KINYAMKELA EP 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • #Zuwena ‪@kobelochapombe‬ #kitale ‪@StanBakora‬

КОМЕНТАРІ • 401

  • @bugana3749
    @bugana3749 2 роки тому +40

    Kazi nzuri sana...mwanzo mzuri sana tunaomba msituangushe kama kwa binadamu wabaya....much ❤️ 4rom 🇰🇪

    • @auliasultwan687
      @auliasultwan687 2 роки тому +1

      Fanyeni mutumie vipande vyenye kueleweka mm nakubali sana mapigo yenu

    • @iddrisanyange8175
      @iddrisanyange8175 2 роки тому

      tatizo munakuwa hamuna mwishoo mzurii

  • @badaral6167
    @badaral6167 2 роки тому +16

    Kinyakela mmenikumbusha mbali sana nyimbo za kinyumbani kizalam tupu shukran sana kitale kazi safi

  • @agnesnandutu3877
    @agnesnandutu3877 2 роки тому +21

    Wallah move zenu zote ni Kali sana mungu awaongoze na awafanikishe inshallah mufike munakotaka kwa uwezo wa mungu

  • @kyambarungwe6960
    @kyambarungwe6960 4 місяці тому

    Yani nyimbo zenu huwa zinanikosha Sana dar mungu awabaliki Sana kuluu nzima mwingi mkuu nakuelewa Sana mwamba

  • @marwagabrielmwita4947
    @marwagabrielmwita4947 2 роки тому +1

    Kitale awe main actor......hizi views ni kidogo mnapata kwa kazi nzuri na filamu ya kisasa

  • @apewebakar8660
    @apewebakar8660 Рік тому +8

    Maneno yakuambiwa,binadamu na kinyamkela.💝❤️❤️❤️❤️

    • @estaraberd1245
      @estaraberd1245 Рік тому

      Hapo kwa maneno ya kuambiwa walitisha aisee, tuone na hii

  • @claudeezzojohnjonathanja-dd7xq

    Good job napenda kazi zenu kweli nyi vichwa na sio miguu tena

  • @khadijaomar7529
    @khadijaomar7529 2 роки тому +2

    masha Allah tume onyeshwa ma trela hatimae movie imekuja asanteni kwa kazi nzuri

  • @yasinomari6103
    @yasinomari6103 2 роки тому +1

    Sema huyu bakari anajuwa mpaka anajuwa tena🙌🙌🙌

  • @chizenboyka8976
    @chizenboyka8976 2 роки тому +3

    Kutoka Kenya nakubal sana kazi zenu jamaa 💯✔

  • @janethjoseph150
    @janethjoseph150 Рік тому +1

    Mwinyi mkuu umekuwa mganga njaa aiseee,duuh

  • @shebyshisha8168
    @shebyshisha8168 2 роки тому +1

    Mnazinguaaa binadamuu amjamalizaaa mnatuleteAa vinyaaa mnkelaaa

  • @NewPhone-oh7ge
    @NewPhone-oh7ge 2 роки тому +5

    Safi sana Kitale ila kajimbo kitamu pia 💃💃

  • @alikombo7360
    @alikombo7360 2 роки тому

    Tatizo ni umaliziaji unakuwa sio nzuri katika tamthilia zote 2 zilizopita maneno ya kuambiwa na binadamu Kitale mwanzo mzuri wa kusisimua hatujui huko mbele changamoto ya umaliziaji wa tamthilia zako ongeza hitimisho litakalo tuweka roho juu na kutufunza kuhusu uganga na uganguzi. Tuko pamoja nakuangalia nikiwa UK hongera nazipenda kazi zako usituangushe.

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 2 роки тому +52

    Team kitare tujuane hapa kwa like 🔥

  • @mariamsaidi1681
    @mariamsaidi1681 2 роки тому +8

    Woooyoooooo hii kali sana nzuri sana na ako ka nyimbo ka malitina kamenoga hahahaha ❤

  • @AhmadRashey-oc1cx
    @AhmadRashey-oc1cx Рік тому

    Asaalm alykum Binadamu naona imetulia sana Mashallha ilikuwa movie safy sana

  • @nurukajuna4805
    @nurukajuna4805 2 роки тому +2

    Kazi nzuri sana manshallah 😍😍

  • @safiyaramadhani3539
    @safiyaramadhani3539 2 роки тому +2

    Anauliza alijuaje matatizo yangu wakat alishawaambia wasaidizi😂🤣🤣🤣

  • @Thaniamtengwa6296
    @Thaniamtengwa6296 2 роки тому +2

    Hapo kwenye wimbo wallah umenikosha😁😁 waluguru tujuane hapa

  • @maubreezy9378
    @maubreezy9378 2 роки тому

    Kwenye BINADAMU kazingua sana kitale

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 2 роки тому +1

    Anaanza vizuri baadae anazingua

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike9778 2 роки тому +10

    Kibwana mwinyimkuu wa mara hii mtam🤣🤣🤣🤣🤣

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 2 роки тому +4

    Aloooow weee❤❤ hio nyimbo tu

  • @complex7582
    @complex7582 2 роки тому

    Tunataka iwe nzuri kuliko binaadam wabaya

  • @Rockstar_002
    @Rockstar_002 2 роки тому +5

    Nawapenda nyote ...Yani mnaweza napeda Sana vipindi vyenu.......🔥 Director pongezi kwako💓🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @anifamohamedi835
    @anifamohamedi835 Рік тому

    Ni nzuri sana jamani

  • @complex7582
    @complex7582 2 роки тому +5

    Napenda hio sound track ya malitina

  • @momapessa
    @momapessa 2 роки тому +3

    Wow mashallah movie ni nzur 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

    • @zulfamtumwa5301
      @zulfamtumwa5301 2 роки тому

      Amaliz movie. Zenu binadamu wa baya mmiishia kat maneno ya kwambia mmeishia kat

  • @vickymass8309
    @vickymass8309 2 роки тому +12

    Nmefall in love na wimbo 😂😂😂😂😂

    • @Seven_Hit
      @Seven_Hit Рік тому

      Sio peke ako na naisaka Sana audio yake

  • @hanifamazinge-iy1mr
    @hanifamazinge-iy1mr Рік тому +1

    😄😄😄😄hatimae mwinyi mkuu kapata watu kazi

  • @mohani7390
    @mohani7390 2 роки тому +2

    Napenda mdundo unaosikika huo katika kubadilika scene

  • @niyonkuruismail5288
    @niyonkuruismail5288 2 роки тому

    Binadam yenyewe imeshindikana kumalizia mnaanza na hiiii.mnazingua

  • @goodlucky8532
    @goodlucky8532 2 роки тому +1

    No mtawala no sobo 😂😂😂 hii haiwezi Kuwa nzuri

  • @salliedama339
    @salliedama339 2 роки тому

    Mngemaliza binadamu mwanzo... kitale unatuangusha

  • @OthumanHussein
    @OthumanHussein 7 місяців тому

    Huyoo brother anajuwa san

  • @aishamohamed7655
    @aishamohamed7655 Рік тому

    Kama mayele🥰🥰

  • @barackaezekieli3113
    @barackaezekieli3113 2 роки тому +1

    Kwanini humarizi move kitale binadam vipi hijaisha

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 роки тому +1

    Wanaanza kwa mbwembwe baadae hawawek kama. Binadamu
    Mnazingua

  • @remijangili
    @remijangili 2 роки тому

    Uwiiii mganga na vijakazi wake wote ovyo

  • @SeiphBoko-xh1zd
    @SeiphBoko-xh1zd Рік тому

    Nakubari sana kaka ira mama chobara mbona hatumuoni

  • @husheyninjaboy2087
    @husheyninjaboy2087 2 роки тому +3

    Big up sana ila huwa mnacelewesha sana Sehem ya kufatia

  • @sargentchibu1633
    @sargentchibu1633 2 роки тому +3

    bakari mapepe sana mwanetu😂😂🙌

  • @joancalling3837
    @joancalling3837 2 роки тому +2

    Mnganga anakula mzingo wa mteja iyo ni 🔥🔥🔥🔥 one 💗💗💗💓💓

  • @Swafarsy
    @Swafarsy 2 роки тому +15

    Best song ever 😘😘😘😘👌👌👌

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому

    Binaadamu hajesha sasa kinyamkera lakini hongereni mungu awabariki nyote

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 2 роки тому +3

    Nimeipenda mara ya mwisho niliangalka maneno ya kuambiwa ndio niliona nzur hii nimeipenda ntaifatilia

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 2 роки тому

    Hawa waganga waliwahi mchanja demu wangu alfu linamuuliz mbn mweupe ivo mamaeee alfu usku nikanyimwa unyumba

  • @hamisijm8437
    @hamisijm8437 Рік тому

    Atari mwinyiusi Bigap Sana nyote

  • @aishaomary-fv7ll
    @aishaomary-fv7ll Рік тому

    Sema umezingua xana kwa binadamu hujaimarizia kaka

  • @Bad_Og26
    @Bad_Og26 2 роки тому +1

    mwinyi mkuu kaja kimaslahi zaidi

  • @mugishasharmilla5874
    @mugishasharmilla5874 2 роки тому +1

    Kitale plus tunakuomba binadamu wabaya tupe muendelezo maana huwa tunacoka kusubiri unajua fikra kama kila movie yako huwa tunaifatilia haijalishi usumbufu wa bando wala mda wetu 🙏

  • @rahmjuma9243
    @rahmjuma9243 2 роки тому

    Aminia sna nawakubl sana hwa jama hawna mbya

  • @EliakimMaki
    @EliakimMaki 2 місяці тому

    Kitale mimi nataka congoDRC. Mutu endele Che maneno ya kwambiwa

  • @rashidithalathini8440
    @rashidithalathini8440 2 роки тому

    Unazingua kuziweka tatizo auna ratiba maaalumu ni bonge la movie ualisia kabisa dada zetu wanavyo fanyiwa dah kitale mungu akulinde na aufi ukifa niite mbwa nimekaa pale .

    • @tunuyaomar5017
      @tunuyaomar5017 2 роки тому

      Punguza kufuru dhambi nyingine zinaepukika asife ye kajiumba.

  • @kaayainternet4516
    @kaayainternet4516 2 роки тому +1

    kibwana mwenye mkuu leo amekuwa mganga wa mchongo 😄😄😀

  • @DamarisDuuTausi
    @DamarisDuuTausi 7 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂haki muko funny mwanzo mzuri

  • @amirinjema
    @amirinjema 2 роки тому +4

    🔥 juu ya moto

  • @francissimon3752
    @francissimon3752 Рік тому +1

    Nice work from Tz

  • @ywydhhd7941
    @ywydhhd7941 2 роки тому +8

    😂😂😂😂 uchafu sehemu za siri,unatakiwa utolewa, unaitika sawa 😂😂😂😂😂

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 2 роки тому +1

    Hio ngoma twaitaka kitale

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud 2 роки тому

    Hapo mwinyi mkuu umeharibu itikadi ya uganga

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Рік тому +2

    Mashallah Mashallah ❤️ 😍 💖

  • @twalib09
    @twalib09 2 роки тому

    Mganga mwinyi mkuu Ana machawa pia

  • @yusuphseleman3676
    @yusuphseleman3676 2 роки тому

    Amuchelew kuishia balabaln nyinyi sijui kwa nn jaman akina kitale

  • @rhakhesharjan9565
    @rhakhesharjan9565 2 роки тому

    Bakariiiiii hahaha maneno ya kuambiwa

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz 2 роки тому

    Sema Kibwana umu umeniangusha kinoma

  • @yusuphomari569
    @yusuphomari569 2 роки тому

    Kaz nzur kitale

  • @sidekocho2694
    @sidekocho2694 2 роки тому

    Mnaanza vizuli kumaliza

  • @sarafinasaimon6348
    @sarafinasaimon6348 2 роки тому +11

    Kumbe alikua anachelewa kupost binadamu coz ya kinyamkela haya hongera💔💔

  • @hawahassani1629
    @hawahassani1629 Рік тому

    Haswaaa tupo wote aise

  • @nzigiyimpainnocent8738
    @nzigiyimpainnocent8738 2 роки тому +5

    Likes zangu nipeni. I am the first to watch it

  • @Samiyabahatinanti
    @Samiyabahatinanti 28 днів тому

    🤣🤣🤣🤣🤣ciri bibwana bwantamku unaniangusha uko siyo kutibu umearibu na bijakazi🎉🎉🎉

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 2 роки тому

    Mwinyi mkuu pamoja sana

  • @chrisantraymond1185
    @chrisantraymond1185 2 роки тому

    Wanawake mnapitia mengi aisee mmhh poleni

  • @yassinkimaka2
    @yassinkimaka2 2 роки тому +1

    Sijui niwe mganga. Huyu manzi kaliwa kilaini 🤣🤣🤣

  • @bintihassan6534
    @bintihassan6534 2 роки тому +7

    Kumbe tunaingiliwa na waganga na hamsemi🤣🤣🤣🤣kinyamkelaaa cha ovyo sna😂😂😂😂😂

    • @Teddy-fq5oc
      @Teddy-fq5oc 2 роки тому

      Unaingiliwa wewe unae enda kwa vinyankela wenzio akuuuu

    • @Yusufu940
      @Yusufu940 2 роки тому

      Wanganga wengi wana tamaa

  • @hawasandale5936
    @hawasandale5936 2 роки тому +1

    Kumbe idrisa mzuri mzuri 😀 kwenye binadamu nakuona m,baya sijui kwa vile umeenti na mambo ya ovyovyo ndio yamekufanya uonekane m.baya 🤣🤣🤣🤣

  • @AbubakarAmuor
    @AbubakarAmuor 8 днів тому

    Haha apo ndip wanapoharib wake zetu funzo ilo

  • @nassorsalum
    @nassorsalum 2 роки тому

    hahaha mapema tu kama mayele yng like hapa

  • @wadiwadi6821
    @wadiwadi6821 2 роки тому

    Mwinyi mkuu fanya kazi yako kama kweny maneno ya kuambiwa

  • @ishakaali3673
    @ishakaali3673 2 роки тому +8

    kinyamkela and binaadam wabaya back to back bigap

  • @umisidi1816
    @umisidi1816 2 роки тому +2

    Mwinyi mkuu kalii hiii🤣🤣🤣

  • @zenahoka6265
    @zenahoka6265 2 роки тому +2

    Kazi safi sana

  • @maulidkanemba-re5xt
    @maulidkanemba-re5xt Рік тому

    Du waganga noma .ila mwinyi mkuu kaokota dodo kwenye muarobaini

  • @abdallahmapila5982
    @abdallahmapila5982 2 роки тому

    Mwinyi mkuu humu wamekujanjarua umekua muhuni

  • @sulekato4330
    @sulekato4330 2 роки тому

    Mwinyi mkuuu mungu anakuona

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому

    Hongera issa umelipata jawabu hivo ndivo dada zenu na wake zenu yanayo wakuta kwani ndio wanayo wakuta hawataki kutuliya

  • @hilalimohammed9396
    @hilalimohammed9396 2 роки тому +1

    Filamu zenu huwa hazifikii mwisho. Mnashindwa njiani. (Maneno ya kuambiwa haikuisha)( Binaadamu wa baya sijaishuhudia mwisho wake) (Shobo dundo haikuisha). Afu munaketa filamu nyengine mpya. Hii sifatilii. Sipotezi bando langu.

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava 2 роки тому

    hili ni la kweli kabisa wanawake kutapatapa sana kwa waganga wanaliwa kinoma

  • @allykk1459
    @allykk1459 2 роки тому

    Iko poa sana.

  • @jailosibrahim88
    @jailosibrahim88 2 роки тому +108

    Wanaotaka kitale afanye kwel si kama alivyofanya movie ya BINADAM tujuane?

  • @benardmukani902
    @benardmukani902 2 роки тому +2

    Kitu mpya icho 😃👍👍🤟🇰🇪

  • @innocentgeorge1117
    @innocentgeorge1117 2 роки тому

    Mwinyi mkuuu kazingua maaana aliendana na uhalisia lkn sio mbaya uwigizaji unautofaut

  • @sophiaruwa1366
    @sophiaruwa1366 2 роки тому +1

    Saudia /kenya big up

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Рік тому

    Naaza leo 1

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Рік тому +1

    Hongereni cn❤❤❤❤❤

  • @erastonyambo9018
    @erastonyambo9018 Рік тому

    mwiny mkuuubatakua mganga kwel sohvhviii maaan hee

  • @abdyribe3002
    @abdyribe3002 2 роки тому

    Nawakubal sana hahaha mganga

  • @خسنموس
    @خسنموس 2 роки тому +2

    Hii tamthilia ni moto mabadiliko kwel nayaona nakubali Kitale na team yako amjawahi kutuangusha tangia maneno yakuambiwa..