Wakongomani lindeni wakuu wenu watetezi wenu kama jinsi wao wanavyojutolea kuwatetelea inchi isinyanganywe na wanyarwanda ndipo mtabarikiwa zaidi msizarau watu wajitesao kwa ajili yenu msije mkazidi kupandikiza laana ya milele leo hii mnakuwa mnajivinjari kwakuwa kiongozi alioko madarakani ni mwana wa inchi ajuwaye uchungu wa inchi na wanainchi wake
Nimeipenda bure vile amani na itawale kwetu kongo mtu na kwao mkataa kwao mtumwa ugenini ndugu zanguni msikubali hata punje moja ya inchi kunyanganywa na wanyarwanda kwetu kweli huraha ilioje?
Tunawapenda sana wazalendo wetu Mungu awalinde
Mungu akulinde sana baba yetu pamoja na jeshi lako lote
Hongera
Ya kutumba Baba yetu Wawa Congomani woote Mungu azidi kukupa nguvu zaidi na zaidi, lakini isiwe wanafanya siasa ya kutaka kukuuwa hiyo.
Courage
Mwenyezi Mungu akutunze daima na azidi kukulea na kukulinda
Tunampenda daima mzalendo waukweli tuna mpenda sana zaidi sana
Ukiona mtu anapendwa na watu wengi juwa kwamba mungu naye ame mkubali
Hongera sana ❤❤
Mko huru leo eshimisheni wazalendo maana wao ndo kichwa cha ulinzi wa inchi na wanainchi kutokunyanyasika kikatili
Wakongomani lindeni wakuu wenu watetezi wenu kama jinsi wao wanavyojutolea kuwatetelea inchi isinyanganywe na wanyarwanda ndipo mtabarikiwa zaidi msizarau watu wajitesao kwa ajili yenu msije mkazidi kupandikiza laana ya milele leo hii mnakuwa mnajivinjari kwakuwa kiongozi alioko madarakani ni mwana wa inchi ajuwaye uchungu wa inchi na wanainchi wake
Home is home ❤❤❤
Nauyo atapigwa m23. Juzaidi
Dawa ya wa nyarwanda kwake akuna mchozo
Nimeipenda bure vile amani na itawale kwetu kongo mtu na kwao mkataa kwao mtumwa ugenini ndugu zanguni msikubali hata punje moja ya inchi kunyanganywa na wanyarwanda kwetu kweli huraha ilioje?
Mungu ninaye mwabundu ampe Maisha Marefu apa Duniani 🫶
NYINYI NIWAJIGA IVI BARAKA NI VILE KWALIPI WAJIGA KABISA
Tuna wafuatilia tukiwa USA simba wa congo
Poa