Kusoma sheria Wamesoma wengi tu,, lkn jiulize kwa nini kuna lawyer Ambao wanagombaniwa wakati wengine hata wateja wa kesi ngumu awapati? Na wote wamesomea sheria? Kupanga hoja na kuitafsiri sheria ndio ugumu ulipo.""" Huyo yy anataka pesa tu magoma ashinde au asishinde ili mradi yy analipwa ndio anachotaka
Hiyo haikuwa kesi ya kusikilizwa kwa pande zote, yalikuwa ni mapitio ya hukumu iliyokwishatolewa. So wamegundua maamuzi yao hayakuwa sahihi. Kateni rufaa ya kesi husika siyo ya nyongeza ya muda.
Comment nyingi ni za mashabiki oya oya.. kiukweli huyu Dogo yuko vizuri kisheria na kama hii kesi itaenda kwa haki %100 Magoma anashinda hii kesi iko wazi kabisa na hamtoamini nyie oya oya labda itumike njia haramu..
Hizo ndo za simba... kama enzi ya kesi na fey toto..kila yanga wakiwa na mechi muhimu..anaibuka fey kusikojulikana.. kolo wamefika mwisho kuhujumu yanga
Kama wewe mwanasheria wakt mnaendesha kesi ya msingi wakati huo viongoz wa yanga waliitwa mahakamani?? Au mlifanya ujanja , kugushi pmj na uvunjifu wa sheria . Kama mwanasheria ulitakiwa uwaongoze wateja wako juu ya sheria.
Mwanasheria anawaponza wenziwe kuongezewa muda sio kesi ya msingi ilikuwa ni kuwapa yanga muda wa kujibu hoja kwa vile wao hawakupata muda wa kusikiliza hivo wao wameomba muda juu ya maamuzi ya mahakama sio Magoma hivyo magoma ameshasikilizwa mahakama imeikubalia yanga kutoa maelezo ss ukisema umepigwa huo ni uwakili usomi bali ni wizi
Huyu wakili anawapiga hela kina mangoma,, Ana lalamika kupewa taarifa wawo kipindi wanaendesha kesi yao wakashinda with walipeleka wap ,yanga alishutikia hukumu ilitoka,,,huyu wakil awasaadii bali anawatia moyo ila keshi hii awachomoki na hata yakungushi itawaangukia watapotea
wewe wakili acha kujidhalilisha na kazi yako, mzee kaingia pabaya huyo, wewe kama msomi achana na huyo, njaa zilikuwa zinawasumbua. nyie mliwaita watu wa upande wa pili kusikiliza, nyie mlisikiliza kesi wenyewe, mlisema mmeshinda. sasa wewe endelea kumponza mwenzio, wamefoji sahihi za watu wewe mponze tu huyo mwenzako ataenda jela kifungo cha maisha.
Wewe wakili njaa unawapotosha hao wazee wewe tunajua ni Simba na unatumika kwa masilahi ya Simba huwezi kutoboa zaidizaidi wasaidie kuwalipia faini wateja wako sasa
Ushamuibia mwenzio😢😢
Tunajua mnatumika mnalipwa ili muiagushe yanga achen ujinga
Hapo hukuna mwanasheria.
Hahahaha hakuna kabisa yeye kaendesha kesi bila kiwashirikisha wahusika yeye ana lalamika hajahusishwa
Uko goood na tuko pamoja tumesoma sheria tunajua kinachiendelea ikibidi tutaungana
Kusoma sheria Wamesoma wengi tu,, lkn jiulize kwa nini kuna lawyer Ambao wanagombaniwa wakati wengine hata wateja wa kesi ngumu awapati? Na wote wamesomea sheria? Kupanga hoja na kuitafsiri sheria ndio ugumu ulipo.""" Huyo yy anataka pesa tu magoma ashinde au asishinde ili mradi yy analipwa ndio anachotaka
Hakuna wakili hapa
Hamkushirikishwa kama mlivyofanya nyie😂(kidding 😅)
Kweli hata akina Magoma waliendesha kesi gizani Leo imewageukia kwenye mwanga
😂😂😂 Jaco, ulinomagoma gashinaga. Sawa bhabha pambanagi,
Wewe jamaaa unamdanganya magoma umalize hela Zake na kibanda auze alale gerezani😅😅😅
😂😂😂 yy anataka mshiko tu
Wewe endelea kuwaingiza chaka kwa sababu kuna mtonyo! Huko juu unawapeleka, unawaongezea mzigo ambao tayari ni mlima Kilimanjaro!!
Haaa haaaa asee kweli siyo kilimanjarotu changanya Mt Meru na nyanda za juu kusini
Magoma anao watu wa kulipa hiyo gharama bila shda na kesi inaendelea😀😁😂
Acha kumdidimiza magoma ana familia inamtegemea😂😂😂😂😊
Hapo gsm kahonga pesa ili kesi ifutwe huo ndio ukweri vinginevyo mnapoteza muda
Wakili kitunguu, acha kujidharilisha bro😅😅
Wapige hela ...we teteatea tu usijekuonekana hukuwasaidia...lakini ukweli unaujua ulivyo ...
NAOMBA huyu mwanasheria atupatie vyeti vyake maana naye ana hittlaffu kama Magoma
Hiyo haikuwa kesi ya kusikilizwa kwa pande zote, yalikuwa ni mapitio ya hukumu iliyokwishatolewa. So wamegundua maamuzi yao hayakuwa sahihi. Kateni rufaa ya kesi husika siyo ya nyongeza ya muda.
Alipe tu 70 milion
Kweli hueleweki
Huyu wakili nae kilaza ila anachokitaka atakipata tu muda si mrefu
uelewa mdog kuhusu uwakili
wakili nimtu anaesmama badala ya muhusik kumuwamilisha
Litamkuta jambo 😂aache ushubwada atushindwi na jambo letu
Tumia akili ww sasa wakili atafanyaje wakati yeye anapewa hela kusimamia kesi
acha mizengwe bro
Huyu yupo kuwaongezea wenzake million 70 nyingine za kuendesha kesi nyingine jumla 140 million halafu analala mbele
Wenawe mwanasheria wa mchongo.msaidie huyo mzee wako kulipa hizo pesa .acheni ubabaifu.
hao wazee ni njaaaa imewazidi, wao wasubirie kwenda kwa baba...
Huyu ni wakili msomi
😂😂😂😂😂😂😂
😂unapga hela tuuu
Yanga mtakuja kujuta kama hamtki kumwelewa magoma, heris pamoja nakufanya vizuri anawapiga
Mbona mo na Dada zake wamegawana simba kama vipande vya kanga na bado nyie hamjuti
Magoma ana haki.
Kazi ya tumbaku
Hamna wakili haoa
Hamna Wakili hapa
Kurujuani imemrudia mwenyewe kenge magoma
Upo vizuri mwanasheria safi sana.
Wasipofungua😂😂😂😂 itakuwaje
Yanga ni taasisi kubwa wakili msomi utadunda yatakwisha
Ww kama mwanashelia wa mteja wako magoma, ulilichukulieje hili swale la magoma kuishitaki yanga? Na kwann aliishitaki yanga yaani wananchi?
Ukiona wakili ana mteja kama magoma shtuka shtuka
😢hehehehe
Jamani ajira hamna mtaani, huyu mwanasheria anazidi kupiga pesa tu 😄😄😂🤸🏼♀️
Magoma peleka kesi fifa
Subutu kwani Magoma ni mwanachama wa FIFA
Hauna akili na huyo dada yako magoma
Comment nyingi ni za mashabiki oya oya.. kiukweli huyu Dogo yuko vizuri kisheria na kama hii kesi itaenda kwa haki %100 Magoma anashinda hii kesi iko wazi kabisa na hamtoamini nyie oya oya labda itumike njia haramu..
Fala huyu
Wakili ukovizur sana🙌🔥🔥📌🔥🔥
Utajua mwenyewe we unataka kuizuia mvua ungewashauri vzr kaka hao wazee usije ukasababisha wauze nyumba zao
Mwanasheria wa mchongo huyo,tuone vyeti vyake!!
Watoto wa magoma huyu ndiye labda amesababish kuuzwa nyumba yenu alimshauri baba magoma vibaya
Kuna rushwa apo ishaingia
Unazuiaje kuhusu kuongezewa mda nawakata cha kwanin mwanzo kesi mliendesha upande wenu
Lengo lenu ni kuiyumbisha timu yetu,mmefeli wapumbavu nyie!!
Nyie si mlifanya uhuni mkafungua kesi kisha mkafoji sahihi za watu,sasa na nyie mmepigwa na kitu kizito...nenda kafungue kesi kwa makolo wenzako.
nlijua tu hawatoboi sababu usimba na uyanga umetawala sana
Wakamue pesa hadi wafilisike kabisa
Mpigaji huyu
Mlitaka mtuvuruge kweny mechi ya jana....maviii nyie
Hizo ndo za simba... kama enzi ya kesi na fey toto..kila yanga wakiwa na mechi muhimu..anaibuka fey kusikojulikana.. kolo wamefika mwisho kuhujumu yanga
Huyu mwanasheria wa mchongo
Mmepigwa uwanjani goli la tobo, mmepigwa mahakamani na sheria, mmepigwa mtaani. Hamuogopi?
Mbona wadhamini wa bodi ya yanga hawakuwepo na nyinyi mkapewa hukumu na mkaifurahia?
Kama wewe mwanasheria wakt mnaendesha kesi ya msingi wakati huo viongoz wa yanga waliitwa mahakamani?? Au mlifanya ujanja , kugushi pmj na uvunjifu wa sheria . Kama mwanasheria ulitakiwa uwaongoze wateja wako juu ya sheria.
Wakili mwanasimba huyu😂
Kabisa Tena kadi yake ya Simba ni namba 2345
yan anavo kaza mishipa tafikiri timu ya baba yake atafute kazo
Mwanasheria anawaponza wenziwe kuongezewa muda sio kesi ya msingi ilikuwa ni kuwapa yanga muda wa kujibu hoja kwa vile wao hawakupata muda wa kusikiliza hivo wao wameomba muda juu ya maamuzi ya mahakama sio Magoma hivyo magoma ameshasikilizwa mahakama imeikubalia yanga kutoa maelezo ss ukisema umepigwa huo ni uwakili usomi bali ni wizi
Hiyo hela ya Magoma itakutokea puani wewe Wakili
ivi nyi mnaweza kucheza na ghalib nyie,,,hela zenyewe mnachanga changa ndo mumpe wakili😊;;;
unajua hao jamaa nyuma yao kuna mtu ana pesa kuliko ghalib
Unawadanganya watazidi kuingia gharama kubwa
Ye si ndo kazi yake unadhani atakula wapi we muache magoma aendelee kujichanganya kma hajauza vibanda vyake
Munyonge hana haki pereka Tas tuwone kama utafika wewe kenge kubwa
Sasa nyie wasiwas wenu nini Kama mna haki mnachoogopa nini kwenye kuongeza muda
Ww mwanasheria choko magoma anaweza kuwa na yanga pia una akili mwanasheria njaa
Tuangalie umri wa wakili anataka kutengeneza status!!?
Pumbavu sana" sijakutukana baali nineno ambalo lipo kwenye bible
Huyo ni kolo
Huyu wakili anawapiga hela kina mangoma,,
Ana lalamika kupewa taarifa wawo kipindi wanaendesha kesi yao wakashinda with walipeleka wap ,yanga alishutikia hukumu ilitoka,,,huyu wakil awasaadii bali anawatia moyo ila keshi hii awachomoki na hata yakungushi itawaangukia watapotea
Acha wanyooshe
Anatakaa ku trend tu
wewe wakili acha kujidhalilisha na kazi yako, mzee kaingia pabaya huyo, wewe kama msomi achana na huyo, njaa zilikuwa zinawasumbua. nyie mliwaita watu wa upande wa pili kusikiliza, nyie mlisikiliza kesi wenyewe, mlisema mmeshinda. sasa wewe endelea kumponza mwenzio, wamefoji sahihi za watu wewe mponze tu huyo mwenzako ataenda jela kifungo cha maisha.
Washenzi tu Hawa inawauma yanga ni kubwa
Hawa jamaa wanapoteza muda tu... Sijuhi hakuna kazi za kufanya
WEWE SIMBA UBAYA UBWELA NDIO UMEBWELA NA KIPIGO................. CHA I BILA
Wewe wakili njaa unawapotosha hao wazee wewe tunajua ni Simba na unatumika kwa masilahi ya Simba huwezi kutoboa zaidizaidi wasaidie kuwalipia faini wateja wako sasa
MAGOMA WAO SI JEURI WANARINGIA PESA WEE PELEKA KESI FIFA MBWAI NI MBWAI
Jamaa kwa nn usiendelee na kazi/shughuli zako? Ushauri wa bure
Wewe mpumbavu iyo sio kazi angaliaga kesi za kusimamia mbwa wewe
Ww mwanashea njaa tu ww unakula ela za wajinga sasa uawatia hasara wenzio
Wakili anaweka Sawa kibarua chake ili aendelee kula pesa za wajinga
Hamna mtu hapo
pambana na simba yako mashenene
Akuna shida ata ivyo watafungwa wao sio wewe
Awa wanatumwa na simba ili waivuruge yanga ila wawe makini yanga ni tasisi kubwa hamutaweza
Wadange hao wajinga wezko
Magoma anaibiwa na yanga inamdai milioni 100 na Polisi wanachunguza Sign za kughushi yaani huyu mzee Atafilisiwa na Jela ataenda
Hii kesi wanayanga mtulie msikilize haki za watu huyu wakili yupo vizuri .acheni ushabiki zingatieni Sheria za nchi
Endeleeni kumpoteza tu mzee wa watu
Kwako ndio yupo vixur hajui bado sana au huoni anakosea anawaza gharama tu
Usituvuluge kenge wewe
umewainggiza chaka wewe
Kashakula mchono
Wewe mwanasheria ziro bona ww ulisimamia mashauri bila wenyewe yanga hawakuwepo
Sijui amesomea sheria chuo gani bwege kuliko
Ww umetumwa na mo mshamba ww mwanasheria
Mpigaji huyu