wanapa nua
Huwo ujengaji wa huyo barabara uwe wa mcholo sio wa kusimama barabarani wa kienyeji ubuniwe wewe ulega ni waziri wa Ujenzi
Kwann uwa mnasubl kwenye uchanguz?
Mwanza ni Jiji la pili kwa ukubwa,idadi ya watu ni Kubwa sana. tusaidie hizo Barabara za USAGARA-MJINI na KISESA-MJINI ziwe njia nne kusaidia wananchi kusafiri. Tano Tena kwa Dokta Samia
washenzi ninyi mshaga tufanya vilaza wa Kudangadanganya tu ili mjipatie madalaka kupitia cc hatuwataki
Kwa nini ijengwe sasa? Mlikuwa wapi tangu Magufuli kuuwawa? Acheni ujinga vali wadanganye vilaza. Mnajua mwaka huu uchaguzi hamshindi.!!!!!