UKWELI WOTE KUHUSU KIFO CHA GAVANA PETER CHIRIMWAMI NA CHANZO CHA M23 CONGO

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 9

  • @dominiquedunia253
    @dominiquedunia253 5 днів тому +3

    Great job 👏 ❤

  • @FernandinyoPogba
    @FernandinyoPogba 2 дні тому +1

    😢😢😢

  • @andrewnyamwaro5174
    @andrewnyamwaro5174 4 дні тому

    Congo nchi nzuri. Mwanzo wa nchii ulikuwa mbaya. Kumwaga damu bila hatia makosa. Serikali haina udhibiti wa nchii. Rwanda ni wachokozi. Wamevamia Congo sasa.

  • @PeterBaininwa
    @PeterBaininwa 4 дні тому

    Debat nzuri ya kujenga inchi

  • @alainteras2520
    @alainteras2520 3 дні тому

    Salut✊🤝🏿

  • @selemanihussein5073
    @selemanihussein5073 4 дні тому +1

    Huyo mwenye shati nyeupe wa kwanza upande wa kushoto na huyo mwenzake amna kitu kabisa kwanza hawajuwi kuongea, hawajuwi kujieleza, hawajuwi kufafanuwa mambo, kiufupi hawana uwezo wa kuchambuwa mambo wanaongea ili waonekane wamechangia mada, anayejuwa kuchambuwa na kueleza mambo kwa kina na kueleweka vizuri ni huyo wa kofia tu wengine wote wanachambua upuuzi tu, msiwaletage tena kuja kuchangia mambo muhimu kama hayo,

    • @andrewnyamwaro5174
      @andrewnyamwaro5174 4 дні тому

      Nakubaliana nawe. Inashangaza Congo wamevamiwa na wananchi wanaongea kijinga kijinga. Huyo wa kofia anga ana uchungu na nchi yake. Nina hamu na mji wa Tanganyika. Nitautembelea hivi karibuni.

  • @EricanoAmuri
    @EricanoAmuri 4 дні тому

    Tafazali ndugu zangu mimi ni mutu wa sud kivu
    Sasa uku kwetu fizi tuna subiri nini ku onganisha vijana hilitupinganiye congo yetu
    Mwambiyeni wa mai mai walete dawa tupinganiye ichi