WABUNGE WA FIZI WAFUNGUKA YA MOYONI KWENYE MSIBA WA MWAMI OMARI SADI SIMBI CHARLES

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 15

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8x Місяць тому +1

    Yeeeeeeeeee maneno ndo yalitanguliwa kwepo na mtendo yakafifika😢😢😢kilio kilio wakongomani kwakulialia na kusaga meno wenye msimamo wakwenda na maji kunabaki wenye mbwembe na watumwa wa akili na vijakazi vya wanyarwanda wakongomani wamebaki pomba na makapi yanayosubirisubiri kuchomwachomwa moto

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Місяць тому

    Poleni sana kwa kumpoteza Mwami wa asili😭

  • @jeromealutaMmuma
    @jeromealutaMmuma 5 днів тому

    On pleure parfois, on se demande pourquoi mais ainsi va la vie

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni Місяць тому

    Poleni Kwanza kwa kumpoteza mwami, bara bara Kwanza tafadhali,

  • @user-ts4zn1sx7h
    @user-ts4zn1sx7h Місяць тому +1

    Detail inakushinda juu auna matumaini yakuwa kma siku mo1 mnaweza kutengenezesha barabara RN N05 Huo umo1 wenu Unisema ni kwel kbs mnataka kusikiliza Malalamiko gan na wakati Mna yajuwa kwa1 barabara usalama mdgo Nk (na kazalika)

  • @sylvanosalumu5840
    @sylvanosalumu5840 Місяць тому

    Kazi njema T TV.

  • @KolamuWabene
    @KolamuWabene Місяць тому

    Wakongomani muhitahidi kongo himalizike wala hisiwepo duniani,kwasababu wafanya siasa wakongo ndio wanahangusha congo,wapi na wapi jeshi kukaha pamoja na raia,na mtutazidi kuhuwawa sana tu

  • @KolamuWabene
    @KolamuWabene Місяць тому

    Akuna gouvernement hapo nayeye huyo anaye hongea akuna ambacho atakacho badili kwanza watowe jeshi katikati ya watu wawaweke mu camp zao,lakini siasa yakongo himeshindwa kuwalipa wana jeshi hikahona hiwaweke mu watu ili hiwahibiye

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s Місяць тому

    Kesho tulisha fanya kikao😂😢😢😢

  • @MakeleleAboubakarr
    @MakeleleAboubakarr Місяць тому

    Baraka ville yenye haina barabara haina courent haina maji ndo ville gani iyo😡iyo😡😡😡

  • @MakeleleAboubakarr
    @MakeleleAboubakarr Місяць тому +1

    Munasema ivyo kwakuwa mungali apo mukifika kishansa munaikaa kimya naizo video zote munazifuta, wabunge wote kutoka sd kivu bure kabisa

  • @user-iq2dv6ot8c
    @user-iq2dv6ot8c Місяць тому +1

    ua-cam.com/video/EypBcm60wWE/v-deo.html