Baharia mwenzengu wape ukweli fresh sana watanzania waoga Sana kusafili Kuna vitu vingi umeongea vinaendana mpaka uwe bahalia ndo utajua Huo ndo mfano wa ubahalia
Kaka tunapoomba punguzo la hiko kiasi maana yake ni gharama kubwa sana kulingana na maisha ya bongo mtu kupata hiko kiasi ni changamoto ila kwa huko ni kidogo hatukatai ila jaribu kutusaidia kwa sababu unayajua maisha ya ulikotoka
Wewe umesema unasaidia watu nakupigia umenijibu maneno makali vipi ndugu yangu maisha haya ni mapito tu miaka 60/65 ukiwa marekani kyela Sawa muhimu nikumuelekea MUNGU kikweli tu
Mm nilicheza green card.nilipita ya kwaza nikajaza Sylvie.yangu sasa nasuburi majibu mwezi wa 8 nilicheza mwaka jana ila garama zake ndo sijuwi kabisa unaweza nisaidiya kama uto jali kaka
Bro mtu kama akishafika apo USA hawezi kutoka tena nje ya USA pasipo kuwa na makaratasi,labda unaweza kutoa ufafanuzi juu ya hayo makaratasi ni yap na mtu anaweza kuyapataje?
Bro mimi Niko Congo DRC nilikua nahuliza kama hiyo milioni 9, itakua ngapi mu ma dollar nanikisha lipa ndalipia tena ticket ya ndege au garama yote ni huko kwako tu na ndafikiya kwako au kwanani najua mengine utakuja nifunza huko
Dula huko unafanya kazi gani?inaonekana wewe ni mpambanaji Sana,
Ila dula nimekupenda bure na inaonekana ni mtu wablack and wait,,na unaonekana unaroho nzur na nimkwer,,Sasa nitapambania nauli mpaka nije inshallah
Dura dura rural dura. Mimi Hera ninayo. Tuwasiriane. Hera ninayo. Tuwasiriane. Nije huko. Pesa tiyari nimesha kusanya za kukupa. Na nauri yangu. Naomba tuwasiriane nakuomba nakuomba. Nataka nije. Marekani. Tafadhari nakuomba.
+15167783253 WhatsApp nicheki
NAPENDA HUDUMA YAKO JE OFOSI IPO WAPI DULA KWA HAPA BONGO
Sinza kumekucha Pr complex floor ya kwanza office namba 33
Ngoja nitafute iyo pesa nije huko kuja kupambana inshallah,,ngoja nitafute nauli,,ila inabidi nisafili na wewe na unipe muongozo hata nikifika huko
Ila dula nimekupenda bure inaonekana nimpambanaji Sana Kila la heri ila namim nipo njian nakuja inshallah ngoja nitafute ela nakuja huko,,nawewe nataka ndo unifanyie mpango wote,,,ngoja nitafute nauli nakuja kaka kupambana
Usiwe unaacha kusoma komenti. Zangu. Nataka. Kuja huko. Tuwasiriane. Ndugu nauri ninayooo nimesha andaa. Tufanye mawasiriano dugu yangu. Nataka kuja huko nataka kuja
Ukisoma coment zangu nitaje na jina langu nitajisikia vizuri sana kutajwa na mtu uko Marekani.
Kaka dula mashalah,,unaonekana ushajipata
Nmetamani sana nikutane na wewe tufanye mambo,nifanyeje?
Ndio mr mimi shidazangu niku american kwani nguzu uwakika
Oi d nyota kwa mfano nina visa yakuja marekan ila nikataka unipokee na unitafutie kazi utanitoza bei gan?
Hi bro namba yako tafadhali
No ya watsapu nipe kaka
Saiv sangap huko
Tunaomba namba yako bro
Love your service
Safi sana, Dulla.
Mbona ujibu
Hello
Nahitaji whatsap namba yako au email tuongeee
Pv kaka ❤
Nipe no kaka
Je ukiwa mtu anaumwa sukari vp atamudu huko
Kawaida tu, unaweza kumudu vizuri
Baharia mwenzengu wape ukweli fresh sana watanzania waoga Sana kusafili Kuna vitu vingi umeongea vinaendana mpaka uwe bahalia ndo utajua Huo ndo mfano wa ubahalia
Kaka tunapoomba punguzo la hiko kiasi maana yake ni gharama kubwa sana kulingana na maisha ya bongo mtu kupata hiko kiasi ni changamoto ila kwa huko ni kidogo hatukatai ila jaribu kutusaidia kwa sababu unayajua maisha ya ulikotoka
Sawa ukiwa tayari nicheki WhatsApp
Kaka nataka kuja naomba unipe muongozo
ilikupasa umuombee kuli aliko kutajia me nmeona si busara kumwambia huku ila kwa uelew wngu mdogo
@@dnyotausa6154no ya what zap
No Yako ya whatzap please
Oy dulla niaje Nipo site napambania pesa chap nikucheck arafu ukija tz.tuonane hata Kwa kulipa
Wewe umesema unasaidia watu nakupigia umenijibu maneno makali vipi ndugu yangu maisha haya ni mapito tu miaka 60/65 ukiwa marekani kyela Sawa muhimu nikumuelekea MUNGU kikweli tu
Vp unaweza kutoka uku na mtaji wako ukaja uko kufanya biashala yako alafu ni majimbo gani uko usa maisha yako chini
Yes unaweza
Br sasa kweny interview baada ya ndoa za mchongo c itakua shida
Apana akuna shida
Kaka,,mchongo,,,?na vpi,,? Ukishashuka kw ndege,,nasikia waulizwa maswali,,,,ukifeli,,waregeshw kwni,,ni vpi,,?siitakuwa ni hasara,,,,,
Mimi naitji iyo safari elanaweza kuipata changa moto yangu kingeleza sijui itakuaje kunanjiagani niweze kenda maojiano apo mile jibu
Kaka nina kipaji na ujuzi wa computing my education ni class seven na kiingereza naelewa vizuri 😂😂 nitapata kazi kweli?
Mm nilicheza green card.nilipita ya kwaza nikajaza Sylvie.yangu sasa nasuburi majibu mwezi wa 8 nilicheza mwaka jana ila garama zake ndo sijuwi kabisa unaweza nisaidiya kama uto jali kaka
Video imejitosheleza sana.iko full package.
Thanks bro
Am on my way
Bro mtu kama akishafika apo USA hawezi kutoka tena nje ya USA pasipo kuwa na makaratasi,labda unaweza kutoa ufafanuzi juu ya hayo makaratasi ni yap na mtu anaweza kuyapataje?
Yes sikiliza video nzima
Sasa ushafanya mpango umefika hapo Uwaja wa ndege alafu Lugha ujui itakuaje Sasa hapo ukiulizwa
Nina ujuzi flani Kazi za computer nitapat kweli?
Bro mimi Niko Congo DRC nilikua nahuliza kama hiyo milioni 9, itakua ngapi mu ma dollar nanikisha lipa ndalipia tena ticket ya ndege au garama yote ni huko kwako tu na ndafikiya kwako au kwanani najua mengine utakuja nifunza huko
Dar noma sana unatisha dulla nipo site mapambania pesa chap nikucheck
Nakukubali sana broo
Mim Sina ndugu huko nikishinda green card nitafikia wapi kaka angu naomba mdada wako please 🙏
Sitatizo pesa tatizo kufililisika nakubakia na madeni
Mr D nyota nakukubali sana brother
Bro mm cjakuelewa vinzuri unazungumzia swala la visa na kazi Marekani??
Sasa mzee kuhusu lugha inabini nifanyaje
Namba za walioko bongo tunapataje
Alafu visa naskia kipengele sana embassy vipi nikitoa pesa alafu nikakosa viza
Na inachukua muda gani mpaka kukamilika taratibu zote nikilipia saivi
Je uki over stay wakati unafatilia karatasi haina shida ?
Me babu apa kunondon salon niunganishie mipango uko
Hongera sana wewe endelea kupambana na kuwasaidia watanzania wenzako
SAWA KAKA TUNAKUKU BALI Habari ya kibongo JANYA NYANI WABOGO HAWATAKI KUKATA LESEN
Kaka nisaidie Mimi kira kitu huko nifanye nije huko. Maisha ya huku tunajituma rakini magumu. Nifanye mpango wa. Kira kitu. Nije huko
Hi mimi nauliza mbona mnapoenda nga'bo munashuka nyuele .bona musidumishi tamaduni zetu nzuri za kiafrica
Ukidumisha wewe inatosha au unataka block?
Dullah mambo vipi? Kazi za saluni vipii?
vigezo vya hizo kazi ambazo unasema tutafanya no vp?
Kaka please natafuta kaz yoyote
Poapoa pamoja saana
Kaka nikishinda green card nitafikia kwako na wtt wangu 🙏
Ukweli umenipa Moyo sana Maelezo yako Yanaeleweka
Jamani tunahamu yakwenda marekani tuweni mskini wengine tushapigwa kusimama tena hatuwezi
ebu tupe ukweli ndugu yangu
KAKA BIGUP SANA NIMEKUBALI ULICHOFANYA KAZI SAFI SANA
Nahitaji kujua tunakupata je kwa ajili ya hiyo process tunatuma pesa au unakuja uku maan nishaangaika sana kuja huko?
+15167783253 WhatsApp
@@dnyotausa6154 oya rasta vp huku bongo unakuja lini na unapikana wap bongo mzee
@@amirimuhsin560 nipo bongo
Pande zp bongo mzee
Maswali ya interview embassy
Mm nataka visa nifanyie mpango
Dah hyo tips kumbe nilazma kutoa , mtu bahiri huko atafungwa kwakutokutoa tips😀
Lazima ila kama ujalipa wanakuacha tu sema sio vizuri
Naweza kupata namba yako bro?
Broo appreciate san unanipa moyo wa kujituma san na mm nije uko ila broo one day yes tutafany jambo
Pamoja kaka
ukiwa na passport au
Apana
sawa kaka hongera sana tupe no zako
Towa namba kaka
Tuje kufanya kz kaka
Sasa dogo, huko hamuulizwiulizwi uraia wenu, mbona naona mko huru sana tofauti na tunavyodanganyana huku?
Akuna mambo ya kuulizwa ulizwa uku, kila mtu yupo huru
broo please l need your help please money not problem problem is too come there please need your help broo
Sawa karibu +15167783253 whatsapp
@@dnyotausa6154ni makaratasi gani ndo yanatakiwa mpaka upate viza kaka na mtu akiwa Tanzania bei nishigapi mpaka upate viza kaka
Towa namba kaka
Mimi nataka zk zandani
Ebu niyambiye inakuwaje
Sasa mtu akitaka kuku tumia. Hera umuandarie. Viza anafanyaje. Virevire. Unaweza. Kumujibia. Maswar. Ya magiresheni. Baadae ya kufika huko.
Mimi naposipoti
Cha kukushauri nunua camera
Usijifanye unaongea sana, nitakublock
hivi mtu akifika kupata laini za huko mtu anafanyeje
Unaenda dukani unanunua unalipia kila mwezi
Bro mambo vipi me nataka safali
+15167783253 WhatsApp nicheki kama upo tayari kuanza process
Samahan Kaka yang je kwa kazi za kulea watoto au kazi za ndani zinapatikana
Zipo, kama pesa ya kulipa garama unayo nicheki
@@dnyotausa6154 umesema ni million tisa au laki tisa
Big up bro u are the best youtuber
Asante sana
@@dnyotausa6154mambi
Home boy nakufatiliasana mzee baba Sasa nataka nijue hiyo milioni Tisa viza tupu au pamoja natiketi Hilo tu mzee baba
Tiket unajitegemea
Nakupata san ndugu yngu
Sawa
Toka uwanze michongo hiyo ushawafanikishia watu wangapi?
Nakukubali sana kaka tunajipanga tuje
Hello me noel shikamoo baiskel zipo
Hello me noel ni mchezaji naomba uniunganishe academy football
Kaka g.e.d miaka mingapi Adi kumaliza
2 years
Hi, tunakupataje, Namba ya whatsapp.
@@priscastevenvyagusa8169 +15167783253
@@dnyotausa6154 Mimi. Nataka nije. Nikifika huko. Utanisaidia. Kujibu maswari. Magiresheni.
Oya mzee je nikija stolwey ntapata kazi
Unapata
Sana bro pamoja!
Poa pamoja
Ivii kuanzia michakoto mpaka safari inachukua muda gani?
Je kwa bahati mbaya safari ikiferi pesa itakuaje?
@@hamisikimbatikwa6959 aiwezi kufeli Tunapambana mpaka upate
@@hamisikimbatikwa6959 mwezi mpaka mwezi na nusu
Number number yko,tuongee previt
Namba yako plez
Namba yako WhatsApp