Kifungo kimekaa huku cha juu kiko chini na cha chini kiko juu 13.48 aaahaaa nimecheka nikadondoka chini sijui kesha kutana nao akasema hivi mwee nimecheka mbaya sana mie 🤣😅🤣
Mnatufunza hasaa tena twashukuru kwahilo ila ningependa kuwa kumbusha wa mm zangu wapedwa kujistiri vichwa vyetu hasa tukiwa kwenye hadhara kama hivi na mnapendeza mkijitanda nyie mshaa Allah
Nawapenda bulee jamani mnaongea vipo majumbani makofi tafazali kwa Hawa wamama 💕💕👏👏
Naaam Asante we love u too
Maashaaallah Asanteeni.sana kweli mnatufunza
Pambee mmependeza sana mashallah nawapenda mko vizuri sana
Thank uuuuu
😍♥️🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Nimewapenda bure mko vzr sanaaaaa
Nawapenda sana kipind kitaam pia😘😘😘
Swadakta mungu awape afya njema asante sana
Mumpendeza sana.... Asanteni kwa mafunzo
Mmpendeza mamaz🇷🇼💞
Ni kweli, endeleeni kutukumbusha!
Kifungo kimekaa huku cha juu kiko chini na cha chini kiko juu 13.48 aaahaaa nimecheka nikadondoka chini sijui kesha kutana nao akasema hivi mwee nimecheka mbaya sana mie 🤣😅🤣
Asante wamama wazuri ❤
Mashallah maneno yakweli na ya heshima
Mashallah tabarakallah Shukran my love wang ushawuri muzurisan
Mashallah....
Mashallah ❤️❤️❤️❤️❤️
Nimependa Sana dada zangu
Mashaallah mmenoga jaman
Mmesema kweli kabisa 💯💯💯
Kweli kabisa wapenzi
Kweli kabisa
Kiukweli munaongeya Mambo mazuri sana
Maneno kuntu wangu mimi❤❤❤
Ma shaaa alllah
❤❤❤
😂😂😂😂😂eti kifungo cha juu kiko chini kifungo cha chini kiko juuu duuuu nimecheka apo
MashaAllah jamani mumenifunza mengi nawapenda
Mumedamshi mashallah
😂😂😂😂 mikate ya kishua mnatoa raha sana wadada asanten
MashaAllah dadah zangu
28 MAY 2022
Jmoc💚💛
Eti MWAJINI 🤣😂
Kweli nimejifunza mengi kupitiya nyiye asanteni
Naaam watu wangu wa nguvu
Wapi Tanga 🔥❤️
lovely
🤣🤣🤣ukagese ukishindwa wauyaa🤣👌❤️🔥
Mnatufunza hasaa tena twashukuru kwahilo ila ningependa kuwa kumbusha wa mm zangu wapedwa kujistiri vichwa vyetu hasa tukiwa kwenye hadhara kama hivi na mnapendeza mkijitanda nyie mshaa Allah
Asanteni maneno kuntu👌👌 ila mkimaliza mwisho malizieni na msemo usemao sikilizeni maneno yetu msifuate matendo yetu😆😆
Ahahaaaa
maneno kuntu,blandina nipo zanzibar naweza kuwakodi katika shubuli yangu
Bila shaka kabisa Njoo DM @UTAMU_WA_PWAN Ni instagram
Bila makungwi tanzania haiend penda sana blandina kwA saut yako kelvin sanga mbeya hapa uyole
Kungwi zangu mmdamshi mmtaradadi Sana Mashallah
😂mtt ya bandia
Mapezi ni utumwa kabisaaa 🤣 Mia Mia
Darasa zuri
Kuelewa kuhusu umuhimu wa mapenzi mnaelewa. Lakini Jueni Mtume alifunza wanaume waoe mwanamke mwenye Dini
Heko kwa kazi mwafaka, kuelemisha jamii jambo kubwa sana Mwastahili heko
Apo sasa wambiye minina wapenda buretu mnachokisema nikweli 🙏
Hallloooooo
Halllooooooo
Vipenzi vyangu
Baambienii basikilee na baeleweee
Sas kiwatak nawapata vp
🤣🤣🤣🤣
Tunao.hoku.omani.jamani ni hatari
Kweli kabisa
❤❤