HAIDARI MCHANJO ATAMBA - "NAFANYA MAZOEZI na MKE WANGU, TONDO ni MTOTO MDOGO Sana, MECHI HAINISHTUI"
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- HAIDARI MCHANJO ATAMBA - "NAFANYA MAZOEZI na MKE WANGU, TONDO ni MTOTO MDOGO Sana, MECHI HAINISHTUI"
BONDIA Haidary Mchanjo amempa onyo mpinzani wake Charles Tondo ambaye atazichapa nae kwenye pambabno kubwa la 'DAR BOXING DERBY' Juni 29, 2024.
Nakubali cn kapten
Kweli kayakanyaga nakuaminia sana
Uko fit sana najua huwez niangusha
Kama mchanjo atacheza kama alivyocheza alivyocheza na yohana mchanja gemu itakuwa rahisi kwake
Tondo atapoteza
Unamjua Tondo vizuri mimi mtoto wa Manzese kabisa ila hii match ngumu sana kwa Mchanjo
Unazingua unaona raha kupigwa nje halafu unatamba kupiga ndani😮 wakat huko nje ndio ilikuwa watakiwa ufanye kweli utoboe.😮😮😮
Wewe ndio umeshindwa kuelewa
@@Rolemodel_wa_taifa kwakuwa anaongea kichini au 🤣🤣🤣❓