MKUU WA MASOKO NA UHUSIANO UTT ANAELEZA NAMNA MFUKO WA UWEKEZAJI UNAVYOSAIDIA JAMII
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- #Clouds360 Tangu tumeanzisha mfuko wa ukwasi ambao nao ni mojawapo ya mifuko yetu umekuwa sana kutoka kipande kuuzwa sh 100 hadi 200 Daudi Mbaga
Mkuu wa masoko na uhusiano Utt-Amis
Great one. Watanzania Tupende kuangalia mada kama hizi Kwa faida yetu. Huwa tunapuuzia mada muhimu kama hizi na kushabikia yasiyo na faida kwetu
Yan topic za maendeleo kama hiz eti zina watazamaji 200 watanzania tuwen silias
imeandikwa zipatwe na wachache sio wote
Kweli mkuu hata mimi nashangaa Watanzania bado sana kukwamuka kwenye Umasikini
Enlighten
Ukitaka kupata hiyo hiyo niwapi