Ma sha ALLAAH, ALLAAH SW akuzidishie ilm. Kwetu tunauita, "Shalqeedda" kwa lugha ya "Burji". Makao yetu hasa ni Kusini mwa Habeshi na Mashariki mwa Kenya katika jimbo la Marsabit. Hakuna nyumba au ploti isipokuwa ina miti zaidi ya mitatu ya Shalqeedda (Mringa). Kwetu sisi ni mboga na huwa tunapika karibu kila siku.
Naomba uandike vitabu kuhusu fainda za hizo miti ushapishe kwa lugha nyingi usambaze kwa misikiti na bookshop na watu watanunua sababu ni elimu muhimu kwa vizazi vingi mungu akuongezee hekima zaidi brp
Alhamdulillah shekh kwakutufahamisha mti huu,Allah akulipe kher na nataka zake .
Ma sha ALLAAH, ALLAAH SW akuzidishie ilm. Kwetu tunauita, "Shalqeedda" kwa lugha ya "Burji". Makao yetu hasa ni Kusini mwa Habeshi na Mashariki mwa Kenya katika jimbo la Marsabit. Hakuna nyumba au ploti isipokuwa ina miti zaidi ya mitatu ya Shalqeedda (Mringa). Kwetu sisi ni mboga na huwa tunapika karibu kila siku.
Huko mnapata homa kweli ?, Hamuumwi umwi,Si eti
Mpo wapi nipate kuja
MashaAllah, Shekhe utusaidie na somo la uzazi wa mpango
Shukran sheikh
Sheikh wetu Mashaallah mungu akuifadhi kwa kila sharii nlikuwa na mshikila katka kutafuna mbegu za mrungi waeza changanya na maziwa wabda ukanywa
Masha Allah Sheikh BarakAllah feek Swaahibu Al-Ashjar
Mashallah Allah akulipe kheir Sheikh Yussuf
Inshallah Allah akuzidishie subra ya dhati moyon mwako
Mashaallah x2. Jazzakah-la kheri innshaallah.
Shukran sana Allah akutakabalie kila unalolitaka alhamdulilah kuna tufaidika nimengi tulikua hatuyajui alhamdulilah shukran sheikh wetu
Mashaa Allah Allah akuhifadhi jaazakallah kheri
Allah akuhifadh Al hbb sheikh yussuf bin Aly.......... shukrn kwa darsa ..yako
Mashaallah tabaraka Allah
Ahsnt kwa kuendelea kutuelimisha dkt Allah akubarik .
Shukran sana kwakutufahamisha mimi nimezoeaa kuipik tu kama mbog
Shukuran ya shiehk Allah akuripe kira raher
Asante sana sheikh wetu
Mungu awajaliye
Shukran jazaqallahu khair
God bless you Sir
Mashaallah shukrani sheikh wetu
Nakuaminia shekhe shukran sana
MashaAllah MashaAllah
Naomba uandike vitabu kuhusu fainda za hizo miti ushapishe kwa lugha nyingi usambaze kwa misikiti na bookshop na watu watanunua sababu ni elimu muhimu kwa vizazi vingi mungu akuongezee hekima zaidi brp
Inshallah Amiin
Mungu aendelee kuwapa nguvu
Shukrani
Allah azidi kukupa elimu na akuondolee maradhi tuzidi kupata faida
Amiin
mungu akupe maisha marefu uzidii kutusadia
Mashalla barikiwa
Shekhe mashaalaah
Burundii 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tunakupataa Sanaa vidio zako ustaziii
Mashalla. Barikiwa
Masha'Allah.Napenda kujuwa kids uongo ni mti gani
Kifa uongo mti gani
ما شاء الله بارك الله فيك
Maa sha Allah shukrani sana shek wetu
Barakallahu fiika
Shekh mm Mme wangu uume wake ausimami vzr nifanyeje naomba unionyeshe dawa
Mungu akutunze uzidi kutoa Elimu
MaashaaAllah MaashaaAllah
Shukran jazakallahu ljannah
Alhando lilah
Rabi zidina nliman anlimum🇲🇿
Chehe eu peço seu contato
Mashaa Allah
SHUKRAN . ALLAH AKUBARIK
Allah ambarik sheh
Mashallah barakallahu fiiki ya sheikh
MashaaAllah mmungu akubarik
Bjr Pia jambo ni shabani tunashukuru kwa mafasiriyo na penda sana
Mashaallah
Mwenyez mungu akubariki
Ishalah
Naukumbali sana mimi
Waaleykum Salaam Warahmatullah Wabarakatuh
Ma Shaa Allah
Jazakallahu khayran
Good soo educative very simple and very well explained
Wowo masha alaha
shekh tunashukulu sana kwa mafunzo haya
Mashaallah sheikh unatusaidia
Shukran sheikh Yusuf kwa faida ya dawa ya presha na nguvu za kiume
Asante sana shukran
Mshaallaah
Walaiku muislam
Waalaykum salaam warahma tullah wabarkatuh
Masha allahu jazakallahu kheir
Jazakallah brother
Ostaz asante sana presha inasumbua sana,kifa uongo nakuomba unijuze pia
Asante Allah akuongoze
Shukran kiongozi
Nimeipenda
Shukran
Jazakallah khaiy
Wabongo bwana unabakia maishalaaa maishalaaa umeuliza uyo mti nigan kwaza uujue naulimtibu nn akapona kingine kam kweli nidawa unapatikan wapi nampate vizibitisho kwaza kamlaa yakutumia lakini nyee mkisikia tu tangaz mnakimblia maishalaaa
Namshukuru mungu mungu mamaangu alikua hoi Kwa Sukari kutoka 22 hadi imebalance 6 tiba Za miti shamba tu hajawah tumia hospital kweli miti ni Tiba.
Andika vizuri kwanza tukuelewe 😂😂😂
Walykum salam warhmatullah wabarakatuh
Allah akujaalie kila la kher shekh
asantee kwa.ufahamu shekhe
Allah atufanyiewepeesi
ALLAH Wakbar
Nakukubali sana
Mlonge au jina lingine unafahamika kama (Moringa) unapatikana sana kwa wingi mikoa ya Pwani, bagamoyo zanzibar, dar.. wahindi wanatumia sana kwao huko
Shukran Allah atufanyie wepes
Mronge upo sana2. ...nguvu za kiume sinauhakika
Masha Allah jazakallah kheir sheikh
Ammin thuma ammin
Like that
Nimeingia ku comment hapa nilijua nitawakuta wanaume wengi wapo hapa hili la nguvu za kiume ndio mtataka Maada hii. Shikamooni wanaume salute kwenu 😜🤔
Wacha mambo yako wewe
@@momomella9845 Haaa....haaaaa
@@zenaal-baalawy3262 we umejuajeeeeee jamani
MASHAALLAH
Apo nimekubali, ahh mronge ni noma uwoo. Ni Dawa tosha
Tena kwa ukimwi ni balaa
Asante
ماشاء الله
حفظك الله يا شيخنا
آمين يارب العالمين
@@alfajrtvtzonline9315 qqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqq
Qqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqĺqqqqqqqqqq
@@lugobola6036 qqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqqq
@@lugobola6036 ¹111qqqqqqqq¹1qq
Amin amin
Asallaamu allaaykumu shekh kama sijui Dua au aya hiyo nitafanyaje
Swali langu Kuna msichana wangu anayekojoa kitandani hata kama nimara Moja kwa mwazi nn dawa yake
Naomba usaidizi my son ako nashida ya kuongea akitaka kusema jehova anasema joba choba naomba unisaidie bt niko mbali na yeye ✈️
Ahsantee
Amen
Asante sheh
MashaAAllah. Hapa na subscribe bila kuambiwa maana nimejifunza kitu
Ushindwe kwa jina ya yesu
Wapi kupata hip mti
Kwa kiingereza ni Moringa tree.
🙏
Mlonge
sio mrungi
majani ya kifauongo mie sijaelewa mti gani huu
Na oba naba
Nafurahiya matibabuyenu
samahani kaka angu nasumbuliwa na bawasili naomba nisaidie dawa nateseka sana naomba unisaidie mwenyezi mungu atakulipa innshaalla