Jaji huyo kosa lake lipi hapo? Slaa unasema wewe pia ni mwanasheria kweli sijasomea sheria ila naweza kukupa ushauri tu ni hivi bunge la chama chako ndiyo tatizo si ndilo linatunga sheria za kukandamiza wanainchi, Sasa huyo Jaji unamtuhumu kivipi yeye kazi yake kutafsiri sheria wewe unakuja na mihemko yako basi nendanukawe Jaji wewe!
Jaji huyo kosa lake lipi hapo? Slaa unasema wewe pia ni mwanasheria kweli sijasomea sheria ila naweza kukupa ushauri tu ni hivi bunge la chama chako ndiyo tatizo si ndilo linatunga sheria za kukandamiza wanainchi, Sasa huyo Jaji unamtuhumu kivipi yeye kazi yake kutafsiri sheria wewe unakuja na mihemko yako basi nendanukawe Jaji wewe!
Safi sn,komaa nae wako wengi hao
Haki itashinda dhulma👏